Jebra Kambole Profile Banner
Jebra Kambole Profile
Jebra Kambole

@Advocate_Jebra

Followers
335,545
Following
299
Media
1,759
Statuses
15,037

Law Guards Advocates, Criminal, Corporate and Civil Litigation lawyer. Togo Tower, kinondoni Business Only Call +255748334032

Law Guards Advocates
Joined November 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
1 year
For human rights updates, follow Organisation for Promoting Human Rights @OphTanzania
8
11
109
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice!!!!! . University of Dar es Salaam!!!
Tweet media one
Tweet media two
338
230
4K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Eti wanataka kunifatma karume!!! Sitetereki na niko imara zaidi ya jana!!! . I will defend my right to practice law in Tanzania mpaka mwisho!!!
Tweet media one
259
365
4K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Shangazi katisha!!! Hana muda na mtu anaenda zake mishemishe! Kama kapendeza retweet basi 😂
Tweet media one
89
887
4K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Wengi wa wasanii wa kibongo sijui mkoje yani isipokuwa wachache kama komando @JideJaydee ,yani mmekuwa waoga kama mbwa koko mnashindwa hata kumuombea uzima au usalama mwenzenu? Hata kuweka hashtag #FreeIdrisSultan mnaona kama mtakamatwa aibu yenu!!
Tweet media one
365
210
3K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Kangi anaogopa hata katoa ushauri juu ya corona! Hata kusema wananchi naweni mikono!!🤣🤣🤣. Anaona kama atawastua kimeo chake 🤣
420
126
3K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Leo nimetimiza miaka 8, Tangu nianze uwakili namshukuru Mungu kwa uzima na mengine mengi!!
Tweet media one
196
103
3K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Sasa polisi wanaenda kupekuwa Nyumbani kwa viongozi wa Chadema wanatafuta Kongamano au wanatafuta katiba mpya au ile ya zamani?
176
228
3K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Kwa hizi habari njema za leo !! Nafunga ofisi niende kupumzika kwanza!
65
137
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Ukisikia kula kwa urefu wa kamba yako ndo huku sasa !!! Mpaka bukubuku
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
242
196
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Sio lazima uwe wakili ili uweze kuishi mjini! Sio lazima uwe wakili ili uweze kupiga spana! Mbona watu kibao sio mawakili na wanaishi mjini na spana wanagonga kama kawaida!!!. Unaweza kufutwa uwakili lakini sio kufutwa akili. @fatma_karume Strong Woman!!!
66
235
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Hongera @kigogo2014 naona una miliki kituo cha afya kabisa!!! Vipi unapima na koronya?
Tweet media one
208
59
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Hela ya Covid Tumejengea madarasa na vyoo!!! Sasa covid ndo imekuja, sijui inataka hela yake ? 😂
216
186
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Hii barabara ya Arusha kwenda Moshi nadhani ndo barabara inaongoza kuwa na askari wengi duniani!!!! Wazee wa kazi ni wengi balaa
278
105
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Sabaya ameshalala muda huu!!! Sisi bado tunachart!!! Ndo maisha yalivyo!!
146
92
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
CJ anadhani ni lazima uwe wakili ili uishi? Kutishia watu kuwatoa kwenye uwakili sio vitisho tulishavuka hiyo hatua hasa hasa utaumiza baadhi ya watanzania wanaotegemea huduma zetu za kiuwakili Lakini huduma ya spana wataendelea kupata! Maana uwakili Kwetu ni knowledge sio cheti
171
404
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Ila Magu alitupitisha kugumu sana!! 😂😂😂😂, ukiambiwa hapa mtu alikuwa ananunua uhuru huwezi amini!!
Tweet media one
258
130
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Wengi yangewatokea kama yaliyomtokea @TunduALissu wasingethubutu kurudi Tanzania!!! Huyu jamaa ni jasiri kweli kweli!!! Karibu Nyumbani Brother Tundu!!!
41
133
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Kabudi hawezi chanja maana yeye alikunywa kreti zima ule mzigo wamadagasca!
164
112
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Friji la @TunduALissu 😂
Tweet media one
116
123
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Mwaka huu mama alipata misukosuko mingi ikiwa ni pamoja na misiba ya ndugu! Tukasema holiday hii hatumuachi tunaenda naye ili na yeye akapumzike kidogo na matatizo! Wakati tunarudi yeye mwenyewe akatuambia “ naenda kufuta picha zote za misiba naacha hizi za safari” We are happy!
Tweet media one
68
81
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Nileteeeeni gwajimaaaaaa Nileteeeeeeni gwajimaaaaa Nileteeeeeeni Gwajimaaaaaa . 😂😂😂😂😂😂😂. . @halimamdee ongeza spana!!!
166
125
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
9 months
Au Nichukue na TANESCO?
Tweet media one
247
130
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Kisutu Revenue Authority (KRA)
154
200
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mabibo Hostel 2010!!!! 😂😂😂😂😂😂 #freeidrissultan
Tweet media one
191
71
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Tito na Mama ake!!! Mama anashusha maombi hapa!!!
Tweet media one
64
144
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Asante wanatwitter kwa jumbe zenu za mshikamano, pamoja na kuwa mmekuwa na jambo kubwa la kitaifa lakini hamjaniacha peke yangu! Tuko pamoja sana!
65
133
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Amesaini vyeti vyetu huyu mama!!! 😜😜😜
495
166
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Pumzika kwa Amani Mwalimu wangu wa Sheria, Dr.James Jesse!!!! R.I.P Mwl
Tweet media one
114
97
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
SIMBA KUPATA PONT 3 ZA MEZANI MECHI YA KAGERA inaelezwa kuwa huenda KAGERA wakapokwa pont 3 kwa kosa la kumchezesha kiiza huku wakitambua kuwa mchezaji uyo ana kadi tatu .kufuatia kanuni za ligi kamati itakaa na kutoa majibu iv karibuni kadi izo ni kadi ya gari, ya bima, ya bank
328
114
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mwenye Suit nyeupe sio yule jamaa wa malumbano ya hoja? Kila malumbano yupo!!!
Tweet media one
285
48
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kesi inayomkabili Tundu Lissu hadi 24 Septemba 2020 baada ya Rose Moshi, mdhanini wake kuieleza Mahakama leo Jumatano kuwa, mshtakiwa ameshindwa kuhudhuria kutokana na kuchelewa kukamilisha urejeshaji fomu za uteuzi kugombea urais.
42
115
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Uchaguzi umeisha! Mpaka sasa sijasikia diwani au mbunge yeyote aliyefungua kesi kupinga matokeo ya uchaguzi tofauti na 2015, mahakamani ijitathimini sana! nionavyo mimi watu wanazidi kupoteza imani na mahakama! Mahakama sio kimbilio tena! @MariaSTsehai @fatma_karume @MpokiMpale
163
161
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Dogo alikuwa na kazi moja tu “Kupiga tochi”
Tweet media one
120
61
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Vitambulisho vyenyewe havina hata majina 😂😂😂😂, . Nani akukopeshe? Labda TALA
126
124
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Ukute @kigogo2014 ni demu mkali anakaa zake masaki huko upepo unakovuma!!!
170
28
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Wasanii wanaomsupport human right abuser (Makowise) wajiandae, hii travel ban iko kama upupu huwa inatambaa mpaka kwa ndugu, majirani na marafiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Mtashindwa kufanya show oooooho 🤣🤣🤣
143
118
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
"Sisi tumekuja kuongeza vichwa tu" Mama Maria Nyerere 1878
50
98
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Spana Spana!! Gwajifix
297
284
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Finally
Tweet media one
110
84
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Misongi ya ushindi inagongwa nje ya mahakama!!!
30
145
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Nawakumbusha MATAGA nyie chekeniiiiii weeeeeeeee!!!! Lakini namba tutaisoma wote!!!! Mkabadili na katiba akae milele!!. . Nione TAGA yoyote ananisogelea analeta sijui nyenyenyeeeeee, kaa mbali kabisa.
148
145
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Huwezi kujenga uchumi bila utawala bora na huwezi kuwa na utawala bora bila utawala wa sheria, na huwezi kuwa na utawala wa sheria kama hauheshimu haki za binadamu na uhuru wa mahakama! Na huwezi kupata hivyo bila katiba bora, hii ya sasa sio bora tunataka mpya!
74
300
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Shule ni shule!!!
Tweet media one
121
107
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
1 year
Dude limetoka liko kitaa!!! 😂 Tuwe makini barabarani huko!!
Tweet media one
86
118
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Mimi polisi akinisimamisha au wakiniita kituo cha polisi siendi!!! Niende alafu wanichome sindano ya sumu na wanitupe bahari!!!!!!
69
142
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Gambo sijui amekanyaga waya gani?
206
30
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Watakuwa wanahangaika huko, hivi Space sio Online Tv kweli? Au tuseme online radio! Au tuseme lazima uwe na kibali ndo uendesha space?!! tunawaambia Imelala Iyoooooooooo!!
58
164
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Katika mizunguko yangu nikakutana na maendeleo ya ujenzi wa ofisi za CHADEMA makambako! Hawa sasa ndo wanaupiga mwingi!!!
Tweet media one
50
139
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Wakombea mjifunze kuwa na vituo vya IT na majumuisho zaidi ya kimoja na kuweka kwa usiri sana!!!, . Maana wavamizi ni wengi sana, wakivamia kimoja mnabaki na vingine, . Msisahau na kuweka vituo hewa 😂😂😂😂. Wakivamia wanakuta desktop mbovu zote!!!.
100
211
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Ukitaka kuamini kama taifa Tumefika ukingoni, hakuna media iliyopiga nyimbo mpya ya @Roma_Mkatoliki , wote wameshajaa upepo kabla hata ya BASaTA lakini sio kesi sana, goma linazidi kuwasha taa tu!!!
113
89
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
8 months
Niko Mbeya na Mawakili wengine tukifuatilia kwa ukaribu sana kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mwimbaji Sifa na Producer Ezekia! Mpaka sasa wamenyimwa dhamana ya polisi bila sababu na wanashikiliwa kinyume cha sheria! Wanaojiita Chawa hawakamatwi Lakini tunaoonwa nyani ndo tunadakwa
Tweet media one
Tweet media two
153
327
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Nani ungependa kujua hali yake muda huu? Mimi ningependa kujua hali ya Bashite, wewe je?
204
56
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Kama kesi zote zingekuwa zinaenda kwa speed kama ya Sabaya nadhani Jaji Mkuu asingesema magereza yaongezwe!!
60
136
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Tumefanya jukumu letu, na kesho saa sita mchana tutamuaga mama @kabsjourno kanisa la RC Chang'ombe ni masikitiko yetu hatutakuwa na Erick, lakini tutaendelea kutimiza wajibu wetu kama mawakili!
Tweet media one
98
167
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Komando!!! Hii face shield ni noma ina mpaka weipa kama za paso 😂
Tweet media one
63
54
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Hii nchi ina maajabu sana! Watu wanapata usafiri wa kutoka Mwanza mpaka Dar, lakini hao hao wanakosa usafiri wa kutoka Ukonga mpaka kisutu!!! .
71
130
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Mnajua hii kesi ya kina @freemanmbowetz na hizo hela zilizokusanywa ndo zilileta mambo ya Kisutu Revenue Authority (KRA), mpaka ikaniletea shida hadi leo nina kesi Kamati ya Maadili ya kufutwa uwakili. Hongera sana Wakili Kibatala na wengine walioshughulika na rufaa.
36
147
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Niko na Mkweli wa Tunduma!!!
Tweet media one
35
102
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
"Uzalendo ni matendo sio mavazi" Adv. Jebra
39
123
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
🤣🤣🤣🤣🤣 Maajabu ya Dunia yani watu wa Mara (Kanda Maalumu) wachague Mbogamboga then watu Nkasi vijijini wachague upinzani! Wewe ulisikia wapi?
74
109
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Neno "Chato" sijalisikia muda mrefu dooooh!!!
161
44
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Hivi kwa kuzima mitandao! Ndugu zangu wa uber na Taxify biashara vipi?
124
80
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mzee Baba ndo kama wale madereva gari la abiria likianguka wanasepa!!! . 😂😂😂😂
79
85
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Dar ya Kunenge imetulia sana!!! Kama ingekuwa ya Bashite angeshaita press kuongelea ya Lissu airport!! #TunduLissuHomeComing
50
73
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Kata mti!!! Watu wanapanda mti!! Mara kinaibuka @kigogo2014
Tweet media one
48
131
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Hapa kisutu nimeingia kila mtu ananiangalia usoni!!! . Sijui wanadhani mimi ndo @kigogo2014 !!! .
Tweet media one
129
39
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Huu Ugaidi tunaoutafuta! . Ipo siku tutaupata!
59
143
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Freddy Kapala kutoka @Tigo_TZ anayetoa ushahidi kwenye kesi ya @freemanmbowetz ndiye aliyetoa ushahidi kwenye kesi ya @abdulnondo2 ile ya Iringa ya kutekwa!
108
207
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa imewaachia huru mgombea udiwani wa kata ya Gulwe na wenzake wanne! Kupitia @ChademaTz Ambao walikuwa wanatuhumiwa na kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha!! Wamekuwa gerezani toka tarehe 13/9/2020.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
160
234
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Tume ya Taifa wanaleta ujanja wa kung'ata na kupuliza, mdogo mdogo!!! Wanataka wananchi wazoee hali ya wagombea kukatwa na wengine kupita bila kupingwa!!!. Ndo maana wanaachia wachache huku wanasikiliza kucheck upepo!!!
60
166
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Aliyekuwa Mgombea Udiwani huko Mpwapwa Deo Mahinyila na wenzake 15, wamepewa dhamana na mahakama kuu kanda ya dodoma leo! Deo na wenzake walikamatwa kwenye heka heka za kupambania ushindi wake wa udiwani! Tunaamini atawahi mitihani yake ya Law school (7/12/2020) atafaulu tu, Amen
34
88
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Ila wanaosema nabii Tito ni hazimo hazimo wanakosea sana, jamaa mara ya kwanza alikuwa anavaa nguo na kanzu za kawaida akapata misukosuko!! Lakini alipotoka kwenye misukosuko akagundua dawa ni kushona kanzu ya mbogamboga! Tangu amevaa nguo za Chama Cha Mabango yuko poa 😂😂😂😂.
59
93
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Mna wakumbuka watuma salama wa redioni? Hivi bado wapo? Wewe unamkumbuka nani?, Mimi namkumbuka kuna jamaa alikuwa anaitwa "Mwili Obale" sijui alikuwa wa wapi! 🤣🤣🤣🤣🤣
635
26
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
CJ Augustino Ramadhan Jaji Ali Haji Pandu Jaji Musa Kwikima Wakili msomi Evod Mmanda Wakili Ishengoma Wakili mapinduzi Pigo kubwa kwa wanasheria. May their souls rest in eternal peace. Amen
70
132
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
1 year
Woiiii ni mvurugo ile mbwa imeinuka!!😂 Nani kaelewa?
Tweet media one
229
84
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mimi sio mzuri sana kwenye historia na biblia!!! Ni ugonjwa gani duniani umewahi kuondoshwa kwa maombi?. . Nadhani hata ukoma ulipatiwa dawa!!
319
57
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Bado anaupiga mwingi au ndo hayatuhusu tutulie?
99
53
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Hivi Kabudi yuko wapi?
206
39
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Kwenda kumpokea Ndugu, rafiki au kiongozi wako hauhitaji kutoa taarifa kwa mujibu wa sheria!!! Uliwahi kuona wapi mtu anatoa taarifa ili aende airport?, kumpokea mtu sio mkutano au maandamano!!
84
112
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Hivi mnakumbuka Tanzania ya viwanda? Doooooh Mataga walikuwa wanatuaminisha tuone tuko kama china hivi!!! Daaaaaah tumetoka mbali aseee 😂😂😂
70
76
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Huyu Mjinga ameomba kazi na cheti cha TYCS, kata jina lake haraka, Kwanza atatusumbua akipangiwa Zamu ya jumapili 😂
Tweet media one
75
65
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Tozo za simu ni wizi na uporaji kwa wananchi kwa sababu hela zinachukuliwa kwenye matumizi ya kila siku na sio kwenye faida! Kodi inapaswa kutoka kwenye faida, lakini wanakata kwenye hela za misiba, harusi, hela ya mbolea, hela za matibabu! Wizi wa hali ya juu ni zaidi ya ukoloni
101
285
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Yani Mwigulu hawezi kuongea bila kutishatisha watu!!, utasikia nawaonya watu wanaotoa taarifa za kipotoshaji kuhusu tozo! Huyu jamaa hajui kuwa level za kutishwa tulishaziacha makilomita kadhaa huko! . Jamaa anatuona local sana,, Sisi tunasema Fimbo kama kawa!
87
166
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Mzee Ruge!!!
Tweet media one
42
98
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mwenye mkataba wa mkopo wa HESLB wa kati ya mwaka 2005 to 2015 anitumie DM hapa!!! Nina jambo na huo mkataba maana wangu hata sijui niliweka wapi hahahaha!!!!
Tweet media one
76
71
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
11 months
Done @court_afchpr 1. Maded wasiwe wasimamizi wa uchaguzi 2. Makosa yote yawe na dhamana Tanzania, kinyimwa dhamana huku mtu akiwa mtuhumiwa ni kinyume na haki za binadamu! Tumemaliza kazi yetu! Kazi ipo kwa watekelezaji! Tutafuatilia kwa ukaribu 💪🏾
Tweet media one
153
293
2K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Ni makosa sana CCM kuamini katiba mpya itawatoa madarakani na vivyo hivyo ni makosa wapinzani kuamini katiba mpya itawapa madaraka! Tuwe na mfumo ambao wote tunaamini kura halali ndo zitatupa uongozi. . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
79
215
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
Nasikia na kodi ya ving’amuzi inakuja? Ukilipa kifurushi cha king’amuzi na tozo juu!! Kazi ipo hapa The United Republic of Tozo (URT) . Kumbe kirefu cha TZ ni Tozo 😂 . Siku njema Watozonia!
123
146
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Niko Iringa hapa!! Tunafuatilia ya @VitusNkuna !!!
59
109
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Shangazi @MariaSTsehai kwenye jambo la sadala na BET Awards anaupiga mwingi sana!! Anakabia kwa juu kabisa!!!
87
69
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
5 years
Ndugu yangu @kigogo2014 una familia kubwa sana hapa twitter 😂😂😂😂😂😂 mmemuona mpaka @ShemejiKigogo , na mimi inabidi niwe wakili wa kigogo!!😂😂😂
74
57
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Mtu akikwambia nchi yetu ni tajiri tumenunua ndege cash, hatutegemei mabeberu! Utamjibuje?
227
76
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Niko na Mr. Corona @Roma_Mkatoliki !!! Kiukweli nilikuwa makini sana kumkwepa huyu mtu, nimemwachia corona yake nashangaa huku naikuta tena!!!
Tweet media one
31
37
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Ukiacha jina la MATAGA hawa jamaa jina lao jingine ni lipi?
260
34
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Tuwe makini na huyu Bashiru hakawii kugeuza maneno kama kwa zitto kuws tulisema tutamuua kisiasa!!! Utamsikia "nilisema tutatumia dolla yani USD" 🤣🤣🤣🤣🤣
112
92
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Nauliza @TumeYaUchaguzi Sisi Court Mtu akikosea nyaraka za kesi anaweza kupewa fursa zifuatazo; 1. Amendment 2. Leave to file fresh suit 3. Rectifying hapo hapo mbele ya Court. Assume mtu amekosea kitu ambacho bado siamini, nyie mnafursa gani? Au nyie ni zaidi ya Court?
Tweet media one
54
198
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Wkt Wengine wanataka kuomba msamaha! Bado watu wanahangaika na kesi za vurugu za uchaguzi wakati wakipambania demokrasia, wengine bado wako magerezan kwa kesi za kubambikwa kwsbb ya siasa na misimamo! Hapa ni Mpwapwa baada ya kesi za watu kadhaa. @deogratiusmahi1 @ChademaTz
Tweet media one
44
130
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
2 years
😂😂😂😂 kazi ipo!
Tweet media one
150
118
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Doooooh kama nchi tumepitia mengi!! Khaaaaaa
Tweet media one
196
101
1K
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
3 years
Polisi walisema kuna tuhuma za Mwenyekiti kutaka kuua viongozi sita wa serikali, hiyo hati ya Mashitaka ya Mbowe ya Kutaka kuua hao viongozi mmeiona? Au ndo kutishiana nyau?
47
119
1K