FEI TOTO: WALINIAMBIA NAUZA MECHI, WANAMTUKANA MAMA YANGU NA KUMUITA ANDAZI
Kiungo
#FeisalSalum
amesema “Nilipitia magumu nikiwa
#Yanga
lakini sikuwahi kusema, ilipofika muda wa kusaini Mkataba huu wa sasa shida ikaongezeka, kupewa Fedha ya usajili ikawa tabu, mshahara nilikuwa…