Bila Bashiru mali za
@ccm_tanzania
zilikuwa zimeporwa na wachache akina
@Nnauye_Nape
& Co. Alisimamia zoezi la kurudisha mali za Chama zenye thamani zaidi ya Trilioni 1. Kama sio uungwana,uzalendo na uaminifu, Nani angeweza? Imagine hilo zoezi wangepewa akina
@Nnauye_Nape
πππ
@EJ_Mwita
@ccm_tanzania
@Nnauye_Nape
sasa naweza kuelewa kuwa Mh, Jpm hakuwa vema kiafya wakati huu bila shaka hizi ndio zilikuwa siku zake za mwisho namna sauti yake inavyotoka haikuwa sawa
@EJ_Mwita
@ccm_tanzania
@Nnauye_Nape
Ni ujuha kuziita mali za chama wakati ni za wananchi, viwanja vya michezo, majengo ya umma waliojitwalia wenyewe, sema watanzania wengi mshachagua upande.