Wale akina Sele akikuuliza namba yangu umetoa wapi mjibu hivi utanishukuru 👇🏿
Mbona umeniuliza katika hali isiyo kuwa ya kawaida,kimsingi namba yako niliihitaji nikaitafuta na nimeipata ,lakini sikujua kama mimi kuwana namba yako labda ni hatia?
Naelewa una heshima yako ,