Gerson Msigwa
@MsigwaGerson
Followers
852K
Following
81
Media
5K
Statuses
5K
The Permanent Secretary of Information, Culture, Arts and Sports || Chief Government Spokesperson of Tanzania.
Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2014
Kishindo cha DP World Bandari ya Dar es Salaam kwa mwezi Agosti 2025. Yavunja rekodi ambayo haijawahi kutokea. Dondoo; 1. Imehudumia makontena 34,184 (ongezeko 59%) 2. Imepokea magari 21,237 (ongezeko 39%) 3. Imehudumia mzigo kichele (Dry Bulk) tani 446,608 (ongezeko 26%) 4.
131
31
146
Hakuna uvamizi uliofanyika katika ofisi za Jamii Forums. Kilichotokea ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano kati ya Mamlaka za Serikali na wadau wake ambapo leo Maafisa wa Serikali walikwenda kuwasilisha barua ya wito kwa Jamii Forums. Ndugu Maxence Melo usilete taharuki isiyo
422
50
492
Maelekezo ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA. Amos Gabriel Makala baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Mkoa huo. Pia, maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa mingine. Asante Mheshimiwa Rais kwa kutoa maelekezo ya kukamata ipasavyo fursa za AFCON.
4
0
11
Yaliyojiri katika Ufunguzi wa Ufunguzi wa Kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma ( CEOs Forum 2025) leo tarehe 24 Agosti 2025 Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC Arusha.
11
5
43
Fashion has no age limit, and neither should style. At SHEIN, we celebrate inclusivity by designing collections that empower and inspire women at every stage of life. Because confidence is timeless, and every woman deserves to feel seen, styled, and unstoppable.
6
77
255
Kuhusu Deni la Taifa. Msikilize Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihitimisha Bunge la 12 Jijini Dodoma leo tarehe 27 Juni, 2025.
134
25
105
Fuatana na Hemed Manyeko katika simulizi hii tamu ya kabla na baada ya ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi ambalo linafunguliwa rasmi kesho tarehe 19 Juni, 2025 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tazama Tanzania inavyokwenda
8
2
14
Utumishi wa Dini ni kuwajali wenye mahitaji. Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungunza katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha watoto wenye mahitaji maalum Jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2025.
324
28
159
Tuzo ya heshima ya Watanzania kwa Rais wao Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Imekabidbiwa kwake na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja vya Bunge Jijini Dodona leo tarehe 01 Juni, 2025. #KaziIendelee
89
4
47
Tuzo Maalum ya Heshima kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Asanteni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutambua mchango wa Mheshimiwa Rais katika sekta mbalimbali. #KaziIendelee
97
13
133
Kilimo chetu kimefika huku. Asante Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa muumini wa kweli wa kilimo na kutekeleza ahadi ya mageuzi ya kilimo kwa vitendo. Mageuzi ya kilimo yanawagusa asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania. Ushuhuda wangu: Nilikwenda Shinyanga mapema
8
1
4
Leo Mei 24, 2025 vijana wetu wako tayari kwa mapambano. Hili ni tukio la familia nzima. USIKOSE!!! Shukrani sana kwa Mheshimiwa Rais Dkt. @SuluhuSamia kwa kuendelea kuwaamini vijana na kuwaunga mkono katika kila sekta ikiwemo ndondi. #KnockOutYaMama
109
6
83
Tumefanya mabadiliko katika Sheria 57 zikiwemo Sheria 2 zinazohusu Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi (iNEC). Msikilize Wakili Msomi, Mheshimiwa Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria.
195
31
163