ccm_tanzania Profile Banner
Chama Cha Mapinduzi Profile
Chama Cha Mapinduzi

@ccm_tanzania

Followers
890K
Following
517
Media
10K
Statuses
20K

Chama Cha Mapinduzi (CCM) - #Tanzania's governing party, founded on 5th February 1977. Membership: 15 million | https://t.co/KzE7LiVgt9

Tanzania
Joined March 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
11 hours
📌RATIBA YA UTEUZI WA WAGOMBEA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU 2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
51
37
141
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
21 hours
Pakua Ratiba Mpya ya Uteuzi wa Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi Kwa Ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. #KaziNaUtuTunasongaMbele
Tweet media one
Tweet media two
23
19
128
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
2 days
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
8
20
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
2 days
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
42
48
183
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
3 days
TAARIFA HII IPUUZWE!
Tweet media one
107
45
278
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
7 days
🔰IJUE ILANI . Ilani ya CCM 2025-2030, CCM Kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha Biashara Mtandaoni kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kupitia Shirika la Posta Tanzania. #kazinaututunasongambele .#oktobatunatiki✅✅
Tweet media one
17
25
85
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
7 days
🔰IJUE ILANI. Ilani ya CCM 2025-2030, CCM itaongeza kasi ya huduma za mawasiliano vijijini ili wananchi wanufaike na teknolojia ya habari kwa uzalishaji wa kiuchumi na kijamii, huku ikitekeleza sera za kikodi kuvutia wawekezaji. #kazinaututunasongambele .#oktobatunatiki✅✅
Tweet media one
6
14
42
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
7 days
🔰 IJUE ILANI . CCM Kuanzisha Kituo cha Taifa cha Usalama Mtandao kwa ajili ya ulinzi wa miundombinu ya TEHAMA na kuimarisha matumizi salama ya teknolojia ya kidijitali. #kazinaututunasongambele .#oktobatunatiki✅✅
Tweet media one
25
36
117
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
8 days
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
28
19
143
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
9 days
BALOZI NCHIMBI AONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU TAIFA DODOMA. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiongoza kikao cha kawaida cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Julai 14, 2025 , CCM Makao Makuu, Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
39
147
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
12 days
Shamimu Masoud mkazi wa Kibaha Maili moja anasema Rais Samia amewaheshimisha sana wanawake wa nchi hii, na atakayemsema vibaya Rais wake basi wanawake wa Kibaha ndio watasema naye. Kibaha ni ya Samia. OKTOBA TUNATIKI ✅
8
16
37
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
13 days
🔰IJUE ILANI. Ilani ya CCM 2025-2030 Sura ya pili ukurasa wa 30; CCM itajenga bandari mpya ya Bagamoyo. Tanzania ni lango la usafirishaji wa bidhaa kwa nchi saba zisizo na ufikiaji wa Bahari ya Hindi. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ni fursa muhimu itakayokuza uchumi Nchini.
Tweet media one
12
28
92
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
13 days
🔰IJUE ILANI. Ilani ya CCM 2025-2030 Sura ya pili ukurasa wa 30 CCM itajenga meli ya mizigo itakayofanya safari kutoka Mtwara kuelekea Comoro ikizingatiwa Nchi ya visiwa vya Comoro inategemea bidhaa kutoka Tanzania, kujengwa kwa meli hiyo itasaidia kuinua usafirishaji
Tweet media one
8
16
47
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
13 days
🔰IJUE ILANI . Ilani ya CCM 2025-2030 Sura ya pili ukurasa wa 30.CCM itajenga kiwanda cha ujenzi wa meli chenye uwezo wa kuhimili meli zenye uzito wa tani 5,000 katika Ziwa Tanganyika. #kazinaututunasongambele .#oktobatunatiki✅✅
Tweet media one
8
15
37
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
15 days
🔰IJUE ILANI . Ilani ya CCM 2025-2030 Sura ya Pili ukurasa wa 29 imeahidi Kujenga Reli na Treni za Mijini (Metro) Katika Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma Lengo ikiwa ni Kupunguza msongamano wa magari na kurahisisha usafiri kwa wakazi wa mijini. #kazinaututunasongambele
Tweet media one
Tweet media two
30
30
105
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
16 days
🔰IJUE ILANI . Kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025-2030 Sura ya pili ukurasa wa 24 imeelekeza kutekeleza mpango wa Bima ya Afya kwa Wote. CCM itatekeleza programu na sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Insurance)
Tweet media one
19
21
71
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
16 days
🔰IJUE ILANI . Kwenye Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2025-2030, Sura ya pili ukurasa wa 23 imeelekeza kuendelea kutoa elimu ya msingi na sekondari bila ada. Lengo ni kuona kuwa angalau asilimia 80 ya watoto wanaomaliza elimu ya msingi wanaendelea na elimu
Tweet media one
19
25
101
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
18 days
WANACHAMA MILIONI 13 - NI NGUVU, NI SAUTI, NI USHINDI!. Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za nchi yetu, chama kimoja, chama chetu – CCM – kimesajili wanachama zaidi ya milioni 13 kwa mfumo wa kidijitali. Hii si idadi tu. Huu ni muungano wa dhamira na silaha ya ushindi
45
22
98
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
19 days
🔰IJUE ILANI . ILANI YA CCM – KUIMARISHA UFUGAJI WA KISASA. Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM Sura ya Pili, Ukurasa wa 15 unaitaka CCM kuisimamia serikali kuongeza mauzo ya mifugo nje ya nchi kutoka tani 14,000 mwaka 2025 hadi tani 50,000 mwaka 2030.
Tweet media one
15
24
81
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
19 days
Chama Cha Mapinduzi is not just a political party — it is a visionary and committed Party that fulfills its promises. That’s why:.OKTOBA TUNATIKI✅. Chama Cha Mapinduzi sio chama tu, bali ni chama chenye maono yenye nguvu na chenye kutimiza ahadi zake.Na ndiyo maana .OKTOBA
142
41
175