Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 Sawa na 95%. (Repoti ya CAG)
Sikumbuki mara ya mwisho. Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti ilikuwa lini.
Pumzika kwa Amani JPM— Hakika TUTAKUKUMBUKA.
@robyn_fabs
Wakusanya Kodi wakitumia akili zao kwa 100% nchi hii inaweza kukusanya kodi zaidi ya Tr. 4 kwa mwezi sawa na Tr. 48 kwa mwaka. Akili zetu zikiwa sharpened tunapaaa!! Hiyo ya JPM bado ndogo Sana!
@robyn_fabs
Kunamtu makini sana professor mwenye weledi wake amesema wajingatu ndio hununua ndege keshi nikawaza sana nikajikuta hivi kweli unanunua ndege keshi unaenda kukopa mkopo kwajili ya eleimu ya watoto wako halafu ndege haina faida nikasema kweli wajingatu ndio wataendelea kusifia
@HOMESTUDIO8
Kwenye hilo naweza sema ni mtazamo tu, Ukikopa mkopo kwaajiri ya Elimu huwezi pewa mkopo wa kibiashara na riba huwa chini lakini ukikopa ndege ujue utakuwa umechukua mkopo kibiashara na utegemee Riba kuwa zile za Kibiashara na kubwa
Midahalo ya kitaifa ni muhimu ili tuwekane sawa
@robyn_fabs
kwa kizazi hiki cha uzinzi hawawezi kuona alicho kifanya magu hata kama ungeonyesha hawaoni rakini wanatafta kwenye makosa tu penye amefanya vizuri hawaon..