Hansrafael Profile
Hansrafael

@Hansrafael19

Followers
53,813
Following
111
Media
715
Statuses
1,311

Mchambuzi wa soka @CrownMediaTZ

Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Chama amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Yanga✅
Tweet media one
177
118
3K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
🗣 Maneno ya Pogba akiwa Polisi "Ni kweli nilimlipa pesa mganga wa jadi,lakini nilifanya hivyo ili anisaidie kuepukana na majeraha ya mara kwa mara,sikumlipa Mganga ili amroge Kylian Mbappe"
Tweet media one
100
65
3K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa Azam, Adolf Mtasingwa Bitegeko✅
Tweet media one
101
80
3K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
🗣 Ronaldo Nazario "Mbappe alikuwa na World Cup nzuri alicheza vizuri kuanzia mchezo wa kwanza mpaka wa mwisho,alistahili kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mashindano"
Tweet media one
48
64
3K
@Hansrafael19
Hansrafael
27 days
Wydad wametuma ofa ya tatu kwenda Yanga yenye thamani ya $300,000(tsh 814,500,000) pia kuna ongezeko la $50,000 kama Wydad watatwaa ubingwa wa Ligi kuu + $50,000 endapo Wydad watatwaa ubingwa wa Throne Cup + $50,000 endapo Mzize atafunga goli 5. Yanga wamepiga chini hiyo ofa✍️
Tweet media one
172
72
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Awesu Awesu to Simba🔜 Simba wamemsaini kiungo wa KMC Awesu Awesu✅
Tweet media one
57
60
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Haya mambo ya kusema nitawapa milioni 30 mkishinda dhidi ya Simba or Yanga yatakuja kuleta matatizo makubwa kwenye soka letu mnawafanya watu wacheze juu ya uwezo wao mpaka wanasahau afya za wachezaji wanzao. Get well soon my Brother
Tweet media one
88
77
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Rasmi nimejiunga na familia ya ushindi @crownfm tukutane huko kila siku kupitia 92.1 “Hapa ni nyumbani”
Tweet media one
88
79
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
BREAKING:Muda wowote kuanzia sasa Kibu D atarejea nchini Baada ya Dili lake na klabu ya Norway kufeli. Kibu anarejea Tanzania Ila Hana mpango wa kuitumikia Simba Tena.
Tweet media one
186
53
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
8 months
Mosses Phiri amejiunga na Power Dynamo ya Zambia,kwa mkopo akitokea Simba.
Tweet media one
14
38
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Msimu ujao Fiston Mayele, ataongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga,huku akizungukwa na Stephanie Aziz Ki, kutoka Asec Mimosas,na Moses phiri,I'm sure Mayele,atafunga goli 30+ za ligi.
Tweet media one
178
76
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
finally the wait is over,Chama ni mwananchi kwa mkataba wa mwaka mmoja✅ Starring nimemaliza vita yangu😄🙌
Tweet media one
62
63
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Man Utd 4 life💪
Tweet media one
36
39
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Usiku huu Simba wamekamisha usajili wa beki wa kati wa SuperSport Utd 🇿🇦 na timu ya taifa ya Tanzania, Abdulrazack Mohamed Hamza (21) Kila kitu kimekamilika na nyota huyo wa zamani wa vilabu vya Mbeya City,Kmc na Namungo amesaini Simba✅
Tweet media one
45
50
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Gamond amebadilisha password ya Yanga,msimu jana tulizoea “fluidity” ya Pacome,Maxi na Aziz,Ila msimu huu amekuja na “fluidity” ya Kibabage na Maxi…kwa kifupi Maxi hana namba maalum anacheza kama half-winger,Half-back na kuna Muda anaingia Kati Kama namba 6 wa uongo. Gamond🙌
Tweet media one
33
87
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
15 days
Mpanzu amefeli majaribio yake na KRC Genk,kwa sasa amerejea Kishansa kuangalia mustakabali wa maisha yake….ukweli ni kwamba Mpanzu hataki Tena kucheza Vita Club,ingawa bado wanajaribu kumshawishi.
Tweet media one
48
45
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Chama atasaini mkataba na Yanga tarehe 30/06/2024. Chama ana makubaliano na Yanga tangu January mwaka huu. Narudia tena Chama na Pacome watacheza timu moja✍️
Tweet media one
81
59
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Niko hapa kuthibitisha ndoa ya Guede na Yanga imefika tamati. Muda wowote kuanzia sasa Guede atapewa “Thank You”
Tweet media one
42
48
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
Yao Yao ni mtu hatari sana
Tweet media one
25
35
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
"Casemiro hajawahi kuwa mchezaji mzuri,mpaka leo siyo mzuri,sema pale Madrid aliwaka kwasababu alizungukwa na wachezaji wazuri" 🗣Graeme souness:mchambuzi wa soka
Tweet media one
106
22
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
7 months
Super duper player 🖐️
Tweet media one
7
46
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Pacome aliondoka nchini July 18 kwenda kwao Ivory Coast ili kutatua matatizo ya kifamilia. Kocha Gamond alimpatia ruhusa ya siku sita ili kutatua changamoto hizo Kisha tarehe 24 ataungana na wenzake Africa kusini ili kujiandaa na msimu ujao.
Tweet media one
21
28
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
11 months
Wachambuzi tukisema "pira Joga Bonito" tunatukanwa tukisema Yanga wana quality kubwa tunapewa Timu...lakini leo tumetaka mjionee wenyewe...kwa sasa Yanga na Simba ni mbingu na Ardhi wananchi wana kikosi imara sana Viongozi wa Simba wakae chini watengeneze timu imara.
118
105
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Yanga wamekamilisha usajili wa golikipa wa Singida Black Stars,khomein Abubakar✅ Kila kitu kimekamilika na mkataba umesainiwa✅
Tweet media one
21
39
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
11 months
Udhaifu wa Messi ni magoli ya vichwa,Udhaifu wa Mbappe ni magoli ya faulo,Udhaifu wa Neymar ni ukosefu wa nguvu,Udhaifu wa Haaland ni kupiga mashuti ya mbali kwa usahihi (long range shots) halafu kuna huyu mwamba Cristiano Ronaldo yeye amebarikiwa kila kitu🔥🙌
169
115
2K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Samuel Etoo ametabiri mshindi wa kombe la dunia mwaka huu "Nadhani Morocco 🇲🇦 na Cameroon 🇨🇲 watafika fainali na mwisho wa siku Cameroon 🇨🇲 wataibuka kidedea"
Tweet media one
83
36
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Muda wowote kuanzia leo Pacome atasaini mkataba wa miaka miwili na Yanga. Pacome hajaomba kuondoka Yanga❌ Tarehe 5/7/2024 anatarajia kurejea nchini ili kujiandaa na msimu ujao.
Tweet media one
52
42
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
7 months
Absolutely brilliant,unbelievable,Yanga imekuwa timu ya kwanza kutinga Robo fainali ya CAF,Yanga wamefanya hivyo kwa swagger na performance ya kiwango cha dunia……I can’t believe this 🫢🫢
48
105
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Rasmi dili la Mpanzu na Simba limekufa❌ Hivi sasa nyota huyo yuko Ulaya na muda wowote atajiunga na KRC Genk.
Tweet media one
46
23
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
"Tumeshinda ila sijaridhishwa na kiwango cha wachezaji wangu" 🗣Kocha Nabi
Tweet media one
19
37
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Tweet media one
29
35
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Simba wamekamilisha usajili wa mshambuliaji hatari wa SKA-Khabarovsk ya Russia,ambaye ni raia wa Ivory Coast,Yao Jean Charles (23). Namba tisa huyo amejiunga na Simba rasmi✅
51
49
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Aziz is here to stay✍️
Tweet media one
8
34
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 month
Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma” 🗣️ Amesema Fausty Mkandila: wakala Wa Fabrice Ngoma….Via Crown Fm.
Tweet media one
107
29
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Mwendo ni ule ule wa kugawa dozi ya goli 6 mpaka fainali
Tweet media one
42
18
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Miaka 1000 hakuna penalty ya hivi mpira umegonga goti la Martinez halafu kwa speed kali ukaenda kugonga mkono....leo refa kachemka sana.
Tweet media one
214
39
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Bila kificho hapa naiona tena Fainali ya Croatia na Ufaransa
Tweet media one
105
15
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Rasmi Simba wamefungua mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Zamani wa vilabu vya AS Vita na Orlando Pirates,Jean Makusu Mundele (32)
Tweet media one
130
29
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Done deal✅ Farid Mussa is here to stay!! Nyota wa Yanga raia wa Tanzania Farid Mussa amesaini mkataba wa miaka miwili kubaki Yanga. Farid anaipenda Yanga na ameamuwa kubaki Yanga,kila kitu kimekamilika na mkataba umesainiwa✅
Tweet media one
25
35
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Jean Ahoua ni pure number 10,huyu ni MVP wa Ivory Coast msimu uliopita,aina yake ya uchezaji ni kama Aziz Ki sema tofauti yao Ahoua ni right-footed kisha Aziz ni Left-footed,lakini uwanjani wanafanana vitu vingi kuanzia movements,looping na uwezo wa kufunga goli za mbali🙌
45
60
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Namba 10 bora Tanzania 😀😀
41
17
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
🚨Duke Abuya to Yanga🔜 Yanga wako kwenye mazungumzo ya Mwisho na kiungo mshambiliaji wa Singida black Stars raia wa Kenya Duke Abuya (30). Kama Kila kitu kitakwenda Sawa Duke atajiunga na Yanga siku ya jumatano.
Tweet media one
47
28
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
"Kushinda kombe la dunia siyo kila kitu mimi nina hilo kombe lakini sitambuliki kama mchezaji bora wa muda wote,Messi ni genius lakini Cristiano Ronaldo ni Machine ni mchezaji bora wa dunia wa muda wote" 🗣Ricardo Kaka
Tweet media one
50
39
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Simba wamekamilisha usajili wa Omary Abdallah Omary kutoka mashujaa✅ Kila kitu kimekamilika na nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons atatambulisha Simba muda wowote ndani ya dirisha hili kubwa la usajili✅
Tweet media one
38
31
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
"Chimbuko la wafaransa wengi ni Africa hivyo Jumapili nategemea sapoti kubwa kutoka Africa" -Kylian Mbappe
Tweet media one
39
36
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Kila mtu na jicho lake ila hii jezi ya nyumbani ya Yanga ni kali haswaaa. Hapo kuna dhahabu,kijani,blue,njano na bendera ya Tanzania.huu ni ubunifu wa hali ya juu🙌
Tweet media one
64
55
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
🚨Just in: Ibrahim Ajibu Migomba amejiunga na Dodoma Jiji akitokea Coastal Union✅ Ajibu amesaini mkataba wa mwaka mmoja huku akipewa Tsh 25m kama Sign-on-fee.
Tweet media one
7
29
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
9 months
Kama Kila kitu kitaenda Sawa Phiri atajiunga na Yanga A.S.A.P
Tweet media one
37
32
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Hatimae Fiston Mayele ameweka rekodi ya kufikisha magoli 100 kwenye career yake ya uchezaji. As Vita Club magoli (27) Yanga Africans magoli (53) Pyramid Fc magoli (16) DR Congo magoli (4)
Tweet media one
11
27
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
“Msimu huu Tsh bilion 7 imetumika kufanya usajili wa kikosi kipya cha Simba” 🗣️ Try Again
Tweet media one
29
17
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
7 months
Ifike hatua tukubali “Zama huja na kuondoka” ukweli ni kwamba zama za Simba zimekwisha kwasasa wako shimoni na hawajui watatoka vipi….kila dirisha wanasajili ila mambo ni yale yale,ifike hatua wapatikane watu sahihi wa kuibeba hii project na kuirejesha Simba halali.
143
75
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
BREAKING NEWS. Mechi zote 2 za hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga vs ASAS kuchezwa Dar Es Salaam.
Tweet media one
34
37
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
CHAMA 🆚️ AZIZ KI ❌ Kasi(pace) ✔ ✔ Ujuzi(skills) ✔ ❌ Dynamic presser ✔ ✔ Deadball specialist ✔ ✔ Vision (maono) ✔ 55% Risk taker 80% Wote ni wazuri lakini kuna vitu wamezidiana,kwangu Aziz ki ni Mkali zaidi.
Tweet media one
262
75
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
This guy is on fire 🔥 Nadhani mpaka hapo tumeiona mikimbio yake..kashuka chini kapiga one two na Aucho kisha kawahi kwenye box kucheza Cross ya Moloko...What a goal that was
Tweet media one
16
40
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
💪💪💪
Tweet media one
16
15
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 month
Ni wazi Mukwala alizaliwa ku-press🙌
Tweet media one
16
10
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Mimi niliwambia toka mwaka juzi kwenye hii nchi ya Mama Samia Hakuna namba 10 Kama Aziz Ki….nadhani wote mmejionea. 1. Top Scorer. 2.Kiungo Bora. 3.mchezaji bora wa mwaka. 4.Yupo kwenye kikosi bora cha msimu.
65
59
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
🚨EXCLUSIVE:Klabu ya Vital'O ya Burundi imehamishia mechi yao ya nyumbani dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Chamazi Complex. Kwa sasa Burundi ni miongoni mwa mataifa ambayo hayana uwezo wa ku-host michezo ya kimataifa hivyo mechi zote mbili dhidi ya Yanaga zitapigwa Bongo.
Tweet media one
15
28
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
🚨Transfer News Live🔁 Niko hapa kuthibitisha kuwa Simba wamefungua mazungumzo na mlinzi wa kati wa kimataifa wa Congo DR Nathan Fasika (25) Beki huyu kwa sasa anaitumikia klabu ya Vålerenga ya Norway kwa mkopo akitokea Cape town City ya South Africa. Simba wanamtaka Fasika🔜
Tweet media one
23
25
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
9 months
Nimenyamaza Muda mrefu Ila Leo ngoja niseme…kwa kipindi cha hivi karibuni Tanzania wamepita viungo wengi Ila Jonas Mkude alikuwa baba Lao kwenye upigaji wa pasi za Masafa marefu Ila kwa sasa Hakuna kiungo Mwenye usahihi na uwezo wa kipiga long range pass Kama Fabric Ngoma
57
38
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
5 months
Kwa mujibu wa @wasafifm leo Benchikha,amebaki peke yake uwanjani kwa takribani Dakika 10 akiwaza kwa kina,rekodi zinaonyesha 2011 kocha huyo alijiuzulu kuifundisha Algeria baada ya kufungwa bao 4 na Morocco,pia msimu uliopita alijiuzulu pale USM,baada ya kuzomewa na mashabiki.
47
63
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
11 months
What a performance from this Man Stephen Aziz ki👏
Tweet media one
20
35
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
What a Player this is🙌
Tweet media one
17
16
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
10 months
Taarifa za Ranga Chivaviro kumalizana na Yanga siyo za kweli....wala Yanga hawana mpango na mshambuliaji huyu wa Kaizer Chiefs. Tayari Yanga wana Target ya namba tisa wao mpya ambaye atatambulishwa siku za usoni.
Tweet media one
21
21
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
9 months
Kwangu mimi Pacome ni usajili bora wa mwaka.
Tweet media one
19
30
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
"Nikipewa nafasi ya kuwa kocha wa Azam nitabeba ubingwa miaka kumi" 🗣Julio:Via Wasafi Fm
Tweet media one
30
17
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
10 months
Chimbuko la Diamond ni Kigoma,Bernard Kamungo nae Kigoma,Irankunda Kigoma na huyu Charles M'Mombwa katokea Kigoma....inawezekana Kigoma imebeba hazina ya Tanzania🙌🔥
75
45
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Pesa inaongea,Fei kaamua kuachana na ubingwa wa NBC,Fei kaamua kuachana na CAF Confederation tena hatua ya Makundi,Fei kaamua kuachana na pambe zilizojaa sifa kutoka kwa wananchi....Fei kakimbilia Mtee,Fei kakimbilia Utajiri,Fei kakimbilia maisha.
37
20
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Nyie milioni 200 ni nyingi sana
Tweet media one
20
16
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Rasmi Yanga watacheza mechi ya Toyota Cup na Kaizer Chiefs,tarehe 28/07/2024 kwenye dimba la Toyota njini Bloemfontein.
Tweet media one
12
26
1K
@Hansrafael19
Hansrafael
8 months
Dakika cheche zijazo Simba watamtambulisha Edwin Balua Kama mchezaji wao mpya. Balua ni Mnyama haswaaa!
Tweet media one
11
9
991
@Hansrafael19
Hansrafael
11 months
Mimi kila siku nasemaga kuna Simba ya Ligi kuu na Simba ya kimataifa.... Simba ya Kimataifa ni mnyama mwingine tofauti..nadhani sote leo tumeiona hilo.
54
31
992
@Hansrafael19
Hansrafael
1 month
Finally Ateba is Red✅
Tweet media one
22
20
998
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Hiki hapa kikosi changu bora cha msimu
Tweet media one
60
26
979
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Za ndani kabisaaaaa Kocha wa zamani wa Simba,Pablo Franco Martin,ameajiriwa na Azam kama kocha mpya,muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa
Tweet media one
13
16
967
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Lameck Lawi (18)✅ Joahua Mutale (22)✅ Derrick Fordjour (21)🔐 Anthony Tra Bi Tra (25) 🔐 Kipindi hiki Simba wanazingatia umri🙌
39
33
988
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
1️⃣ Jean Charles Ahoua 2️⃣ Augustine Okejepha 3️⃣ Joshua Mutale 4️⃣ Valentin Nouma 5️⃣ Stive Mukwala 6️⃣ Chamou Karaboué 7️⃣Debora Fernandez Kwa maoni Yangu nadhani Jean Charles ndo usajili namba moja na bora wa Simba kwenye dirisha hili kisha anafuata Okejepha na wengine.
41
33
960
@Hansrafael19
Hansrafael
5 months
Once again Yanga wamefungua mazungumzo na Chota Chama ambaye anamaliza mkataba wake na Simba mwishoni mwa msimu huu.
Tweet media one
38
27
942
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
This guy is a real footballer🙌🔥 Anaufanya mpira wa miguu uonekane kazi rahisi
Tweet media one
51
26
934
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Baada ya mechi ya leo dhidi ya Namungo,Simba atacheza mechi 7 mfululizo ugenini 👇 Ruvu vs Simba Mbeya vs Simba Polisi vs Simba Coastal vs Simba Geita vs Simba Kagera vs Simba Kmc vs Simba Nadhani kuna shida sehemu
78
23
919
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Yanga Predicted Line-up 2024/25
Tweet media one
78
36
931
@Hansrafael19
Hansrafael
11 months
Kuna haja gani ya Saido,Kapombe,Baleke na Zimbwe kuwa uwanjani wakati una Duchu,Mwenda na Chilunda.....hawa vijana wenye damu changa watacheza lini maana dhidi ya Yanga na Al Ahly hawachezi basi wapange dhidi ya Namungo ili waipambanie Samba.
55
33
928
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done deal✅ Mzamiru Yassin amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kubaki Simba. Kila kitu kimekamilika na mkataba umesainiwa✅
Tweet media one
26
15
915
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Done Deal✅ Reliants Lusajo Mwakasugule amejiunga na Dodoma Jiji kwa mkataba wa mwaka mmoja✅
Tweet media one
11
8
901
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Sajili za Simba zilizokamilika👇 Jean Ahoua( 22)✅ Debora Fernandez (24)✅ Steven Mukwala (24)✅ Augustine Okejepha (20)✅ Valentin Nouma (24)✅ Chamou Karaboué (27)✅ Joshua Mutale (22)✅ Omary Omary✅ Valentino Mashaka✅ Abdul Hamza ✅ Kelvin Kijili✅ Awesu Awesu✅ Kagoma✅
37
36
907
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Rasmi Chadrack Boka ni mwananchi. Hii ni mashine ya kukaba kisha ikiiba mali inapandisha mashambulizi kwa kasi ya ajabu (overlapping movements) Ikifika kwenye #zone ya 18 inamwaga maji au inapiga V-pass nje ya 18.
Tweet media one
25
28
894
@Hansrafael19
Hansrafael
4 months
Simba wamewasiliana na Wakala wa Bangala ili kuinasa saini ya kiungo huyo wa DR Congo. Bangala amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na Azam hivyo Simba lazima wakae mezani ili kuvunja mkataba wake.
Tweet media one
20
19
892
@Hansrafael19
Hansrafael
7 months
Kwa mujibu wa sofascore hiki hapa ni kikosi bora cha wiki cha CCL
Tweet media one
52
27
882
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Sajili za Yanga zilizokamilika hadi sasa👇 Chota Chama (33)✅ Chadrack Boka (24)✅ Prince Dube (27)✅ Aboubakar Khomeini✅ Aziz Andambwile (24)✅ Jean Baleke (23)✅ Adolf Bitegeko (24)✅ataingia dirisha dogo.
32
32
897
@Hansrafael19
Hansrafael
6 months
So far so good kwa Yanga,approach Yao ni nzuri sana,huwezi kupishana na Mamelodi kwa quality walionao,Kati Kati wana namba 6 wawili Mokoena na Allende,ambao Hata uwa-press vipi huchukui Mali hivyo Yanga wako sahihi kutopishana nao badala yake wana weka mtego na kusubiri counter.
19
31
888
@Hansrafael19
Hansrafael
2 months
Updates✍️ Yanga wamesogeza mbele Muda wa uzinduzi wa jezi mpya badala ya saa 11 jioni jezi mpya zitazinduliwa usiku wa leo. Yes! Usiku wa Leo Yanga watazindua jezi mpya.
Tweet media one
26
28
881
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
RATIBA YA MECHI KALI JUMAPILI HII 1️⃣Simba 🆚️ De Agosto saa 10 2️⃣Man utd 🆚️Newcastle saa 10 3️⃣Leeds 🆚️Arsenal saa 10 4️⃣R Madrid🆚️Barcelona 11:15 5️⃣Azam Fc 🆚️Al Akhdar saa 1 6️⃣Yanga Sc🆚️ Al hilal saa 3usk SUPER SUNDAY 🔥🔥🔥🔥🔥
57
44
864
@Hansrafael19
Hansrafael
25 days
“Mimi ni kocha wa makombe najua jinsi ya kushinda vikombe,Manchester Utd wakinifukuza nitaenda sehemu nyingine kushinda vikombe”
Tweet media one
34
14
875
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
Hivi mnajua Fabinho amewahi kucheza Real Madrid😀
Tweet media one
28
14
851
@Hansrafael19
Hansrafael
6 months
Zamani timu zilihofia kukutana na Simba,badala yake zilitengeneza Approach ya kuzuia goli nyingi,but kwasasa Simba imepoteza “fear factor” timu haziogopi tena kucheza na nao,badala yake zinaitamani ili kujizolea umaarufu,imagine Mashujaa yenye wachezaji 10 imecheza kama🫢
21
29
847
@Hansrafael19
Hansrafael
7 months
Kila siku nasemaga “tunaruhusiwa kuisema Simba vyovyote huku kwenye ligi ya ndani,ila likija suala la CAF tunatakiwa kuchunga midomo yetu” Simba huwa inabadilika na kuwa mnyama mwingine tofauti🙌
43
40
845
@Hansrafael19
Hansrafael
2 years
TBT 🗣Édouard Mendy "Namtazama Haaland,kama Christian Benteke,wala sioni utofauti mkubwa kati yao"
Tweet media one
23
10
808
@Hansrafael19
Hansrafael
15 days
Bao la 901🙌
Tweet media one
13
26
851
@Hansrafael19
Hansrafael
3 months
Kufikia tarehe 1 mwezi ujao Yanga watakamilisha usajili wa wachezaji saba. Golikipa✅ Full-back✅ Kiungo namba #6 ✅ Mshambuliaji namba #9 ✅ Kiungo mshambuliaji 🔜 Winga🔜 Namba #9 mwingine🔜
14
33
828
@Hansrafael19
Hansrafael
1 year
Belouizdad ni tishio kwenye ligi ya Algeria lakini hawana historia nzuri na CAF Champions league,kwa miaka ya hivi karibuni,Medeama ni mpinzani wa kawaida kwa Wananchi....hivyo fomu ya Yanga,quality ya wachezaji wao plus "Pira Joga Bonito" Yanga na Al Ahly watatinga Robo fainali.
112
39
816