Jakaya Kikwete Profile
Jakaya Kikwete

@jmkikwete

Followers
1,784,623
Following
79
Media
362
Statuses
3,206

4th President of Tanzania| Chancellor, University of Dar-es-Salaam| Chair, GPE Board| Co - Chair, HLC on #ICPD25 | Chair, SADC Panel of Elders (PoE)| Chair, JMKF

Msoga, Tanzania
Joined March 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimefarijika sana leo nikiwa Bagamoyo kukutana na Mwalimu Calistus Nazari aliyenifundisha darasa la 6 Lugoba Middle School mwaka 1963. Nimefurahi kumuona ana afya njema na nguvu pamoja na kuwa na umri wa zaidi ya miaka 80.
Tweet media one
1K
1K
16K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nawatakia waislamu wenzangu na Watanzania wote Eid Mubarak.
2K
918
14K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
What a wonderful bird's eye view of our beautiful Mount Kilimanjaro, I was able to capture today February 12th, 2020. I was on a TGFA flight from Nairobi to Dar es Salaam. I have never been this lucky before and I have seen this much snow.
Tweet media one
701
2K
13K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nawashukuru wote mlionitumia salamu na kunitakia heri kwa kufikisha umri wa miaka 70. Nimeelemewa na upendo wenu mkubwa mlionionyesha. Nawapenda sana.
1K
975
13K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Nawatakia nyote heri ya mwaka mpya wa 2022.
1K
830
11K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimetumia wikiendi yangu kumtembelea Mwalimu Raphael Semindu Simon aliyenifundisha darasa la kwanza katika shule ya Msingi Msoga mwaka 1958. Nimefika nilipofika kutokana na mchango wake adhimu.
Tweet media one
Tweet media two
1K
732
10K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Siku kama ya leo, miaka 67 iliyopita nilizaliwa kijijini Msoga, Pwani. Namshukuru Mungu kwa rehema zake, umri mrefu na afya njema.
3K
894
9K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimetoka kuwatembelea tausi wangu. Wameanza kuzoea mazingira mapya, wanakuwa wenyeji na wanaendelea vizuri. Wananiburudisha katika ustaafu wangu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
967
405
8K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimetoka kuwatembelea wakazi wangu wapya (tausi) katika makazi yangu hapa Msoga. Wamefika salama na 'wanajisikia nyumbani'. Namshukuru Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kwa zawadi yake hii kwangu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
836
471
8K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
8 months
Leo nimetembelewa na Profesa J nyumbani kwangu Kawe. Ni furaha iliyoje kuona afya yake imeimarika. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkubwa!
Tweet media one
471
565
8K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Nimepata tabu kuandika kwa kifupi kuelezea simanzi na masikitiko yangu kwa msiba mkubwa ulioukumba nchi yetu kwa kuondokewa na mpendwa wetu Mheshimiwa Rais @MagufuliJP . Nimelazimika kuyaambatisha hapa chini. Mwenyezi Mungu amuweke mahala pema, peponi.
Tweet media one
670
1K
7K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Nimepata wasaa wa kutazama #SlayOnNetflix na kumuona @IdrisSultan katika sinema hii. Nimefarijika sana na hatua hii aliyopiga. Ametuweka Watanzania kwenye uso wa #Netflix . Ni mwanzo mzuri sana. Tumuunge mkono afanye vizuri zaidi, na azidi kututoa kimasomaso huko mbeleni.
284
943
7K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
1 year
Happy Birthday @SuluhuSamia . I wish you long, healthy and fulfilling life. On this auspicius day, please receive heartly congratulations on the wonderful work you're doing for our dear country, at home and abroad. Please continue the good work! We support you and we'll always do.
Tweet media one
361
533
7K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
It is always my pleasure to catch up with my brother @GEJonathan . Unlike the past, today, there were less security details, less protocols, no formal agenda and no official photo. Life after Presidency sounds so cool. More freedom, more real!
Tweet media one
300
624
6K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Taifa Stars leo mmenipa raha. Ushindi mmoja, ndio mwanzo wa ushindi mwingine. Kila la kheri. #AFCON
271
591
6K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nawatakia nyote heri ya mwaka mpya wa 2019.
776
389
6K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa taarifa ya kifo cha mzee wetu Job Malecela Lusinde.Mmoja wa mashujaa wa kudai Uhuru wa nchi yetu na ujenzi wa taifa letu changa hatunae tena. Daima tutamkumbuka kwa mchango muhimu alioutoa kwa ajili ya nchi yetu.
Tweet media one
481
304
6K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Napenda kuwajulisha na kuwapa tahadhari kuwa akaunti ya @KikweteMrisho inayotumia picha na utambulisho unaotaka kufanana na wangu si akaunti yangu, wala si ya mtu ninayehusiana nae. Sihusiki na ujumbe wala maudhui yake. Chukueni tahadhari mnaposambaza ujumbe unaotokana nayo.
437
747
5K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Kuna siku nilimsihi @MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine zaidi ya muziki pekee. Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya ya “body spray”. Hii ni hatua kubwa na nzuri kwa vijana wetu. Tuwaungishe!
Tweet media one
Tweet media two
377
692
5K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo cha Ruge Mutahaba. Taifa limepoteza kijana wake mahiri, mbunifu na mzalendo wa kweli. Nimepoteza rafiki, mshirika mwaminifu na mtu ambaye amenisaidia kwa mengi ktk uongozi wangu na hata baada ya kustaafu.
Tweet media one
559
576
5K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mzee Hassan Nasoro Moyo. Tumepoteza mmoja wa viongozi wetu mashuhuri. Atakumbukwa daima kwa mchango wake muhimu katika kuendeleza Mapinduzi ya Zanzibar na kudumisha Muungano wetu. Innalillahi Wainna Ilaihi Rajioun.
Tweet media one
363
314
5K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimestushwa na taarifa za kifo cha msanii wa kizazi kipya GodZila. Alikuwa kijana mdogo mwenye ndoto kubwa na ameondoka wakati ambapo bado mchango wake ulihitajika. Nawapa pole familia ya Marehemu na wasanii wote kwa msiba huu. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema.
Tweet media one
351
544
5K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimeitikia wito wa Serikali na Mhe Rais @MagufuliJP wa kusajili laini za simu kabla ya tarehe 20 Januari, 2020. Nimekamilisha kwa kusajili laini yangu ya mwisho leo. Namshukuru Obrien kutoka @Tigo_TZ kwa kunisajili. Nawahimiza na wengine kufanya hivyo kwai siku zimebaki chache.
Tweet media one
Tweet media two
426
256
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Alikuwa na atabaki kuwa Mwalimu wetu.
Tweet media one
464
474
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Karibu tena nyumbani. Hongera kwa uamuzi wa busara.
Tweet media one
469
489
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nawatakia nyote heri ya mwaka mpya wa 2018.
664
316
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Leo nimewatunuku Shahada za Kwanza wanafunzi wapatao 4,298 wa @udsm . Kati yao, wanawake ni 1,973 sawa na asilimia 45.9. Nilifarijika zaidi kuona katika wahitimu wawili, Bi. Edna Meela na Irene Msengi miongoni mwa walioongoza kwa GPA kubwa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
213
387
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Kwa heri Mzee James Mapalala. Utakumbukwa daima kwa mchango wako muhimu uliotoa katika kukuza na kuendeleza demokrasia ya vyama nyingi nchini. Kapumzike kwa Amani. Ameen
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
269
235
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Mara zote nikipita njia ya Mikumi kurejea Dar es Salaam huwa napenda kusimama hapa Msimba kununua ndizi kwa hawa vijana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
509
417
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Happy Birthday to Your Excellency President @SuluhuSamia . May you live a long, healthy, happy and fulfilling life. May God Almighty shower His bountiful blessings unto you as you steer the affairs of our great nation. May He answer your dreams for our country and its people.
Tweet media one
262
270
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Kuteleza si kuanguka, hakuna lisilowezekana, bado mechi 2 mbele. Songa mbele #TaifaStars .
424
340
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
I received the news of the passing on of former President Kenneth Kaunda (KK) with shock and a deep sense of sadness and sorrow. I convey my heartfelt condolence and sympathies to Your Excellency President @EdgarCLungu , KK's family and the friendly people of Zambia.
Tweet media one
145
383
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Leo nimejumuika na wananchi wenzangu wa Msoga kwenye Mkutano wa Kujadili Mpango wa Matumizi ya Ardhi (2019-2029) wa Kijiji cha Msoga. Kwa sisi wastaafu tunaoshughulika na shughuli za kulima na kufuga, kikao hiki kinahusu hatma yetu.
Tweet media one
Tweet media two
487
274
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Mimba si ugonjwa,tufanye kila tuwezalo mama na mtoto wasipoteze uhai wakati wa kujifungua.Tukio la kujifungua lapaswa kuwa shangwe si huzuni
371
725
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
I congratulate you President @UKenyatta for being reelected as President of Kenya. I thank you for the invitation to attend your inauguration. I regret I will not be able to make it due to a prior commitment. I wish you all the best and success in your second term.
253
814
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
As a long-time champion of quality education for all, I am honored to be appointed as the new Board Chair of @GPforEducation . I look forward to helping GPE and partners transform education and address the global learning crisis.
236
343
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Starehe ya kustaafu na kubakia kuwa raia mashuhuri ni kuweza kujifanyia mambo yako mwenyewe ikiwemo manunuzi ya mahitaji ya nyumbani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
436
604
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Leo mimi na mke wangu Salma tulipata fursa ya kushiriki sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru. Nimeshiriki sherehe nyingi za Mwenge lakini hizi za kijijini zina hamasa yake tofauti.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
286
180
4K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa ya kifo cha ndugu yetu Dkt. Mengi.Taifa limepoteza mzalendo wa kweli na mfanyabiashara mahiri. Tutamkumbuka kwa mchango wake mkubwa aliyoutoa kwa maendeleo ya taifa letu na moyo wake wa upendo na huruma kusaidia jamii na hasa watu wasiojiweza.
200
319
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Having lunch with kith and kin at the Uncle Said Lumaliza's (1917-2018) funeral at Msigi Village near hometown Msoga. This is a beauty of life after Presidency!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
390
873
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nikiwa Dodoma nimepata wasaa wa kutembelea na kukagua shamba langu la mizabibu. Mwaka huu mavuno yatakuwa mazuri Insha Allah.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
500
476
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
There is life after retirement with more time for things I had less time for, like enjoying quality time with my family, my cattle & farm.
Tweet media one
Tweet media two
357
1K
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimewalisi Abuja, Nigeria kuongoza Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola kwenye Uchaguzi Mkuu wa Nigeria unaotarajiwa kufanyika tarehe 16 Februari 2019 kufuatia ombi la Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.
Tweet media one
485
274
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Majonzi yangali nasi, nimepokea taarifa ya kifo cha Mtangazaji Ephrahim Kibonde wa @cloudsfm . Ni pigo kubwa kwetu sisi wapenzi wa kipindi cha Jahazi. Jahazi litaeleaje bila ya Nahodha Kibonde? Mwenyezi Mungu na aipe faraja familia yake, @cloudsfm na wasikilizaji wote wa Jahazi.
301
323
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Mdogo wangu Mwanaisha Mrisho Kikwete ni miongoni mwa wanafunzi walitunukiwa shahada zao leo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Nimemtunuku Shahada ya Uzamili katika Elimu.
Tweet media one
307
188
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nikibadilishana mawazo na rafiki zangu wafugaji wa kimasai kuhusu masuala ya ufugaji waliponitembelea kunijulia hali mfugaji mwenzao kijijini Msoga.
Tweet media one
Tweet media two
288
230
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Algeria and Argentina are officially malaria-free! Congratulations on achieving @WHO certification and ensuring that your citizens are protected as we work to #EndMalaria globally.
174
389
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nawatakia ndugu zetu wakristo na watanzania wote Pasaka njema.
465
332
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Poleni sana Mwenyekiti Ibrahim Lipumba na wanachama wa CUF kwa msiba mkubwa wa Mheshimiwa Khalifa Khalifa uliowakuta. Ni msiba wetu sote. Mmepoteza kiongozi na Kada wa CUF wa kuaminiwa na kutumainiwa. Mimi nimepoteza rafiki wa muda mrefu.
Tweet media one
207
158
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nawapongeza Zanzibar Heroes kwa kututoa kimasomaso na kutinga fainali. Nawatakia kila la kheri katika mechi ya fainali waibuke na kombe na watupe raha ambayo Watanzania tumeikosa kwa muda mrefu.
394
350
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nawatakia wote Eid Mubarak!
375
228
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nasikitishwa sana na uvumi huu unaosambazwa juu yangu.Inasikitisha sana. Inasikitisha zaidi kuwa wako watu timamu wanaoamini uzushi huu.
Tweet media one
701
466
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Naungana na wananchi wenzangu wote kukumbuka mchango adhimu wa Hayati Abeid Amani Karume, Muasisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Muasisi wa Muungano, Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Makamu wa Rais wa Tanzania. Tumuenzi daima kwa mchango wake uliotukuka.
212
244
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Heri ya sikukuu ya Pasaka na mapumziko mema kwenu nyote. Mwenyezi Mungu awajalie wakati mwema, wenye amani, furaha na upendo.
590
461
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Namshukuru Mzee wangu na Mlezi wangu Mheshimiwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa kunitakia heri katika siku yangu ya kuzaliwa na kwa kuniimbia wimbo. Daima namshukuru kwa imani yake, malezi yake na upendo wake kwangu.
226
267
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nakupongeza Rais @UKenyatta kwa kuchaguliwa tena kuongoza nchi rafiki ya Kenya. Nakushukuru kwa mwaliko wa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwako. Nasikitika sitaweza kuhudhuria kutokana na kuingiliana kwa majukumu. Nakutakia kila la kheri katika awamu yako ijayo.
209
425
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Kapteni Dkt. Jaka Mwambi. Kapteni Mwambi nimetoka naye mbali. Nimesoma nae sekondari, Chuo Kikuu, Chuo cha Kijeshi Monduli na kada mwenzangu TANU na @ccm_tanzania . Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema, peponi.
Tweet media one
Tweet media two
226
183
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Tunakamilisha msimu wa mavuno kijijini Msoga, Chalinze. Umekuwa msimu mzuri.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
418
406
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Kwa nyakati tofauti leo nimekutana na wagombea Urais wa Kenya @RailaOdinga , akiambatana na @MarthaKarua , na @WilliamsRuto . Tumekuwa na mazungumzo mazuri na wamenihakikishia wako tayari kusimamia misingi ya uchaguzi wa Haki&Uwazi kwa manufaa ya Taifa la Kenya na ustawi wa @jumuiya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
251
291
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Shughuli ya mavuno inaendelea leo Msoga. Fahari ya mkulima ni mavuno. Ukivuna vizuri, inakupa moyo kulima msimu ujao.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
468
346
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana na taarifa za kifo cha aliyekuwa mmoja wa wasaidizi wangu Dkt. Weggoro C. Nyamajeje. Naiombea familia yake moyo wa subira na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.Mwenyezi Mungu ampumzishe ndugu yetu mahala pema peponi.
Tweet media one
373
230
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nawatakia waumini wote wa dini ya Kiislamu na Watanzania mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Ramadhan Kareem!
209
186
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nilifarijika sana jana kukutana na maveterani na marafiki zangu wa zamani wa klabu yangu ya @Yanga1935 katika maziko ya mchezaji wetu wa zamani, Marehemu Athuman Chama katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Tweet media one
278
184
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
On behalf of the End Malaria Council, I was pleased to meet with leaders of Africa's RECs in Addis Ababa. The Council will work closely with RECs to scale the war against malaria from Malaria control to Malaria elimination.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
192
240
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Kufuatia ombi la Kamishna wa Masuala ya Kisiasa wa Umoja wa Afrika (AU) nimewasili Afrika Kusini kuongoza ujumbe wa Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi wa AU kwenye Uchaguzi Mkuu wa Afrika Kusini unaotarajiwa kufanyika tarehe 8 Mei 2019.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
305
146
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
I spared some time to watch #SlayMovieOnNetflix and I was delighted to see @IdrisSultan featuring in it. I congratulate him for being the first Tanzanian to feature on #Netflix and looking forward to seeing more of him in the future.
62
296
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Leo nimeshirikia mahafali ya Kibaha Secondary.Shule hii ndio harakazi zangu za siasa zilipoanzia nikiwa muasisi wa Tawi la Tanu Youth League
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
311
171
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nakutakia kila la kheri Mhe Rais @MagufuliJP unaposherehekea siku yako ya kuzaliwa. Nakutakia afya na siha njema na umri mrefu zaidi.
231
286
3K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Tukila chakula na ndugu zangu msibani kwa baba yangu mdogo marehemu Said Lumaliza(1917-2018) katika kijiji cha Msigi karibu na Msoga. Hii ndiyo fahari ya maisha ya kustaafu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
412
273
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Leo nimeungana na wananchi wenzangu kuangalia mechi ya Everton na Go Mahia.
Tweet media one
248
354
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nimestushwa na vifo 35 vya ajali vilivyotokea leo Arusha.Nampa pole Mhe.Rais, Wazazi,Walezi,Walimu na wanafunzi wenzao.Walale pema peponi
333
531
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Nimefarijika kusherehekea miaka 43 ya kuzaliwa kwa @ccm_tanzania kwa kutembelewa na maofisa wa Chama kuchukua maoni yangu juu ya mwelekeo wa Sera za Chama na Ilani ya Uchaguzi ujao.
Tweet media one
Tweet media two
207
126
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Nimetembelea Maktaba yetu mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya mkutano wangu na Wajumbe wa Baraza la Chuo Kikuu. Nimefarijika sana. Ni ya viwango vya kimataifa. Nimetamani na kukumbukia enzi zangu nikiwa Mwana UDSM na Rais wa DUSO Kampasi ya Mlimani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
207
203
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Leo ilikuwa zamu ya wajukuu zangu kunitembeza babu yao na safari yetu iliishia Mlimani City kwenye duka la vifaa vya watoto vya kuchezea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
256
215
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
"Innalillah Wainna Ilaihi Rajiun. Kwa heri kaka yangu Mhe. Bakari Mwapachu. Daima tutakukumbuka kwa moyo wako wa upendo, huruma na ucheshi.Vile vile utakumbukwa kwa mema mengi uliyoifanyia nchi yetu na watu wake na kwa mchango muhimu uliotoa kwa ujenzi wa taifa letu.
Tweet media one
171
176
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Honoured to have witnessed the signing ceremony of the Peace and Reconciliation between the goverment of Mozambique and RENAMO in Maputo. I congratulate President Nyusi and leader of the RENAMO Ossufu Momade for their exemplary and selfless leadership.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
126
206
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Leo asubuhi nimeshuhudia kiapo cha Mke wangu Mhe. Salma Rashid Kikwete kuwa Mbunge wa Kuteuliwa Bungeni Dodoma.Ni zamu yangu kumuunga mkono.
Tweet media one
Tweet media two
343
359
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Namshukuru @OfficialAliKiba kuja kunitembelea na kunitaarifu kuwa anatarajia kuoa hivi karibuni. Nimempatia nasaha zangu na kumtakia kila la kheri kwa jambo hilo jema aliloamua kufanya.
Tweet media one
Tweet media two
127
249
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
Mapema leo tukimpokea Makamu wa Rais Mheshimiwa @SuluhuSamia na Mjumbe wa Kamati Kuu ya @ccm_tanzania katika harambee ya chama mkoa wa Pwani. Tumeitikia wito wa viongozi wetu kuepuka kusalimiana kwa kushika mkono ili kuepuka maambukizi ya virusi vya #coronavirus . Tuitikie wito!
Tweet media one
166
155
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Natoa pongezi nyingi kwa IGP Simon Sirro na @tanpol kwa kuwakamata watu waliokuwa wanatumia vibaya jina langu, la mke wangu Salma na mwanetu Ridhiwani kuwahadaa na kuwaibia Watanzania ninaowapenda sana. Kubainika kwa mtandao huo na kukamatwa ni hatua nzuri ya kupongezwa.
296
262
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Nimepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa ya kifo cha Comrade Mohamed Seif Khatibu. Nimepoteza rafiki wa karibu wa tangu ujana hadi uzee wetu. Tumefahamiana nae tangu 1982 tulipochaguliwa kwenye uongozi wa taifa wa @uvccm_tz
Tweet media one
167
152
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Moyo wangu uko pamoja na wazazi wake, ndugu zake na familia yake katika kipindi hiki kigumu. Namuombea kwa Mola ampe Mapumziko Mema Peponi. Ameen.
128
172
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nikiwa Boston nimekaribishwa na kupata wasaa wa kubadilishana mawazo na wanafunzi wa Tanzania wanaosomea fani mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Harvard. Si wengi lakini si haba.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
163
217
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Mimi na Dkt. Salim Ahmed Salim tumetoka mbali. Pia tuna kumbukumbu nyingi za pamoja. Naungana nae kusherehekea anapoadhimisha miaka 80 ya kuzaliwa kwake leo. Ameishi miaka mingi, maisha mengi na ametugusa wengi. #DearDrSalim
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
140
204
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa ya vifo vya wenzetu 4 wa UDSM. Ni msiba mkubwa sana kwa Chuo, kwangu na kwa familia za marehemu.Nilitamani sana kuwepo pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu. Natoa salaam za rambirambi kwa Jumuiya ya UDSM na familia za marehemu.
228
159
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
5 years
Naungana na Watanzania wenzangu wote kuadhimisha miaka 57 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Tuendeleze umoja na mshikamano wetu.
262
197
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Kwa heri Kinana. Hongera kwa kazi nzuri. Daima tutakukumbuka. Hongera Bashiru. Nakutakia kila la heri. Hongera @ccm_tanzania , hongera Mwenyekiti @MagufuliJP Umoja ni Ushindi, Kidumu Chama Cha Mapinduzi !
182
217
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 months
Hongera @SuluhuSamia kwa kusherehekea kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa. Tunakuombea kwa Mola akujalie umri mrefu wenye furaha, afya njema, baraka na mafanikio tele. Tunakuombea ndoto zako kwa nchi yetu, kwako binafsi na familia yako zitimie. Hongera kwa kazi kubwa na nzuri…
Tweet media one
211
218
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ndugu Abbas Kandoro. Nimemfahamu marehemu Kandoro kwa karibu. Alinisaidia sana katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika mikoa niliyomteua. Natoa pole kwa familia ya marehemu na kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ampumzishe mahala pema
210
151
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nikiwa njiani kutokea Iringa kurudi Dar es Salaam nimekutana na watoto katika kijiji cha Mangae mkoani Morogoro. Nimefarijika kuwa wote wako shule. Ni matokeo ya elimu bure. Nampongeza Rais @MagufuliJP kwa kuwezesha watoto hawa kuwa shule.
196
286
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
4 years
I write to express my deepest condolences to you @MoiGideon and your esteemed family, on the passing of your father President Daniel Arap Moi. We empathize with you and I would like to let you know that we are together with you in mourning.
52
102
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.
Tweet media one
Tweet media two
295
239
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
2 years
Namshukuru Mwenyezi Mungu leo nimeweza kushiriki ibada ya Umrah katika Nyumba Tukufu ya Makkah na baadaye kuungana na waumini wenzangu wanaotekeleza Ibada ya Hijjah katika tukio muhimu la kisimamo cha Arafa, kwa dua na kumdhukuru Mwenyezi Mungu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
192
186
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nimesikitika kupokea taarifa za kifo cha Mbunge wa Songea Mjini Mhe. Dkt. Leonidas Gama. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema, peponi.
263
141
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
Nimesikitishwa na kustushwa na taarifa za kifo cha Mwanahabari Athumani Hamisi. Natoa pole zangu kwa familia ya Marehemu na kwa wanahabari wote kwa kuondokewa na mpendwa wao. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema, peponi.
194
102
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nikiwa hapa Brussels kuhudhuria Mkutano wa Wadau wa Libya nimepata fursa ya kukutana na mwanasoka na kipenzi chetu @samatta77 leo hii
Tweet media one
217
296
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Nawatakia Watanzania wenzangu Mwaka Mpya wa 2017. Impendeze Mwenyezi Mungu uwe mwaka wa neema,heri na fanaka kwetu sote. Nawapenda sana!
378
441
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
7 years
Mavuno si haba, na kazi inaendelea. Matarajio makubwa msimu ujao.
289
196
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
6 years
While in Nigeria, I joined my friend @AlikoDangote in Lagos to celebrate the wedding of his daughter Fatima Dangote. It was good to connect with many friends whom I have known and worked with over years of my public life @BillGates @RaymondChambers @AminaJMohammed @akin_adesina
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
191
240
2K
@jmkikwete
Jakaya Kikwete
3 years
Today, I start my term as Board Chair of the Global Partnership for Education. Follow my work at @GPEChair and @GPforEducation . A special thank you to @JuliaGillard for her leadership as Chair of GPE over the past seven years.
174
196
2K