Sipo ktk siasa kabisa, lakini utotoni na ujana wangu wote nimekua namuona Mhe. Mbowe anafanya kila kitu anachotakiwa kufanya ktk sehemu na wakati sahihi.
I hope 2022 is the year
#Mbowesiogaidi
😩😭
Lazima tuseme ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani. Maisha hayana shortcut, kamwe huwezi kufanikiwa kwa kubeti.
Futa hizo betting Apps kwenye simu yako, anza kujifunza skills zitakazokuingizia pesa consistently
Kama umetokea maisha ya chini/kawaida, elewa tu chances zako kutoboa ni ndogo sn maana mfumo haikutambui, so kama ni kuhustle unatakiwa uhustle mara kumi zaidi ya watu wengine.
Hawa jirani zetu wa Kenya🇰🇪 hua wanapenda sana sifa na madharau ya kijinga.
Sisi waTZ hua ni wapole na wastaarabu, ila ukicheza sana na mbwa siku 1 atakufata hadi msikitini.
Tuwachape hawa majirani kipigo cha mbwa koko waache mazoea na sisi.
UZI🧵
Naamini 99.9% umaskini unarithishwa sawa tu na utajir unavyorithishwa. Na wala hii sio breaking news 'tajiri huongezewa, maskini hupungiziwa'~Marko 4:25
The trick is raising children that normalize success/wealth
BAADHI YA VITU NITAKAVYOWAFUNDISHA WANANGU
It's Thread Time👇
Tukiacha fujo za online, MO ni mnyama sn kwenye biashara, anacheza na numbers effortlessly, anajua financial markets kama AEIOU
Mimi km trader naijua RSI km indicator tu, jana MO kanipiga darasa maana ya RSI in real Finance World. Nika-Salute🙌🏾🧠
Pia MO ni MWANA. Hakunji
#NiinueNaLaki
Ni challenge ambayo ipo wazi kwa follower wng yeyote
Nitatoa TZS 100,000 kwa watu 10. Ni challenge ya bahati nasibu;
Sihitaji RT nyingi
Sihitaji likes nyingi
Sihitaji business ideas
Sihitaji kupima IQ
Ni bahati nasibu. Mtu yeyote atakayekidhi vigezi atashinda
👇
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.
Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.
Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Mo ana $1.6B na makampuni 40, mimi sina hata $10K
Kigwa ana Ubunge + uwaziri, mimi sina hata ujumbe wa nyumba 10
Nishike jembe nikalime. The goal is to be rich & powerful.
Bro unaejitafuta kimaisha nisikilize, madem wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension, wanaijeria na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishikuru!
Jana Kanye alipigwa ban ya masaa 12 kutotumia Twitter. He's always controversial, Media, wadau na mashabiki wengi wanaamini Kanye ni kichaa, lkn
KICHAA KAWEZAJE KUKUSANYA $1.3B NA KUWA 'The Richest Rapper on Earth'
It's Thread Time👇
Vijana wengi hawajatoboa lkn wana ego vby mno. Utachelewa sana kutoboa ukijifanya bingwa wa kuvimba. STAY HUMBLE, there’s always a bigger fish than you.
Jana nimemeet na mshkaji. Ana 1st class ya UDBS, Ana CPA na MBA. Kafanya kazi KPMG miaka 6 then kaanzisha firm yake. Sasa hv anajilipa mshahara mara 30 kwa mwezi.
Elimu ni nzuri endapo tu ukiitumia kwa manufaa yako, sio kuwakodishia wengine waitumie kwa manufaa yao
Nafatilia siasa kimya kimya, chini kwa chini. Nachoweza kusema huyu mama ni genius. Kaweza kuwabana kwapani wapinzani wake bila kutumia nguvu. The smartest politician we’ve ever had. Respect🙌🏾
Nahitaji kuSweep out some followers. Napendaga kuwa na followers wachache lkn effective na wanaelewa lengo la hii acc. Soon napandisha thread ambayo ni fagio la chuma, feel free to block or unfollow me.🙏
Unachukua mil 100+ unachukua gov bond ya miaka 20 kila mwaka unakula mil 15.5
Unaenda bank unachukua 80M, mkopo wa miaka 7, collateral ni bonds zako na mkopo unakua serviced na bonds.
Mil 80 unachukua BTC 1 unaitia cold wallet miaka mi5. Acha pesa ikufanyie kazi.
Pele katutoka, Rest in Eternal Peace ila ni dharau kubwa sana kwa Maradona na Messi kujaribu kusema kwamba Pele is the greatest of all time
Pele alikua mchezaji average, ni vile tu alibahatika kucheza na wakulima wa tumbaku kwenye ligi la uchochoroni. Angecheza Ulaya asingetoboa
Wakati nipo active Jamii Forums around 2014-2017, kuna Mama anaitwa Faiza Fozzy, alikua na msemo wake maarufu sana - “Hivi chuo mnaenda kusomea ujinga?”
She was 100% correct, nipo hapa nasoma job applications, Mwanasheria ana muhuri na 3.5+ GPA hajui kuandika email. It’s sad!!
Miezi mitatu iliyobaki kuumaliza huu mwaka ni MINGI sana. I need to double my money, so nachukua break.
Twitter is a POWERFUL tool, I will be back in Sat, 2 Jan 2021. Stay alive y'all!
Ukifanya kazi ukapata malipo yako usisahau kujinunulia vitu vizuri mara 1-1.
Wapo watasema unabrag, but listen - hujaja duniani kulipa bills kila mwisho wa mwezi na kusikiliza opinions za watu.
Vijana! Oct tuchague viongozi wenye sera makini za ajira kwa vijana. Tumechoka kuona kaka zetu wanavaa madera na kupaka wanja kwa kisingizio cha comedy. Tumechoka kuona dada zetu wanatembea na vichupi mitandaoni kwa kisingizio cha video vixen.
Nikifikisha 10k followers na mimi nitatoa 100k kwa followers wangu kumi. Ila sitaki kutumia kigezo cha RT kwasababu inawanyima ushindi wenye acc ndogo.
Katika maisha yng sijawahi kufanyiwa job interview,so sijui experience inakuwaje mtu akiwa intervied
Ila, nimefanikiwa kuinterview mamia ya watu,nikimsikiliza mtu kwa dakika 10 tu najua km anafaa ama hafai
Kuna vitu employers huangalia,ukiwa navyo vitakutofautisha na wenzio
🧵
UPDATES: Acc hack
Nimefanikiwa kumpata mtaalam mmoja wa cryptography japo tulikua tunawahitaji watatu kwa ajili ya project yetu. Hakufanikiwa kuhack acc lkn alifika stage ya mbali zaidi kuliko mtu mwingine yyt
It was just a tricky interview kupata mtu sahihi. Mliokwazika poleni
Nimeshakua maskini na nimeshakua tajiri, nitakwambia kitu kimoja, stress za kuhandle utajiri ni kubwa kuliko stress za kuhandle umaskini.
When you have money, everyone wants to fuck you up, everyone wants to take advantage of you. Ukiwa maskini hkn mtu ht mmoja anakusumbua.
Probably huna hela/mtaji mkubwa wa kufanya biashara, hiyo haitakiwi kukuzuia usitajirike
Kuna namna 'nature' inaweza kukuAccomodate kwa kdg ulichonacho kupitia MINYORORO YA THAMANI
It's time for thread 👇
Nisameheni najua hii Tweet itakera sana watu... ila kiukweli bado vijana wengi wa kitanzania wana uelewa mdogo sana wa mambo.
Yani ignorance ni mzigo mzito. 😔
Kama hujasoma moja kati ya hizi shule, basi kuna vitu vingi sn vimekupita kwenye ukuaji.
Rugambwa Sec, Bukoba
(Hawa ni wake zetu Ihungo)
Tabora Boys Sec, Tabora
(Vipanga, vipaji, wababe wa Tabora)
Uzi🧵👇
Sijui unafanya nini, lkn be THE BEST at it. Life gets much easier when you’re not average.
Kuna watu wanalia ajira since 2015. Jana nimeongea na Top Achievers UDSM - 2021. ‘Girlchild’ wana ajira tayari.
The secret is to devote your everything to be the BEST at what you love.
Shuleni utalipa mil 2 kufundishwa Zinjathropus alikua na meno mangapi. Safi✅
Akitokea mtu wa kukufundisha kuelewa Stocks, Commodities, Indices, Bonds, Currencies, Energies. Utapeli❌
Wadogo zangu mnaotarajia kumaliza chuo mwezi huu, naomba niwashauri kitu;
Ukimaliza chuo hiyo laptop yako usiiuze, ipo siku 1 inaweza kuwa source nzuri sn ya kukuingizia pesa. Hata hawa wanaosema 'unalilia mtaji wkt una smartphone' nao muwapuuze. PC Na smartphone ni ASSETS!
Rent: 60K
Umeme: 15K
Maji: 5K
Taka: 5K
Chakula: 150K
Usafiri: 120K
Vifurushi: 40K
Total: 395K
-Ukibahatika kuwa preveleged tumia fursa unazopata to the fullest, lkn usikejeli watu ukidhani kila mtu ni ng'ombe
-Kumshauri mtu anayepokea 400K kuweka akiba ni UCHAWI
HK, JITATHMINI
Kama unataka kutengeneza pesa taratibu - work hard.
Kama unataka kutengeneza pesa haraka - work smart.
Kama unataka kutengeneza pesa consistently - work harder and smarter.
Ukimaliza chuo ukaja mtaani utagundua shule haikukuandaa kbs kujitegemea.
Ndio maana mara zote hua nawashauri madogo wakiwa chuo watie mguu moja darasani mguu mwingine mtaani.
Nina pesa za kutosha
Nina akili kubwa
Ninaishi soft life
Nina afya nzuri
Naendesha magari makali
Nina pisi imenyooka
Nina ulinzi na amani
Ninashabikia Arsenal
Ninampenda Messi & Argentina
Kitu gani kingine unahisi nahitaji ktk maisha