Dr. Kala. MD Profile Banner
Dr. Kala. MD Profile
Dr. Kala. MD

@kalegamyeh

Followers
7,005
Following
941
Media
1,109
Statuses
32,806

Medical officer/blogger/humanitarian/ Studying and working at Missouri state university🇺🇸

Missouri, USA
Joined June 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Nilisoma PCB 1 year nikaacha bcoz of pressure nikaenda HGE nikimaliza nikapata boom na course ya procurement. But deep inside I was still a doctor. Nikaamua kuanza diploma Ya medicine. After ten years I became doctor. Lesson: kama unahisi you are in a wrong profession, change it
147
246
3K
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Madaktari wanaofanya kazi hospital za kanda wanaona wa hospital za mikoa ni less of doctors, hawa wa mikoa wanaona wa wilayani Hamna kitu, na wilayani wanaona vituo vya Afya Hamna kitu. Referal nyingi it’s bcoz daktari hana resource Sio Kwamba hajui cha kufanya. Let’s be humble.
103
149
1K
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7. Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi. Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili mimba iingie. Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote akijua yeye ni mgumba.
98
255
989
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
1 year
@MrBlackOG I am on call tonight. I have patients to operate and it’s an emergency. I am changing now and leave my phone in a changing room. Good Night.🥰
111
17
876
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Kama kijana unahitaji hizi 3. 1.saving account: Hii kwa matumizi yako ya kila siku. Rent, food etc 2.emergency account: Hii Itakusaidia kwenye majanga tu, usiiguse. 3.investment account: Hii Itakupa utajiri uzeeni kwa compound interest kama biahsara zako za ujanani zikifeli.
76
188
695
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Nilipoacha kazi people thought I was confused. Kuna ujinga mwingi sana huku. Mtoto wa Diwani akiwa wodini watu wote wanapaniki. Nosense.
@millardayo
millardayo
2 years
RC wa Tanga Omary Mgumba amewasimamisha kazi Mganga Mkuu wa Korogwe Salma Swedi na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Magunga Korogwe Dk.Heri Kiwale kupisha uchunguzi wa sababu zilizowapelekea kuchelewa kufika eneo la tukio baada ya ajali kutokea leo. #MillardAyoUPDATES
366
47
586
132
46
685
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
4 years
Girls, kazi ya daktari wa kiume ni kukutibu tu. Stop looking for unnecessary attention bcoz doctors are too busy for that. Ushaambiwa Kanunue dawa fulani...unaanza ooh dukani mbali, ooh nimechoka, ooh sitaki kula..so what? Reserve that for your man. 😎
60
32
516
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Niliwahi kupiga kijiwe pale Buguruni kwa 10k per night. Aisee life can humble you na vyeti vyako.😂😂
51
17
511
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
10 months
@barbieSubrah Hii sio confidence. Ni first stage ya grief inaitwa “denial”. Then anger, bargain, depression and lastly acceptance. People commit suicide with those fake confidence.
44
57
418
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Hakuna Sukari salama. Sio asali, juice, matunda wala tende. Kaa mbali na sukari kwa njia yeyote ile. #ElimikaWikiendi
76
68
405
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
College students. 1. Weka nguvu sana kwenye connection.I.e attend seminars, trainings, exhibitions and etc 2. There is nothing like best college or Highest GPA huku mtaani anyone can be trained do most of the jobs. 3.If you are from poor background tafuta washkaji wa kishua.😃
27
60
380
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
8 months
Tuachane na mishahara. Nimesikia taasisi kama TRA wana bima kubwa kuliko zetu. Yaani kumbe hata tukiugua hatutibiki hospitali za maana? Can someone confirm this?
68
34
336
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
8 months
Tusifichefiche mishahara na Hizo TGHS scales. Tuweke wazi kwamba MD, MMED, MPH, MSc, PhD gross ni 2.5M na take home ni 1.7M watu wajue moja wakalime matikiti.
57
59
324
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
10 months
@iamcleopatricia Denial na anger stage imepita. Hii ni bargaining bcoz hapa anatafuta huruma na justification. Bado depression and acceptance. I said that was a fake confidence kwa ground it hurts.
39
21
293
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Chief wetu mmoja alisisitiza sana tusikimbilie kuoa baada tu ya kumaliza internship. Tujipe muda kidogo wa kujitafuta kujua tunataka nini. Huyu Chief kabla ya kua pale alikua amefanya kazi kwenye taasisi mbali mbali za private, mashirika, serikalini kabla kutulia pale. Hilo
40
37
271
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Niliwahi kumsikiliza padri mmoja alikua anafungisha ndoa. Akasema mapenzi yatapungua kwa at least 10% kila mwaka baada ya ndoa na baadae huenda yakaisha kabisa baada ya watoto and etc. Kitu cha msingi zaidi ni commitment. In other words ukiamua kuzaa na boyfriend au Union
28
48
264
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Wakati mnajitolea hospital za kibobevu mnawadharau wanaojitolea local NGOs kama THPS, MDH etc Kwamba hawajui procedure. Lakini nawaambia within 5 years mkikutana nao kidimbwi mtajua mbivu na mbichi. Kipindi hiko nyinyi Bado ni jeshi la miguu.😅
30
23
262
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
1 month
Narudia. Kama una ndoto za kusoma Nje kaa mbali na vyuo vinavyotoa GPA ndogo. GPA ya 4 from TIA ni bora kuliko GPA ya 2 from UDSM when it comes to scholarships. Sijataja vyuo vya Afya bcoz sitaki ugomvi.😃
43
28
253
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
3 years
Shule kidogo. Matumizi makubwa ya P2 huanza na tatizo la hormonal imbalance ambalo huweza kusababisha ugumu kwenye kubeba mimba. Likifuatiwa na tatizo la endometrial hyperplasia Yaani seli nyingi ndani ya kizazi na mwisho ni endometrial cancer Yaani saratani ya kizazi.
16
34
237
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Masters ambazo unaweza kusoma na kupiga hela kimya kimya bila inzi na kua na muda na familia yako. dermatology, ENT, Optha, MPH, urology,plastic surgery….add more. Jichanganye sasa na zile big 4. Utalala na viatu.
33
24
238
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
3 years
My girlfriend has more salary than mine and she is getting a new car. I will probably help her to order it from a good agent and pay for the first full tank and car insurance. Do you think she needs my money for to do hair and nails? Men you need to upgrade.
@TonsoJ
thick and tired
3 years
A stingy boyfriend is always surprised... "Wooooow you've made your hair?"😂😂💔 nyoko dear
116
53
869
21
58
231
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Mwaka jana nilifanya kazi Tanzania kwa miezi 7. Nikaja marekani nikafanya kazi kwa miezi minne. Mwaka huu mamlaka ya kodi hapa marekani watanirudishia mara mbili kodi niliyokatwa kwenye mshahara wangu mwaka jana bcoz wamegundua nililipa kodi nyingi zaidi kuliko kipato changu.
37
19
235
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
1 year
@Husseinissa91 @iamcleopatricia Wala sihitaji kuita mume wa mama kumuuliza. Naokoa mama tu. Maelekezo yako wazi. Atazaa mwingine.
15
5
227
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Medical students usimdharau intern kwenye ward round. Huenda hana shule na kudhalilishwa lakini anaweza kua na take home kubwa kuliko kila mtu pale.😅
29
23
228
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Mtoto wa Darasa la pili anasoma shule ya Serikali ananiambia eti ana dola 100. Nikamuuliza umetoa wapi? Akasema, usipomiss Darasa mwaka Mzima shule inakupa dola 100, ukimiss mara 2 dola 75, mara 3 dola 50.Sasa anauliza bei gani wanatoa africa? Imebidi nicheke.😂
29
20
222
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Jana nimepanga foleni naingia club Nasikia watu wanaongea Kiswahili nikaenda kuwasalimia. Aisee vibe lilofuata hapo Sio la dunia hii.😂
10
14
224
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Ukitaka chuo Bora bongo piga division one ya 3. Ukitaka Kazi Nzuri tafuta maelekezo.😎
14
19
217
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Miaka ya nyuma palikua hakuna specialists jobless bcoz waliokua wanaenda MMED walikua wanatokea makazini. Sasa jobless MD wameanza kuunga MMED mpk super. Kuna kundi la jobless mabingwa na wabobevu liko njiani au tayari limeanza mdogo mdogo.
34
21
214
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
@prossoff Kuna study moja ilifanyika ikaja na majibu kwamba 80% ya wanawake wanatembea na 20% of men who are rich and have good looks. Unajua sometimes ukiwa handsome anaweza asiwe wako lakini anakutunuku tu kisha anarudi kwa tajiri.😅
24
3
211
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Na kama ofisini kwenu hakuna mzungu. Usichoke kusambaza CV online.😅
24
15
209
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
10 months
@AbroadTanzania Pamoja na mapungufu mengi ya kauli zake ambayo yana reflect deep corruption in our country lakini amefundisha uvumilivu. Vijana wengi hatuna subira ya miaka 20. Una mwaka mmoja mtaani baada ya chuo ushakata tamaa. @DrArabiFrank
18
10
208
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Mimi sio mshabiki wa yanga lakini they have my respect. Mwarabu jana amelala na viatu Yaani.😅 Hongera sana mtani.
12
17
206
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
7 months
Clinical officer uko tamisenga unachukua loan bank ukasome MD.😅 Huo uwekezaji ni mbaya kuliko kilimo cha matikiti. After 5 years utakuja kuishi maisha magumu zaidi unless una maelekezo sehemu.😅
33
11
205
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
3 months
Zamani Nilikua siwaeelewi mabro waliokua wana date pisi kali balaa Afu mwisho wa siku wanaoa kawaida kabisa. Samahanini jamani.😅🙏
24
26
206
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 months
@prossoff Women are emotional being. Fall in love easily and fall out easily. Men are logical beings. fall hard in love and fall out even harder. As a man don’t take them seriously to protect your mental health.
19
49
201
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
8 months
Tamisenga hua wanafikiri eti kule RRH kuna maisha sana. Trust me hao RRH nimekula nao sana K vant na balimi sababu ya stress. Don’t waste ur money and resources eti unataka kuhamia huko.😅
33
18
200
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
2 years
Muheshimiwa, tuongeze idadi ya watumishi. Ratio ya nurses na wagonjwa ni mbaya sana. Nurse wawili wanahudumia anternatal, labor na post delivery. Practically it’s impossible.
@ummymwalimu
Ummy Mwalimu MP
2 years
Nimepokea Taarifa hizi kwa masikitiko makubwa. Tayari Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania linachunguza suala hili. Endapo tuhuma hizi zitathibitishwa tutatoa adhabu kali kwa wanataaluma hawa ikiwemo kuwasimamishia au kuwafutia kabisa usajili wao.
Tweet media one
352
131
1K
31
33
189
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 months
Kufanya mapenzi kila baada ya siku moja Wakati wa kujaribu kubeba mimba ni bora kuliko kufanya kila siku. Siku moja ya mapumziko ni muhimu kuongeza wingi na ukomavu we mbegu.
6
17
188
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
1 year
@jumaf3 Tanzanians are not racist. They just won’t give you that special treatment you expect. Try burundi.
19
14
184