Wydad wametuma ofa ya tatu kwenda Yanga yenye thamani ya $300,000(tsh 814,500,000) pia kuna ongezeko la $50,000 kama Wydad watatwaa ubingwa wa Ligi kuu + $50,000 endapo Wydad watatwaa ubingwa wa Throne Cup + $50,000 endapo Mzize atafunga goli 5.
Yanga wamepiga chini hiyo ofa✍️