Dkt BASHIRU USITURUDISHE KWENYE TANZANIA YENU YA GIZA!!
Dkt Bashiru,
Nimeona maudhui yako udhi kwenye vyombo vya habari yakilenga kutweza juhudi na mafanikio makubwa ambayo Rais wetu kipenzi cha WaTanzania ameyafanya na anaendelea kutufanyia WaTanzania ndani ya muda mfupi