MsigwaGerson Profile Banner
Gerson Msigwa Profile
Gerson Msigwa

@MsigwaGerson

Followers
852K
Following
81
Media
5K
Statuses
5K

The Permanent Secretary of Information, Culture, Arts and Sports || Chief Government Spokesperson of Tanzania.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
14 days
Tweet media one
377
54
781
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
20 days
Kuhusu Deni la Taifa. Msikilize Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihitimisha Bunge la 12 Jijini Dodoma leo tarehe 27 Juni, 2025.
136
24
105
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
29 days
Fuatana na Hemed Manyeko katika simulizi hii tamu ya kabla na baada ya ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi ambalo linafunguliwa rasmi kesho tarehe 19 Juni, 2025 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tazama Tanzania inavyokwenda
8
1
10
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
29 days
Tweet media one
245
41
333
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
1 month
Tweet media one
469
32
309
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
1 month
RIP Son of Africa.
Tweet media one
241
14
183
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
1 month
Utumishi wa Dini ni kuwajali wenye mahitaji. Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungunza katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha watoto wenye mahitaji maalum Jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2025.
327
28
163
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Tuzo ya heshima ya Watanzania kwa Rais wao Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Imekabidbiwa kwake na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja vya Bunge Jijini Dodona leo tarehe 01 Juni, 2025. #KaziIendelee
90
4
46
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Tuzo Maalum ya Heshima kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Asanteni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutambua mchango wa Mheshimiwa Rais katika sekta mbalimbali. #KaziIendelee
97
13
133
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Kilimo chetu kimefika huku. Asante Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa muumini wa kweli wa kilimo na kutekeleza ahadi ya mageuzi ya kilimo kwa vitendo. Mageuzi ya kilimo yanawagusa asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania. Ushuhuda wangu:.Nilikwenda Shinyanga mapema
8
1
4
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
U T E U Z I.
Tweet media one
39
15
87
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Leo Mei 24, 2025 vijana wetu wako tayari kwa mapambano. Hili ni tukio la familia nzima. USIKOSE!!!. Shukrani sana kwa Mheshimiwa Rais Dkt. @SuluhuSamia kwa kuendelea kuwaamini vijana na kuwaunga mkono katika kila sekta ikiwemo ndondi. #KnockOutYaMama
Tweet media one
110
6
82
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Tumefanya mabadiliko katika Sheria 57 zikiwemo Sheria 2 zinazohusu Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi (iNEC). Msikilize Wakili Msomi, Mheshimiwa Dkt. Damas Ndumbaro.Waziri wa Katiba na Sheria.
196
29
163
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
T A H A D H A R I‼️
Tweet media one
376
119
1K
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
TUHESHIMIANE.
489
125
589
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Kila mmoja mwenye sifa ahakikishe amejiandikisha na ameboresha taarifa zake katika Daftari la Kuduma la Mpigakura. Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
328
84
275
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Tumeandika historia katika Sekta ya Madini. Mheshimiwa Anthony Mavunde,.Waziri wa Madini.
Tweet media one
Tweet media two
49
17
96
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Sikiliza nondo za Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Seleman Jafo kuhusu kazi kubwa ya ujenzi wa viwanda iliyofanyika katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita. Swipe left…. #KaziIendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
109
32
127