Wengi wa wasanii wa kibongo sijui mkoje yani isipokuwa wachache kama komando
@JideJaydee
,yani mmekuwa waoga kama mbwa koko mnashindwa hata kumuombea uzima au usalama mwenzenu? Hata kuweka hashtag
#FreeIdrisSultan
mnaona kama mtakamatwa aibu yenu!!
Sio lazima uwe wakili ili uweze kuishi mjini!
Sio lazima uwe wakili ili uweze kupiga spana!
Mbona watu kibao sio mawakili na wanaishi mjini na spana wanagonga kama kawaida!!!.
Unaweza kufutwa uwakili lakini sio kufutwa akili.
@fatma_karume
Strong Woman!!!
CJ anadhani ni lazima uwe wakili ili uishi? Kutishia watu kuwatoa kwenye uwakili sio vitisho tulishavuka hiyo hatua hasa hasa utaumiza baadhi ya watanzania wanaotegemea huduma zetu za kiuwakili Lakini huduma ya spana wataendelea kupata! Maana uwakili Kwetu ni knowledge sio cheti
Wengi yangewatokea kama yaliyomtokea
@TunduALissu
wasingethubutu kurudi Tanzania!!! Huyu jamaa ni jasiri kweli kweli!!! Karibu Nyumbani Brother Tundu!!!
Mwaka huu mama alipata misukosuko mingi ikiwa ni pamoja na misiba ya ndugu! Tukasema holiday hii hatumuachi tunaenda naye ili na yeye akapumzike kidogo na matatizo! Wakati tunarudi yeye mwenyewe akatuambia “ naenda kufuta picha zote za misiba naacha hizi za safari” We are happy!
SIMBA KUPATA PONT 3 ZA MEZANI MECHI YA KAGERA
inaelezwa kuwa huenda KAGERA wakapokwa pont 3 kwa kosa la kumchezesha kiiza huku wakitambua kuwa mchezaji uyo ana kadi tatu .kufuatia kanuni za ligi kamati itakaa na kutoa majibu iv karibuni kadi izo ni kadi ya gari, ya bima, ya bank
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kesi inayomkabili Tundu Lissu hadi 24 Septemba 2020 baada ya Rose Moshi, mdhanini wake kuieleza Mahakama leo Jumatano kuwa, mshtakiwa ameshindwa kuhudhuria kutokana na kuchelewa kukamilisha urejeshaji fomu za uteuzi kugombea urais.
Uchaguzi umeisha! Mpaka sasa sijasikia diwani au mbunge yeyote aliyefungua kesi kupinga matokeo ya uchaguzi tofauti na 2015,
mahakamani ijitathimini sana! nionavyo mimi watu wanazidi kupoteza imani na mahakama! Mahakama sio kimbilio tena!
@MariaSTsehai
@fatma_karume
@MpokiMpale
Wasanii wanaomsupport human right abuser (Makowise) wajiandae, hii travel ban iko kama upupu huwa inatambaa mpaka kwa ndugu, majirani na marafiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Mtashindwa kufanya show oooooho 🤣🤣🤣
Huwezi kujenga uchumi bila utawala bora na huwezi kuwa na utawala bora bila utawala wa sheria, na huwezi kuwa na utawala wa sheria kama hauheshimu haki za binadamu na uhuru wa mahakama! Na huwezi kupata hivyo bila katiba bora, hii ya sasa sio bora tunataka mpya!
Watakuwa wanahangaika huko, hivi Space sio Online Tv kweli? Au tuseme online radio! Au tuseme lazima uwe na kibali ndo uendesha space?!! tunawaambia Imelala Iyoooooooooo!!
Wakombea mjifunze kuwa na vituo vya IT na majumuisho zaidi ya kimoja na kuweka kwa usiri sana!!!,
.
Maana wavamizi ni wengi sana, wakivamia kimoja mnabaki na vingine,
.
Msisahau na kuweka vituo hewa 😂😂😂😂.
Wakivamia wanakuta desktop mbovu zote!!!.
Ukitaka kuamini kama taifa
Tumefika ukingoni, hakuna media iliyopiga nyimbo mpya ya
@Roma_Mkatoliki
, wote wameshajaa upepo kabla hata ya BASaTA lakini sio kesi sana, goma linazidi kuwasha taa tu!!!
Niko Mbeya na Mawakili wengine tukifuatilia kwa ukaribu sana kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mwimbaji Sifa na Producer Ezekia! Mpaka sasa wamenyimwa dhamana ya polisi bila sababu na wanashikiliwa kinyume cha sheria! Wanaojiita Chawa hawakamatwi Lakini tunaoonwa nyani ndo tunadakwa
Tumefanya jukumu letu, na kesho saa sita mchana tutamuaga mama
@kabsjourno
kanisa la RC Chang'ombe ni masikitiko yetu hatutakuwa na Erick, lakini tutaendelea kutimiza wajibu wetu kama mawakili!
Mnajua hii kesi ya kina
@freemanmbowetz
na hizo hela zilizokusanywa ndo zilileta mambo ya Kisutu Revenue Authority (KRA), mpaka ikaniletea shida hadi leo nina kesi Kamati ya Maadili ya kufutwa uwakili.
Hongera sana Wakili Kibatala na wengine walioshughulika na rufaa.
Mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa imewaachia huru mgombea udiwani wa kata ya Gulwe na wenzake wanne! Kupitia
@ChademaTz
Ambao walikuwa wanatuhumiwa na kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha!! Wamekuwa gerezani toka tarehe 13/9/2020.
Tume ya Taifa wanaleta ujanja wa kung'ata na kupuliza, mdogo mdogo!!! Wanataka wananchi wazoee hali ya wagombea kukatwa na wengine kupita bila kupingwa!!!. Ndo maana wanaachia wachache huku wanasikiliza kucheck upepo!!!
Aliyekuwa Mgombea Udiwani huko Mpwapwa Deo Mahinyila na wenzake 15, wamepewa dhamana na mahakama kuu kanda ya dodoma leo! Deo na wenzake walikamatwa kwenye heka heka za kupambania ushindi wake wa udiwani! Tunaamini atawahi mitihani yake ya Law school (7/12/2020) atafaulu tu, Amen
Ila wanaosema nabii Tito ni hazimo hazimo wanakosea sana, jamaa mara ya kwanza alikuwa anavaa nguo na kanzu za kawaida akapata misukosuko!! Lakini alipotoka kwenye misukosuko akagundua dawa ni kushona kanzu ya mbogamboga! Tangu amevaa nguo za Chama Cha Mabango yuko poa 😂😂😂😂.
Mna wakumbuka watuma salama wa redioni? Hivi bado wapo? Wewe unamkumbuka nani?, Mimi namkumbuka kuna jamaa alikuwa anaitwa "Mwili Obale" sijui alikuwa wa wapi! 🤣🤣🤣🤣🤣
CJ Augustino Ramadhan
Jaji Ali Haji Pandu
Jaji Musa Kwikima
Wakili msomi Evod Mmanda
Wakili Ishengoma
Wakili mapinduzi
Pigo kubwa kwa wanasheria. May their souls rest in eternal peace. Amen
Kwenda kumpokea Ndugu, rafiki au kiongozi wako hauhitaji kutoa taarifa kwa mujibu wa sheria!!! Uliwahi kuona wapi mtu anatoa taarifa ili aende airport?, kumpokea mtu sio mkutano au maandamano!!
Tozo za simu ni wizi na uporaji kwa wananchi kwa sababu hela zinachukuliwa kwenye matumizi ya kila siku na sio kwenye faida! Kodi inapaswa kutoka kwenye faida, lakini wanakata kwenye hela za misiba, harusi, hela ya mbolea, hela za matibabu! Wizi wa hali ya juu ni zaidi ya ukoloni
Yani Mwigulu hawezi kuongea bila kutishatisha watu!!, utasikia nawaonya watu wanaotoa taarifa za kipotoshaji kuhusu tozo! Huyu jamaa hajui kuwa level za kutishwa tulishaziacha makilomita kadhaa huko!
.
Jamaa anatuona local sana,,
Sisi tunasema Fimbo kama kawa!
Mwenye mkataba wa mkopo wa HESLB wa kati ya mwaka 2005 to 2015 anitumie DM hapa!!! Nina jambo na huo mkataba maana wangu hata sijui niliweka wapi hahahaha!!!!
Done
@court_afchpr
1. Maded wasiwe wasimamizi wa uchaguzi
2. Makosa yote yawe na dhamana Tanzania, kinyimwa dhamana huku mtu akiwa mtuhumiwa ni kinyume na haki za binadamu!
Tumemaliza kazi yetu! Kazi ipo kwa watekelezaji! Tutafuatilia kwa ukaribu 💪🏾
Ni makosa sana CCM kuamini katiba mpya itawatoa madarakani na vivyo hivyo ni makosa wapinzani kuamini katiba mpya itawapa madaraka! Tuwe na mfumo ambao wote tunaamini kura halali ndo zitatupa uongozi.
.
#KatibaMpya
#WenyeNchiWananchi
Nasikia na kodi ya ving’amuzi inakuja? Ukilipa kifurushi cha king’amuzi na tozo juu!! Kazi ipo hapa The United Republic of Tozo (URT)
.
Kumbe kirefu cha TZ ni Tozo 😂
.
Siku njema Watozonia!
Nauliza
@TumeYaUchaguzi
Sisi Court Mtu akikosea nyaraka za kesi anaweza kupewa fursa zifuatazo;
1. Amendment
2. Leave to file fresh suit
3. Rectifying hapo hapo mbele ya Court.
Assume mtu amekosea kitu ambacho bado siamini, nyie mnafursa gani? Au nyie ni zaidi ya Court?
Wkt Wengine wanataka kuomba msamaha!
Bado watu wanahangaika na kesi za vurugu za uchaguzi wakati wakipambania demokrasia, wengine bado wako magerezan kwa kesi za kubambikwa kwsbb ya siasa na misimamo!
Hapa ni Mpwapwa baada ya kesi za watu kadhaa.
@deogratiusmahi1
@ChademaTz
Polisi walisema kuna tuhuma za Mwenyekiti kutaka kuua viongozi sita wa serikali, hiyo hati ya Mashitaka ya Mbowe ya Kutaka kuua hao viongozi mmeiona? Au ndo kutishiana nyau?