Halafu yupo mtu anakuambia eti aliiba kura π³
Mwanza ni ya Magufuli hata baada ya kuondoka kwake.
DAIMA TUTAKUENZI SHUJAA WETU.
Umevipigana vita vizuru,Umeumaliza mwendo. LALA SALAMA BABA YETU MPENDWA.ππΎππΎ
@noor_abdul
Jibu ni rahisi sana,Kwa Stalin uliona watu wanaweka matawi chini na kutandika nguo barabarani ili msafara wake upite? Yale ni mapenzi ya watanzania,Millions are mourning and not celebrating unlike kwa Stalin
Last time nimesikia ama kuhadidhiwa juu ya matendo ya kutandika nguo 1/2
@robyn_fabs
@tzDiscovery
mitaa mingine uko VIJIJINI bado watoto hawajui magari ivyo wakiona magar hukimbilia kuyatadhama kmana kwamba bado nikitu cha ajabu machoni mwao.....ikiwa hujui tatazo ni bora ukae kimya kuilinda hekima yako
@robyn_fabs
@Mkatolikii
Huo wingi wa watu haubatirishi wizi wa kura zilizoibiwa sababu waliokusanyika hapo sio wote walimpigia kura maana kwenye hio mikusanyiko kuna wale ambao hawana sifa za kupiga kura