FISADI MKUBWA KUWAHI KUTOKEA NCHINI
👉Kajenga hospitali nyingi kuliko zilizokuwepo tangu Uhuru
👉Kapeleka Maji sehemu kubwa ya nchi tangu uhuru
👉Kapeleka Umeme sehemu kubwa ya nchi tangu Uhuru
👉Kasomesha watoto wengi zaidi kuliko rais yeyote
In just 5yrs.
Rest in Peace JPM.
@robyn_fabs
Alipenda kusifiwa kuliko nchi kusifiwa.
Hakupenda tunu za Taifa hili.
Kikwete alijenga shule kila kata na hakuna Rais aliyefanya hayo hata JPM hakufanya lkn hakujisifu Bali aliisifu nchi.
Tupende nchi, tusipende ubinafsi na propaganda!
@robyn_fabs
We kichwa pamzi tuache acha uchonganishi kuku wewe maana alivyohana akili kuku mpaka kinyesi anakula anaona tambi stop spoil your rubbish tulieni kidogo dawa ziwaingie mabush men NAWASALIMU KWA JINA LA MUUNGANO ... KAZI IENDELEE MAMA hawa tutawanyoosha
@robyn_fabs
Aiseeee nimekuelewa sana hapa. Niliwahi kusema sehema Hayati JPM ana mazuri yake mengi sana na mabaya pia!! Ila watu wameacha mazuri na sasa wanatazama mabaya tu!! Wanaikosea principle ya Human Being life
@robyn_fabs
👉Kajenga Masoko ya kisasa mikoani
👉Kajenga stendi za Kisasa mikoani
👉Kaanzisha Masoko ya madini
👉Kaweka sheria za kulinda Maliasili za taifa
👉Kahamisha Makao makuu ya serikali kwenda Dodoma
👉Kaimarisha makusanyo ya kodi na malipo kigitali
😭😭😭😭