Emmanuel Mwita Profile Banner
Emmanuel Mwita Profile
Emmanuel Mwita

@EJ_Mwita

Followers
2,892
Following
433
Media
2,780
Statuses
44,780

REALIST| Gold mining industry enthusiast| Anti-WOKE 🤡| Human rights defender. SARCASM is the highest form of Intelligence. I mostly write for future reference.

World
Joined October 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 months
💪🏾💪🏾
3
4
10
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@realDonaldTrump I never see people driving around with Biden flags, someone want to explain how this guy who couldn’t fill a high school auditorium is leading currently?
584
69
1K
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Leo nilienda CHATO nikakutana na mmoja wa watoto wa JPM pale J’s Hotel. Nimefarijika sana. Mwamba ameijenga CHATO bwana, watu ndio hakuna. Barabara ya KATORO-CHATO ni top notch 👌🏾 Speed 140 gari imetulia tulii. STENDI,VETA,MAHAKAMA,MABENKI,ZIMAMOTO,BARABARA 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
102
40
780
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Akipata kura 50%+ 2025, Nahama nchi.
108
18
723
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Kadi za harusi ya Madenge na Coco ziliandikwa kisomi sana, Jamaa alisema, Mchango ni hiari na hata kama huna unaalikwa kwenye harusi. Sasa kuna hawa wengine michango ni deni 🥺 Usipochanga mnakosana kabisa. Mtuhurumie jamani Tozo ni nyingi Appreciation tweet kwako @rollymsouth
11
36
573
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
1) Jana usiku maaskari wa Oysterbay bila Uniform na mmoja akiwa kavaa uniform huku akiwa amevaa sweta juu (pichani chini) walinivamia kwenye gari wakasema nina bangi.Baada ya mabishano wakanipeleka nyuma ya kituo cha Oysterbay wakaniwekea kete 14 kwenye dashboard na kisha…
185
172
550
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Tangu uondoke nchi imekuwa shamba la bibi, Halmashauri pesa zinachotwa kiwendawazimu, Mrithi wako aruhusu watu kula kwa urefu wa kamba yao. Meli ya bilioni 8 imefanyiwa marekebisho ya bilioni 7.5, Tunamengi ya kukuambia baba. Umeme ni mgao kama ulivyosema, Machinga wamefukuzwa.
Tweet media one
52
87
508
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Katika hilo igizo, huyo jamaa ndio baba yetu? @rollymsouth
Tweet media one
58
16
458
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
Paul Makonda ni kati ya viongozi vijana machachali sana na aliyeacha alama katika uongozi wake. Paul Makonda amejipatia utajiri mkubwa wa mali na fedha katika kipindi kifupi cha uongozi wake. Swali: Je! Serikali haioni haja ya kumhoji ni wapi alikopata fedha na mali zake?
Tweet media one
88
28
408
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Ndugu zangu M/Mungu awabariki sana. Kwa mara ya kwanza nimeona NGUVU ya Retweet. KIFUPI: Askari wanne wote wameshughulikiwa ndani ya saa 24 tu tangu wanifanyie ule uhalifu. Shukrani zangu za dhati kwa 1)Afande M.J Mlilo, Niseme sijawahi kukutana na mtu smart and straight…
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
1) Jana usiku maaskari wa Oysterbay bila Uniform na mmoja akiwa kavaa uniform huku akiwa amevaa sweta juu (pichani chini) walinivamia kwenye gari wakasema nina bangi.Baada ya mabishano wakanipeleka nyuma ya kituo cha Oysterbay wakaniwekea kete 14 kwenye dashboard na kisha…
185
172
550
81
55
401
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Imekuwa miaka miwili (2) sasa tangu uondoke mwana-CHATO. Pumzika baba. Our country will never recover from your loss. You were the champion of it’s social-economic progress. May you keep resting in power. Always in our hearts. We miss you baba. #TunakukumbukaBaba
Tweet media one
Tweet media two
18
56
356
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Mstaafu aliona ni makubaliano mazuri na alitaka JPM asaini. Nyie watu TUMEPOTEZA JEMBE 😭😭😭😭 Hasomi popote yaani kila kitu kipo kichwani. AISEE!!
29
105
348
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Wamekula pesa ya Tear-gas 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jaluo bila teargas sio maamdamano.
80
105
343
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Kiboko ya Nape na washenzi wengine. Kuna wanaume duniani halafu kuna JPM. Watu waliufyata. Yule jangili alikimbilia sijui wapi baada ya JPM kufariki akaibukia Kamati Kuu. Aaah!! JPM alininyooshea watu. Wale watu viburi walioona nchi ni yao kana kwamba wengine haikuwa yetu.
Tweet media one
33
49
297
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Inastaajabisha kuona Hilda Newton anajikuta anaijua @ChademaTz kuliko @halimamdee ,Halima kakipigania hicho chama na amekijenga kufika kilipo leo. Halima Mdee ni Mbowe mwanamke Chadema. Leo watoto wa jana wanajiona wanamtosha 😂😂😂. Halima Mdee ni sawa na Hilda Newton 4000.
136
11
246
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
@MsigwaGerson nilikupigia simu kwa namba (0717 214 838) bila mafanikio. @TZWaziriMkuu Askari wako wanaonea raia. Kweli nimeamini jeshi letu linabambikia watu kesi na kutisha watu wake na kuteka watu wake.
4
32
227
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Presidential powerful speech is what we miss the most as a country. Kuna ile raisi akiongea nchi nzima inasimama kumsikiliza, JPM pekee ndiye aliyekuwa na hiyo karama. Huyu mtu alitumwa na Mungu kuja kutuvusha. Pumzika JOHN.
Tweet media one
Tweet media two
97
42
219
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@JoeBiden You are not US president yet.
305
0
199
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
The love these man have/had for their countries is beyond measure. 🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
28
212
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Huyu ndiye wakulinganishwa na machoraa akina @Nnauye_Nape Kweli? 😂😂😂😂 CCM ya BASHIRU ilikuwa CCM bora tangu Uhuru.
36
66
206
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Unajua tofauti kati ya JPM na Samia ni:- 1)JPM alipenda kujiridhisha kwenye kila jambo aliloweza kufikisha mkono wake. 2)JPM alikuwa na plan B ya mambo yake 3)JPM alijua watanzania ni wezi na hawaaminiki 4)JPM alijua hii dunia ukilegea wanakuuza. 5)JPM aliipenda Tz zaidi.
38
49
201
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Waliniteka maeneo ya Coco beach (WAVUVI KEMPU) majira ya saa nane usiku. Hata hivyo sitoshangaa kama @tanpol hamtochukua hatua. Natarajia kwenda kwenye ofisi za afande Jumanne Mlilo ambaye nilimpigia simu bila mafanikio kesho majira ya saa nne asubuhi kutoa malalamiko yangu.
2
26
194
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Kwa namna JPM ali-handle COVID-19 against the world expectations and somehow baada ya mwaka ndio dunia ikafuata nyayo zake za kupambana na ugonjwa huo. Kama angekuwepo naamini angekuwa na namna yake ya kutuvusha kwenye hili sekeseke la mafuta. Believe it or not, He was gifted,
34
41
188
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Ninawatambua askar wote waliohusika na ningependa haki itendeke,Niliwaomba wanifungulie kesi na kunipeleka mahakamani wakagoma na zaidi walinipiga na kunilazimisha nisizungumze Baada ya kupewa pesa na kuniachia waliniomba yaishe na tusameheani kwani walikasilishwa na mdomo wangu
3
24
189
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
😕😕 My all time favorite President.
Tweet media one
28
21
187
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Wapandishe chumvi. 😂😂😂😂
33
62
183
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Kunilazimisha niwape milioni 2 ili mambo yaishe. Nilipokataa wakaniweka ndani hadi mdada niliekuwa nae alipowapa laki 6 ndio wakaniachia bila sharti lolote @TZMsemajiMkuu @rollymsouth @tanpol Nataka kusema @tanpol ule ni uonevu mkubwa na ujambazi mnafanyia raia.
6
29
182
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Ubora wa Magufuli ulijidhihirisha kuanzia alipoingia kwenye siasa. Waziri pekee ambaye tangu ateuliwe na Mkapa na baadae Kikwete, amekuwa akifanya kazi kwa bidii na wivu mkubwa kwa Taifa na watu wake. Aliendelea kwa kusimikwa kwenye Wizara ngumu na zenye matatizo. R.I.P JPM.
31
33
173
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
17/03/2023 TUKUTANE CHATO. Rest in Power JPM.
Tweet media one
15
22
176
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Kwahiyo mwanetu ndiye aliepata kiherehere cha kupima DNA? Mimi leo niambiwe mtoto wangu sio wangu, alieniambia ndio itabidi atafute mtoto wake maana wangu anabaki wangu. To be a father you don’t necessary need to be a biological one.
17
11
174
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
WANANCHIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!! 😎😎😎
44
12
172
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Wengine hao walikamatwa geita, Kwanini wanajipaka vumbi? 🤷🏾
32
58
166
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Unajifanya sharoo na huna ng’ombe. 😂😂😂😂😂😂😂
36
45
167
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Mpango ni kuonana na Clara anakuja Mpambazi 🥺🥺🥺 Bongo Nyoso.
18
4
158
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
URGENT!! Habari, Nahitaji dereva wa kuendesha Private Car. 1)Awe na valid driving licence 2)Awe na uwezo wa kuzungumza lugha ya Kingereza vizuri (English speaking driver) 3)Awe ni mtanashati. Mshahara: 300,000 kwa mwezi Mahali: MWANZA @YourFrenchFry My Dm is Open
13
32
156
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@BarackObama @JoeBiden I personally love you Barack but honestly speaking Trump is a far more better candidate than Joe. American Politicians have done more damage to the world than non-politicians. Trump is not a politician no wonder he has done less damage. You failed to destroy ISIL and so will Joe.
37
6
129
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Dalali wa Zambarau amejitahidi kutomwangushia raisi lawama hata mara moja 😂😂😂😂 Riport imesomwa kiustadi bila kugusa Wizara ya Nishati wala wizara ya mawasiliano Dalali hajaona, Upotevu wa Bilioni 100+ nishati, hajaona upotevu wa bilioni 11+ (Mawasiliano) Dalali ni 🚮🚮🚮
18
23
151
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Mzee baba, Nyang’au uliowaacha wamekopa Trilioni 30 lakini hawajui trilioni 20 zimeenda wapi. 😡
Tweet media one
15
21
149
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
My all time President.
Tweet media one
13
25
146
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
😂😂😂😂 kmmmmae
122
11
145
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
JPM aliwanyoosha ACACIA in a way that No any other African president could ever dare. Hilo pekee litamfanya awe kiongozi wa Malaika huko aliko. Rest in Peace JOHN, You will always be in our hearts and Soul.
21
27
138
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@JoeBiden I never see people driving around with Biden flags, someone want to explain how this guy who couldn’t fill a high school auditorium is leading currently?
106
3
104
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
TEAM JPM.
Tweet media one
14
15
115
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Kuna ile video ya Calito anamuombea ruhusa Madenge kwa mkewe 😂😂😂😂 Calito: Angalia wote tulio hapa ni wanaume hakuna mademu 😂😂😂 @YourFrenchFry umeambiwa uwe na amani.
3
2
116
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Geita unaagiza Pepsi, Unaletewa Coca Cola baada ya dakika 10 na wameifungua tayari. Unamwambia nimekuagiza Pepsi, Anajibu, “Hebu kunywa hiyo huoni zinafanana”
@iamthatfemale
Hika Lyimo
2 years
Tz tuna bad customer care ila dom aaah 🙌🏼 ni level ingine. Duka la mangi tu anakuvimbia, utadhani unaomba.
70
16
535
41
20
115
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Bila Bashiru mali za @ccm_tanzania zilikuwa zimeporwa na wachache akina @Nnauye_Nape & Co. Alisimamia zoezi la kurudisha mali za Chama zenye thamani zaidi ya Trilioni 1. Kama sio uungwana,uzalendo na uaminifu, Nani angeweza? Imagine hilo zoezi wangepewa akina @Nnauye_Nape 😂😂😂
16
44
115
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Wakuu, Nahitaji kontena 15. 40ft 6pcs 20ft 9pcs Zikiwa Mwanza nitafurahi zaidi, Lakini sehemu yoyote ya Tanzania 🇹🇿 tutanunua. @rollymsouth @Kiganyi_ @ManenoIzaak @MarekaMalili Nisaidieni Ku-share.
Tweet media one
24
28
113
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Niwakumbushe tu, Tulibahatika kupata raisi anaeshirikisha Ubongo wake katika maamuzi, A very Conscious President. The one who was NOT FOR SALE. As we mark Two months Today Since you departed, Rest in Peace Mr.President. You will always remain embarked in our hearts.
16
32
109
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Mwendelezo
5
41
111
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@robertamsterdam Iam disturbed on how the few Tanzanians who think @TunduALissu is our hope, Whites have sent a dog who will bark whenever they tell him to do so. With JPM we have hope and have seen hope. Again we will shame you and the international community supporting the dog you sent.
19
10
109
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Mtu anawezaje kuwa mfuasi wa Mwalimu Nyerere halafu akaacha kuwa mfuasi wa Magufuli? Yaani,unawezaje kumsifu Nyerere halafu ukawa mwana-CHADEMA? Watu pekee wanaoishi ndoto za Mwalimu ni Wana-CCM,NCCR-Mageuzi na wafuasi wa Ujamaa na Kujitegemea. MAGUFULI was more of NYERERE.
Tweet media one
Tweet media two
50
20
105
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 Sawa na 95%. (Repoti ya CAG) Sikumbuki mara ya mwisho. Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti ilikuwa lini. Pumzika kwa Amani JPM— Hakika TUTAKUKUMBUKA.
Tweet media one
23
27
106
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@zittokabwe @ACTwazalendo @SeifSharifHamad @ChademaTz @freemanmbowetz @TunduALissu Zitto Zuberi Kabwe, mheshimiwa mstaafu. Ulijiona umemaliiiza na kwamba wewe ndio unawajua WORLD BANK kuliko watanzania wengine. Ukaenda kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu nchini alafu ukadhani wananchi hawakumbuki? Miaka ya nyuma ulikuwa role-model wa vijana wengi. Sasa wewe ni 🚮🚮
37
11
105
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Bila MAGUFULI pasingejengwa hayo masoko nchi nzima. Hakika alikuwa mtu mwema.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
14
104
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Bila JPM nani angelimjua Kassim Majaliwa? Magufuli had a great taste. Sipatii picha ni jizi gani lingekuwa PM letu kwa sasa. Nyie watu,TUMEPOTEZA JEMBE.
19
16
99
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Nisaidie kulisemea hili ili hawa wahalifu washughulikiwe, natumai CCTV camera za pale WAVUVI zitatusaidia kuonesha hali ilivyokuwa. Hasira niliyonayo hadi natetemeka.
@rollymsouth
Madenge
11 months
Hii sio sawa aisee,polee mzee cc @tanpol
16
23
232
6
13
100
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Tulikuwa tunakusanya Trilioni 1.7 kwa Mwezi, Sasa tunakusanya Trilioni 1.3 (400B/mwezi LESS) Wafanyabiashara wanabembelezwa kulipa kodi. Nini kifanyike? Mwigulu na Jopo lake wakasema: Tuongeze kodi kwenye Vocha,Kutoa na Kutuma Pesa na Mafuta. REST IN PEACE JPM.
29
18
96
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
War against corruption has to begin with State leaders,This is a better way to gain peoples legitimacy and support on war against emblezzlements We know how much a regional commisioner is paid and it would take atleast 50yrs for Makonda to make his fortune out of RC salary
4
9
97
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Raha ya Milele Umpe Eee Bwana, Na Mwanga wa Milele Umwangazie. APUMZIKE KWA AMANI,AMEN!
Tweet media one
9
19
94
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Hii nchi tumepitia mengi sana,Kuna wakati Mgombea kiti cha uraisi aliwahi kupinga kwa wivu mkubwa Msanii kutoka nchi yake asiingie kwenye kinyang’anyiro cha kushindania tuzo ya BET. Imagine Mama Samia aanzishe kampeni kumpinga Nandi asishinde tuzo ambayo inaitambulisha nchi, 🤣
15
11
93
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
JPM angekuwa hai mngesema kamuua. Kubali kataa, Kachero alikuwa mwizi Kama alivyo Kikwete na wenzie. JPM alijitahidi sana kujitenga na wezi wa aina yake. Mkishindwa kumwelezea huyo mwizi bila kumtaja JPM tutalala na nyie sambamba. Konyo konyo 🤨, JPM alijitenga na watu wa DILI.
55
16
94
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
5 months
HAMAS wamuue mTanzania halafu wawatumie Israel video ili wai-post kwa niaba yao? SAWA.
48
13
95
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
God gives,God takes. Rest in Power Magufuli,Rest in Peace John Pombe Joseph Magufuli. 1/2
7
22
86
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@realDonaldTrump Democrats and the media spent four years talking about a Russia hoax on the grounds of election integrity. But less than 48 hours after polls closed in an actual presidential election, they want to ignore clear irregularities and rush to call states as won. Unreal!
31
4
88
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Magufuli will always be remembered as the BEST PRESIDENT OF ALL TIME. He manifested that African presidents can still be progressive without shaking their butts off.
10
21
91
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
TUKUTANE CHATO 17/03/2022. Tutakukumbuka daima Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli. Endelea kupumzika kwa AMANI, Vita Ulivipigana na Ukavimaliza 🙏🏾
Tweet media one
8
25
92
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Guys tunatafuta mtaalamu wa mambo ya mitandao atusaidie ku-host page yetu ya Instagram. Awe active 12hrs or more daily. Tutamlipa vizuri. DM me. @YourFrenchFry nisaidie ku-share.
Tweet media one
29
18
92
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Katika kupiga story mbili tatu na Dr.Wilbroad Slaa amesema Wapinzani wa Tanzania wameishiwa agenda na wanachofanya sasa ni kujikita kwenye umbea na matukio Amesikitishwa na matendo ya Lissu na ameahidi kumuombea ili apone. Aidha ameendelea kutoa pole zake za dhati kwa MSIBA MZITO
Tweet media one
28
17
90
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Halafu yupo mtu anakuambia eti aliiba kura 😳 Mwanza ni ya Magufuli hata baada ya kuondoka kwake. DAIMA TUTAKUENZI SHUJAA WETU. Umevipigana vita vizuru,Umeumaliza mwendo. LALA SALAMA BABA YETU MPENDWA.🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
34
18
86
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
… Kama Afande huyu. Alinisikiliza bila kujali udogo wangu akachukua hatua za kutoa maelekezo kwa Afande mwingine makini kabisa, Afande Mtatiro (RPC KINONDONI). Hakika Jeshi letu lina viongozi makini kabisa wanaotiwa doa na askari wachache wasio waadilifu. ASANTENI SANA @tanpol
1
3
90
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Wameanza kukusingizia eti umeacha deni la Taifa likiwa Trilioni 70, Ostazat ameshakopa zaidi ya Trilioni 10 na hata mwaka haujaisha na hatuoni unafuu wa maisha kwa wananchi wanyonge. Tuko mbioni kuuzwa. Rest In Peace my all time President. We miss you baba 😢😢.
Tweet media one
17
19
90
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@moodewji Sijafurahia kilichotokea maana mimi pia ni shabiki wa simba lakini kama sio uchokozi huyo jamaa wa Simba alienda kutafuta nini hapo?
51
0
87
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Nimefurahi 😂😂😂😂 Karibu Uraiani COMRADE.
Tweet media one
15
9
89
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Kwa wale wasiofahamu,TMDA inamaabara kubwa ya kupima ubora wa dawa na vifaa tiba na kila barakoa inayoingizwa lazima iwe imepata kibali cha TMDA na haziwezi ruhusiwa kuuzwa hadi pale wapate idhini ya TMDA. Barakoa yeyote imported unayokutana nayo ujue tayari TMDA wameikagua.
Tweet media one
18
15
87
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
FISADI MKUBWA KUWAHI KUTOKEA NCHINI 👉Kajenga hospitali nyingi kuliko zilizokuwepo tangu Uhuru 👉Kapeleka Maji sehemu kubwa ya nchi tangu uhuru 👉Kapeleka Umeme sehemu kubwa ya nchi tangu Uhuru 👉Kasomesha watoto wengi zaidi kuliko rais yeyote In just 5yrs. Rest in Peace JPM.
25
21
85
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
@AllenYoung92 @OnlyBangersEth is shotting someone your only option?
8
0
82
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
SSH angetufaa zaidi kama waziri wa mambo ya nje. Nafasi aliyonayo ni kubwa mno.
Tweet media one
19
15
86
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
CCM tuliokuwa tunaiota 😂😂
11
22
84
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
kupatiwa haki yangu, Itoshe kusema najisikia furaha sana. Ujumbe kutoka kwa Afande Mlilo: Msiogope kutoa taarifa pale mnapofanyiwa uhalifu na askari wachache wasio waadilifu. Pili, akasema mimi nitakuwa mtu wa mwisho kusakiziwa kesi na kuporwa na maafisa wa Jeshi lake.
2
5
85
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Wakati wa JPM vyuma vilikaza lakini tuliona faida ya kodi zetu. Mf, Alimaliza kabisa adha ya foleni Dar es salaam, Alifikisha umeme sehemu kubwa ya nchi, Barabara ziliboreshwa nchi nzima n.k Sasa huyu mama vyuma vinakaza yeye anazurura ulaya na akina Shaka kutumua kodi zetu 😎
18
12
82
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Narudia tena, CCM ya JPM ilikuwa CCM bora kabisa kuwahi kutokea. Ile ya NYERERE sikuiona. Ile ya Majizi ya JK na hii ya sasa ni Mbovu zaidi.
12
14
83
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Mtumishi wa Umma anaemponda JPM wakati huu alikuwa MWIZI. Hakuna mtu safi anaweza msema vibaya. Bahati mbaya nyie masikini wengine mmerithishwa chuki hiyo na mnamponda bila sababu za msingi. Wakati huu tulipaswa kuhoji kwa pamoja Kwanini wakati wa JPM Umeme haukukatika?
31
17
83
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Mimi nilimkataa Fatma na Maria kitambo sana, like any sensible person would. Nilimkataa Kigogo na Martin na wasenge wengine wa aina hiyo. Inawachukua muda lakini tunaelewana sasa.
18
9
80
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Cardiac Fibrillation patients with Pacemaker implants survival rate is as follows after surgery. 65.6% - 5yrs 44.8% -10yrs 30.8% -15yrs 21.4% - 20yrs. So life span after surgery is between 5-20yrs, Average of 8.5yrs. He knew what he was doing. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tweet media one
12
16
76
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Unajua JPM alinyoosha wasionyooshwa and that was his biggest problem 1) Alihakikisha watoto wa viongozi wanatambua kuwa nchi sio yao peke yao 2)Alihakikisha wakwepa kodi wanalipa 3) Alizidhibiti NGO uchwara 4)Alisimamia Uhuru wa Nchi yetu Kwa ufupi, Aliminya kende za wakubwa
@msangijeff
Jeff Msangi®
2 years
Made sense, init? 🤔
151
421
1K
11
22
78
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Sisi wanyonge Tunakulilia. Umejitoa muhanga kwaajiri ya Sisi wanyonge. PUMZIKA BABA 😭😭
5
19
78
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Basi kabla hata ya kwenda kwa Afande Jumanne Mlilo tayari RPC KINONDONI alikuwa tayari ameelekeza nitafutwe na nisaidike, nikakuta file langu lenye tweet yangu likiwa limekwisha funguliwa. Nilifurahi sana. Afande wote waliohusika waliitwa na nikawatambua na nimeahidiwa …
1
2
78
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Thank you for being the best President afterall, You will forever be in our hearts.
Tweet media one
2
20
78
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Raisi wa vimemo Oyeeeeeeeeee!!!! Chama cha vimemo oyeeeeeeee!!!! CCM HOI !!
14
24
77
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Nawakumbusha Tu, JPM aliikuta $1= TZS 2,210(2015)Ameiacha ikiwa 2,290 (2021) Kikwete aliikuta $1 =Tzs 900 (2005) na kuiacha ikiwa 2,210(2015) JPM ndiye raisi pekee aliyeidhibiti dollar, Ukweli usemwe.
Tweet media one
15
21
77
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
ACT Wazalendo na Zitto wao walikuja Mwanza wakafanya kikao cha ndani cha kuvuna wanachama wapya wakaambulia watu tisa (9) 😂😂😂 Nilikwambia, Huwezi mdhihaki JPM Kanda ya ziwa especially Mwanza halafu ulete pumb* zako kutafuta wanachama. ACT Mwanza Imekufa kabla ya kuanza.
31
16
78
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Ebwana ehh! Jana nikakutana na kupiga story na @rollymsouth na @YourFrenchFry pale Bonasera-Mwanza Nilichojifunza 1) They both drink responsibly(Madenge hanywi safari zaidi ya 9) normally 6. 2) Coco ni wa Wine Moja na Savannah 2 (Max) 3) Madenge ni Mcheshi in real life Inaend...
8
2
73
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
11 months
Ujumbe wa Afande Mtatilo: Jeshi lenu la polisi lipo makini na badala ya kupeleka malalamiko mitandao pekee amewasihi mumpelekee yeye na atawahudumia kwa uaminifu mkubwa. Ujumbe wa afande RCO KINONDONI: Jeshi ni lenu na kazi yake kubwa ni kuwatumikia, muwe wepesi kulikosoa…
2
3
75
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 month
Dogo wa Tarime akim-massage muuza mayai. 😆
31
9
75
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
4 years
@robertamsterdam @TunduALissu Waste of time,We Tanzanians do not consider him as a hero rather a selfish maniac who believes change can only be brought by his ways,JPM is the hero and the president we need.
18
7
73
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Kauli ya Heri James imenifanya nielewa Hasira za @Kiganyi_ juu yetu. Kaka tusamehe bure. Tulichagua zuzu kama kiongozi wetu na kwa pamoja tunakubali kuwa sisi ni MAZUZU.
4
8
74
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 year
Baba, tumerudi kuwa omba omba, Mrithi wako anashinda hewani kama mwewe. Deni limekuwa kutoka 60.9T hadi 90.3T ndani ya miaka miwili. Viwanda haviongezeki na uingizwaji wa bidhaa zinazozalishwa nchi umeshamiri. Baba tunakulilia.
Tweet media one
2
7
72
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
President’s health is a matter of National Security. Any attempt to publicing it without clear understanding and proof is AGAINST THE LAW and somehow you might be pinned for it. Watch out.
17
6
67
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
3 years
Umevimaliza Vita. Pumzika kwa Amani Baba yetu mpendwa. Hakika Pengo lako halitozibika.😭😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
13
71
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
2 years
Relate @YourFrenchFry 😂😂😂 Au bado?
15
17
72
@EJ_Mwita
Emmanuel Mwita
1 month
MMM na Boni yai 😂😂😂😂
26
9
73