Nape Moses Nnauye Profile Banner
Nape Moses Nnauye Profile
Nape Moses Nnauye

@Nnauye_Nape

Followers
1,027,290
Following
7,886
Media
1,986
Statuses
5,131

Mbunge Jimbo la Mtama{SIMBA WA VITA}. A LEADER SHOULD BE AN AGENT OF CHANGE. Minister of Information, Communication and Information Technology

Tanzania
Joined August 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 months
Kila SILAHA itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA, na kila ULIMI utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa MKOSA. Huu ndio URITHI wa watumishi wa Mungu, na haki yao!💪🏽(Isa 54:17 )
Tweet media one
796
175
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
SHE MADE IT AGAIN!! OMG!!! 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾MAY ALLAH GIVE YOU ALL IT TAKES TO LIVE AND SAVE OUR GREAT NATION!💪🏽💪🏽💪🏽
Tweet media one
849
321
5K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa UPENDO wake kwangu. Nakushukuru KIPEKEE Mhe Rais SAMIA kwa IMANI hii kubwa kwangu. Ahsanteni sana wadau kwa kunipokea. Nina kuahidi Mhe Rais SITAKUANGUSHA! Najua na kuheshimu mategemeo yenu kwangu, Mungu atanisaidia KUYATIMIZA. SITAWAANGUSHA!
Tweet media one
710
321
5K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
548
161
5K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
HONGERA Sana kaka! Sina mashaka utaonyesha utofauti.. all the best!
Tweet media one
303
184
5K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
11 months
Mmepambana na kuliheshimisha Taifa sana👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Tweet media one
396
332
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Happy Birthday BINGWA! Maisha marefu na mema!
Tweet media one
178
108
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Namna wewe na wenzako mlivyosimamia swala la mifuko ya plastiki ni mfano tosha wa utofauti kati ya KUONGOZA na KUTAWALA. Hongera sana!
Tweet media one
279
256
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Neno moja tu!...tafadhali...
Tweet media one
508
131
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Unataka tuchinje ng’ombe mzima kwasababu ya order yako ya maini tu!!??🙆🏿‍♂️
Tweet media one
619
188
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
231
126
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Duh…!🙆🏾🙆🏾🙆🏾🙆🏾🙆🏾🎶
Tweet media one
468
127
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Wanahabari mme GUSA sana moyo wangu!Sikujua kama mnanipenda na kunithamini kiasi KILE!Nawashukuru SANA kwa kujitolea kwenu!Nawapenda SANA!
Tweet media one
535
807
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Tweet media one
204
134
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
275
151
4K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Tweet media one
433
270
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
HONGERA na Karibu sana kwenye sekta ya Mawasiliano! 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tweet media one
142
180
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!
Tweet media one
1K
321
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Maisha mazuri ukiwa na furaha, lakini maisha ni mazuri zaidi na yana maana zaidi kama kuishi kwako kuna wafanya watu wengine pia wafurahi! Nawatakia Pasaka njema!
352
225
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Mji wa Lindi, the original of the great Dinasour!
Tweet media one
471
157
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Tweet media one
411
91
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Tweet media one
193
117
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
BET 2021, mimi ninampigia kura Diamond Platnumz!👍
Tweet media one
325
178
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Happy Birthday mdogo wangu Maryam! Mungu akupe maisha marefu na yenye furaha na mafanikio!
Tweet media one
341
87
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Historia imeandikwa leo!👏🏾👏🏾💪🏽💪🏽⚽️⚽️Serengeti Girls wanaipeleka Tanzania rasmi Kombe la Dunia! HONGERENI sana!
Tweet media one
172
129
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
1 year
Sio rahisi kupata maneno sahihi ya kusema kwa sasa. Itoshe kusema hili ni pigo kubwa kwa wanaMtama na kusini kwa ujumla! Mwamba umeanguka! Pumzika kaka yangu!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tweet media one
401
163
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza bomberdia ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??
Tweet media one
716
446
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Mzee kanikabidhi rasmi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾, ahsante Mzee Makamba, maneno yako nitayazingatia!
Tweet media one
216
145
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Ndugu zangu naomba TUTULIE! LEO mchana nitakutana na Wanahabari na tutalizungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwasasa naomba TUTULIE!
1K
950
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
What a loss!!!🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️😭😭! Nakumbuka sana Upendo, Malezi na Busara zako nikiwa Mkuu wa Wilaya Masasi!Aaah, mwamba mwenye sifa halisi za kusini, what a loss!! Pumzika baba!
Tweet media one
115
116
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
203
127
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Duh! Kumbe kulikuwa na orodha!!🙆🏿‍♂️ Natamani kujua wahuni waliopona!🤣
Tweet media one
850
244
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Kama ambavyo kifo ni hakika kwa kila kiumbe ndivyo ambavyo mwisho wa kila jambo ni hakika pia! Mwisho wa wema ni fahari na mwisho wa ubaya ni aibu! Mungu hadhihakiwi!
365
223
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Leo nimefanikiwa kumsindikiza kupumzika mtu aliyeokoa nisifukuzwe shule kwa kukosa ada na aliyeokoa nisifukuzwe/ nisiondoke CCM! Pumzika Mzee Mkapa, Msalimie Mzee Nnauye, mwambie umemaliza kazi aliyokuachia kwangu! Ahsante sana!
Tweet media one
227
124
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
6 months
🤣🤣🤣🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️Tanzania tamu sana🤸🏿‍♂️🤸🏿‍♂️🤸🏿‍♂️
Tweet media one
384
241
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
356
159
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Masaa machache kabla ya kushambuliwa kwa risasi jana!Naamini mjomba utarudi utueleze ukweli wa wauaji hawa!Hasa the T460CQV uliyoilalamikia!
Tweet media one
301
407
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inaweza kuwa majanga🤣🤣🤣🤣🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
Tweet media one
483
160
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 months
Hongera sana 92.1 Crown FM👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tweet media one
79
125
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Hongera sana kaka! Karibu kwenye club! Maisha yako yana historia ya kusimulia/ your life has a story to tell!👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tweet media one
185
150
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
🎼🎶🎶🎹🎼Nikumbushe wema wako nisijelaumu, nikumbushe ukuu wako wakati wa magumu, nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu...niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi...🎼🎹🎼🎶🎶
595
138
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
October Kuna watu bila aibu watasema wameibiwa kura hivyo wahamasishe watu kuingia barabarani. 😳ukishindwa kusoma, hata picha huwezi ona kweli??
Tweet media one
1K
153
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Wakati wa magumu ni wakati mzuri wa kujifunza mapungufu na nguvu uliyonayo maishani! Ni busara kuutumia vizuri wakati huo!
217
202
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 months
Mdogo wangu Paul, Karibu sana kwenye Uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo, and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila lakheri!
Tweet media one
44
234
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Tuendelee kula mtori, nyama tutazikuta chini!......
Tweet media one
213
158
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 months
Ndio Habari ya mjini! Hongereni sana TBC kwa ubunifu huu!👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tweet media one
114
112
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Mama ahsante sana kwa KUSIKIA KILIO cha wakulima wa korosho. Mungu akutunze na kukuhifadhi, akupe wepesi💪🏽!
Tweet media one
196
122
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
1 year
Tweet media one
322
56
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
1 year
Dunia ni duara. Panapoonekana ni kama mwisho inaweza kuwa ndio mwanzo. Usihukumu/usifanye maamuzi kwa kuangalia hali ya leo tu!
Tweet media one
747
245
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Unataka kukamata panya, halafu unachagua rangi ya paka? Are U serious!??
Tweet media one
391
135
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Binadamu huzaliwa, ubinadamu hutengenezwa!... Mtu huzaliwa, utu hutengenzwa!...
Tweet media one
271
118
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Uteuzi wa Mhe. Hussein Bashe na Mhe. Simbachawene ni katika teuzi bora kabisa. Ninawapongeza na kuwatakia majukumu mema! Kaka January karibu back bench, Hongera kwa utumishi wako!
Tweet media one
220
135
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
228
96
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Tanzania Yetu!
Tweet media one
176
112
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
When you choose to follow your heart, make sure you don’t leave your brain, take it with you….
161
233
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Pamoja na mapungufu yake kadhaa kama binadamu, Cde Robert Gabriel Mugabe ni mtoto wa Afrika!
Tweet media one
177
107
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Tweet media one
391
76
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Kila PITO lina SABABU yake! Shida kubwa ni kujua SABABU/KUSUDI la Mungu kuruhusu mapito flani maishani. Mungu nifundishe kuyajua MAKUSUDI ya kila PITO ili moyo wangu ukutukuze katika kila PITO!
Tweet media one
310
162
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
6 months
Mwanangu kumbuka …Madaraka hayabadili watu ila huonyesha uhalisia wa mtu🤦🏾‍♂️. Chunguza sana marafiki wanaokuzunguka wanaweza kuwa marafiki wa madaraka uliyonayo na sio marafiki zako wewe!
Tweet media one
611
193
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Mwenyezi Mungu ndiye anayenikirimia mema maisha yangu yote,hata nabaki kijana mwenye nguvu kama tai. {Zab 103:05}
Tweet media one
180
86
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Wapinzani sio maadui, tushindane kwa hoja!
Tweet media one
429
303
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Tweet media one
237
53
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Nimejificha vya kutosha!lakini kwa goli hili🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️mhhhhh! Simba hii kiboko! This is Simba!👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
203
175
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Vyovyote iwavyo siasa lazima iendelee kuwa ni shughuli ya kushindanisha akili katika kutatua changamoto zinazoikabili jamii husika! Mkiacha kutumia akili, siasa inageuka kuwa sumu itakayoangamiza jamii husika! Lazima tuseme HAPANA!
Tweet media one
318
206
3K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
448
174
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
🤣🤣
Tweet media one
122
71
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Usipande miba kwenye njia yangu maana unaweza kesho kuja kwangu ukiwa peku! Weka akiba!
Tweet media one
312
339
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Karibu Lindi mkoa anakotoka Dinasour! Fahari ya Utalii wa kusini!
Tweet media one
305
93
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto. Kura na maamuzi yanafanywa na Watanzania sio Mahakama ya Kimataifa ya Kesi za Jinai!
Tweet media one
1K
142
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
HONGERA kwa kazi nzuri kaka!👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tweet media one
76
92
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
93
68
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
624
101
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Raha ya kushinda, kushindana!
Tweet media one
436
134
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
WanaMtama 2600 kwa niaba ya wengine Jimboni wamemdhamini JPM. Kwa kauli moja wanasema #JPM5TENA !
Tweet media one
374
90
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Je, wajua kuwa neno NEWS ni kifupisho cha pande Kuu nne za dunia yaani North, East, West & South? Wengi leo hutafisiri kama habari! #ElimikaWikiendi
243
262
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Usivunje mtungi kuua panya aliyemo ndani ya mtungi, busara ni kuinamisha mtungi taratiiiiiiiiiiiiiiiiibu panya atatoka mwenyewe! Kukata kichwa cha kobe kunahitaji timing!!
Tweet media one
483
127
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Nimeikuta mahali... povu si ruksa!😷
Tweet media one
1K
129
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Mjomba tunamshukuru Mungu kwa tabasamu hili la matumaini!Nakuombea afya iimarike kabla hujasema mengi!Tulia mjomba upone kabisa kwanza!
Tweet media one
201
263
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Vijana mnajitahidi, lakini ongezeni kasi kidogo labda uchafu utapatikana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
473
148
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Matumizi ya nguvu sana hayalipi! Kurekebisha kwa upendo hulipa! Hongera Rais, Hongera Mwakyembe kwa uamuzi wa Busara dhidi ya muziki wa Ney!
Tweet media one
259
479
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Kumekuwa na MJADALA mkubwa kuhusu USHAURI wangu juu ya Wabunge wa Viti Maalum waliotokana na Chadema:- kwa kifupi SWALA HILI NI LA KISHERIA {Katiba ya Chadema na Katiba ya Nchi}, Sheria hizo NDIZO ZINAZOAMUA/TAFSIRI HATMA YAO. .....
364
212
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Kila jambo kuna majira, na wakati kwa kila kusudi. Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa. Kupanda na kung’oa. Kubomoa na kujenga. Kulia na kucheka. Kunyamaza na Kunena. Kupenda na kuchukia. Wakati wa vita, na wakati wa amani. Tumia wakati wako vizuri, kwani hakuna lidumulo!
279
187
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Wewe ni ZAWADI ya Mungu kwa Tanzania Yetu! Mwenyezi Mungu akushike mkono, akutie nguvu na kukuongoza tuvuke salama!
Tweet media one
324
102
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Tweet media one
144
59
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
238
86
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Pengine kazi ngumu kuliko zote so far ni ya kuwa Hakimu! Nadhani ni kazi wengine hatuiwezi! Ngumu sana!!!
Tweet media one
421
162
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Umeacha alama kubwa! Nimejifunza mengi kwako, Rafiki, Mshikaji, Kiongozi na Mzazi! Ulinifundisha kuwa KUKATA TAMAA NI DHAMBI! {Msalimie Mzee Sitta, mkumbushe kile kikao chetu Cha mwisho nyumbani kwako}Pumzika kwa Amani Dr. R.A Mengi.
Tweet media one
177
132
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Unahitaji taasisi imara na thabiti kama CCM kutengeneza mtu wa aina yako. Sina mashaka October 2020 , ushindi mapemaaaaaaaa! Zanzibar na Muungano viko salama kwako! Kila lakheri Dr Hussein Ally Hassan Mwinyi!
Tweet media one
164
89
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
7 years
Taulo likianguka, hatua ya kwanza chutama, ndio busara aaaakh!!
260
224
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Hakika CCM ni CHAMA BORA na MADHUBUTI, USHINDI kwa Uchaguzi wa October 2020 ni DHAHIRI kabisaaaaaaaaa!
Tweet media one
419
110
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya gari iliyosababisha vifo vya Maafisa Habari, Waandishi wa Habari wa Mwanza na Wananchi. Natoa pole kwa Familia za Marehemu, Waandishi wa Habari wote, ndugu, jamaa na marafiki. Mungu aziweke mahali pema roho za marehemu wote, Amina.
Tweet media one
347
209
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Siku ya mwisho uliniambia “ Napalepe maanaake hata usiku uwe mrefu vipi kutakucha!” Kila nikikumbuka maneno haya ninapata nguvu ya kusonga mbele! Ni miaka 17 sasa na maisha hayajawa Sawa tena toka uondoke! Pumzika kwa Amani, baba, Rafiki,Mzalendo na mmakonde wa kweli!
Tweet media one
259
116
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Tweet media one
103
76
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
Usichukue TAFSIRI ya MAISHA kama ilivyotafsiriwa na mtu mwingine, maisha ni YAKO yatafsiri MWENYEWE!
Tweet media one
158
110
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
4 years
.....hapo zamani za kale.....!
Tweet media one
435
70
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Natafakari uamuzi wa Cde Kagame kutumia lugha ya Kiswahili alipokuwa akiongea na askari nchini Msumbiji…!😎🤫🤐
Tweet media one
268
124
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
6 years
Mwenyezi Mungu kaniokoa na ajali mbaya leo asub, wakati natoka Mtama kuelekea kwenye kikao cha Chama Liwale. Namshukuru sana M/Mungu. Nawashukuru sana wananchi wa kijiji cha Kibutuka, wamenisaidia sana, Upendo wenu umenigusa sana! Familia,Viongozi na marafiki nawashukuru sana!
Tweet media one
659
157
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Pamoja na kutafuta maisha kwa nguvu zote, usisahau kuishi🤣🤣🤣🤦🏾‍♂️!
Tweet media one
166
127
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
5 years
Busara nyingi kichwani hazina faida kama moyoni huna chembe ya *wema* . Shaban Robert
Tweet media one
190
175
2K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
11 months
Tweet media one
239
54
2K