Huyu dogo namuona Hansi and Ambagile kulijua soka. Pamoja na kushiriki UMITASHUMTA na UMISETA kiwanja second miaka hiyo ila sijawai elewa role za no.8 kipindi hicho dogo mdogo fundi, Hakika ni hazina kwa nchi katika soka anahitaji kushikwa mkono
@George_Ambangil
@Hansrafael19
@TotolaMamNtilie
@George_Ambangil
@Hansrafael19
Orlando Timu yake iliyofungwa zuberi cup,infact dogo ana akili ya mpira ...mapumziko timu yake ilikuwa inaongoza goli 1 akanifata akanambia "bro niamn mm mnafungwa" mchezo ulivoisha akanifata tena "bro sinilikwambia"