
Handsome La Kijiji
@ManenoIzaak
Followers
428K
Following
39K
Media
13K
Statuses
511K
Baba Mzazi/Mungu kwanza/Heshimu Mawazo yangu ila ishi Maisha yako/ Ruksa kunipa ushauri wowote/ Ila si lazima ushauri wako uendeshe Maisha yangu.
Iringa, Tanzania
Joined November 2014
Kwenye Maisha Changamoto Kubwa Ni Kwamba Wapo Watu Ambao Wataamua Kupambana Na Umasikini Walionao. Lakini Vile Vile Wapo Watu Ambao Badala Ya Kuunga Mkono Juhudi Za Kupambana Na Umasikini Huo Wao Wataamua Kupambana Na Watu Ambao Wameamua Kupambana Na Umasikini.
189
546
3K
RT @Network_321: @ManenoIzaak Namtumbo Songea ni mwendo wa saa 1, Songea To Dar kwa ndege ni 2 hours jumla masaa 3 tuu.
0
1
0
RT @DiraYaSamia: TANZANIA KUWA KITOVU CHA USAFIRISHAJI AFRIKA MASHARIKI NA KATI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @Suluh….
0
20
0
Serikali hii inaupiga mwingi bwana au sio.
TANZANIA KUWA KITOVU CHA USAFIRISHAJI AFRIKA MASHARIKI NA KATI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, amewahutubia wananchi katika eneo la Kwala, mkoani Pwani, mara baada ya kuzindua rasmi safari za treni ya mizigo kupitia reli ya kisasa ya SGR na
0
0
0
RT @DiraYaSamia: RAIS SAMIA AZINDUA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KUPITIA SGR – BANDARI KAVU YA KWALA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan….
0
21
0
Aisee!!!.
RAIS SAMIA AZINDUA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KUPITIA SGR – BANDARI KAVU YA KWALA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @samia_suluhu_hassan , leo Alhamisi, Julai 31, 2025, ameweka historia mpya kwa kuzindua rasmi usafirishaji wa mizigo kupitia reli ya kisasa ya
0
0
1
RT @raphyrodrick: UNATAFUTA SUTI KALI?.Harusi, send-off au kazini onekana smart na @suitmseleleko!. Three pieces: 180,000. Safari Suit: 150….
0
91
0
RT @HecheJohn: TAARIFA KWA UMMA. Kama chama tunalaani kwa nguvu zetu zote tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wetu akiwa katika viunga vy….
0
371
0
RT @neemalugangira: 🙏🏽 Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kutekeleza majukumu yangu kwa mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka mitano (20….
0
20
0
RT @Eric__Bernard: Usikose kufuatilia Matangazo Moja kwa Moja Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atafanya tukio Kubwa leo Bandari ya Kwala! http….
0
11
0
RT @McinikaWaLamar: Biashara haingoji Umeishiwa mzigo Unahitaji pesa ya dharura?.@softfinancetz wanakupatia mkopo ndani ya dakika 45 tu.1.….
0
25
0
RT @DiraYaSamia: RAIS SAMIA KUZINDUA BANDARI KAVU NA KONGANI KUBWA YA VIWANDA KWALA, PWANI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.….
0
18
0
Jana si alikuwa NAMTUMBO?.
RAIS SAMIA KUZINDUA BANDARI KAVU NA KONGANI KUBWA YA VIWANDA KWALA, PWANI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, Siku ya leo anatarajiwa kuzindua Bandari Kavu ya Kwala pamoja na kuweka jiwe la msingi la Kongani ya Viwanda Kwala, mkoani Pwani, mradi
2
0
4
Huyu wa kumuwekea maneno ya Akiba kwa CCM hii huwezi kusema ukamaliza.
Mbunge wa Bumbuli anayemaliza muda wake na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), January Makamba amesema amekubaliana na uamuzi wa kamati kuu wa kuondoa jina lake la kugombea Ubunge Jimbo la Bumbuli. Makamba ameyasema hayo ikiwa siku chache toka Kamati Kuu itangaze majina ya
3
0
17