Kwanza nashukuru sana kwa Wishes nyingi sana….pili kwakweli namshukuru Boss wangu from Clouds aaah nyieee….
😂😂😂nimetoka ukumbini nikaunganisha kazini ubalozi wa Switzerland 🇨🇭🔥😘😘
Guys asanteni sana kwa wishes zilikua nyingi mno na nimejitahid kujibu zote, pili tumemaliza mention kwa siku ya leo, akikisha unaengage na followers wako uliowapata siku ya leo🥰🥰🙏
Ngoja niwape story sasa😁😁
Wakati nmemaliza form six ule wakat wa kuappy vyuo🙌🙌 kuna icho chuo nilimwambia Mungu hiki ndio chuo changu lazima nisomee icho chuo….so I decided to pray and fast for three days (siku tatu kavu) sinywi hata maji…siku ya tatu nikazimia😂.👇👇