Msemaji Mkuu wa Serikali Profile Banner
Msemaji Mkuu wa Serikali Profile
Msemaji Mkuu wa Serikali

@TZMsemajiMkuu

Followers
738,824
Following
11
Media
9,964
Statuses
27,496

The Official Account of the Chief Spokesman of the Government of Tanzania I Ukurasa Rasmi wa Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania 🇹🇿

Dodoma, Tanzania
Joined August 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
8 hours
UTEUZI
Tweet media one
12
51
307
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
8 hours
Taarifa kutoka Ikulu
Tweet media one
Tweet media two
1
3
10
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
17 hours
Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Korea na Afrika, Kintex nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea
13
36
123
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
11 hours
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, leo Juni 4, 2024 amezungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara hiyo uliyopo jengo la TTCL, jijini Dar es salaam, akitoa ufafanuzi kuhusu mkopo wa Dola bilioni 2.5 kutoka Korea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
3
10
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
14 hours
MKUTANO WA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI NA WAANDISHI WA HABARI
1
6
12
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Matukio mbalimbali wakati wa hafla ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima kwenye Sekta ya Anga (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University)Jijini Seoul Jamhuri ya Korea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
49
176
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
23 hours
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya DVD zenye nyimbo za vivutio vya Utalii nchini Tanzania  kutoka kwa Mwimbaji Maarufu  wa Muziki wa Jamhuri ya Korea Cho Yong-pil wakati wa mazungumzo yao Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni,2024
Tweet media one
6
24
60
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
18 hours
Tweet media one
1
1
24
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
19 hours
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Viongozi mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa Korea na Afrika uliofanyika Kintex, nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 04 Juni, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
13
38
155
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
19 hours
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  akiwasili Kintex, nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa Korea na Afrika tarehe 04 Juni, 2024.
Tweet media one
15
41
160
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
19 hours
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Nchi mbalimbali mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa Korea na Afrika uliofanyika Kintex, nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 04 Juni, 2024.
Tweet media one
8
27
98
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
19 hours
On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I extend my heartfelt congratulations to Her Excellency Claudia Sheinbaum, President-elect of Mexico, on your historic victory in the 2024 Mexican general election. Madam President-elect, you have my
Tweet media one
313
444
3K
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
1 day
📌
Tweet media one
1
3
13
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@TZWaziriMkuu
Ofisi ya Waziri Mkuu
2 days
WAZIRI MKUU: TUTAENDELEA KUWASHIRIKISHA WAVUVI NA WAFUGAJI KWENYE MIPANGO YA MAENDELEO Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
6
35
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 03/06/2024
Tweet media one
Tweet media two
17
42
148
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiangalia picha maarufu zenye taswira yake  muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao maalum na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
25
102
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Tweet media one
7
26
103
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Ujumbe wake wakati wa mazungumzo na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea.Mazungumzo hayo yaliambatana na hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul
Tweet media one
2
21
83