ππ½Safi sana kaka
@HecheJohn
Walikuwa hawana taarifa kuwa utakuwepo eh? π€£ Yaani ulipoanza kuuliza maswali hadi mood ilibadilika π€£
Well done
@ChademaTz
msirudi nyuma ππ½
Polisi waache kutumika na wanasiasa π mwisho wa siku watakuja kulia tuwatetee wakitupwa nje
#TutaelewanaTu
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
Heche utampenda tu alishajitoaga ufahamu zamanii...hawa wasakatonge wanaotumwa kama mazuzu hawawezi kumsumbua .... yaani kuna watanzania wenzetu ni wajinga na wapumbavu sana...
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
πππ
@HecheJohn
anamuuliza Polisi unazuia watu kufanya kazi zao wewe nani kakuzuia kufanya kazi yako πππππ. Kuna wakati Polisi wetu wanatakiwa wajue wao wapo kwa ajili ya Watanzania wote siyo watumwe na mtu kwa maslahi ya mtu mmoja. Kodi zetu ndo zinazo walipa mishahara
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
@HecheJohn
NI JEMBE SANA πππkamuuliza maswali ya msingi sana alafu akamalizia twendeni kwenye kikao ππ huu ndo ujasiri tunaoutaka kila Mtanzania ajitokeze na kukemea huu uvunjifu unaofanywa na watu wachache nsani yavyombo vyetu vya usalama .
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
Nawashangaa sana Polisi wa nchi hii embu muwaache wanasiasa wapambane kwenye majukwaa au acheni kz ya upolisi muungane na ccm tujue moja
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
I love it,here we go. Kuirudisha mikononi mwa wananchi hii inchi inawezekana,ni suala la muda tuu. Mungu azidi kutujaalia wakina
@HecheJohn
1,000+ wakutosha,vijana wataamka tuuu.
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
John Heche no mwamba was hatar,yote kwa yote Hawa jamaa wamekamilka kwa kila Aina ya ujasili,mungu atawalipa siku moja inshallah.
@MariaSTsehai
@HecheJohn
@ChademaTz
Heche ni aina ya viongozi wachache wa kutumainiwa katika nchi hii! Hana uoga na anaongea facts mda wote ni ngumu sana kumtoa kwenye reli! I like this confidence aiseπͺπΏππΏ