tanpol Profile Banner
Police Force TZ Profile
Police Force TZ

@tanpol

Followers
475K
Following
27
Media
5K
Statuses
9K

Tanzania Police Force - Usalama Wa Raia na Mali zao

Box 961 Dodoma, Tanzania
Joined October 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@tanpol
Police Force TZ
19 hours
lugha ya matusi au kuanzisha vurugu zinazoweza kuhatarisha amani, pia amewasisitiza Wananchi kushiriki katika shughuli za kisiasa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu na kushiriki kupiga kura Oktoba 29, 2025.
Tweet card summary image
instagram.com
0
0
0
@tanpol
Police Force TZ
19 hours
BASHUNGWA AHIMIZA VYAMA VYA SIASA KUSHIRIKI KAMPENI ZA UCHAGUZI BILA KUHATARISHA AMANI. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amevihimiza Vyama vya Siasa pamoja na Wagombea wa Urais, Ubunge na Udiwani kunadi sera zao kwa Wananchi bila kutumia
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
2
24
@tanpol
Police Force TZ
3 days
Akamatwa na Polisi akiwa na nyara za serikali
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
2
30
@tanpol
Police Force TZ
4 days
vyao vya usafiri. Pia, amewataka kuwafichua wahalifu ambao wamekuwa wakishinda kwenye vituo vya mabasi na kuwaibia abiria mizigo yao bila kumuonea muhali ili wachukuliwe hatua stahiki mapema ya kufikishwa katika vyombo vya sheria.
Tweet card summary image
instagram.com
0
0
0
@tanpol
Police Force TZ
4 days
Mkaguzi wa Kata ya Mbalatse Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe Theophilus Lubega Agosti 18,2025 ametoa elimu kwa Maafisa Usafirishaji katika kituo cha Mabasi cha Consolata Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe na kuwataka kutoa huduma bora kwa Jamii kupitia vyombo
Tweet media one
1
0
33
@tanpol
Police Force TZ
5 days
uhalifu na kuendeleza amani katika jamii.
0
0
0
@tanpol
Police Force TZ
5 days
Polisi Kata wa Kata ya Pongwe Mkaguzi wa Polisi Kimu akitoa elimu kwa wananchi wa Mtaa wa Kismatui, Jijini Tanga, tarehe 16 Agosti 2025 kuhusu umuhimu wa kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuimarisha ulinzi shirikishi na kudumisha maadili ya familia, kwa lengo la kudhibiti
Tweet media one
1
2
28
@tanpol
Police Force TZ
8 days
WATU SITA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI.
Tweet media one
0
2
8
@tanpol
Police Force TZ
8 days
WATU 50 WASHIKILIWA KWA KOSA LA KUVAMIA OFISI NA KUJERUHI MAAFISA WA MISITU
Tweet media one
0
3
14
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025 .Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea tuzo ya Shukrani kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura baada ya kufungua Mkutano mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea TPS - Moshi.
Tweet media one
Tweet media two
3
7
39
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025 .Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea tuzo Maalumu kutoka kwa IGP Camillus Wambura. Tuzo hiyo imetolelewa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kusimamia Usalama na Amani nchini.
Tweet media one
6
1
19
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Agosti 11, 2025 amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika TPS - Moshi.
Tweet media one
Tweet media two
0
0
3
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025. " Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi ili liweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi hususani katika kipindi hiki cha Uchaguzi" - Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
0
2
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025 ."Tutahakikisha Usalama na Amani katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025" - Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akizungumza katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi.
Tweet media one
Tweet media two
5
0
11
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025.Gwaride la Polisi likiwa tayari katika Viwanja vya Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, leo Agosti 11, 2025, kwa ajili ya kumpokea Makamu wa Rais Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango.
Tweet media one
Tweet media two
1
2
47
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Maduhu Kazi akiwasili katika Viwanja vya Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, leo Agosti 11, 2025, kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi.
Tweet media one
2
2
41
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025 .Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, akiwasili katika ukumbi wa Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, leo Agosti 11, 2025, kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi.
Tweet media one
4
2
48
@tanpol
Police Force TZ
12 days
#SOC2025 .Maafisa mbalimbali wakiwasili katika Viwanja vya Shule ya Polisi Tanzania - Moshi kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofunguliwa leo Agosti 11, 2025 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Isdor Mpango.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
6
50
@tanpol
Police Force TZ
12 days
Tweet media one
3
6
27
@tanpol
Police Force TZ
12 days
Tweet media one
3
5
41