
Jebra Kambole
@Advocate_Jebra
Followers
352K
Following
4K
Media
2K
Statuses
19K
Law Guards Advocates, Criminal, Corporate and Civil Litigation lawyer. Togo Tower, kinondoni Business Only Call +255748334032
Law Guards Advocates
Joined November 2014
For human rights updates, follow Organisation for Promoting Human Rights @OphTanzania
14
27
251
MODERATOR: Are you willing to commit to NOT raise the sales tax? MIKIE SHERRILL: I'm not going to commit to anything right now. On Nov. 4, vote NO on Mikie Sherrill. β
31
75
243
sitakwenda kupiga kura okt. 29. kujitokeza siku hiyo kuna faida kubwa kwa ccm kwa kuwahalalishia uharamia wao kuliko kutumia haki yangu ya kikatiba. haki ya kupiga kura ni zao la mapambano ya utu na uhuru, na haikuwahi kutegemewa kutumika kwenye mazingira kama haya ya β25!
32
269
814
Kif cha 4(2) Cha Sheria ya Pasi na Nyaraka za kusafiria Sura 42 R.E 2023, kinaeleza japo pasi ni mali ya govt lakini itaendelea kuwa chini ya mwenye jina lake mpaka itakapo isha muda wake au kuna sababu halali ya kuona kuwa haifai kuwa kwa mwenye nayo! Toeni sababu @HecheJohn .
12
79
390
Hahahaha hii ndo kisheria inaitwa βin flagrante delictoβ yani umekutwa na kyupi mkononi ππππ kmmmmmk hata kujibu hawawezi πππ Jamaa ni homeless kabisa hao Asante @Liberatus80
π€£π€£π€£ Ila nimecheka sana @Liberatus80 umetufurahisha sana! Yaani hata si watanzania hata waafrika wengine hapo wanakukwepa hawaongei Kiswahili Sijui kawatoa homeless shelter maskini π₯² Yaani huyu Hidaya Mahita na wafanyakazi wa ubalozini wameshakula bajeti hapo na result is zero
11
55
337
The halls of medicine run on evidence. But more clinicians are treating themselves like laboratories @chrissyfarr and I surveyed 129 doctors, nurses, and PAs on what they actually do to optimize their healthspan + longevity Their behavior shapes the next wave of care Link β
112
2K
6K
Oktoba tunatiki ni slogan ya kuwajibu watu wasioshiriki uchaguzi, @ChademaTZ2 mmewafanya ndugu zenu waache slogan yao ya kazi na utu na kubadili gia agani!!! Kwa sasa kampeni ni kuomba watu wakapige kura!! Hakuna kazi na utu kwenye kuteka na kuua labda kazi na UTI.
17
109
623
Hizi ndo mnapenda wasengerema nyinyi
The Archbishop of Dar es Salaam issues a passionate appeal concerning a troubling rise in unexplained disappearances and kidnappings across the country over the past two years. https://t.co/CtHe4jGOjH
5
37
357
Kuna ulazima gani watu wanaowakosoa kuwaua? kwanini muwapoteze?, Si bora muwape kesi za kubambikiza kama murder au uhaini wakaa ndani bila dhamana? Mbona wengi mnawabambia kesi? Kwanini watu wauawe wakati lengo lenu linaweza kutimia bila kuua? Kuteka na kuua ni ushamba!!
10
105
478
Ukiona mtu amefika hiyo hatua ujue hali tete!! Askofu Bagonza anasema ukiona ugomvi wa mke na mume, mume anangβata ujue hali mbaya πππ
21
74
531
Habari ndo hiyo! Ukisema utakufa, Usiposema utakufa!!!
4
92
562
Makubaliano ni kuwa tuchague viongozi kupitia chaguzi huru, haki na za kuaminika na kuwapata viongozi ambao ni matakwa ya wananchi! Kwa mujibu wa Ibara ya 21 ya Katiba! Sio kila chaguzi ni chaguzi zingine ni uchafuzi!!!
Tukikubaliana mambo kama WaTanzania ni muhimu tukayatimiza. Nawaomba waTanzania wenzangu, kama tulivyokubaliana kuchagua viongozi kupitia Chaguzi basi naomba tutii makubaliano yetu. Mwalimu Nyerere alikuwa mbele ya muda sana. ~ Kitabu cha Binadamu na Maendeleo, Julius K.
6
32
185
Nchi za kimafia ndo zilivyo! Polisi wananyenzo zote za kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao, wao ndo wanapaswa kutoa majibu Polepole yuko wapi?, Wanajua kila kitu, mfn uhamiaji wanajua amerudi lini, njia gani?, lakini nyie wajinga mnataka mama yake atoe ushahidi?
21
63
388
Tunasubiri wito wa Haki
Wikiendika na mserereko wa kibabeee! Endelea kuhabarika, kuelimika na kuburudika nonstop kupitia maudhui yetu ya kidijitali bure kwenye MwanaClick! Pakua app ya MwanaClick sasa kwenye Play Store au Apple Store #TunaClickTunaVibe #TunawezeshaTaifa
10
34
142
Mwanetu Mdude ππππ!!! Mnataka tuishe kabisa mbaki peke yenu?
15
175
1K
Sasa wanahangaika hivi CDM haishiriki uchafuzi wao, Rushwa nje nje kushindana na Chauma π Huku ni kuchanganyikiwa, hata kuvaa bila picha ya mama yao anaona hawezikueleweka πππ
27
52
442
Polisi mnawajibu wa usalama wa raia na mali zao, tunawalipa mishahara ili mtuhakikishie usalama. Usalama wetu uko wapi?, hata kama mnafanya kwa kificho kuna jambo ambalo lipo wazi ambalo ni kutimiza wajibu! Mmetimiza wajibu juu ya usalama wa Polepole na watu wengine? @tanpol
14
170
667
Mwenye picha ya Samia na Firstborn wa taifa ndugu yetu Andrew naiomba nina kazi nayo!!! πππ
14
52
846
Inshallah ipo siku hii Tuzo atapata @TunduALissu
In the past year, #NobelPeacePrize laureate Maria Corina Machado has been forced to live in hiding. Despite serious threats against her life she has remained in the country, a choice that has inspired millions of people. When authoritarians seize power, it is crucial to
9
44
297