Nilisoma PCB 1 year nikaacha bcoz of pressure nikaenda HGE nikimaliza nikapata boom na course ya procurement. But deep inside I was still a doctor. Nikaamua kuanza diploma Ya medicine. After ten years I became doctor.
Lesson: kama unahisi you are in a wrong profession, change it
Madaktari wanaofanya kazi hospital za kanda wanaona wa hospital za mikoa ni less of doctors, hawa wa mikoa wanaona wa wilayani Hamna kitu, na wilayani wanaona vituo vya Afya Hamna kitu. Referal nyingi it’s bcoz daktari hana resource Sio Kwamba hajui cha kufanya. Let’s be humble.
Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7. Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi. Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili mimba iingie. Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote akijua yeye ni mgumba.
@MrBlackOG
I am on call tonight. I have patients to operate and it’s an emergency. I am changing now and leave my phone in a changing room. Good Night.🥰
Kama kijana unahitaji hizi 3.
1.saving account: Hii kwa matumizi yako ya kila siku. Rent, food etc
2.emergency account: Hii Itakusaidia kwenye majanga tu, usiiguse.
3.investment account: Hii Itakupa utajiri uzeeni kwa compound interest kama biahsara zako za ujanani zikifeli.
RC wa Tanga Omary Mgumba amewasimamisha kazi Mganga Mkuu wa Korogwe Salma Swedi na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Magunga Korogwe Dk.Heri Kiwale kupisha uchunguzi wa sababu zilizowapelekea kuchelewa kufika eneo la tukio baada ya ajali kutokea leo.
#MillardAyoUPDATES
Girls, kazi ya daktari wa kiume ni kukutibu tu.
Stop looking for unnecessary attention bcoz doctors are too busy for that.
Ushaambiwa Kanunue dawa fulani...unaanza ooh dukani mbali, ooh nimechoka, ooh sitaki kula..so what?
Reserve that for your man. 😎
@barbieSubrah
Hii sio confidence. Ni first stage ya grief inaitwa “denial”. Then anger, bargain, depression and lastly acceptance. People commit suicide with those fake confidence.
College students.
1. Weka nguvu sana kwenye connection.I.e attend seminars, trainings, exhibitions and etc
2. There is nothing like best college or Highest GPA huku mtaani anyone can be trained do most of the jobs.
3.If you are from poor background tafuta washkaji wa kishua.😃
Tuachane na mishahara. Nimesikia taasisi kama TRA wana bima kubwa kuliko zetu. Yaani kumbe hata tukiugua hatutibiki hospitali za maana?
Can someone confirm this?
Tusifichefiche mishahara na Hizo TGHS scales. Tuweke wazi kwamba MD, MMED, MPH, MSc, PhD gross ni 2.5M na take home ni 1.7M watu wajue moja wakalime matikiti.
@iamcleopatricia
Denial na anger stage imepita. Hii ni bargaining bcoz hapa anatafuta huruma na justification. Bado depression and acceptance. I said that was a fake confidence kwa ground it hurts.
Chief wetu mmoja alisisitiza sana tusikimbilie kuoa baada tu ya kumaliza internship. Tujipe muda kidogo wa kujitafuta kujua tunataka nini.
Huyu Chief kabla ya kua pale alikua amefanya kazi kwenye taasisi mbali mbali za private, mashirika, serikalini kabla kutulia pale.
Hilo
Niliwahi kumsikiliza padri mmoja alikua anafungisha ndoa. Akasema mapenzi yatapungua kwa at least 10% kila mwaka baada ya ndoa na baadae huenda yakaisha kabisa baada ya watoto and etc. Kitu cha msingi zaidi ni commitment.
In other words ukiamua kuzaa na boyfriend au Union
Wakati mnajitolea hospital za kibobevu mnawadharau wanaojitolea local NGOs kama THPS, MDH etc Kwamba hawajui procedure.
Lakini nawaambia within 5 years mkikutana nao kidimbwi mtajua mbivu na mbichi.
Kipindi hiko nyinyi Bado ni jeshi la miguu.😅
Narudia. Kama una ndoto za kusoma
Nje kaa mbali na vyuo vinavyotoa GPA ndogo.
GPA ya 4 from TIA ni bora kuliko GPA ya 2 from UDSM when it comes to scholarships.
Sijataja vyuo vya Afya bcoz sitaki ugomvi.😃
Shule kidogo.
Matumizi makubwa ya P2 huanza na tatizo la hormonal imbalance ambalo huweza kusababisha ugumu kwenye kubeba mimba.
Likifuatiwa na tatizo la endometrial hyperplasia Yaani seli nyingi ndani ya kizazi na mwisho ni endometrial cancer Yaani saratani ya kizazi.
Masters ambazo unaweza kusoma na kupiga hela kimya kimya bila inzi na kua na muda na familia yako.
dermatology, ENT, Optha, MPH, urology,plastic surgery….add more.
Jichanganye sasa na zile big 4. Utalala na viatu.
My girlfriend has more salary than mine and she is getting a new car. I will probably help her to order it from a good agent and pay for the first full tank and car insurance. Do you think she needs my money for to do hair and nails? Men you need to upgrade.
Mwaka jana nilifanya kazi Tanzania kwa miezi 7. Nikaja marekani nikafanya kazi kwa miezi minne.
Mwaka huu mamlaka ya kodi hapa marekani watanirudishia mara mbili kodi niliyokatwa kwenye mshahara wangu mwaka jana bcoz wamegundua nililipa kodi nyingi zaidi kuliko kipato changu.
Mtoto wa Darasa la pili anasoma shule ya Serikali ananiambia eti ana dola 100. Nikamuuliza umetoa wapi? Akasema, usipomiss Darasa mwaka Mzima shule inakupa dola 100, ukimiss mara 2 dola 75, mara 3 dola 50.Sasa anauliza bei gani wanatoa africa? Imebidi nicheke.😂
Miaka ya nyuma palikua hakuna specialists jobless bcoz waliokua wanaenda MMED walikua wanatokea makazini.
Sasa jobless MD wameanza kuunga MMED mpk super. Kuna kundi la jobless mabingwa na wabobevu liko njiani au tayari limeanza mdogo mdogo.
@prossoff
Kuna study moja ilifanyika ikaja na majibu kwamba 80% ya wanawake wanatembea na 20% of men who are rich and have good looks. Unajua sometimes ukiwa handsome anaweza asiwe wako lakini anakutunuku tu kisha anarudi kwa tajiri.😅
@AbroadTanzania
Pamoja na mapungufu mengi ya kauli zake ambayo yana reflect deep corruption in our country lakini amefundisha uvumilivu. Vijana wengi hatuna subira ya miaka 20. Una mwaka mmoja mtaani baada ya chuo ushakata tamaa.
@DrArabiFrank
Clinical officer uko tamisenga unachukua loan bank ukasome MD.😅
Huo uwekezaji ni mbaya kuliko kilimo cha matikiti. After 5 years utakuja kuishi maisha magumu zaidi unless una maelekezo sehemu.😅
@prossoff
Women are emotional being. Fall in love easily and fall out easily. Men are logical beings. fall hard in love and fall out even harder. As a man don’t take them seriously to protect your mental health.
Tamisenga hua wanafikiri eti kule RRH kuna maisha sana. Trust me hao RRH nimekula nao sana K vant na balimi sababu ya stress. Don’t waste ur money and resources eti unataka kuhamia huko.😅
Muheshimiwa, tuongeze idadi ya watumishi. Ratio ya nurses na wagonjwa ni mbaya sana. Nurse wawili wanahudumia anternatal, labor na post delivery. Practically it’s impossible.
Nimepokea Taarifa hizi kwa masikitiko makubwa. Tayari Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania linachunguza suala hili. Endapo tuhuma hizi zitathibitishwa tutatoa adhabu kali kwa wanataaluma hawa ikiwemo kuwasimamishia au kuwafutia kabisa usajili wao.
Kufanya mapenzi kila baada ya siku moja Wakati wa kujaribu kubeba mimba ni bora kuliko kufanya kila siku. Siku moja ya mapumziko ni muhimu kuongeza wingi na ukomavu we mbegu.