Imekuwa miaka miwili (2) sasa tangu uondoke mwana-CHATO. Pumzika baba.
Our country will never recover from your loss. You were the champion of it’s social-economic progress. May you keep resting in power. Always in our hearts. We miss you baba.
#TunakukumbukaBaba
@EJ_Mwita
Ni mwezi Maalumu wa kukumbuka na kuomba yasijirudie tena mambo kama, Kutekanatena ovyo, Kubambikiwa kesi zisizo na msingi, wasiojulikana wasijulikane tena, watu wasichukuliwe hela zao bank, mikutano ya siasa isipigwe marufuku na mwisho tupate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.