@Roma_Mkatoliki
Sio kweli nakataa Roma. Kumbuka juzi hapa CHADEMA walikuwa road polisi hawakuzingua mtu. Ila vijana wajinga waliyadharau na kuyakashifu maandamano ya CDM. kenya wanauelewa mkubwa. KINGEREZA ni elimu.. kama mmbongo anadanganywa na dj maffi. Sembuse Bajeti
@fumbokhanJr
Oya jamaa anapitia magumu sana man. Hapo hana marinda p.diddy alimtoa, haya freemason na illuminati wanamsumbua,hollywood elites wanamnyanyasa dah.
@MariaSTsehai
@TunduALissu
Ivi huwaga wakienda wanawadanganya wananchi kwa hoja gani??? Imagine mtu umepewa dhamana miaka 60. Bado shule hazina madawati halafu unapiga porojo upate kura.
@JamiiForums
Watanzania wengi wanashindwa kuchangia hoja. Kwakutoelewa KINGEREZA wanasubiri watafsiriwe kiswahili. Hivyo wanapokea propaganda za BBC na CNN.
kingereza ni lugha muhimu mno. 1st hand information
@MariaSTsehai
@HilmiHilal88
Inamuonekano mzuri sana. Tunahitaji nchi yetu ya Tanganyika. Soon huu muungano utasambaratika wala hata serikal 3 hatuta ziambulia
@Nnauye_Nape
Sio kweli kbs nakataaaa😠😠fvckkk.. Kenya wana uhuru kuliko hapa..🚮. Yani kiongozi huwezi kuongea bila kumtaja Raisi na kumsifia halafu mnaita uhuru???? WTF nimechukia sana
@privaldinho
Mzee wewe ni mjinga sana habari katia 5hrs ago. Unakuja ku-reply saivi. Aisee yanga kuna wajinga wengi sana. Utawaona VYURA hapa kwenye comment wanakuunga mkono🤡
@IAMartin_
@Reuters
@VOASwahili
WTF reuters nao wameripoti story sawa na VOA. inakuwaje 🤡 wakijani wanachema ni taarifa za uongo?? Wanadhani tupo kwenye enzi za barua na magazeti 1960's.
Hawa watu wanapaswa kuondoka madarakani. Na kuwatoa sio rahisi bila mapigano. Au atokee mmoja awasaliti.
@MariaSTsehai
Jumatatu kesho lissu anaendelea pale alipoishia mpaka watapike nyongo.. ipo siku naamini Tanzania itakuwa chini ya upinzani na wananchi watatambua juhudi mnazozifanya.. maria.!! Keep going one day yes. Tena inaweza kutokea kama ajali ila ndo itakuwa mwisho wa ccm
@lifeofmshaba
Huo ndo ukweli. Kama unabisha nenda kaishi zanzibar usijifungie hoteleni pale zenji halafu useme nilikuwa zanzibar.
Ishi mtaani hakuna rangi utaacha kuona
@bajabiri
@EwuraTanzania
Hapo mtwara kuna gesi mafuta. Ila mnalia Africa tumelaaniwa. Haya Urusi wanauza mafuta yao kwa bei ya chini kbs ila wao wanaenda kununua Quatar. Tunagombania mafuta sisi na nchi za EU
@eastafricatv
Watanzania wengi wanashindwa kuchangia hoja. Kwakutoelewa KINGEREZA wanasubiri watafsiriwe kiswahili. Hivyo wanapokea propaganda za BBC na CNN na EATV
kingereza ni lugha muhimu mno. 1st hand information
@joshdeitel
@MarioNawfal
Exactly that is my point ..but what about COVID 19???
HPV, and fertility drugs, what about WHO??? Are they mining gold in Africa
@ayubu_madenge
Watanzania wengi wanashindwa kuchangia hoja. Kwakutoelewa KINGEREZA wanasubiri watafsiriwe kiswahili. Hivyo wanapokea propaganda za BBC na CNN.
kingereza ni lugha muhimu mno. 1st hand information
@Ngayalikila1
@Kapugiyo
@bajabiri
Jews are members of an ethnoreligious group and a nation originating from the Israelites and Hebrews of historical Israel and Judah. Their religion, Judaism, is one of the oldest monotheistic faiths. Jewish identity can be cultural, religious, and/or ethnic, with shared tradition
@IAMartin_
Kwa jina lako, Mola wangu, naweka ubavu wangu, na ndani yako ninauinua, Ukiishikilia nafsi yangu, ihurumie, na ukiiachilia, ilinde, kwa njia hiyo hiyo unawalinda waja wako wema.