Musk Viewer
About
Privacy Policy
Removal Request
Emmanuel Mwita
@EJ_Mwita
3 years
Mstaafu aliona ni makubaliano mazuri na alitaka JPM asaini. Nyie watu TUMEPOTEZA JEMBE 😭😭😭😭 Hasomi popote yaani kila kitu kipo kichwani. AISEE!!
29
104
348
Download
Replies
Emmanuel Mwita
@EJ_Mwita
3 years
Mwendelezo
5
41
111
Download
Kinjeketile Ngwale²⁵⁵🇹🇿
@KinjeketileNgw2
3 years
@robyn_fabs
Huyu Mtu Alikua atuvushe kirahisi kabisa😖😖😖😪
2
0
13
Pius Zachariah
@ZachxPius
3 years
@robyn_fabs
@NkonyaMaduhu
Mikataba ya hivi JPM anayoizungumzia wenzake walikua wanataka kusaini kwa maslahi ya nani?
1
0
7
Chiggs
@Chiggscom
3 years
@robyn_fabs
Hivi vichwa huwa ni vichache tu hapa duniani na vinapatikana kwa nadra sana
2
0
10
Dominique
@domtasile
3 years
@robyn_fabs
Si tunajuwa nani alikubali hizo masharti...?
0
0
4
Mdanganyika
@bongofinyu
3 years
@robyn_fabs
@zittokabwe
bado alikuwa the fierce critic kwenye uamuzi wa JPM kukataa bandari ya Bagamoyo.
1
0
7
Heroes
@JoyMgonja
3 years
@robyn_fabs
@bestantony1
Nalia tu dah kumpoteza Huyu baba 😭💔💔
0
0
7
mdiwizzy
@CMdibule
3 years
@robyn_fabs
Ila jamani tusiwe wanafiki tumepoteza pakubwa sana ,
0
0
2
Elseo mambea
@Elseomambea
3 years
@robyn_fabs
Mungu alilaze mahali pema alikuwa kiongozi
0
0
4
LEOPARD🇹🇿
@iambwanamzee
3 years
@robyn_fabs
Tulihitaji Raisi anayefuata katiba na sio kutest creaming capacity mana mnashangilia vitu visivyokua na maana ujinga
6
0
11
Liketust
@liketust
3 years
@robyn_fabs
Daaah!!! kweli kabisa jembe...ni mda wa viongozi kutofanya ujinga wa mikataba ya ujinga
0
0
4
Mtoto Wa Elizabeth
@MtotoWaEliza
3 years
@robyn_fabs
😭😭💔
0
0
2
Ras,nchimbi
@NchimbiRas
3 years
@robyn_fabs
Mtu anapita "Katiba bora ndiyo msingi"utaobaki palepale!💪
0
0
8
Download
SOMJI JUMA MAREKANI
@Msafwaa
3 years
@robyn_fabs
mbona ule wa mkopo wa kujenga SGR kutoka China aliukataa alipoingia madarakani, mwaka jana hali mbaya akaurudia tena na kisaini na balozi wa China akiwa Chato.??
1
0
2
Ahmadbakar🕋🇸🇩🇹🇿
@Hamadbakari2
3 years
@robyn_fabs
Sasa kaondoka tutajua mbichi na mbivu,🙏
1
0
7
Surveyor Obare Property Company LTD
@Obaresurveryor
3 years
@robyn_fabs
Pamoja na kujua yote uliyoyasema tayari mapema tu
0
0
0
Hanslley🧢
@Hanthlley
3 years
@robyn_fabs
So sad 😢😢😢
0
0
3
fukufuku
@Lubuma5
3 years
@robyn_fabs
@nt_adria
Inauma sanaaaaaa..... Still baadhi ya "watu" wanabeza vitu kama hivi!!!! Historia itamuenzi vzr
1
0
6
Prince-Chella Samwel Mndeme
@PrinceSamm1
3 years
@robyn_fabs
Usitusemee. Sema umepoteza.
0
0
0