Ikitokea ajali ya gari ya IT nani anatakiwa kulipa fidia ya matengenezo ya gari, ni dereva?, mawakala? Au ndo imekula kwa mwenye gari?
Watu wengi wanauliza endapo ikitokea ajali ya gari za IT nani haswa anapaswa kubeba hasara za gari hiyo?
Fahamu machache hapa chini,
👇
Mkumbusheni Diamond kwenye hiyo mipango yake ya kutoa mawe back to back asiwasahau hawa jamaa watamshangaza,
Saiv ukisikia tu "Chino wana man" ujue kimenuka 😃😃
Chukueni Code hii,
Huyo Mtangazaji ametokea Zanzibar,
Ni mwembamba mweupe,
Aliwahi kufanya kazi hapa Dar tena media kubwa tu,
Aliwahi kupewa zawadi ya gari aina ya Crown,
Alikuwa na kipindi cha Burudani.
Sasa anahamia Efm
🚶♂️🚶♂️
Kwenye picha anaonekana Mwaisa mtu mbad "Nyonyoma" Jina lake kamili anaitwa Hakika Nyonyoma Mwapongo, Amezaliwa Mbeya maeneo ya airport mtaa wa Isengo pale.
O level kasoma Samora Mashel na Advance kasoma Tukuyu Day na Meta Secondary, Chuo Kikuu kasoma SUA "Bachelor of Science
Kumbe jamaa alianza ku control Pages za Biashara za Mo Dewj baadae akapata nafasi kwenda Pre session na Simba akaomba kazi ku control pages za Simba.
Saiv ana control Pages za Simba pamoja na za Mo ikiwemo account ya Twitter ya Mo,
Changamoto Simba ikifungwa watu wanatukana sana
Pale Wasafi Fm kwenye kipindi cha Sports Arena na Sports HQ kumeiva🙌
WATANGAZAJI
1. Ahmed Abdallah
2. Mwanaidi Selemani
3. Poul Mkai
5. Yusuph Mkule
6. Maulid kitenge
WACHAMBUZI
1. George Ambangile
2. Eddo Kumwembe
3. Nasri Khalifan
4. Oscar Oscar
5. George Job
6. Hans
Moja ya wachekeshaji wanaokuja kwa kasi Africa basi ni huyu anaitwa Manouton Officiel ni mchekeshaji kutoka Nchi ya Benin ndani ya mji wa Cotonou.
Huyu jamaa anachekesha bila kutoa sauti, pia ana video nyingi zinachekesha sana.
Kuna ile picha yake amekaa juu ya bati 🙌
Salute kwa Kampuni ya Mabasi ya BM, hii gari ilitoka Dar njian dereva akaona ina shida akapiga simu waletewe basi lengine kufika Kiluvya madukani ikasimama na lile lingine lilikuwa limeshafika ndani ya dakika 10 tu watu wamefaulishwa wameendelea na safari, nzuri sana hii Big up
George Mpole ni Mshambuliaji wa Geita Gold tena mtanzania mwenzetu huyu ana goli 12 sawa sawa na Mayele lakini watu hawamsemi kabisa,imefika wakati mtu anataman kuolewa na Mayele na wanashindwa kumpongeza Mtanzania mwenzao tuna safari ndefu sana, Appreciation tweet kwako pambana
Nimepanda Daladala kutoka Mnazi mmoja kwenda Mbezi,
Karibia kabisaa na Gate la uwanja wa mnazi mmoja dereva ameomba dakika chache akaswali alafu tutaendelea na safari.
Abiria wamekubali na hakuna aliyelalamika .
Mungu kwanza 💪
Huyu jamaa ni mzazi mwenza wa yule dada aliyekodi basi la ABOOD kutoka Morogoro hadi Dar, huyu jamaa nayeye amekodi basi kutoka Dar hadi Kahama, watalaam wa kubet hii inaitwaje?
😀😀😀😀😀
Kwa Taarifa nilizozipata ni kwelii bhn Dereva wa Super Feo Express iliyopata ajali asubuhi ya Leo Madam Halima amekatika mkono wa kulia, pole sana kwake so painful 😭😭
Hii ndo maana halisi ya Mfalme 🙌.
Amepiga show classic sana hakuna kelele wala kukimbia kimbia hovyo uwanja na uwanja mzima umeitika.
Pia DJ D Ommy amepiga back up kali sana kwa Ali kiba. Appreciation tweet kwao wamefanya kazi nzuri saana .
H Baba alimfwata Diamond mwenyewe kwenye Press na waandishi wa habari na baadae akamuomba wapaform na akamkubalia. Licha ya maneno yote aliyokuwa anaongea lakini jamaa amemsamehe tu.
Watu wengi walishangaa kwanini ameacha kazi kule BBC na amekuja Tanzania hakuna media yoyote anayofanya kazi, nadhani sasa jibu mmeshalipata.
Jamaa anajuwa sana, ana sifa zote za kuwa Msemaji Mkuu wa serikali ni swala la muda tu.
Ndege ya Precision Air imeanguka ziwani Mjini Bukoba Mkoani Kagera asubuhi ya Leo uokoaji bado unaendelea. Taarifa kamili itakuja baadae na itatolewa na mamlaka husika poleni sana aisee 😥😥
Kazi ya Ukonda alishawishiwa na rafiki yake tu baadae akafanya na akaipenda na kawa maarufu kabisaa,
Ana certificate kutoka chuo cha Ushirika Moshi pale, Ana miaka 21 tu kutoka kuwa Bus Hostess mpka PR wa Kampuni ya Mabasi ya Tilisho Safari's. 👊
Hongera zake sana Nice Mushi
Mimi na Diamond hatuna tatizo lolote na wakati najitoa WCB nimetoa zaidi ya Billion lakini mwisho wa siku tukafanya wimbo wa pamoja "Nitongoze" na jana tumetengeneza wimbo mwingine tena.
Rayvan leo ndani ya XXL Clouds Fm
Kuna watu wakikupa jina ndo limekaa hilo, mmoja wapo no huyu Baraka Mpenja.
Onana ameshapewa Jina la SOMBA SOMBA sisi kama mashabiki wa Simba tumekubalii 😀🙌
Kwenye taarifa ya Habari Leo UTV nimemsikia huyo shekhe anasema huyo wa pembeni ambaye ni Mama yake mzazi alikuwa anakuja kumuona jela kila week toka 2014 mpaka Leo wameachiwa huru, mwishoni akasema nani kama Mama?
Mungu ni mwema Leo wameachiwa huru na Mahakama wanarudi mtaani
Duniani hakuna kukata tamaa.
Huyu jamaa ni DJ , anaitwa DJ Sharifu ni Mlemavu wa macho haoni kabisaa lakini anakiwasha kama kawaida 🙌.
Friday Night Live Eatv
Kapricon ya Kutoka Iringa kwenda Mwanza asubuhi ya Leo wakati wapo njiani kuna mama alijisikia uchungu wa kujifungua ikabidi dereva apeleke basi hadi Hospital ya Migoli ili yule mama aweze kujifungua, pongezi kwao Kapricon 👊.
NB: Dada zangu mkiwa na hali ile hasa unakaribia