TitoMagoti Profile Banner
Tito Magoti Profile
Tito Magoti

@TitoMagoti

Followers
275K
Following
0
Media
5K
Statuses
118K

Tundu-Lissuism, Law & Human Rights.

Joined October 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@TitoMagoti
Tito Magoti
2 months
My piece on "Criminal law in Tanzania: policing and the extractive" now available on the University of Bristol Law School blog. >>
Tweet media one
33
234
718
@TitoMagoti
Tito Magoti
8 minutes
My dawg Jebra Kambole, Snr Counsels & the boys, thank you for tirelessly supporting SC Tundu Lissu. Weโ€™ll one day look back & rejoice knowing we fought a noble cause. Solidarity. ^TM.
@Jambotv_
Jambo TV
39 minutes
VIDEO:. Leo Julai 16, 2025 shauri la Maombi ya Merejeo lililofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka tarehe 12/08/2025. Lissu anaiomba mahakama itamke kwamba siku 09/06/2025(kwenye shauri namba 8606/2025 la kuchapisha taarifa za uongo) Hakimu Mfawidhi
0
0
11
@TitoMagoti
Tito Magoti
13 minutes
Hadi mbogamboga wanazungumzia reforms, alafu mpinzani mwitu anawaza uchaguzi kwakuwa tu ameahidiwa viti viwili bungeni. Hivi hamfahamu zama hubadilika?. WaTZ wa leo ukiwa tapeli la kisiasa watasikiliza na kukwambia: โ€˜sawa lakini wewe ni tapeli.โ€™. #NoReformsNoElection.
5
21
77
@TitoMagoti
Tito Magoti
2 hours
RT @laki_0_rick: @TitoMagoti @Nnauye_Nape Ni kutokujiheshimu na tabia za kishenzi kumlaghai mwananchi mwenye hali duni, ili ujipatie cheo nโ€ฆ.
0
1
0
@TitoMagoti
Tito Magoti
5 hours
Mfano Jimbo lina eligible voters 50k. Mmejilazimisha kufanya uchaguzi bila reforms. Watu alfu mia tano wamepiga kura. 48,500 wamekataa kushiriki ubatili. Utaongoza watu 1.5k na ng'ombe? Tunataka reforms tuchague viongozi tunaowataka. Sio kutawaliwa na wezi wa uchaguzi.
8
69
432
@TitoMagoti
Tito Magoti
6 hours
RT @spana_Konki: Gwajima: Nilishauri watu wasitekwe kanisa likafungwa, leo nimeshauri reforms zifanyike sijui watafungia nini kingine. ๐Ÿ˜‚.
0
130
0
@TitoMagoti
Tito Magoti
6 hours
"Kushinda uchaguzi ni jambo jepesi, lakini kutawala nchi ambayo imemegukameguka kutokana na makovu na majeraha ya uchaguzi ni kazi sana." . - Joe Gwajima, akipigilia msumari 'No Reforms, No Election.'๐Ÿ‘๐Ÿ‘.
15
122
677
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 hours
Nimeona picha za class mate wangu @Nnauye_Nape nikasema haya bana! And they call it politics. Politics imekuwa reduced ktk fungu sawa na ulaghai na utapeli. tena vs watu wasio na taarifa. What happened to morality?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
@SwahiliBible
Mwemezi Rwiza, PhD
7 hours
Hiki ni kipindi, waheshimiwa hawataki kabisa kuitwa waheshimiwa. Sasa waheshimiwa wanatumia public transport. Sasa waheshimiwa wanasalimia kila mtu gulioni. Sasa waheshimiwa wanachota maji na wanabeba ndoo kichwani. Sasa waheshimiwa wanatumia bodaboda na guta na Carina, na Vitz,.
19
28
188
@TitoMagoti
Tito Magoti
8 hours
Jana tumeshuhudia usanii Kisutu. Kwamba mashahahidi wa uhaini pia watafichwa. Ni watu gani hao wasiotaka umma uwafahamu?. Yeyote anayedai Lissu ni mhaini lazima awe na ujasiri wa kuthibitisha kwa uwazi, adodoswe kisawasawa & demeanour yake ipimwe. Lissu hafungwi kizembe!.
27
142
709
@TitoMagoti
Tito Magoti
6 days
Expert @mbanje_tendai & I penned down a piece on what you need to know ahead of Tanzaniaโ€™s 2025 general election >>
Tweet media one
@mbanje_tendai
Tendai Mbanje
8 days
Curious to know about Tanzania's 2025 elections? Here is a comprehensive piece.
2
50
142
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
Kwa miaka 10 tumeishi bila bunge, mahakama, asasi, media, na bila uhuru kamili wa watu. Kushiriki tena michakato iliyotufikisha hapa, wakati dola ikipambana tusalie hapa tulipo, ni kujilisha upepo. Ni mageuzi pekee ndiyo yatakayotukwamu ktk hii njia panda. We need reforms.
12
197
841
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
Equally, kuwa na wapiga kelele wawili watatu, au 30, au 40 Bungeni, sio tiba ya ubovu mkubwa wa mfumo wetu wa uendeshaji wa nchi. Kataeni ulaghai wa wanasiasa wenye lengo la kuisaidia dola kuonesha TZ kuna upinzani. Tuwakatae. Tusishirikiane nao. Tudai tunachostahili.๐Ÿค.
18
77
370
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
Wazanzibar waliahirisha kutibu madhila ya chaguzi. Wakaingia ktk SUK. Sijawahi sikia wakijivunia uamuzi huo. Ni milio kila siku. Mamia wanateswa na kuuwawa sababu ya uchaguzi. Mnapozwa kwa watu wawili kuvutwa SUK. Uchaguzi ukifika mnarudi ktk uwendawazimu uleule. Tuheshimiane.
9
122
665
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
Ni ulaghai na usanii tu. Hata wawe 100, katika jumba lenye majority hawafui dafu. Sisi sio wageni wa law making process. Bunge letu halitungi sheria. Linahalalisha matakwa ya dola, albeit with slight variations. Kwahiyo najitenga na waf/biashara wa kisiasa. Nataka mageuzi.
@bwaya
Christian Bwaya
7 days
@TitoMagoti @JumaMshana028 Kaka unamaanisha kelele za wabunge 20 wa upinzani bungeni hazitazuia kupitishwa kwa sheria mbovu? Tumeambiwa tutalinda kura angalau tupate wabunge 20.
4
39
218
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
RT @MpaleMpoki: Kikosi kazi was a scam, a hoax, a sham, a rip off ans big a sham.It was a project.
0
31
0
@TitoMagoti
Tito Magoti
7 days
Tunahitaji overhaul ya mfumo wa uendeshaji wa nchi. Sio kuwa na wapiga kelele wasiosikilizwa bungeni. Kwa sauti moja, tunapaswa kudai mageuzi yote muhimu. Na inawezekana. Uchaguzi ni zoezi la siku moja. Tabu ni endelevu. Usishiriki ubatili. Usiipe dola katili uhalali wa kisiasa.
17
210
929
@TitoMagoti
Tito Magoti
11 days
Mumesinziya?.
40
11
238
@TitoMagoti
Tito Magoti
11 days
Anaandika Mwanazuoni Christian Bwaya. Simpingi. Tutafakari pamoja naye.
@bwaya
Christian Bwaya
11 days
Dini, kwa tabaka la chini, ni nyenzo ya kukuza imani, kuisaka โ€˜maanaโ€™ ya safari ya maisha na kichocheo cha matumaini. Dini, kwa viongozi wengi wa dini, ni nyenzo ya ujenzi wa himaya, mamlaka, madaraka, umiliki na nguvu ya kudhibiti maamuzi ya tabaka lisilo na matumaini.
3
19
175
@TitoMagoti
Tito Magoti
11 days
RT @bwaya: Dini, kwa tabaka la chini, ni nyenzo ya kukuza imani, kuisaka โ€˜maanaโ€™ ya safari ya maisha na kichocheo cha matumaini. Dini, kwโ€ฆ.
0
77
0
@TitoMagoti
Tito Magoti
11 days
RT @EddoLalika: Utiki oktoba au ubebe Simba. TITO MAGOTI: ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ
Tweet media one
0
52
0
@TitoMagoti
Tito Magoti
11 days
Mtaumizwa na sio uongo. Na mtarudi hapa kulia mmeibiwa kura au kupigwa na mapolisiccm. Shirikini huo upumbavu peke yenu. Na kama mna kura za kutosha mjipigie.
@juliusmassabo
Julius Joseph Massabo.
11 days
@TitoMagoti Una panic bure tu kwenye nchi hii hakuna uchaguzi umewahi kufanyika na kusiwe na malalamiko so hatutakua wa kwanza kulalamikia Rafu za Uchaguzi. Naona mnatamani tuumizwe au tuuwawe huko kwenye uchaguzi aise.
3
15
109