
Halima James Mdee
@halimamdee
Followers
1M
Following
7K
Media
2K
Statuses
21K
....................
Dar es Salaam,Tanzania
Joined May 2011
Hatimaye LEO NIMEKAMILISHA safari nyingine ya MIAKA 5 ya UTUMISHI, nikiwakilisha JIMBO la KAWE kwenye BUNGE la J/ Muungano wa Tanzania. Asante sana WANANCHI wa KAWE kwa HESHIMA hii KUBWA, ASANTE sana CHADEMA kwa kuniamini, Asanteni sana WATANZANIA wenzangu!! Tunasonga ππβπΏβπΏ.
2K
703
12K
ππ utakuwa SBS ? Kumalizia MACHUNGU ππβ€οΈ!.
@halimamdee Tusubiri YANGA vs SBS. sijui fainali ni timu zipi.
1
0
20
Na mimi Nakubaliana nawe 100%. Unajua heshima ilishaondoka 5years ago. sasa nashangaa kwa nini sipotei kwenye VIDOLE π«π«vyenu mkiwa MNACHAPA spana ! π! Ni wazi tu MNANICHUKIA mpaka MNANIPENDA. .
@halimamdee Halima kukijenga chawa Kwa nguvu kubwa hakukupi mamlaka ya kusaliti. Hatujawah kuwa na mjadala wenye kupuuza harakati zako katika ujenzi wa Chadema ila usaliti ndio kinachoondoa heshima yako .
75
7
186
Nami napenda iwe hivyo . Tena ndio SAFI. π ! Yaaani HAKUNA hata kaushahidi. huoni kanafanya maisha yanakuwa simple sana .
@halimamdee Dada Halima kujenga taasisi sio tatizo ishu ni ur EXIT' imefanya hata hakuna finger prints mlizoacha ambazo zinakumbukwa au kiwa acknowledge.
29
1
67
Tumejenga taasisi HATUA kwa HATUA wakati wao wananyonya au hata hawajazaliwa ππβ¦ Leo wanamiliki SMARTPHONE wanatuvimbia humu πππ! KWa BΔ°TΔ° NZITO NZITO . nikitaka punguza stress natembeleaβgaβ hii DUNIA. Ni ya kipekee sana ! π.
@halimamdee Nakumbuka kile kikao cha mtu kwa mtu ukwamani ndugu ulikijenga chama. Acha hawa watoto wakudharau.
220
24
414
Umesema VYEMA β¦ you will NEVER know. MIE NILIAMUA Kunyamaza KIMYA . RAIA MKAMEZA takataka ZOTE mlizomezeshwa. 5 years onβ¦ sijajutia UKIMYA wangu. MAANA naendelea KUJIFUNZA kumbe SIO KILA MTU anaweza vumilia π₯π! Cheers najiandaa na MECHI ya WATANΔ° sasa π!.
@halimamdee Mwanetu naona unajibu comments leo! Anyways! I donβt know what happened to you and probably we will never know! But damn! You are such a good politician! Itβs a shame you chose what you decided to choose! Goodluck kwenye mishe zako.
89
11
230
πππππ !! Wanaharakati wa Twitter! Field 0%!.
@halimamdee Aanze kulima na Twitter amuachie naniπ€£π€£π€£.
24
1
73
Na ya kwako iko wapi?.
@halimamdee Mashost wa Mbowe na kigaila Ubunge mtausikia tuππππ legacy Yako imezima haraka sana.
16
1
31
Mashamba yapo. kama unaweza KAZI NGUMU karibu INBOX.
@halimamdee Nianze kutafuta mashamba penseni ikitoka tukalime Mh.Halima?.
25
1
136
Pole sana kwa KUPONDA PONDA β€οΈ wako. π! Una fursa ya kuwashawishi wasome kitu kingine.
@halimamdee Yani we dada nilikupenda sana kwenyw siasa hata watoto wangu kulwa na doto nilipenda wakasome political science ila sasa sijui ikawaje ukashindwa kukataa .Yani naunganisha na kule bustani ya Eden huwa hamkatai mabaya basi acha niumie tu.
9
0
47
Sasa NITAKAPOELEKEA si utashi wangu BINAFSI . π! Au mnataka NIPANGIA tena ?.
@halimamdee Kwaio sister tukutegemee CHAUMA au?.
109
5
273
ππ! Tutalima WOTE TIKITI.
@halimamdee Halima na wewe Chauma moja,bora ukajilimie zako matikiti tu hakuna ubunge wa kuhongwa tena.
22
2
119
Kweli ni DUDE KUBWA sana .
@CarolNdosi Hata akina @halimamdee walikuwa wanakipenda sana chama Chao. Ndiyo hivyo chadema ni dude kubwa sana kwa sasa. Anashuka mtu, anapanda mtu. .
65
21
392