Ee Mungu, mtazame huyu anayesoma ujumbe huu wakati huu. Pengine hajawa na muda wa kukuomba & kukushukuru tangu siku hii imeanza, pengine amekata tamaa. Baba ukamlinde mwanao huyu, mpe tumaini, simamia kuhangaika kwake, bariki njia zake, akaishi katika imani kwamba Wewe ni muweza.