Huyu dogo namuona Hansi and Ambagile kulijua soka. Pamoja na kushiriki UMITASHUMTA na UMISETA kiwanja second miaka hiyo ila sijawai elewa role za no.8 kipindi hicho dogo mdogo fundi, Hakika ni hazina kwa nchi katika soka anahitaji kushikwa mkono
@George_Ambangil
@Hansrafael19
When l was taking first degree at Muhas 2014...
My room at Upanga Mashariki, Ilala Dsm was like here you seee....sorry student from CBE u remember this room better
Hakuna shuĺe haapaaaaa haaaa hawa hata wakiende mabibo hostel au Chole ..mambo yaoo yatakuwa ya hovyooo heeeeerrrr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 but they are acting good tho
@iamcleopatricia
Huyu Binti kwa tulio soma Saikolojia ..ni tapeli hakuna mwanafunzi hapaa...why Mwl..Kwanini asikimbilie nyumbani badala akaendaa uko kusemekanako kwa Baba Jose, pumbavu ampisheee mwalimu wa watu..aseme tu UPWIRU ulimkabaa koo basi..Madhara ya mapenzi na shule haya
Msimamo wa chadema ungeungwa mkono na Vyama zaid ya vitatu Leo Mama angekuja na maadhimio zaidi ya HAYA shida ya ZITOO NA LIPUMBA ... wanapenda sanaa kulamba Asali ....Big up CDM
Taarifa ya TPA hii hapa
Sasa nawashauri walete MoU zote - hii Intergovernmental agreement tushaipata na haina hiyo miezi 12 😁
Sasa mkataba huu unasema watamiliki hadi ardhi! Watamiliki ardhi kwa miaka mingapi?
Mnatuonaje nyie?
Eniwei
#TutaelewanaTu
Utasikiaaa aaah siyo yeye hiyo picha katoa Facebook/Meta kuna jamaaa mmoja toka S.A Alijiost ...Vijana acheni makasiriko
Mimi siyo ninae Nunua vichwa vya train wala ninae kata Umeme..fanyeni kazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fatma_karume
Shangazi unazeeñeeka vibaya ebu Jikite kwenye Vitu vyenye hoja kama tulivyoo kuzoeaaa saizi sijui umekuajeeee yani..mpka unakatisha tamaa kwa vijana wanao thubutu kuiga nyayo zakooo....Stop this idiotic pls yu a smarter than this Madam
Aliye record mbwaaa huyu ona sasa mpaka wana sema DAWA aisee siyo Dawa ni
#MalariaR
ápidTestKit..aiseee mambo ya science ya kimaabara tuna jua wenyewe ...kuna shule kubwa snaa hapaa kwa nini huyu Dada alikuwa anasema Katumie hivyo hivyo ila kama si mtu wa lab uwezi elewa kabsa
Me ! Im loving Ipeleng from Big brother Titans 2023
She has good look
She also has beutiful smile actual she is super beutiful gel
Her lips are so fucking crazy and amazingly
Big brothet Titans 2023
#Wahara
👏🏽Safi sana kaka
@HecheJohn
Walikuwa hawana taarifa kuwa utakuwepo eh? 🤣 Yaani ulipoanza kuuliza maswali hadi mood ilibadilika 🤣
Well done
@ChademaTz
msirudi nyuma 👊🏽
Polisi waache kutumika na wanasiasa 🙄 mwisho wa siku watakuja kulia tuwatetee wakitupwa nje
#TutaelewanaTu
I seee you here brooo...doing what is in your body
#blood
.
Defending ppl right and developments is not a simple job.
Thank you for participación and to this messagable demostration. It truely the message is send and derivery to the rulers✍️✍️.
@TitoMagoti
..the Dr.
@kalegamyeh
Afya ni wizara ambayo wafanya kazi wake wana mishahara midogo mno kulinganisha na unyeti na umuhimu wa kazi yake ..imagine mtu ana BMLs analipwaa laki 9 yake hom laki 7 mpka 6 kam ana loan..useless kabsa
Wkati huo huo uko wizara za ujenzi, Biashara Degree holda anapiga mpaka 1.7M
Alafu HAWA wauzaa barafu wasivyo kuwa na HAYA wanawezaa KURUDISHA PESSA na ya KALALA MAYERE aiseee ..tutaweka wapi Sura zetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥂🥂🙏🙏🙏 eeeeh Mola Tuepushe na hili Balaaa
Tweeter ndiyo social media yenye watu wenye uelewa mkubwaa katika maswala ya Kijamii, Kisiasa na kiuchumi Ukiringanisha na mitandao mingine ya kıvamını kama META N.K
@bonichengula
@DrAlbertDaudi
Oyaaaa kaka acha kutoa password kwa hawa masharobaro wa Kinondoni
Dada zetu wanaheshima sanaa wanahitaji wamaume wapambanaji
Hii ilikuwa maeneo ya Mtoni Mtongani kama unaenda mbagala mwaka 2017 Lipumba alikuwa anaenda uwanja wa Zakhiem kufanya mkutano wakati alikatazwa so alivyofika mtongani hapo ndo wakamsimamisha
😀😀😀🏃♂️
Mwanamkeee msafiii ...alafu una mimbaaaa daaah ...Utelezi kama kawaaa hapaaaa...ila kuna wanawake wakat wa Mimba wa chafu hata UTELEZI mtu unaukimbiaaaa