
Lubasha Jr
@MarekaMalili
Followers
672K
Following
769K
Media
19K
Statuses
767K
|Digital Consultant | |Baba Maggie & Gian& Gio |Youth Development| |Parenting| |Financial Literacy| |#ManU #LBJLoyalKnight|
Tanzania
Joined September 2011
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini. Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako. Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.
192
1K
3K
Coming soon to Steam! Wishlist now, then check in to the Hotel during launch week for your chance to win a Throne!
0
13
339
We Titooo
6
0
21
Tuhuma hazizuki tuu, kuna mizizi,mazingira, au viashiria. Mtu anapopewa tuhuma,kuna mambo 3: •Anahusika moja kwa moja •Anahusishwa bila kuwa mlengwa •Ana taarifa, au amewahi kugusana na tuhuma hizo. Tuhuma ni ishara ya uwepo wa taarifa, ukaribu na jambo,au mwanya wa mashaka.
2
8
63
Kama shughuli zako za kiuchumi hazikufanyi kuwa excited na siku mpya, bado safari ipo.
2
6
29
Yaani nimekwambia sio mimi 🤣 Kasauti kadogo kama Gian Travis 😆🤣
3
1
9
Yani kabisa unampa mwanao ubunge, mmewe ubunge na uwaziri, wewe ukiwa ni rais Kisha familia ya rais mstaafu inakuwa na mke na mtoto mbunge Familia ya rais wa karafuu ikataka kuwa na kaka mbunge, Mungu akazuia. Hii nchi yenu? Mafao lukuki mliyojipangia hayawatoshi?
47
193
1K
Ayubu 26-30: “Ukimuita, Yeye atakujibu; ukishikwa na dhambi au matatizo, atakutoa; vizazi vyako vitashuhudia, na utu wa haki utadumu. Ukiwa mwaminifu, hakuna kitu kitakushinda.”
0
5
39
Magari yamegeuka makaburi sasa
Aliyekuwa mmiliki wa hoteli za Home ground, Kelvin Wiliams Mbogo amefariki kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Sayansi jijini Dar es Salaam usiku wa Oktoba 3, 2025. Kwa mujibu wa Baba Mdogo wa Kelvin aitwaye Raymond Kalyalya amesema Gari ya Kelvin lilikuwa kwenye foleni ndipo
1
0
26
Karaoke imekua platform ya wasanii wanaojitafuta toka lini? Mie nikajua ni kwa ajili ya watu wakiwaka wanajiimbia tuu na ulimi mzito 😆
4
3
70
Huduma ya Cap mmeionaje?
3
1
31
Ukipata nafasi nyingine ya kubadili maisha yako ambayo tayari yalianza kwenda kombo, aisee usirudie same,same ways ambazo zilikupa your downfall. Njia hazidanganyi.
0
24
123
WAHI KABLA HAZIJAISHA🤗😎🤩 TV show Case nzuri sanaa ni pay and pick from 550,000 to 480,000 Height fut 6 Only 480,000 Mbao Mninga wood+ Turkish hardboard Kindly Call ☎️: 0710444391 [ Whatsapp + Calls] Located at Chang'ombe-Temeke Rangi zote zipo piga simu uletewe
0
1
6
WAHI KABLA HAZIJAISHA🤗😎🤩 TV show Case nzuri sanaa ni pay and pick from 550,000 to 480,000 Height fut 6 Only 480,000 Mbao Mninga wood+ Turkish hardboard Kindly Call ☎️: 0710444391 [ Whatsapp + Calls] Located at Chang'ombe-Temeke Rangi zote zipo piga simu uletewe
0
2
2
Nchi zote zilizoendelea kwenye neo colonialism ni kwa kuhakikisha public institution zinaendesha na kugenerate income kwa Government ili kuleta maendeleo. Nchi za Asia zote public entitu zinaoperate vizuri tu. Huu ni wizi wanataka kuhalalisha
Hii mindset ya kuona kwamba the govt cant be efficient tunawapa watu wazembe free pass tuu. Haiwezekani mtu akiwa serikali analeta uzembe, ila huyo huyo akipewa tenda kama kampuni binafsi anaonekana ana capacity, Bulshit.
1
2
2
Urafiki mwema ni pamoja na kuzingatia Usalama wa mwenzako mtandaoni. simama na rafiki yako, usimcheke au kumdhalilisha. #ChatKijanja #noexcusei
0
1
3
Mtu asiyesoma alama za nyakati anaishi gizani hata katikati ya nuru. Wakati ulimwengu unabadilika, yeye hubaki amesimama akijidanganya naye anakwenda na wakati. Kusoma alama za nyakati ni kujifunza kuelewa ulimwengu, watu, na nyakati tunazoishi, ili maisha yetu yawe na mwelekeo,
4
23
169