kalegamyeh Profile Banner
Dr. Kala. MD Profile
Dr. Kala. MD

@kalegamyeh

Followers
8K
Following
8K
Media
1K
Statuses
43K

Medical officer/blogger/humanitarian/ Studying and working at Missouri state university🇺🇸

Missouri, USA
Joined June 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
1 year
Taratibu za kupata Leseni na kufanya kazi Marekani kwa madaktari waliosoma nje ya Marekani.
6
16
100
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
4 days
Tumepigwa kichwani rasmi.
7
4
45
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
5 days
Daktari pandisha tu Mgonjwa mwingine. Hizo ni sterile. Usizione hivyo ukazidharau.😂
12
3
70
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
5 days
Tamisenga kuna forceps zimechoka Kama hivi afu kila siku unazikuta kwenye set za procedure. Afu kuna muuguzi aliyechoka anakwambia “usiogope Daktari hizo ni sterile”. Unajiuliza moyoni…Sterile kwa ng’ombe au Binadamu?😂 Jichanganye uzitupe. Mama mjamzito anakuzimikia mikononi.
17
7
83
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
5 days
Naona picha nyingi za graduation za MMED. Nakumbuasha: MMED bongo ni mtego unless una maelekezo makali.
9
3
91
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
6 days
Huyu anaongea Mashudu. Unafikiri Vifo vinazuiliwa na vitisho? Vifo vinazuliwa na uwepo wa watalaamu na vifaa tiba. Wodini hata gloves hamna Afu unataka kuzuia vifo vya akina mama? Tena sasa hivi ndio maternal zitakua back to back.😁
@mshambuliaji
Maulid Kitenge
7 days
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi, ameagiza kuchukuliwa hatua kali kwa Daktari, Mtaalamu wa Afya au Kiongozi atakayesababisha Kifo cha Mama na Mtoto huku akimwagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwa Madaktari wote Bobezi kuwafuata akina Mama wa kujifungua na kuwapa Huduma
17
8
67
@mshambuliaji
Maulid Kitenge
7 days
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi, ameagiza kuchukuliwa hatua kali kwa Daktari, Mtaalamu wa Afya au Kiongozi atakayesababisha Kifo cha Mama na Mtoto huku akimwagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwa Madaktari wote Bobezi kuwafuata akina Mama wa kujifungua na kuwapa Huduma
67
11
122
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
10 days
😂😂😂 Hoja nzuri.
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
10 days
Kwani wale milioni 32 waliotoka kupiga kura hawatoshi kusupport kazi za wasanii mheshimiwa Mbunge mtarajiwa?🤔🤔
0
0
17
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 days
Kumbe ni trillion. Eeh?🤣🤣
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 days
Tumemaliza kutumia billion 200 kwenye uchaguzi wa kiini macho lakini hatuna uwezo kufanya “desalination” ya maji ya baharini na kuwasambazia wakazi wa Dar. Wakazi wa kigoma, Mwanza, nyasa na wengine hawahitaji hata hiyo process bcoz maji yao hayana chumvi. Wanahitaji mitambo ya
3
1
32
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 days
Diaspora.😁
@gcngo88
Kazinja Medard Rwelamila Gerald
11 days
You lost this one Larry..move ON !
0
0
13
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 days
Tumemaliza kutumia billion 200 kwenye uchaguzi wa kiini macho lakini hatuna uwezo kufanya “desalination” ya maji ya baharini na kuwasambazia wakazi wa Dar. Wakazi wa kigoma, Mwanza, nyasa na wengine hawahitaji hata hiyo process bcoz maji yao hayana chumvi. Wanahitaji mitambo ya
33
22
196
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
11 days
Mshikaji wangu anaishi Masaki analia shida ya maji mpk kajoin group la Watsapp la Dawasa. Sijui hali ikoje kwa wanangu wa Gomz nature, gomz mwisho, chanika, Kibamba chama, Pugu mwisho, Geti jeusi etc
13
3
108
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
13 days
Raisi anatuma wawakilishi mpaka kwenye media. Yeye yuko wapii?😅
@TheChanzo
The Chanzo
13 days
Serikali yatoa neno maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika. "Serikali inawashauri wananchi wote ambao tarehe 09 Disemba 2025, hawatakuwa na dharura kuitumia siku hiyo kwa mapumziko."
5
3
47
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
13 days
Ulishindwa kustaafu kwa heshima sasa hivi Dunia nzima inakudharau.
@GPEChair
Jakaya Kikwete
14 days
Africa’s young people are shaping the future. @DohaForum, we discussed how quality education— paired with digital and foundational skills—can help them thrive in fast-changing economies and strengthen resilience across the continent. @qatar_fund @JDMahama @alexanderdecroo @UNDP
14
30
258
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
15 days
First year Niliwahi kuulizwa. With an aid of the diagram. Discribe the embryology of the heart.😂
@JC_by_AMS
Abdul M. Ssekandi, MBChB, MSc., M.A.P.S
16 days
Virginia Examiners were out for blood. 🩸
3
3
41
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
16 days
JINSI YA KUOMBA HADHI YA UKIMBIZI NCHINI MAREKANI AU ULAYA KIPINDI HIKI CHA MPASUKO TANZANIA. https://t.co/bXBG7VsfdK
6
12
94
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
16 days
Kuna nchi kila taasisi ni ya chama.😁
@ayubu_madenge
Ayubu Madenge
16 days
Marekani imeanzisha Ushirikiano na Kenya katika masuala ya Afya, ambapo Marekani itaipa Kenya Tsh Trilioni 4 kwa ajili ya kuimarisha mifumo ya Afya. Marekani imesema inashirikiana na Kenya Sababu Kenya wana taasisi na mifumo Imara ya Kiserikali. Makubaliano yamefanyikia huko USA.
4
1
58
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
21 days
Mwaka 2020 mshikaji wangu mmoja wa kitambo sana alikuja hospitali ambayo nilikua nafanya kazi akiwa na mtoto mgonjwa. Nikamsadia kupata Matibabu. Wakati fulani tulikaa chini akawa anaelezea matatizo yake kwamba ana watoto wawili kutoka kwa baby mama wawili na wanamla pesa
38
62
282
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
24 days
😂😂😂
6
5
73
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
26 days
Harusi tunayo.😀
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
26 days
Next time any African leader complains about @IntlCrimCourt case against African leaders ask him/her what did s/he do to intervene in #TanzaniaMassacre They love using “African solutions for African problems” to cover up each other’s atrocities and not to seek REAL justice Well
9
13
93