Paul Makonda ni kati ya viongozi vijana machachali sana na aliyeacha alama katika uongozi wake.
Paul Makonda amejipatia utajiri mkubwa wa mali na fedha katika kipindi kifupi cha uongozi wake.
Swali: Je! Serikali haioni haja ya kumhoji ni wapi alikopata fedha na mali zake?
War against corruption has to begin with State leaders,This is a better way to gain peoples legitimacy and support on war against emblezzlements
We know how much a regional commisioner is paid and it would take atleast 50yrs for Makonda to make his fortune out of RC salary
@robyn_fabs
orodhesha mali zake hapa kwanza tuzione vinginevyo unashawishi serikali iwe na majungu kama wewe!
Baada ya Bunge la Ulaya kukataa kuiwekea vikwazo Tanzania nadhani ingekuwa fundisho kuwa hata baba zenu wazungu nao mnawachosha kwa majungu
@obbidee4tz
๐๐๐๐ Kwahiyo kila anaemgusa kiongozi wa serikali katumwa? Ai lavu zisi kantirii.
Sina tatizo na jemedari wetu JPM maana anafanya kazi nzuri,Watanzania tunajua na Dunia inajua. Nachosema lazima tudhibiti harufu ya matumizi mabaya ya madaraka pindi tu tunapoyanusa.
@Gramonce
Kaka hatunashida na utajiri wake kama haujahusisha kutumia ofisi yake vibaya,Lazima tuwe na mfumo wa viongozi kuheshimu ofisi na dhamana wanazopewa.
@NtwaleNtemi
Huyu bwana anautajiri mkubwa sana,His first days in office alimnyangโanya muhindi mmoja BMW x6 kwa anavyopenda ku-ball akawa anakuja nayo elements na sehemu nyingine,Mnakumbuka safari zake za Marekani n.k
Properties zake nazozijua ni zaidi ya 10,
9m x 12 x 5 = 540m
Katoa wap 20B
@robyn_fabs
@robyn_fabs
jamaa alijitoa akatoa tigo kwa yule mpenda matigo,akajitoa zaidi kumletea witch-doctor ili afanikishe matamanio yake,na akafanikisha, sasa dogo ni kwa nini asipewe myanya ya kuvuna asipopanda?
@MgalulaJoyce
Waanze na huyo ambaye mali zake nazifahamu,yaani wakitaka ushirikiano wangu niko tayari.Kwa kadri tutakavyopata taarifa ya mali za wengine tutashauri.
@robyn_fabs
Vijana wa chadema bana fanyeni kazi unaanza kujadiri maisha ya mtu huo ni wivu na ushamba haya hebu tuambie razalo nyarandu hizo nyumba alizipataje kule ulaya makonda ni mpambanaji
@JayBoy10487471
Makonda anabiashara gani?Hebu tueleze wewe unayemfahamu
Alafu usinichafue,Mimi sio na siwezi kuwa kijana wa CHADEMA,Mimi siwezi kuwa chama cha matapeli wa kisiasa wasiokuwa na ajenda ya msingi
Mimi namuunga mkono jemedari wetu JPM kwa kazi nzuri anayoifanya.
MAKONDA ACHUNGUZWE