Ubora wa Magufuli ulijidhihirisha kuanzia alipoingia kwenye siasa.
Waziri pekee ambaye tangu ateuliwe na Mkapa na baadae Kikwete, amekuwa akifanya kazi kwa bidii na wivu mkubwa kwa Taifa na watu wake.
Aliendelea kwa kusimikwa kwenye Wizara ngumu na zenye matatizo.
R.I.P JPM.
@EJ_Mwita
Alitia hasara bara bara zetu kujengwa chini ya kiwango kwa kudai wakandarasi 10 pasent ya kila bara bara inayojengwa..hasara nyingine ya maguful akiwa waziri ni ujenzi wa kituo cha mwendo kasi pale jangwani...hana ubora wwte...
@EJ_Mwita
@Icon__08
1.5 trillion zilipotea wakati wake, hakuzingatia sheria ya manunuzi ya ujenzi wa chato Airport na kuongeza kinyemela cost ya mradi wa chato airport kutoka 17 billion mpaka 54 billion. Mifano miwili inakutosha au niongeze.
@EJ_Mwita
Huyu ndiye waziri pekee tangu 1995 nilipo ijua siasa ya nchi hii aliyefanya kazi zake kwa weredi baada ya CCM kuonekana inaelekeea shimoni wakamuangukia aiokoe shimoni na akafanikiwa .R.I.P JPM
@EJ_Mwita
Huyu ndiye waziri pekee tangu 1995 nilipo ijua siasa ya nchi hii aliyefanya kazi zake kwa weredi baada ya CCM kuonekana inaelekeea shimoni wakamuangukia aiokoe shimoni na akafanikiwa .R.I.P JPM