Inastaajabisha kuona Hilda Newton anajikuta anaijua
@ChademaTz
kuliko
@halimamdee
,Halima kakipigania hicho chama na amekijenga kufika kilipo leo. Halima Mdee ni Mbowe mwanamke Chadema. Leo watoto wa jana wanajiona wanamtosha πππ. Halima Mdee ni sawa na Hilda Newton 4000.
@wa_uzi
@ChademaTz
@halimamdee
ππππHajui walikuwepo akina Slaa na leo hawapo. Nani alikuwa mwamba kuliko Chacha Wangwe? Nani alikuwa Chadema kindakindaki kuliko Zitto Kabwe?
Mnazi Chadema ni
@freemanmbowetz
pekee,Wengine ni viazi vitamu, CCM inaamua uchome,ichemche,ikaange au ile vibichi. Mliona kwa KM.
@robyn_fabs
@ChademaTz
@halimamdee
Kuweni na msimamo kuhusu maswala amabayo hayahitaji uchama ili kuona dosari.. majuzi tu ilikuwa shangwe kubwa kwenu kwamba hao akina Mdee, Bulaya na wenzao hawarudi mjengoni! Ghafla bin huu mmebadili gia hewani! CCM ina wenyewe... nyie ni wapiga debe matejaππ
@robyn_fabs
@ChademaTz
@halimamdee
Unakosea kusema hivyo inamaana kwa sasa kingunge na polepole na anakijua chama hizi ni taasisi kila mtu anapita kwa zama zake kama mdee kazingua hilda naye anaweza kupigania chama na yeye atapita
@mackphason
@ChademaTz
@halimamdee
Ulishajipa muda wa kutafakari ni nani amezingua katika maamuzi hayo,Je! ni viongozi wa kiume wa chama au Bawacha?
Ukiniiza mimi nitakwambia hakuna Mwaka Chadema imewahi kusema haijaibiwa kura yet walipeleka wabunge bungeni,Kwanini this time wawazuie wanamama kwenda?
@ManengeloA
@ChademaTz
@halimamdee
Sio kweli, Najua kuwa Hilda katumika sana CDM. Pia najua KM anasambaza ukimwi,najua pia Mbowe ameoa mtoto wa Mtei lakini pia anam-cheat mkewe kwa kuwala madem wa bawacha,Najua Chadema ni chama cha matapeli na kila mtu ni mfia tumbo.
Najua pia Lissu ni REBEL. Najua pia huna akil-