Nimelaani vikali mauaji ya kikatili dhidi ya mtoto Asimwe, mtoto mdogo asiye na hatia,tunaishi kwenye Dunia iliyojaa watu katili, wenye roho za chuki, wamekatisha maisha ya huyu binti mdogo kwa uroho wa pesa, wamechinja mwili wake kama mnyama, mkono wowote uliohusika kuondoa uhai