SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile Banner
SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile
SIR JEFF⚡🇹🇿

@Sirjeff_D

Followers
84,942
Following
30
Media
1,484
Statuses
7,537

Veni,Vidi,Vici💪//Futurist🦾//Sarcasm🤣//Critic of Morals & Culture📢//Cypherpunk💻//OXXON💙//BTC🧡//$TSLA📈//Stories✍️//Nietzscheable🧠 & Kanyenized🐻

Out of Plato’s Cave
Joined July 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 months
Naamini kwa asilimia 99 huyu bro ndio mmiliki wa Crown FM.
Tweet media one
150
76
4K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Ili kupunguza makali ya msoto kipindi cha kuhustle epuka kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
184
336
3K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Interviewer: "Everyone in this room is inspired by you, who are you inspired by?" Elon: "Well, Kanye West obviously"
Tweet media one
Tweet media two
19
216
3K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Sipo ktk siasa kabisa, lakini utotoni na ujana wangu wote nimekua namuona Mhe. Mbowe anafanya kila kitu anachotakiwa kufanya ktk sehemu na wakati sahihi. I hope 2022 is the year #Mbowesiogaidi 😩😭
103
303
3K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Lazima tuseme ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani. Maisha hayana shortcut, kamwe huwezi kufanikiwa kwa kubeti. Futa hizo betting Apps kwenye simu yako, anza kujifunza skills zitakazokuingizia pesa consistently
401
196
3K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Nimemiss sana hii lifestyle. Maisha ni ya kijinga sana, sasa hivi siwezi kwenda kupata hivi vitu, unahofia kupigwa picha😔
Tweet media one
506
87
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Candles don’t lie.🕯
Tweet media one
58
79
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 months
THE MONEY GAME...💵 Soma huu uzi kama una miaka 18-30. Uzi 🧵👇
Tweet media one
183
478
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Kama umetokea maisha ya chini/kawaida, elewa tu chances zako kutoboa ni ndogo sn maana mfumo haikutambui, so kama ni kuhustle unatakiwa uhustle mara kumi zaidi ya watu wengine.
113
263
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
When you are lucky enough to have 2 hrs conversation with Big Mo. Thanks bro for your precious time!
Tweet media one
Tweet media two
52
109
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
2023 imeanza wazee. Kama una miaka 23 na bado unaishi kwenye nyumba ya baba yako, basi jua huna akili timamu.
Tweet media one
428
68
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 months
Hawa jirani zetu wa Kenya🇰🇪 hua wanapenda sana sifa na madharau ya kijinga. Sisi waTZ hua ni wapole na wastaarabu, ila ukicheza sana na mbwa siku 1 atakufata hadi msikitini. Tuwachape hawa majirani kipigo cha mbwa koko waache mazoea na sisi. UZI🧵
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
371
393
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Ukiacha bidii, kujituma na akili, ni kitu gani kingine unabidi uwe nacho ili uwe tajiri?
Tweet media one
437
75
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Naamini 99.9% umaskini unarithishwa sawa tu na utajir unavyorithishwa. Na wala hii sio breaking news 'tajiri huongezewa, maskini hupungiziwa'~Marko 4:25 The trick is raising children that normalize success/wealth BAADHI YA VITU NITAKAVYOWAFUNDISHA WANANGU It's Thread Time👇
228
639
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Either mwanamke ama mwanaume, usijaribu kudate mtu hana hela, mtasumbuana bila sababu.
Tweet media one
254
87
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Tukiacha fujo za online, MO ni mnyama sn kwenye biashara, anacheza na numbers effortlessly, anajua financial markets kama AEIOU Mimi km trader naijua RSI km indicator tu, jana MO kanipiga darasa maana ya RSI in real Finance World. Nika-Salute🙌🏾🧠 Pia MO ni MWANA. Hakunji
Tweet media one
87
136
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Motivational speakers wote wa kipindi cha JK sasa hivi nawaona ni ma MC wa send-off.
78
60
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Una miaka 30, lkn huna nyumba, huna plot, huna mtoto, huna gari, huna bitcoin, huna kipaji, hata ajira huna… hapa Duniani umefata nini?
699
104
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kama kweli unatumia pesa yako kuBet wewe ni MPUMBAVU!
495
65
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Miaka mitano inatosha kabisa kupindua meza kibabe kama kweli ukiamua. How it started. How it’s going
Tweet media one
Tweet media two
51
103
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Umesoma darasa la 1 hadi chuo kwa miaka 17. Kwanini ukija mtaani unataka utoboe ndani ya mwaka mmoja?
79
224
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Kuna mazingira ukikulia hata ufanye nini wali-marage will always be your fav food.
77
92
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Natamani sana nione washkaji zangu wote wanafanikiwa bado nikiwa hai.
109
123
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
#NiinueNaLaki Ni challenge ambayo ipo wazi kwa follower wng yeyote Nitatoa TZS 100,000 kwa watu 10. Ni challenge ya bahati nasibu; Sihitaji RT nyingi Sihitaji likes nyingi Sihitaji business ideas Sihitaji kupima IQ Ni bahati nasibu. Mtu yeyote atakayekidhi vigezi atashinda 👇
2K
769
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Oya wana eh! Lengo sio kushindana na mtu, lengo ni kuushinda umaskini.
79
130
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Siku nyingine kukukumbusha kuwa adui yako mkubwa zaidi ni umaskini.
Tweet media one
77
59
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Punguza kuongea ongea sana. Keep it private until you know it's permanent!
41
250
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
BEFORE VS AFTER
Tweet media one
Tweet media two
78
99
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Pambana kufa-kupona wanao wasije kuteseka kama ulivyoteseka.
69
156
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend. Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka. Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
285
195
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Najua nilisema nitarudi 2nd Jan Lkn nimesindwa kuvumilia kuwakumbusha kuwa "TUENDELEE KUTAFUTA PESA KWA NGUVU ZOTE"
133
56
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Mo ana $1.6B na makampuni 40, mimi sina hata $10K Kigwa ana Ubunge + uwaziri, mimi sina hata ujumbe wa nyumba 10 Nishike jembe nikalime. The goal is to be rich & powerful.
85
69
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Jitahidi sana kuepuka kukopa. Hakuna kitu kitakushusha thamani na kukuibia furaha kama kudaiwa. Mara 100 nilale njaa, kuliko kuamka asubuhi na madeni.
240
141
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 months
Bro unaejitafuta kimaisha nisikilize, madem wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension, wanaijeria na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishikuru!
Tweet media one
132
154
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kama huna at least mil 200 bank, acha kushinda online. Usiwe upumbavu, go out here and get the money.
Tweet media one
283
59
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Jana Kanye alipigwa ban ya masaa 12 kutotumia Twitter. He's always controversial, Media, wadau na mashabiki wengi wanaamini Kanye ni kichaa, lkn KICHAA KAWEZAJE KUKUSANYA $1.3B NA KUWA 'The Richest Rapper on Earth' It's Thread Time👇
Tweet media one
178
364
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Vijana wengi hawajatoboa lkn wana ego vby mno. Utachelewa sana kutoboa ukijifanya bingwa wa kuvimba. STAY HUMBLE, there’s always a bigger fish than you.
55
208
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Niliwahi kusema hapa - nikisikia mtu kajiua siwezi kushangaa au kukosoa. Nimewahi kuwa ktk situation km hiyo nikaishinda, depression is a MF b!tch.
64
69
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Jana nimemeet na mshkaji. Ana 1st class ya UDBS, Ana CPA na MBA. Kafanya kazi KPMG miaka 6 then kaanzisha firm yake. Sasa hv anajilipa mshahara mara 30 kwa mwezi. Elimu ni nzuri endapo tu ukiitumia kwa manufaa yako, sio kuwakodishia wengine waitumie kwa manufaa yao
95
128
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Leo historia nyingine inaandikwa na mabingwa wa muda wote.
Tweet media one
58
38
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kama unafanya betting, ipe Argentina World Cup, ukiliwa hela yako njoo unidai.
Tweet media one
136
35
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Huku Ushuani mvua imebamba, nyinyi wa vingunguti subirieni hadi next week.
Tweet media one
116
29
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Kabla hujaanza kubishana na mtu jiulize maswali mawili, Je benki nina kiasi gani? Je nikimaliza kubishana itaongezeka shingapi?
157
55
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Nafatilia siasa kimya kimya, chini kwa chini. Nachoweza kusema huyu mama ni genius. Kaweza kuwabana kwapani wapinzani wake bila kutumia nguvu. The smartest politician we’ve ever had. Respect🙌🏾
Tweet media one
97
55
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Km huwezi kupata msaada wa kifedha ukipiga simu 3, circle yako ina shida.
64
86
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
DON’T INVEST IN WHAT YOU DON’T UNDERSTAND.
56
147
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Nahitaji kuSweep out some followers. Napendaga kuwa na followers wachache lkn effective na wanaelewa lengo la hii acc. Soon napandisha thread ambayo ni fagio la chuma, feel free to block or unfollow me.🙏
159
40
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Hakuna wapumbavu wakubwa kama watu wanaohesabu pesa baada ya kuwithdraw ATM.
195
71
2K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Unachukua mil 100+ unachukua gov bond ya miaka 20 kila mwaka unakula mil 15.5 Unaenda bank unachukua 80M, mkopo wa miaka 7, collateral ni bonds zako na mkopo unakua serviced na bonds. Mil 80 unachukua BTC 1 unaitia cold wallet miaka mi5. Acha pesa ikufanyie kazi.
132
145
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Young. Graduate. Jobless. Broke. Rejected. Depressed. Hopeless. 0 skills. Alcoholism. Tired. Good news: No situation is permanent. Miezi miwili inatosha kubadili kbs mindset yako. Unateseka sio kwasababu huna pesa, tatizo ni mindset. Negative mind attracts miserable life.
45
214
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Ebu angalia account yako; kama una tweets nyingi kuliko kiasi cha dollars💵 ulizonacho basi unaongea sana. Punguza makelele, ongeza hustling.
92
55
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Pele katutoka, Rest in Eternal Peace ila ni dharau kubwa sana kwa Maradona na Messi kujaribu kusema kwamba Pele is the greatest of all time Pele alikua mchezaji average, ni vile tu alibahatika kucheza na wakulima wa tumbaku kwenye ligi la uchochoroni. Angecheza Ulaya asingetoboa
Tweet media one
679
44
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Unajikuta ulisoma Petroleum Chemistry, Ulidhani Tanzania ni Iraq nini?😆😆😅
87
43
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Nimefanya reseach yangu ya chini chini, nimejithibitishia kwa asilimia 99% kuwa Twitter influencers na wazee wanaojiita mabroo ni maskini.
246
62
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Kama unaamini ipo siku serikali itakukomboa kiuchumi, umechelewa sana kuusoma mchezo.😔 Save yourself!
77
151
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Wakati nipo active Jamii Forums around 2014-2017, kuna Mama anaitwa Faiza Fozzy, alikua na msemo wake maarufu sana - “Hivi chuo mnaenda kusomea ujinga?” She was 100% correct, nipo hapa nasoma job applications, Mwanasheria ana muhuri na 3.5+ GPA hajui kuandika email. It’s sad!!
331
68
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kundi kubwa sana la vijana 🇹🇿🇰🇪linaangamia kwa addiction ya pombe za bei ndogo, umalaya, pornography (punyeto), sigara na bangi. Kizazi kinaangamia.
Tweet media one
270
65
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Miezi mitatu iliyobaki kuumaliza huu mwaka ni MINGI sana. I need to double my money, so nachukua break. Twitter is a POWERFUL tool, I will be back in Sat, 2 Jan 2021. Stay alive y'all!
53
34
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
-If you can MAKE money; you're good -If you can SAVE money; you're better -If you can INVEST money; you're the best.
25
219
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Ukifanya kazi ukapata malipo yako usisahau kujinunulia vitu vizuri mara 1-1. Wapo watasema unabrag, but listen - hujaja duniani kulipa bills kila mwisho wa mwezi na kusikiliza opinions za watu.
63
198
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Vijana! Oct tuchague viongozi wenye sera makini za ajira kwa vijana. Tumechoka kuona kaka zetu wanavaa madera na kupaka wanja kwa kisingizio cha comedy. Tumechoka kuona dada zetu wanatembea na vichupi mitandaoni kwa kisingizio cha video vixen.
89
127
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Wadogo zangu mnaochukua degree za finance, UDBS, Mzumbe, IFM, UDOM... Njooni niwashauri kitu. Uzi👇
69
286
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Sijawahi kujilaumu kuDropout chuo. Probably one of best decisions I ever made. (This is not a financial advice. It doesn't fit for everyone)
88
50
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Katiba mpya haitabadili maisha yako. Toka usingizini, fanya kazi, pinduameza, be successful. No excuses!!
250
91
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Nikifikisha 10k followers na mimi nitatoa 100k kwa followers wangu kumi. Ila sitaki kutumia kigezo cha RT kwasababu inawanyima ushindi wenye acc ndogo.
75
56
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Katika maisha yng sijawahi kufanyiwa job interview,so sijui experience inakuwaje mtu akiwa intervied Ila, nimefanikiwa kuinterview mamia ya watu,nikimsikiliza mtu kwa dakika 10 tu najua km anafaa ama hafai Kuna vitu employers huangalia,ukiwa navyo vitakutofautisha na wenzio 🧵
114
465
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
LIFE HACK: Ukiwa unataka kutuma CV yako, page ya mwisho ambatanisha picha ukiwa unalia.
73
55
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
UPDATES: Acc hack Nimefanikiwa kumpata mtaalam mmoja wa cryptography japo tulikua tunawahitaji watatu kwa ajili ya project yetu. Hakufanikiwa kuhack acc lkn alifika stage ya mbali zaidi kuliko mtu mwingine yyt It was just a tricky interview kupata mtu sahihi. Mliokwazika poleni
116
64
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Nimeshakua maskini na nimeshakua tajiri, nitakwambia kitu kimoja, stress za kuhandle utajiri ni kubwa kuliko stress za kuhandle umaskini. When you have money, everyone wants to fuck you up, everyone wants to take advantage of you. Ukiwa maskini hkn mtu ht mmoja anakusumbua.
118
118
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Probably huna hela/mtaji mkubwa wa kufanya biashara, hiyo haitakiwi kukuzuia usitajirike Kuna namna 'nature' inaweza kukuAccomodate kwa kdg ulichonacho kupitia MINYORORO YA THAMANI It's time for thread 👇
109
350
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
If you need growth, date someone who can take care of themselves.
47
176
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Nisameheni najua hii Tweet itakera sana watu... ila kiukweli bado vijana wengi wa kitanzania wana uelewa mdogo sana wa mambo. Yani ignorance ni mzigo mzito. 😔
183
76
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Kama kweli una nia ya dhati ya kufanikiwa, fata ushauri unaowapa watu wengine.
36
145
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 months
Kama hujasoma moja kati ya hizi shule, basi kuna vitu vingi sn vimekupita kwenye ukuaji. Rugambwa Sec, Bukoba (Hawa ni wake zetu Ihungo) Tabora Boys Sec, Tabora (Vipanga, vipaji, wababe wa Tabora) Uzi🧵👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
511
141
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Sijui unafanya nini, lkn be THE BEST at it. Life gets much easier when you’re not average. Kuna watu wanalia ajira since 2015. Jana nimeongea na Top Achievers UDSM - 2021. ‘Girlchild’ wana ajira tayari. The secret is to devote your everything to be the BEST at what you love.
40
138
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Sala pekee haitoshi. LAZIMA ufate process. Hakunaga shortcut!!
28
98
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Pambana kutengeneza uchumi wako... achana na kutengeneza jina, mtu yoyote anaweza kuchafua jina lako lkn hakuna mtu anaweza kuchafua acc yako ya bank.
45
146
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Shuleni utalipa mil 2 kufundishwa Zinjathropus alikua na meno mangapi. Safi✅ Akitokea mtu wa kukufundisha kuelewa Stocks, Commodities, Indices, Bonds, Currencies, Energies. Utapeli❌
100
94
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Watu wanaotembea wametundika funguo ya gari kiunoni ni WASHAMBA.
256
43
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Km wewe ni mwanaume haitokuja kutokea siku dunia ikakuonea huruma. Unabidi upambane kufa-kupona mpk tone la mwisho.
37
144
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Wadogo zangu mnaotarajia kumaliza chuo mwezi huu, naomba niwashauri kitu; Ukimaliza chuo hiyo laptop yako usiiuze, ipo siku 1 inaweza kuwa source nzuri sn ya kukuingizia pesa. Hata hawa wanaosema 'unalilia mtaji wkt una smartphone' nao muwapuuze. PC Na smartphone ni ASSETS!
59
96
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Nimetumia high-end Samsung na iPhone. Nitakwambia kitu, iPhone ni simu ya kawaida sana. Actually ni simu mbovu.
176
48
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Kukata tamaa ni kupuuza ukuu wa Mungu.
30
160
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Usione aibu kuanza kujifunza kitu kipya leo... everyone was once a beginner.
24
138
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
9 months
Never in poverty again. Afe simba afe mmasai, afe kipa afe beki, ushindi ni lazima.
Tweet media one
63
60
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
7 days
Rent: 60K Umeme: 15K Maji: 5K Taka: 5K Chakula: 150K Usafiri: 120K Vifurushi: 40K Total: 395K -Ukibahatika kuwa preveleged tumia fursa unazopata to the fullest, lkn usikejeli watu ukidhani kila mtu ni ng'ombe -Kumshauri mtu anayepokea 400K kuweka akiba ni UCHAWI HK, JITATHMINI
138
112
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Hizi Code ni ngumu Mzee Msekwa nimemsikia anasema Hayati Mkapa ktk uongozi wake hakua na hila, hakuwahi kuingilia mhimili wa Bunge.
39
76
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Ukianza tu kutoboa, ukawa na furaha, utashangaa wanaanza kuongelea mambo uliyofanya mwaka 1937 ukiwa na miaka sita.🥵
49
115
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Next time ukiniita motivational speaker nakuBLOCK🚫. Sipendi insults za kijinga. I don't speak, I do!
179
35
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Sitaki niiweke kisiasa lkn JPM alivyodeal na Corona ni level ya juu zaidi ya uLegend, mnyonge mnyongeni...
78
60
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Sio kwamba sioni hizi kelele. Naona kila kinachoendelea.
90
28
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Kama unataka kutengeneza pesa taratibu - work hard. Kama unataka kutengeneza pesa haraka - work smart. Kama unataka kutengeneza pesa consistently - work harder and smarter.
22
265
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 years
Ukimaliza chuo ukaja mtaani utagundua shule haikukuandaa kbs kujitegemea. Ndio maana mara zote hua nawashauri madogo wakiwa chuo watie mguu moja darasani mguu mwingine mtaani.
58
133
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Jasho la kusaka hela HALINUKI.
32
77
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
3 months
Hii sasa ndio harusi ya watu waliostaarabika. Sio upumbavu unaofanywa Bongo.
Tweet media one
Tweet media two
106
97
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Unaweza kuwa bilionea ukiamua kuacha ujinga, pombe na umalaya.
165
76
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
2 years
Kama smart phone yako haikuingizii hela... basi HUNA AKILI timamu😔
391
57
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
4 years
Namuona mpambazi atafika mbali sana ktk biashara. And he seems to be a great brother.
35
31
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Nina pesa za kutosha Nina akili kubwa Ninaishi soft life Nina afya nzuri Naendesha magari makali Nina pisi imenyooka Nina ulinzi na amani Ninashabikia Arsenal Ninampenda Messi & Argentina Kitu gani kingine unahisi nahitaji ktk maisha
616
40
1K
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 year
Kama wewe ni kijana, na unataka kufika mbali, usichoke kujifunza kitu kipya kila siku
Tweet media one
61
59
1K