rollymsouth Profile Banner
Madenge Profile
Madenge

@rollymsouth

Followers
2M
Following
90K
Media
2K
Statuses
192K

Creative Marketing

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
@rollymsouth
Madenge
3 years
Watanzania ukiachana na .Ujinga.Maradhi.Umasikini. Tunasumbuliwa na.Wivu.Chuki.Nyege.
631
1K
7K
@rollymsouth
Madenge
38 minutes
RT @YourFrenchFry: Elimika Wikiendi is inviting you to a scheduled Zoom meeting. Join Zoom Meeting. Meeting ID: 820….
0
1
0
@rollymsouth
Madenge
4 hours
RT @k_mjege: Mama ntilie anaona akipandisha bei anaweza kuwakosa wateja wake. Badala yake anapunguza kipimo cha chakula. Kisha anaongezea n….
0
2
0
@rollymsouth
Madenge
6 hours
RT @TheRealJongwe: Sisi CHADEMA hatujakwepa Uchaguzi, tumesema bila MABADILIKO hatushiriki na hatushiriki kweli!.NB: Badala ya kuhangaika n….
0
233
0
@rollymsouth
Madenge
9 hours
RT @MarekaMalili: Wafanyabiashara wengi wakubwa, ambao biashara zao ziliwahi ku collapse kwasababu mbalimbali, wengi waliofanikiwa kuinuka….
0
18
0
@grok
Grok
16 hours
Generate videos in just a few seconds. Try Grok Imagine, free for a limited time.
258
80
1K
@rollymsouth
Madenge
10 hours
No wonder unaamini utalinda kura.
@juliusmassabo
Julius Joseph Massabo.
10 hours
CHADEMA hawana tofauti na mtu anayetaka kutapeliwa, husikilizi ushauri wa mtu no wonder wanamshangilia polepole😂😂.
2
4
108
@rollymsouth
Madenge
10 hours
Kwa wapinzani wenu hata elfu 10 inatosha.
@Jambotv_
Jambo TV
11 hours
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema chama chake kimeweka lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 100 kupitia harambee ya kitaifa itakayozinduliwa rasmi kesho saa 11 jioni katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Akizungumza
Tweet media one
12
23
214
@rollymsouth
Madenge
10 hours
Kuna ushuhuda mwingine et luku iliisha akaomba Mungu akamwambia ingiza namba ya NIDA mara umeme huoooo😂😂😂.
61
54
804
@rollymsouth
Madenge
17 hours
Hii si AI? huoni miguu yao?.
@Labella_Mafia95
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
17 hours
Chaaba kissing his new gilfriend, huyu atakuja toroka msitu😅
Tweet media one
25
0
177
@rollymsouth
Madenge
17 hours
RT @JizzeMick: Good Morning Tanzania 🇹🇿 .Uroho wa madaraka umewafanya wakatoka CDM kwenda vyama vingine ndo maana wote walikimbilia kuchuku….
0
5
0
@rollymsouth
Madenge
1 day
Rafiki angu Lubasha kawa mchina sahivi😂😂.
11
13
525
@rollymsouth
Madenge
1 day
Ukiwa unatokea Bunju😂😂.
@deohugo
HUGO
1 day
TABATA NI MBALI tuache mchezo.
6
2
158
@rollymsouth
Madenge
1 day
RT @TriciaAbou: Available & Quality Material 🔥. 📲whatsapp 0763514126.💰25000.🔗Size M-2XL. 🧯Delivery tunafanya Tanzania nzima,kwa malipo ya m….
0
10
0
@rollymsouth
Madenge
1 day
Uroho wa madaraka ndio umewafanya hao wakatoka CDM kwenda vyama vingine ndo maana wote walikimbilia kuchukua fomu kugombea uongozi uko waliko, akili zao hazipo ktk mageuzi ya kweli kwa faida ya wote. CDM imegoma kuhalalisha haramu kwa faida ya wachache, ni hivyo tu.
56
301
2K
@rollymsouth
Madenge
1 day
Mimi leo ntakumbusha tweet zako juu ya CDM, maana wengine yawezekana hawakuwepo humu.
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
1 day
@chapo255 Kaka, tukumbushane pia ubaya alioufanya.
8
20
313
@rollymsouth
Madenge
1 day
Ukamshauri na jiwe,muache Pole Pole aliyepotea njia na sasa kaiona awaelekeze na wenzake ili tufike wote salama.
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
10 years
Magufuli njoo chadema ndani ya ccm mabadriko hayapo.
15
30
434
@rollymsouth
Madenge
1 day
Enzi zako zile.
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
5 years
Umetuongoza vyema Mh. Halima James Mdee @halimamdee. Wapo wengi wanaoongoza Njia kwenye sekta mbalimbali. Wataje tuwatambue pia. OngozaNjia Grand Launch on Monday 07:00am @cloudsplus. #OngozaNjia2020
Tweet media one
4
12
173
@rollymsouth
Madenge
1 day
Wewe zamani umewahi kuwa una hoji vizuri tu ujinga wa gavoo maisha kabla ya # za siasa,Maisha baada ya # za siasa hauhoji chochote unapush kimkakati unaona kabisa huyu mtu hii twiti haijatoka moyoni . Ndo maisha,shati Octoba tunatiki chupi NRNE.
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
1 day
Mwaka 2020 Humphrey and Co walihakikisha hakuna chama cha upinzani hasa CHADEMA wanaingiza wabunge wao Bungeni isipokua CCM yake pekee. Leo huyu huyu Humphrey analalamika kuona CCM yake inashiriki uchaguzi na vyama anavyoviita SHIKIZI bila uwepo CHADEMA na anapongezwa! SIASA!!🙌.
20
39
413
@rollymsouth
Madenge
1 day
RT @Thommunkondya: Adhabu ya kifo ni adhabu nzuri na muhimu kwa nchi zinazokua au zinazoendelea,ni bahati mbaya nchi za afrika hutoa adhabu….
0
4
0
@rollymsouth
Madenge
1 day
RT @MarekaMalili: Kuna Wabongo Low key,na wanafanya very fantastic work. Mfano huyu @ntulikapologwe ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya ECSA-HC….
0
14
0
@rollymsouth
Madenge
1 day
RT @Willie_Madisha: SGR Haina hata mwaka. Give it time and see maana mwendokasi was functional, tunajua alianza kuua ni nani. Daraja ni fix….
0
1
0