MarekaMalili Profile Banner
Lubasha Jr Profile
Lubasha Jr

@MarekaMalili

Followers
672K
Following
769K
Media
19K
Statuses
767K

|Digital Consultant | |Baba Maggie & Gian& Gio |Youth Development| |Parenting| |Financial Literacy| |#ManU #LBJLoyalKnight|

Tanzania
Joined September 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini. Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako. Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.
192
1K
3K
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Solidarity hii nchi ngumu 🤣
@Baraza_Kuu
Mchambuzi
7 hours
Kura yako ndiyo sauti yako. Sauti yako ndiyo nguvu yako. Na nguvu yako ndiyo itakayolinda Tanzania yenye amani, maendeleo na umoja.
0
0
5
@HabboOrigins
Habbo Hotel: Origins
10 days
Coming soon to Steam! Wishlist now, then check in to the Hotel during launch week for your chance to win a Throne!
0
13
339
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
We Titooo
@tausilikokola
Tausi Likokola
15 hours
Amandla! ✊🏾 The October spirit @TitoMagoti ❤️
6
0
21
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Tuhuma hazizuki tuu, kuna mizizi,mazingira, au viashiria. Mtu anapopewa tuhuma,kuna mambo 3: •Anahusika moja kwa moja •Anahusishwa bila kuwa mlengwa •Ana taarifa, au amewahi kugusana na tuhuma hizo. Tuhuma ni ishara ya uwepo wa taarifa, ukaribu na jambo,au mwanya wa mashaka.
2
8
63
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Kama shughuli zako za kiuchumi hazikufanyi kuwa excited na siku mpya, bado safari ipo.
2
6
29
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Yaani nimekwambia sio mimi 🤣 Kasauti kadogo kama Gian Travis 😆🤣
@spana_Konki
Spana & V.A.R Movement
17 hours
3
1
9
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
15 hours
Yani kabisa unampa mwanao ubunge, mmewe ubunge na uwaziri, wewe ukiwa ni rais Kisha familia ya rais mstaafu inakuwa na mke na mtoto mbunge Familia ya rais wa karafuu ikataka kuwa na kaka mbunge, Mungu akazuia. Hii nchi yenu? Mafao lukuki mliyojipangia hayawatoshi?
47
193
1K
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Ayubu 26-30: “Ukimuita, Yeye atakujibu; ukishikwa na dhambi au matatizo, atakutoa; vizazi vyako vitashuhudia, na utu wa haki utadumu. Ukiwa mwaminifu, hakuna kitu kitakushinda.”
0
5
39
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Kisa AI?
@TheRealEkiswaga
Enock Kiswaga
9 hours
There are people who should retire because of the broader public interest.
5
1
40
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Magari yamegeuka makaburi sasa
@Jambotv_
Jambo TV
20 hours
Aliyekuwa mmiliki wa hoteli za Home ground, Kelvin Wiliams Mbogo amefariki kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Sayansi jijini Dar es Salaam usiku wa Oktoba 3, 2025. Kwa mujibu wa Baba Mdogo wa Kelvin aitwaye Raymond Kalyalya amesema Gari ya Kelvin lilikuwa kwenye foleni ndipo
1
0
26
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Karaoke imekua platform ya wasanii wanaojitafuta toka lini? Mie nikajua ni kwa ajili ya watu wakiwaka wanajiimbia tuu na ulimi mzito 😆
4
3
70
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Huduma ya Cap mmeionaje?
@Eric__Bernard
MR BEN
10 hours
Kauli kutoka JWTZ 🙌🙌🙌🙌🙌
3
1
31
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
We some luck, sometimes.
0
0
31
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 hours
Ukipata nafasi nyingine ya kubadili maisha yako ambayo tayari yalianza kwenda kombo, aisee usirudie same,same ways ambazo zilikupa your downfall. Njia hazidanganyi.
0
24
123
@Joh_cabinet
Joh cabinet
9 hours
WAHI KABLA HAZIJAISHA🤗😎🤩 TV show Case nzuri sanaa ni pay and pick from 550,000 to 480,000 Height fut 6 Only 480,000 Mbao Mninga wood+ Turkish hardboard Kindly Call ☎️: 0710444391 [ Whatsapp + Calls] Located at Chang'ombe-Temeke Rangi zote zipo piga simu uletewe
0
1
6
@Joh_cabinet
Joh cabinet
9 hours
WAHI KABLA HAZIJAISHA🤗😎🤩 TV show Case nzuri sanaa ni pay and pick from 550,000 to 480,000 Height fut 6 Only 480,000 Mbao Mninga wood+ Turkish hardboard Kindly Call ☎️: 0710444391 [ Whatsapp + Calls] Located at Chang'ombe-Temeke Rangi zote zipo piga simu uletewe
0
2
2
@MhindiV
Eng Mhindi(BEME , MEM~PM)
10 hours
Nchi zote zilizoendelea kwenye neo colonialism ni kwa kuhakikisha public institution zinaendesha na kugenerate income kwa Government ili kuleta maendeleo. Nchi za Asia zote public entitu zinaoperate vizuri tu. Huu ni wizi wanataka kuhalalisha
@MarekaMalili
Lubasha Jr
13 hours
Hii mindset ya kuona kwamba the govt cant be efficient tunawapa watu wazembe free pass tuu. Haiwezekani mtu akiwa serikali analeta uzembe, ila huyo huyo akipewa tenda kama kampuni binafsi anaonekana ana capacity, Bulshit.
1
2
2
@BarakaMaviatu
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
12 hours
Twende harusini tukiwa tumependeza kwa viatu vikali. #Size :40-45 Tsh.130,000 CONTACTS:+255718007463 For pickup 🛵 📦 and #delivery 🛵 🚚
0
8
8
@Javanofficiel
Daddy
10 hours
nilitingwa na mambo sikua hata najua ratiba ya game, moment nakumbuka nicheki ratiba nakuta mechi inaendelea na tumeshashinda mbili.. nikagundua hawa mambwiga dawa yao nisiwe naangalia games 😂😂
@MarekaMalili
Lubasha Jr
12 hours
Kumbe Man U dawa usiangalie game
0
1
2
@MarekaMalili
Lubasha Jr
10 hours
Urafiki mwema ni pamoja na kuzingatia Usalama wa mwenzako mtandaoni. simama na rafiki yako, usimcheke au kumdhalilisha. #ChatKijanja #noexcusei
0
1
3
@jaliluzaid
Jalilu Zaid
11 hours
Mtu asiyesoma alama za nyakati anaishi gizani hata katikati ya nuru. Wakati ulimwengu unabadilika, yeye hubaki amesimama akijidanganya naye anakwenda na wakati. Kusoma alama za nyakati ni kujifunza kuelewa ulimwengu, watu, na nyakati tunazoishi, ili maisha yetu yawe na mwelekeo,
4
23
169