SuphianJuma Profile Banner
Suphian Juma Nkuwi Profile
Suphian Juma Nkuwi

@SuphianJuma

Followers
157K
Following
58K
Media
11K
Statuses
95K

Mkurugenzi Mtendaji @TAA_Tanzania

Singida, Tanzania
Joined July 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
21 days
SIJATEULIWA‼️. Nilitia nia kugombea ubunge jimbo la Ikungi Magharibi CCM 2025. Nawapongeza wote walioteuliwa. Nitaungana na yeyote atakayeteuliwa kushindana na vyama Vingine. Watanzania wote naomba Octoba tutiki Rais Dkt @SuluhuSamia. Suphian Juma Nkuwi,.Kada-CCM.Jul 29, 2025
Tweet media one
236
12
232
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
3 days
ACT WAZALENDO SIO TAWI LA CCM. Naijua @ACTwazalendo na hulka halisi za vyama vyote vya Upinzani. Wapuuzeni Polepole, @mangekimambi @MariaSTsehai na vigenge vyao vyenye chuki, wivu na gubu spesheli na Rais Dkt @SuluhuSamia wenye lengo kuu la kumchafua Rais Samia na CCM yetu.
1
2
5
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
5 days
NDIO.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
6 days
Ile 5m ulituma?.
1
0
1
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
6 days
Pole pole:. Alimdharau mno Rais @SuluhuSamia wakati Makamu, ANAJISHUKU. Kinachomsumbua zaidi yeye na kikundi chake; walipanga Rais wao 2025, waligawana vyeo, NDOTO IMEKUFA. Anachohitaji ni Mama asigombee waweke Rais wao, na sio suala la Katiba wala Desturi ya CCM. AFUTWE CCM‼️
1
0
0
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
6 days
Pole pole:. Alimdharau mno Rais @SuluhuSamia wakati Makamu, ANAJISHUKU. Kinachomsumbua zaidi yeye na kikundi chake; walipanga Rais wao 2025, waligawana vyeo, NDOTO IMEKUFA. Anachohitaji ni Mama asigombee waweke Rais wao, na sio suala la Katiba wala Desturi ya CCM. AFUTWE CCM‼️
21
2
13
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
7 days
3
0
0
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
8 days
Nitachangia chama changu shilingi milioni tano. CCM ndio uhai wa nchi, na wananchi wote.
Tweet media one
29
3
24
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
10 days
Tweet media one
0
0
1
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
10 days
“Vazi bora la kukufaa kwenye maisha linafumwa kwa nyuzi tatu; ibada, bidii na shukrani.” Rais Dkt @SuluhuSamia
Tweet media one
5
0
19
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
12 days
Tweet media one
5
1
9
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
13 days
Ameen‼️
0
1
2
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
18 days
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
0
3
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
23 days
Na first ladies wa TAA; Asha na Happy. @TAA_Tanzania tunatunza mazingira kwa kuratibu kampeni ya kupanda miti mkoa mzima wa Singida iitwayo SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA.
Tweet media one
2
1
4
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
23 days
RT @bajabiri: Mbunge mtarajiwa wa Ikungi.
0
1
0
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
23 days
Uchaguzi umetangazwa Octoba 29, 2025; atakayesusa atakuwa amechagua kuongozwa bila shuruti. CCM; KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE.
Tweet media one
1
1
1
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
23 days
Tuwape watoto zawadi zenye tija, iwe majumbani ama mashuleni.
7
6
22
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
24 days
We are the children, we are the world.
Tweet media one
0
0
4
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
24 days
RT @MarekaMalili: Uongozi kwa Mwanamke hauhitaji neema maalum, unahitaji nafasi, usawa na imani kutoka kwa jamii. Wasibaki kuwa watazamaji….
0
24
0
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
25 days
Kwa dini zetu zote bila kujali tofauti za vyama;. Tukapige kura na kugombea, tupate viongozi wenye hofu ya Mungu wenye kusimamia maadili, utu, upendo na umoja ndani ya jamii yetu. Tusijikite tu kwenye elimu akhera, tukaisahau elimu dunia.
2
2
6
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
25 days
RT @rollymsouth: Kweli yupo ila ndio umvalie kanzu iyo?.
0
22
0