Edwin Odemba Profile Banner
Edwin Odemba Profile
Edwin Odemba

@chiefodemba

Followers
32,735
Following
247
Media
547
Statuses
1,008

MTANGAZAJI WA TAIFA. Host MEDANI ZA SIASA, Udsm Alumnus, LUO ICON, CEO. CHIEF ODEMBA ENTERPRISES LTD.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@chiefodemba
Edwin Odemba
27 days
STAR TV KUPITIA KIPINDI CHA MEDANI ZA SIASA, na sasa ikiwa ni MEDANI KUU, Inakuletea………..! MDAHALO WA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA SIASA NCHINI. LIVE kutoka ukumbi wa NEW LIBRARY ya CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM, Jumamosi hii Tarehe 31/08/2024, kuanzia saa 3:30 Usiku mpaka
Tweet media one
307
450
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
WHEN JESUS SAY YES, NO BODY CAN SAY NO…! Nakupongeza kwa dhati wakili Boniface Mwambukusi, kwa ushindi wako mkubwa, nakutakia kila la kheri katika majukumu yako mapya, safari yako ya ushindi umejaa hadithi ndefu yenye kusisimua na kuuzunisha, mwendo umeumaliza vizuri, hongera
Tweet media one
139
457
3K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
SALAMU ZA SHUKRANI…!🙏 Kwa heshima kubwa napenda kuwashukuru kwa dhati wa moyo wangu, Watanzania wote mliofuatilia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS jana kupitia televisheni, mtandao au kwa namna yoyote ile, kwa hakika mmetuheshimisha sana. Kipekee niwashukuru wale wote ambao
Tweet media one
313
360
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“NO COMMENT, NO COMMENT, NO COMMENT, Kuhusu tukio la kutekwa kwa Ndg. Edgar Mwakabela (SATIVA) mkazi wa wilaya ya Ubungo” Hassan Bomboko Mkuu wa wilaya ya Ubungo. Cc @chiefodemba
612
544
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
MUSTAKABALI WA TLS 2024 - 2027 Kama nilivyowaahidi siku ya Mdahalo kuwa atakayeshinda kwenye uchaguzi wa TLS atapewa heshima ya kipindi maalumu kwenye MEDANI ZA SIASA. Hivyo usiku wa leo 03/08/2024, nitakuwa na Rais mteule wa TLS Wakili Boniface Mwabukusi. USIKOSE @chiefodemba
Tweet media one
133
432
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
15 days
FAREWELL MZEE ALI MOHAMED KIBAO
Tweet media one
17
207
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
Usiku wa Leo na Makamu Mwenyekiti wa Chadema TUNDU LISSU. The heavy night. Cc @chiefodemba @TunduALissu
Tweet media one
113
387
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
NO COMMENT.
Tweet media one
Tweet media two
157
128
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
Ni muhimu wasikilizwe, Ni vyema Madai yao yakatafutiwa ufumbuzi wa kudumu. Tanzania ni yetu sote, tuipende, tuilinde na tuitunze.
88
471
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Ndg watazamaji, kushoto ni John Marwa Mkurugenzi wa JAMBO TV, wa pili ni Millard Ayo Mkurugenzi wa AYO TV, anayefuata ni Chief Odemba Mtanzania wa kawaida, wa mwisho ni Stansalaus Lambat - Mhariri Dar 24, wote ni waandishi wa habari.
Tweet media one
98
126
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Kuna mzee mmoja alipokaribia kufa akawaita watoto wake akawapa wosia ufuatao..! “Wanangu siku nikifa Bomoeni Nyumba hii kuna mali nyingi sana nilihifadhi Ardhini Chini ya Nyumba hii” Wale watoto wakaanza kumuombea afe wengine wakatamani hata kumlisha sumu ili Afe, baada ya
Tweet media one
206
220
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
Familia ya Mzee CHIEF ODEMBA KAGOSE, limepata pigo Jingine kubwa, wakati tunatarajia kumzika Kaka yetu HERMAN ODEMBA kesho Jumamosi, Kwa Masikitiko Makubwa tunatangaza kifo cha Kaka yetu mwingine JULIUS ODEMBA KAGOSE, kilichotokea leo 27/01/2023. Laleni salama Kaka zangu. 😭😭😭
387
72
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
TAARIFA, TAARIFA, TAARIFA STAR TV KUPITIA KIPINDI CHA MEDANI ZA SIASA, leo ikiwa ni MEDANI KUU, Inakuletea………..! THE FINAL TLS PRESIDENTIAL DEBATE 2024. LIVE kutoka ukumbi wa NEW LIBRARY ya Chuo Kikuu cha Dsm, Jumamosi hii 27/07/2024, kuanzia saa 3:30 Usiku mpaka saa tano
Tweet media one
139
363
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Mtoto wa Rais alikuja Nyumbani kwangu Usiku kunihonga nikakataa, aliletwa na mtu wa CHADEMA” TUNDU LISSU @chiefodemba @TunduALissu
54
272
2K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
NCHI YANGU TANZANIA
Tweet media one
147
259
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Mkataba huu ni wa kuuza Taifa kwa ufupi tumeuzwa, Barua anayotuletea Waziri Mbarawa na Msigwa ni Barua ya Mapenzi siyo ya mkataba, ni sawa na karatasi ya chooni” Dkt. Wilbroad Slaa. @chiefodemba
87
314
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Tundu Lissu ni muujiza unaotembea yawezekana waliomshambulia hawapo tena Duniani lakini yeye yupo, hivyo sina hofu na maisha yangu, Serikali inatikiwa ikosolewa asubuhi mpaka jioni kwa sababu inaendeshwa kwa kodi za watu” Wakili Boniface Mwabukusi - RAIS WA TLS . @chiefodemba
38
296
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Kama ulipitwa na mtanange huu, marudio ni leo Jumapili 28/07/2024 Saa nne kamili usiku huu - STAR TV. @chiefodemba
Tweet media one
58
139
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Walionishambulia kwa risasi watajulikana tu CCM itakapoondoka madarakani maana ni aibu kubwa kwa Taifa na kwa Rais Samia, Mbunge kushambuliwa kinyama kwa risasi akiwa kwenye majukumu yake ya ubunge inauma sana, Na gharama zangu za matibabu zitalipwa tu hata nikifa warithi wangu
31
231
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Mkatab wa Bandari ya Dar es Salaam ni wa milele haujabadilishwa hata punje, yaani kila nikikumbuka mkataba ule nakosa hamu ya kula, na nitakuwa nimetenda dhambi ya mauti kama nitasaliti msimamo wangu wa kupinga mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai” Wakili Boniface
49
248
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Bado naamini Waziri Mkuu hapaswi kuaminiwa na Watanzania, kauli hiyo itakufa endapo watafanya marekebisho ya Mkataba wa Bandari” Boniface Mwabukusi - RAIS WA TLS . @chiefodemba
48
181
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Siri kubwa ya mafanikio yangu ni kuiomba mizimu, mimi siendi Kanisani kabisa na siwezi ingia kwenye hizo Dini mtumba” YERICKO NYERERE @chiefodemba
168
174
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Kati ya wote waliohama Chadema, mtu ambaye amesema sana kuhusu M/kiti Mbowe ni Msigwa, amesema mengi sana kuhusu Mbowe, na kwa kuwa ametoka Chadema urafiki wangu na yeye umekwisha kabisa” TUNDU LISSU @chiefodemba @TunduALissu
38
196
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
“Sifahamu Mapato ya Soko la Kariakoo zinakokwenda, na sijui zilipo Bilioni 5 malipo ya Manunuzi ya Shirika la Usafiri Dsm (UDA)” MEYA WA JIJI LA DSM OMARY KUMBILAMOTO.
180
210
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
7 months
“Aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika Taifa” MAGUFULI Nchi ina vijana vya hovyo sana aisee. 🤣🤣🤣.
Tweet media one
252
110
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
16 days
Tonight with Mch. Peter Msigwa - KADA WA CHAMA CHAMA MAPINDUZI. Cc. @chiefodemba
Tweet media one
191
105
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
7 months
Dada zetu tukiwaambia kuna ishu tunasikilizia muwe mnatuelewa..! Lowassa & Regina many years ago ..! #farewelllowassa
Tweet media one
45
118
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
28 days
“Polisi wasichunguze kesi zinazowahusu polisi, hauwezi kuwa Jaji wa shauri yako mwenyewe” Wakili Nkuba @chiefodemba
17
182
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
30 days
“Nimeondoa pingamizi dhidi ya ushindi wa Mwabukusi, Alishinda kihalali na namtambua kama Rais halali wa TLS” SWEETBERT NKUBA - ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS- TLS 2024. @chiefodemba
59
175
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Nawatakia kila la heri katika uchaguzi wenu, nawasii mawakili wote chagueni kiongozi atakayetetea maslai yenu na maslai ya TANZANIA, Tuijenge Nchi yetu, Tulinde Nchi yetu, Tuipende nchi yetu, Tanzania ni kubwa kuliko mtu Mmoja.
Tweet media one
31
130
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
3 months
TUSIMAME NA WATANZANIA” @chiefodemba
Tweet media one
62
150
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
7 months
Watanzania tutafika mbinguni tuko hoi, Mchana kazi haziendi hakuna umeme, Usiku hatulali joto kali, Asubuhi chai hatunjwi hakuna sukari, unajitaidi unachaji simu kwa wanao wenye jenereta,vile unaingia mtandaoni unakutana na Prof. JANABI anasema hajanywa juice miaka 24 sasa, Dah😂
Tweet media one
107
134
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
MEDANI KUU: MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TLS
88
254
1K
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Msigwa alikuwa Mbeba Mabegi wa Mbowe, Chadema ilimtoa Iringa akiwa msafisha viatu amepauka balaa, ulikuwa ukimuangalia ni kama mgonjwa vile, isingekuwa Chadema hata huyo Asas asingemjua, na kama anaona Mbowe anajinufaisha na Chadema akakae basi kwa mbowe Machame, au aje kwangu
49
146
993
@chiefodemba
Edwin Odemba
3 months
Nilipozungumuza na KADA WA CCM June 12/2021,Mchungaji Peter Msigwa, kwa wakati huo akiwa M/kiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, alisema …! $$&&!#€£¥&$£¥€$ Cc. @chiefodemba
114
220
969
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Usiku wa Leo kwenye MEDANI ZA SIASA, Nitakuwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Bw Hassan Bomboko. @chiefodemba
Tweet media one
131
78
943
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Muda wa mwisho kuingia ni saa Mbili na nusu usiku, Tuzingatie Muda, KARIBUNI SANA.
Tweet media one
31
59
921
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
Usiku wa Leo na Wakili Sweetbert Nkuba, aliyekuwa mgombea Urais TLS 2024, na Kada wa Chama cha Mapinduzi - CCM. @chiefodemba
Tweet media one
69
78
911
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Ukiona Zito Kabwe na ACT wanapiga kelele ujue njaa imeanza wakipata tu chakula wanakaa kimya ndio maana nakwambia Tanzania chama pekee cha upinzani ni Chadema, Chadema hakiwezi kufa ukitaka kuiua Chadema utaondoka wewe, Chadema siyo kama vile vyama vya kwenye (Flash)” YERICKO
58
151
909
@chiefodemba
Edwin Odemba
23 days
#LIVE :JOHN MNYIKA, DKT. NCHIMBI, ADO SHAIBU, MARTHA CHIOMBA NA AHMAD MASOUD NDANI YA MEDANI ZA SIASA
123
131
870
@chiefodemba
Edwin Odemba
16 days
“Chadema ndio wanakwamisha upatikanaji wa Katiba Mpya na si CCM kama nilivyosema awali, kipindi kile niko Chadema nilikuwa mjinga, sasa nimepata ufahamu nimegundua kuwa nilikuwa nadanganywa” Mch. Peter Msigwa - KADA WA CCM Cc. @chiefodemba
228
109
842
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
KUMBUSHO DAWSON KAGINE dhidi ya kaka NAPE MOSES NNAUYE. Cc. @chiefodemba
17
114
826
@chiefodemba
Edwin Odemba
4 months
Haya marafiki zangu, mnaofunga ndoa, MC wenu niko hapa kusherehesha harusi yenu kwa viwango vya juu. MC @chiefodemba Suti yangu imeshonwa na wakali wa hizo kazi. #LUOIMBOSTORE . NB: SIULIZI MASWALI HARUSINI.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
92
107
783
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Reply kama mwananchi wa kawaida..! 😂
Tweet media one
176
87
720
@chiefodemba
Edwin Odemba
25 days
MDAHALO WA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA SIASA NCHINI, KARIBUNI SANA. 31/08/2024, Maktaba Mpya ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Kuanzia saa 3:00 Usiku hadi saa 6:00 Usiku. Cc. @chiefodemba
14
134
721
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
😀😀😀😀. Kaka.!
@privaldinho
Privaldinho
8 months
Hiki chuma kina maswali 😂😂. Kwanza kimakutisha kwa namna kinavyokaa nusu kiti 😅🙌🏾🙌🏾. Napenda composure yake. Haumi umi maneno.
Tweet media one
97
62
2K
46
35
719
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Prof. Shivji ni kama Dictionary (Kamusi) ya Sheria hapa Nchini na Dunia inamtambua kwamba ni mtalaam wa Sheria” Dkt. Wilbroad Slaa @chiefodemba
30
169
700
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Mbowe ni Alfa na Omega ndani ya CHADEMA, na tutakuwa nae hadi azeeke au mpaka CCM itoke Madarakani, na ili CCM iondoke madarakani inahitaji mtu tajiri (wealth man) hivyo hatuwezi kukubali kumpoteza Mbowe hata iweje” YERICKO NYERERE. @chiefodemba
57
107
704
@chiefodemba
Edwin Odemba
4 months
NYASA TUNAKWENDA NA NANI ..? Usikose kufuatilia MDAHALO kati ya magwiji wa siasa Nchini Tanzania, Mch. PETER MSIGWA na JOSEPH MBILINYI (SUGU). Mdahalo huu utarushwa mubashara kupitia Runinga ya STAR TV na mitandao yake ya kijamii katika kipindi cha MEDANI ZA SIASA, siku ya
Tweet media one
Tweet media two
82
110
692
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
Ila wezentu bhana wanajua sana uwajibikaji, Kiongozi wa idara flani akiisi tu kuna mahali idara yake imefanya makosa mapema sana anaachia ngazi, sasa njoo huku kwetu utasikia, ………………………………………………..!
Tweet media one
Tweet media two
107
88
696
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
DANADANA YA JOIN THE CHAIN “Kwenye Join the chain tulikusanya fedha nyingi sana,na jukumu la kusimamia Join the Chain nilimuachia M/kiti Mbowe, hivyo siwezi kusema tulikusanya kiasi gani kwa sababu mimi si mweka hazina wa chama na wakati mwingine siyo lazima sana kukuambia” Lema
115
110
666
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
YUKO WAPI BEN SAANANE…? Godbles Lema amesema kuna jambo aliambiwa na Makonda kuhusu Ben Saanane, hata hivyo Lema amekataa kuweka wazi alichoambiwa. “Kamuulize Makonda yupo wapi Ben Saanane na aliniambia nini tulipokutana kwenye sehemu ya Chakula” @chiefodemba @godbless_lema
64
114
678
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
Tonight with (Mama Tanzania ) JAMES MBATIA. @chiefodemba
Tweet media one
40
62
671
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Hakuna chama chenye uadilifu na uwazi katika masuala ya fedha kama Chadema, kwa sababu tunajua tunawindwa na kuna wakuda kama wewe Odemba, Milioni 120 ya Ruzuku tunayopata haitoshi hata kuendesha kanda yangu ya kaskazini pekee, ili nizunguke kanda ya kaskazini naitaji 200M”LEMA
56
83
670
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Tatizo watanzania mnapenda kudanganywa mimi siyo muongo, natekeleza ilani ya CCM, Madiwani na Wabunge ni wa CCM, na nitahakikisha CCM inapata viongozi kwa ngazi zote katika wilaya yangu, maana chaguzi zote za Tanzania zimekuwa huru na haki” Hassan Bomboko DC Ubungo Cc.
120
107
657
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
Usiku wa Leo na Mchawi wa Kigamboni, Yericko Nyerere.! @chiefodemba
Tweet media one
18
48
662
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
Kwa nini Picha ya Meya wa zamani wa Dsm Isaya Mwita imeondolewa karimjee..? Majibu ya meya wa sasa Omary Kumbilamoto. 👇👇
82
87
641
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Mohamed Dewj (MO) ni mfanya biashara mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri hivyo niliamua kumpuuza na kumuondoa kwenye listi ya marafiki zangu” Dkt. HAMISI KIGWANGWALLA @chiefodemba @HKigwangalla @moodewji
152
112
642
@chiefodemba
Edwin Odemba
3 months
Nimelaani vikali mauaji ya kikatili dhidi ya mtoto Asimwe, mtoto mdogo asiye na hatia,tunaishi kwenye Dunia iliyojaa watu katili, wenye roho za chuki, wamekatisha maisha ya huyu binti mdogo kwa uroho wa pesa, wamechinja mwili wake kama mnyama, mkono wowote uliohusika kuondoa uhai
Tweet media one
58
127
633
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
Leo saa 3:30 Usiku nitakuwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA. Mhe. Tundu Lissu. Katika kipindi chetu pendwa cha MEDANI ZA SIASA. Usikose. @TunduALissu @chiefodemba
Tweet media one
53
98
625
@chiefodemba
Edwin Odemba
6 months
“Kama kuna watu ninawaofia kwenye uchaguzi Arusha Lema hayupo miongoni mwao, na kama ningekuwa na uwezo wa kuwapangia Chadema kuweka mgombea ninayemtaka kule Arusha ningemchagua Lema kwa sababu ndiye mtu nina uhakika wa kumshinda asubuhi na mapema, Lema amekufa kisiasa hata
121
95
628
@chiefodemba
Edwin Odemba
5 months
“Makonda anataka yeye ndiye awe chawa mkuu wa Rais Samia, anamlazimisha Rais amsikilize yeye sana kwamba yeye ndiye msema kweli, Mimi kwenye serikali yangu sitahitaji machawa wala watu wakujipendekeza kwangu” Hashim Rungwe - M/KITI CHAUMA @chiefodemba
20
94
611
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Nina uwezo wa kumwajiri Mrisho Gambo na nikamlipa fedha anazolipwa Bungeni, Hakuna wakati ambapo Arusha limepata maendeleo kama wakati wangu, kwa jinsi ninavyopendwa na watanzania hata nikigombea majimbo matatu kwa wakati mmoja nashinda vyote”LEMA @chiefodembatz @godbless_lema
28
72
607
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Naitaji sana pesa za Mawaziri ninaowakosoa kama zipo wanipe Maana hawana uvumilivu wa kukosolewa, na nitaendelea kufanya hivyo kwa sababu mimi ndio bosi wao” MARTIN MARANJA - KADA WA CHADEMA @chiefodemba @IAMartin_
35
107
604
@chiefodemba
Edwin Odemba
4 months
MDAHALO MSIGWA & SUGU “Kama kiongozi lazima ujaribiwe mimi nilijaribiwa sana lakini nilishinda Majaribu, Nimepimwa, Nimethibitishwa nimethibitika kwamba naweza kuongoza Nyasa” Mch. Msigwa @MsigwaPeter SUGU: Msigwa ungetii wito wa Magufuli wa kwenda ikulu wenda ungesaidia
113
119
596
@chiefodemba
Edwin Odemba
6 months
Tonight with Dr. Faustine Ndugulile. @chiefodemba @DocFaustine
Tweet media one
61
57
589
@chiefodemba
Edwin Odemba
5 months
“Kila tukienda kwenye mikutano ya vyama vya Siasa CCM inachukua pesa za wananchi inatulipa ili ionekane nchi hii kuna demokrasia, hakuna dawa hosptalini ila pesa za kutulipa wanapata na sisi hatutaacha kuzichukua” Hashim Rungwe @chiefodemba
87
125
581
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Nafikiria kuwa mwandishi wa habari baada ya kustaafu Urais” PAUL KAGAME
Tweet media one
42
32
575
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Mimi sina hatia ndani ya NCCR MAGEUZI, nimeikuta NCCR ikiwa na wabunge 19 na sioni aibu kuiacha bila mbunge hata mmoja, nilifukuzwa Chuo Kikuu kwa sababu ya NCCR, na watu wajue kuwa sikuwahi kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti wa NCCR nililazimishwa tu”JAMES MBATIA @chiefodemba
50
62
576
@chiefodemba
Edwin Odemba
9 months
Nawatakia heri ya mwaka mpya watanzania wote, na kwa namna ya pekee kabisa nawatakia heri ya mwaka mpya mashabiki wangu wa MEDANI ZA SIASA kwa imami yenu kwangu kwa mwaka wa 2023, nawaahidi Mazuri 2024, ima ni kwa ima ni kwa Jua SITAWAANGUSHA. 🙏🙏 #wembeniuleule @chiefodemba
Tweet media one
50
58
576
@chiefodemba
Edwin Odemba
10 months
“CCM kumteua Makonda kuwa Msemaji wao wamefeli sana kwa sababu Makonda hata shuleni alifeli, Makonda hafai kuwa hata Mjumbe wa Nyumba kumi alipaswa kuwa Jela” YERICKO NYERERE - KADA WA CHADEMA @chiefodemba @YerickoNyerereT
63
128
570
@chiefodemba
Edwin Odemba
10 months
“Tanzania hakuna wabunge, kuna wapiga makofi Bungeni, kazi ya Wabunge ni kuwatetea wananchi siyo kusifia serikali” JOHN HECHE @chiefodemba @HecheJohn
20
122
569
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Tunataka taarifa za kina kuhusu alipo Paul Makonda, Mtu kama Makonda kutafutwa na watanzania ni kutowajibika kwa kiwango cha kutisha kwa viongozi, kiongozi wa umma haki yake siyo faragha” Wakili Boniface Mwabukusi - RAIS WA TLS @chiefodemba
13
88
578
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Chadema ni cha Mbowe na Lissu, hivyo kama chama kikiyumba ni Lissu ndiye kayumbisha na siyo mtu mwingine, na mimi Yericko ndiye nimeshikilia mfumo wa kuendesha chama” YERICKO NYERERE . @chiefodemba
59
66
556
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
Happy birthday to me . @chiefodemba
Tweet media one
51
38
541
@chiefodemba
Edwin Odemba
6 months
“Hapo nyuma wapinzani wetu walinyimwa uhuru wao wa kufanya siasa lakini kwa sasa haki hiyo wamepewa na wanafanya siasa zao kwangu mimi ni jambo jema sana, Siungi mkono Maandamano ya Chadema lakini hoja wanazoziibua kwenye maandamano yao yanafika kwa jamii na yanafika kwa
73
99
544
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 years
27
112
527
@chiefodemba
Edwin Odemba
4 months
Nani ni nani , MSIGWA au SUGU …? Usiku huu.
Tweet media one
76
48
537
@chiefodemba
Edwin Odemba
14 days
Tweet media one
18
39
538
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Kama ni kweli CCM imetoa fedha kwa Chadema kununua ofisi kama anavyosema Makonda, basi ni muhimu Chadema wampe M/kiti na Katibu Mkuu wa CCM kadi ya Chadema na wawe wajumbe wa kamati kuu ya Chadema kwa sababu wana mapenzi makubwa na Chadema” LEMA @chiefodemba @godbless_lema
15
81
520
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
Usiku wa leo 27/01/2024 katika Medani za Siasa, Nitakuwa na M/kiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini Ndg. Godbless Lema. @chiefodemba vs @godbless_lema .
Tweet media one
44
79
510
@chiefodemba
Edwin Odemba
3 months
“Kiongozi lazima ajaribiwe, lazima uwe tested, Mimi nimejaribiwa nimethibishwa na nimethibitika kuwa niko imara” Mch. Peter Msigwa. Cc @chiefodemba Outfit #LUOIMBOSTORE
63
69
511
@chiefodemba
Edwin Odemba
24 days
Mdahalo wetu wa Makatibu Wakuu wa vyama vya siasa ni kesho Jumamosi Tarehe 31/08/2024, saa 3:00 Usiku. CCM @ccm_tanzania Dr @nchimbie , CHADEMA @ChademaTz Katibu Mkuu @jjmnyika , ACT WAZALENDO @ACTwazalendo Katibu Mkuu @AdoShaibu CUF - Katibu Mkuu, Ahmad Masoud. NCCR
Tweet media one
42
99
514
@chiefodemba
Edwin Odemba
27 days
“Matukio ya utekaji ni ya kulaaniwa, niwaombe vyombo vya ulinzi na usalama kusimama imara na kuhakikisha kwamba wanachakua hatua za haraka pale uhalifu utaporipotiwa” Wakili Nkuba @chiefodemba
8
77
495
@chiefodemba
Edwin Odemba
7 months
I have signed the book of mourning at the home of the late Lowassa, I offer my condolences to the family, the people of Monduli and the nation in general, our nation has lost a true hero. A man may die, but his legacy will live on through his actions while he is alive. FAREWELL
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
38
493
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Ni kweli nilikuwa nadaiwa pesa nyingi sana, lakini mimi siogopi kukopa na hata kama lile Bunge lingekuwa linakopeshwa ningelikopa jinsi lilivyo na wabunge wake wote niwapeleke mahali wakapigwe msasa wa akili” LEMA @chiefodemba @godbless_lema
19
73
492
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
When Baba is happy the world is happy, the illustrious Leader . JAKOM @RailaOdinga @chiefodemba
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
29
45
472
@chiefodemba
Edwin Odemba
6 months
Usiku wa Leo kwenye kipindi cha MEDANI ZASIASA nitakuwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo. Don’t miss. @chiefodemba @mrishogambo
Tweet media one
53
35
481
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 month
“Hesabu za JOIN THE CHAIN ziwekwe wazi hazitujengei picha nzuri kama chama, Wale waliokuwa wanapokea hizo pesa waseme, mimi siamini kama kuna cha kuficha, ni haki ya watu kuuliza na ni sahihi kwao kupata majibu” TUNDU LISSU @chiefodemba @TunduALissu
31
70
481
@chiefodemba
Edwin Odemba
5 months
SEKE SEKE LA UMILIKAJI WA ARDHI ZANZIBAR. Sehemu ya mahojiano ya @chiefodemba na Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemed Suleimam. Cc. @chiefodemba tbt.
62
100
477
@chiefodemba
Edwin Odemba
10 months
“Njia ambayo CCM wameitumia kumwondoa KM Chongolo, ndiyo njia watakayotumia kumuondoa M/kiti wao Mama Samia 2025, haiwezekani sms za mapenzi imng’oe KM wa chama kwenye nafasi yake, eti leo hii Makonda anayetuhumiwa kuua watu ni msafi kuliko Chongolo” @YerickoNyerereT @chiefodemba
20
95
465
@chiefodemba
Edwin Odemba
2 months
“Matokeo ya mlichokiona pale (Kufukuzwa) na wafanyabiashara wa soko la Simu 2000 ni tafsiri sahihi ya kutafsiri maono ya Rais Samia kuwa viongozi tusiwe wababe” Bomboko - DC Ubungo . Dc amesema kinachoendelea pale ni siasa inayofanywa na watu wa chadema , ambao wanataka
51
56
463
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Napinga Ushoga kwa nguvu zangu zote, Mungu alituleta hapa Duniani tuzaliane na kuijaza Dunia, Serikali ieleze bayana msimamo wake kuhusu suala la Ushoga & Usagaji, kwani kila siku serikali yetu inapiga magoti kwa mataifa yanayounga mkono ushoga kuomba mikopo”MBATIA @chiefodemba
19
56
459
@chiefodemba
Edwin Odemba
9 months
Leo amezaliwa mtu muhimu sana Duniani Mzee wangu,kiongozi wangu na rafiki yangu Amolo Wuod Oganda, Chuma liet ok mak gi lwedo Raila Amolo Odinga. Happy Birthday Baba, I wish you a long and healthy life JAKOM. @RailaOdinga
Tweet media one
Tweet media two
22
36
456
@chiefodemba
Edwin Odemba
8 months
“Chadema tulimpa Rais Samia tuzo kwa sababu nayeye alitoa zawadi ya vitenge, kama ile tuzo ingetolewa leo, nadhani hata wasaidizi wake wasingemruhusu kwenda pale” Godbless Lema @chiefodemba @godbless_lema
34
59
453
@chiefodemba
Edwin Odemba
10 months
“Mimi Siyo SHOGA, Sijihusishi na Ushoga na nachukia Ushoga, Siprian Musiba alikosea sana kuniita SHOGA” Suphian Juma - KADA WA CCM. @chiefodemba @SuphianJuma
110
74
446
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Ruto alimwandikia Rais Samia Barua ya kutupatanisha akamweka ‘boya’ kwa siku mbili bila kutokea, Ilikuwa aibu kwa Rais wa nchi jirani kufanyiwa kitu kama hiki” RAILA ODINGA @chiefodemba @RailaOdinga @WilliamsRuto @AzimioTv
23
105
436
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
“Utofauti kati ya Chadema na CCM ni kwamba Sisi tukibaini ubadhirifu tunachukua hatua hata kabla CAG kutoa ripoti yake, CCM wao wanawalea” BONIFACE JACOB @chiefodemba @ExMayorUbungo
31
83
437
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
Usiku wa leo @chiefodemba atakuwa na Kinara wa Upinzani Nchini kenya Eng. @RailaOdinga . DSTV CHANEL 389 Usikose. @chiefodemba @RailaOdinga @AzimioTv @TheODMparty
Tweet media one
22
67
433
@chiefodemba
Edwin Odemba
1 year
Tweet media one
27
30
420