Mswahili___💡 Profile Banner
Mswahili___💡 Profile
Mswahili___💡

@mswahili___

Followers
117,076
Following
3,674
Media
8,881
Statuses
243,426

Alhamdulillah.

📍
Joined April 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mswahili___
Mswahili___💡
8 months
Wale akina Sele akikuuliza namba yangu umetoa wapi mjibu hivi utanishukuru 👇🏿 Mbona umeniuliza katika hali isiyo kuwa ya kawaida,kimsingi namba yako niliihitaji nikaitafuta na nimeipata ,lakini sikujua kama mimi kuwana namba yako labda ni hatia? Naelewa una heshima yako ,
57
177
350
@mswahili___
Mswahili___💡
9 months
Short story thread 😂 Sogea nao taratibu 👇🏿
Tweet media one
246
334
3K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Huyu jamaa ni zaidi ya star kule India ,wanamkubali kinoma
Tweet media one
67
86
3K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Saivi Tigo zikibaki MB 15 wana kusaidia kuzima Data 😂😂
262
158
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Ukipita hostel za Magu mida ya usiku pale nje unaweza sema wanauza magari 😂😂
161
126
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Beki yetu inaishi pazuri sana 🌝
Tweet media one
92
89
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
3 months
Huku kwa Denzel tumpeleke Jobe na Fredy sasa maana kwa Chama kazi inaonekana 🔋🔥
Tweet media one
8
57
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
3 years
Ukipewa 1M ulambe pasi ya moto utaweza??😂😂
402
193
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Bodaboda wanalalamika madem ambao hamvai pichu mnawachafulia siti 😂😂😂
171
118
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Tajiri miyeyusho 😂😂😂
Tweet media one
18
65
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Mmiliki wa mabasi yote ya mikoani 🙆
Tweet media one
64
62
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Geita wakiwa kwenye mradi wa uwanja wao, SIMBA na YANGA wanashindwa nini??🤔
Tweet media one
131
71
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Mkiwa logde akienda chooni toa 5k hapo kwenye pochi yake alafu akitoka mpe kama nauli, siyo kila kitu ufundishwe 😂😂😂😂
126
151
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
Wakati tukiendelea kusogea pale Muhimbili,tukumbushane hawa ndio wamelipa ada 😁😁😁
Tweet media one
153
138
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
Hivi huyu mzee aliwahi kuwa kijana kweli au alizaliwa akiwa mzee hivi hivi 😂😂😂😂
Tweet media one
105
76
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Amekwambia anakuja geto ila kwenye hii picha kuna kosa, ni lipi kabla hajafika? Malegendi pekee ndio watajua 😂😂😂
Tweet media one
496
110
2K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
Nimechoka kupretend mwenye ameelewa hii issue ya hii submarine anifahamishe
Tweet media one
123
83
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Ni kwanini school bus huwa ni za rangi ya njano? 🤔🤔
Tweet media one
292
111
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
DROP YOUR WALLPAPER 👇🏿👇🏿
Tweet media one
227
65
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Gongolamboto unaagiza chakula online dereva analeta na baiskeli inabidi ule naye ili apate nguvu ya kurudi 😂😂😂
138
148
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
"Mheshimiwa waziri unanisikiliza au unachati " 😂😂😂😂
Tweet media one
69
78
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Harmonize kawaheshimisha wavuta bangi wote 😎😎 yaw yaw
67
72
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Unaambiwa Chuga huyu ni kijana mstaarabu kabisa ambaye havuti bangi 😂😂😂
Tweet media one
97
69
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
Kule TRUTH wamenipa verification kumbe mambo ni marahisi hivi 😅😅 angalia kwenye comment
Tweet media one
33
51
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
9 months
Mkurugenzi wa TILISHO SAFARI tunaomba haya mabasi yake yatumike pia kama daladala hapa mjini tutalipa hiyo 40k bila shida 🤔
Tweet media one
102
61
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
"Unaona hata huu uwanja ni wa kwangu sema sipendi kujitangaza tu" 🌚
Tweet media one
87
115
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
6 months
"We Onesmo hakikisha hiyo kofia inapatikana maana nguo zote zinaitegemea hiyo kofia moja sina nyingine "
Tweet media one
89
72
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
REUNION ♟️🔥
Tweet media one
6
38
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Tumshauri, japo hajaomba 😂
Tweet media one
130
31
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
5 months
Kwenye suala la kushangilia magoli ya wenzie Baleke anatuzidi hadi mashabiki 😂😂
Tweet media one
69
61
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
Mganga aliyempata lavalava saivi ni kiboko 😂😂,
Tweet media one
50
54
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Shemeji yenu ndio ametoka kwa shangazi yake toka ijumaa amechoka sana 😊😊
110
84
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Yani mbosso anatafutwa kumbe kafichwa la lishangazi 😂😂😂
Tweet media one
50
55
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Siku kama ya leo ndio ilikua mara ya mwisho Hayati JPM kutweet humu ,, 🥺🥺🥺
Tweet media one
98
109
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Wakenya wanamjua mandonga tu ila mtu anayepigana naye hawamjui na ni mkenya mwenzao 😂😂😂😂
68
99
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Unaleta pisi usiku kila mtu akiwa amelala alafu asubuhi bi mkubwa anatuma ka junior kakuulize kama mgeni atakunywa chai ya maziwa 😂😂😂
96
117
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Kioo cha jamii
Tweet media one
264
53
991
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Bado tunamtafuta fundi maiko 😂😂😂
Tweet media one
112
66
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
4 months
Mwenetu kama kawaida yake kujipigilia vitu kibao mwilini 😂😂
Tweet media one
87
47
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
3 years
Ni kitu gani cha ghali zaid unamiliki??🤔
309
29
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
8 months
Bado watu wanajiuliza ni nani alipeleka kunguni Paris ? 😂😂😂
Tweet media one
139
101
1K
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Halotel wametusikiliza wateja wao 😊
77
53
967
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Hata me nawaza ivo ivo 🤥🤔
Tweet media one
89
45
985
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Ndio naelewa saivi kwanini jezi zinazinduliwa ijumaa😂😂😂😂
Tweet media one
49
58
994
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Jana nimenunua mishikaki nikampa muuzaji mmoja na yeye ale ila alikataa 😒😒
104
95
949
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Mwanaume ni kutembea na mabati wakati wa mvua mwavuli achia wanawake 😂😂
Tweet media one
92
136
964
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Hi logde mataulo yake makubwa kinoma hadi zipu ya begi langu haifungi 🙆🙆🙆
139
92
901
@mswahili___
Mswahili___💡
5 months
Kuna wachambuzi alafu kuna huyu jamaa anaitwa Hans Rafael pale wasafi ,jamaa huwa anakuelezea kila tukio lililotokea uwanjani hata kama kuna nzi alipita 😂😂😂
Tweet media one
76
57
962
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Unakumbuka ulivyokua ukakazana kusoma fishing in Japan na kwenu ni Dodoma😂😂
60
106
914
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Ulishawahi mkopesha mama yako hela ,alikulipa ,??😂😂😂
139
106
897
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Kwani jeshi la konde boy hizi taarifa hawajapewa 😂😂
88
53
903
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Hii baridi alafu uoge na maji baridi 😂😂😂
Tweet media one
102
52
900
@mswahili___
Mswahili___💡
9 months
Nilishawaonya kuhusu wadada wanaovaa hizi durag, tuendelee kuwaepuka wanangu 🌚🥲
Tweet media one
73
71
943
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Kumbe kuna style mpya inaitwa Ukraine kamchokoza Urus na hamsemi 🤔🤔
75
83
888
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Tabata demu wako akiwa kwenye siku zake anakutafutia demu wa muda 😂😂
Tweet media one
98
100
927
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Tapeli
Tweet media one
84
54
928
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Kumekucha tena 😎
Tweet media one
71
72
892
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Nadhani tunahitaji SHAZAM kwa ajili perfume 😂😂😂😂
98
88
872
@mswahili___
Mswahili___💡
9 months
Short story Thread Shuka nayo taratibu usisahau kunirepos iende mbali
Tweet media one
99
141
899
@mswahili___
Mswahili___💡
8 months
Hii wasafi festival saivi kabla hawajaanza kutufokea kushoto kulia ,mnapewa igizo kidogo 😂😂😂
Tweet media one
68
78
891
@mswahili___
Mswahili___💡
4 months
Nadhani Msechu ameshawatungia nyimbo za maombelezo watu wote maarufu Tz, tayari ameachia nyimbo ya Lowasa ,mzee wa fursa 🌚
Tweet media one
32
45
888
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Gym za Gongolamboto 😋😋
Tweet media one
46
43
852
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Kweli hamna mtu mweusi ,nimeamini 😎
Tweet media one
92
50
865
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
"Jesus is my saviour " kabeba mimba ya mganga😂
71
90
843
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Jobless akikwambia leo nimewaka sana kanisani watu wote wananiangalia mimi ,,anamaanisha hivi 😂😂😂👇🏿
Tweet media one
147
82
806
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Aliyeko karibu na Mandonga amwambie asilete timu uwanjani huyu jamaa atamuuwa 😂😂😂
Tweet media one
40
48
862
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Ukiataka kujifunza kumchukia adui yako wafatilie hawa jamaa 😀😃😃😃
Tweet media one
Tweet media two
52
48
860
@mswahili___
Mswahili___💡
9 months
Wakishua watadhani wamebeba godoro hawa 😂😂
Tweet media one
120
63
865
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Ni kitu gani hata ukishauriwa vipi huwezi acha kufanya? 🤔
176
88
824
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Umeamka hata hujaconfirm kama una matako yote wawili tayari ushaingia twitter 😂
87
92
823
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Kama nchi tumepitia mengi 😂😂🚮
Tweet media one
39
38
863
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Unashangaa pisi zinakukataa kumbe ni maombi ya bi mkubwa 😂
78
96
819
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Saivi ukienda kununua chapati unaulizwa za mafuta au za kubanika 😂😂
119
120
799
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Story kwa ufupi Zoezi la msimbe limefeli 😂😂
Tweet media one
60
60
846
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
"Baby ngoja nikae kwa juu" 😂😂
Tweet media one
156
70
813
@mswahili___
Mswahili___💡
3 years
Watu wasiri sana yaani kumbe Tigo wana vifurushi kitonga wameleta na mpo kimya wazee 🤔🤔
77
66
785
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Pisi zinataka wanaume weusi ila kwenye mtoto wanataka awe mweupe 😂😂😂
101
94
794
@mswahili___
Mswahili___💡
7 months
Nesi wa zamu na mgonjwa wake 😂
Tweet media one
28
49
833
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Bado followers 7 tufike 100k 🌚😂,shusheni handle
Tweet media one
151
88
816
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
"Nisameheni sana me niliambiwa nyie ni wakongo "😂😂😂
Tweet media one
53
70
812
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Story gani uliwahi kuambiwa kuhusu hawa jamaa
Tweet media one
129
64
815
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Unaambiwa AirTanzania wanataka wampe Onyango leseni maana huko misri ana paa tu 🚀😂😂😂
Tweet media one
42
59
788
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
😎😎 au siyo mwenetu
Tweet media one
105
41
783
@mswahili___
Mswahili___💡
2 months
HAYATI MAGUFULI once said... ?
Tweet media one
49
83
813
@mswahili___
Mswahili___💡
3 years
Alimsaidia mpenzi wake kufungua biashara wateja wakaja wakamuoa 😂😂
94
81
759
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Kinachonifanya niwahi kwenye mihogo ni hawa wadada wanaovaa vijora bila pichu 😂😂
60
77
785
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Na waliosoma tution mapambano mwenge hawana ajira pia ,🥺🥺🥺
86
74
774
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Boss wa KAYLANDA muda huu 😒😂😂
Tweet media one
52
46
775
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Nigeria wamepata Rais kijana kabisa ,ila Africa 😂😂😂🚮
Tweet media one
57
37
783
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Wenetu wa SENSA kwahiyo saivi mmebaki na SH ngapi??😂😂😂
62
49
769
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Halotel mlikosa kabisa mdada mwenye sauti nzuri 🤔🤔🚮🚮
101
83
791
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Juzi huko Kenya kuna muda ulifika askari walikua wanakamatwa na raia 😂😂😂
Tweet media one
79
65
788
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Jana kama ulipiga wale wadada pale riverside leo kila unapopita unaona matangazo ya Ukimwi kila sehemu 😂😂😂
66
88
729
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Zamani nilikuwa nadhani kula kwa watu ni vibaya 😂😂
80
91
735
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
"Sikieni penati zote pigeni kulia hamna kipa mule" 😂😂😂😂
Tweet media one
68
70
774
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Ila si mliambiwa mvua hizi mliweke ndani ona sasa😂😂😂😂😂
Tweet media one
83
83
742
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Wadada najua mnataka wale wa "Babe am sorry " ila sisi wa "ukiwa sawa utanichek " ndio tuko 😂😂😂
88
93
719
@mswahili___
Mswahili___💡
10 months
Kama wapo serious vile ngoja ligi ianze sasa 😂😂😂
Tweet media one
45
50
765
@mswahili___
Mswahili___💡
11 months
kumbe hii issue ya Arusha na Mwanza ni dili watu mmepewa mpush? 🥲🥲
Tweet media one
31
59
747
@mswahili___
Mswahili___💡
2 years
Bi mkubwa ni mtu ambaye anaweza kukuona umevaa umependeza unataka kutoka alafu anakwambia "washa jiko la mkaa" ndio utoke 😂😂
97
90
706
@mswahili___
Mswahili___💡
1 year
Unaleta pisi usiku kila mtu akiwa amelala alafu asubuhi bi mkubwa anatuma ka junior kakuulize kama mgeni atakunywa chai ya maziwa 😂😂😂
58
80
752