MsigwaGerson Profile Banner
Gerson Msigwa Profile
Gerson Msigwa

@MsigwaGerson

Followers
852K
Following
81
Media
5K
Statuses
5K

The Permanent Secretary of Information, Culture, Arts and Sports || Chief Government Spokesperson of Tanzania.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
11 hours
Manufaa makubwa SGR. #KaziIendelee.#TunazungumzaMaendeleo
23
3
25
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
7 days
Maelekezo ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA. Amos Gabriel Makala baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Mkoa huo. Pia, maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa mingine. Asante Mheshimiwa Rais kwa kutoa maelekezo ya kukamata ipasavyo fursa za AFCON.
1
0
6
@grok
Grok
6 days
Join millions who have switched to Grok.
250
499
4K
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
9 days
Yaliyojiri katika Ufunguzi wa Ufunguzi wa Kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma ( CEOs Forum 2025) leo tarehe 24 Agosti 2025 Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC Arusha.
11
4
39
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Tweet media one
375
54
778
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
2 months
Kuhusu Deni la Taifa. Msikilize Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihitimisha Bunge la 12 Jijini Dodoma leo tarehe 27 Juni, 2025.
135
23
105
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Fuatana na Hemed Manyeko katika simulizi hii tamu ya kabla na baada ya ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi ambalo linafunguliwa rasmi kesho tarehe 19 Juni, 2025 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tazama Tanzania inavyokwenda
8
1
11
@BTCCexchange
BTCC
9 days
Bitcoin’s on fire at $112K! Time to flip the charts on BTCC!.Exploring Cryptocurrency with Jaren Jackson Jr.🏀.
0
0
10
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Tweet media one
246
41
333
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Tweet media one
469
33
309
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
RIP Son of Africa.
Tweet media one
241
15
184
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Utumishi wa Dini ni kuwajali wenye mahitaji. Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungunza katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha watoto wenye mahitaji maalum Jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2025.
325
29
162
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Tuzo ya heshima ya Watanzania kwa Rais wao Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Imekabidbiwa kwake na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja vya Bunge Jijini Dodona leo tarehe 01 Juni, 2025. #KaziIendelee
90
4
46
@ruckus_games
The Holdouts - Wishlist on Steam now!
1 month
this song has been stuck in my head all day and now it's stuck in yours
0
9
53
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Tuzo Maalum ya Heshima kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Asanteni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutambua mchango wa Mheshimiwa Rais katika sekta mbalimbali. #KaziIendelee
97
13
134
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Kilimo chetu kimefika huku. Asante Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa muumini wa kweli wa kilimo na kutekeleza ahadi ya mageuzi ya kilimo kwa vitendo. Mageuzi ya kilimo yanawagusa asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania. Ushuhuda wangu:.Nilikwenda Shinyanga mapema
8
1
4
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
U T E U Z I.
Tweet media one
38
15
87
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
3 months
Leo Mei 24, 2025 vijana wetu wako tayari kwa mapambano. Hili ni tukio la familia nzima. USIKOSE!!!. Shukrani sana kwa Mheshimiwa Rais Dkt. @SuluhuSamia kwa kuendelea kuwaamini vijana na kuwaunga mkono katika kila sekta ikiwemo ndondi. #KnockOutYaMama
Tweet media one
109
6
82
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
4 months
Tumefanya mabadiliko katika Sheria 57 zikiwemo Sheria 2 zinazohusu Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi (iNEC). Msikilize Wakili Msomi, Mheshimiwa Dkt. Damas Ndumbaro.Waziri wa Katiba na Sheria.
195
32
165
@Williamson4VA2
Williamson for Congress
7 hours
MAJOR ENDORSEMENT!.Barack Obama (My friend Reggie Brown) — the best Obama impersonator in America — just endorsed my campaign for U.S. Congress. If Reggie says “Yes We Can,” you'd better believe it! 🇺🇸 Donate below to make sure we flip this critical swing district in 2026!.
3
0
11
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
4 months
T A H A D H A R I‼️
Tweet media one
376
118
1K
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
4 months
TUHESHIMIANE.
489
124
586
@MsigwaGerson
Gerson Msigwa
4 months
Kila mmoja mwenye sifa ahakikishe amejiandikisha na ameboresha taarifa zake katika Daftari la Kuduma la Mpigakura. Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
328
84
274