Jamii Forums Profile Banner
Jamii Forums Profile
Jamii Forums

@JamiiForums

Followers
1,755,939
Following
325
Media
34,481
Statuses
63,652

The Home of Great Thinkers | East Africa's leading Discussion Board | Citizen Journalism

United States
Joined June 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
Jishindie hadi Sh. Milioni 5 kwa kuandika andiko linalochochea Mabadiliko Nyanja: Demokrasia, Haki za Binadamu, Utawala Bora, Afya, Uwajibikaji, Biashara, Teknolojia, Mahusiano nk Shindano litaisha Sept 30, 2021 Soma #StoriesOfChange #CitizenJournalism
Tweet media one
140
364
4K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
PROFESA ASSAD: #Tozo zina hasara kubwa kuliko faida kwa Serikali > Viongozi wanaotumia magari ya Serikali yenye gharama kubwa kwa shughuli za kiofisini na binafsi ndio wanatakiwa kulipa kodi kwa kuwa wanapata faida ambazo si za kifedha Soma #JFSiasa
Tweet media one
259
654
3K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
UPDATE: Kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi kumuuliza maswali Lissu; imebidi apate muda kuyapitia maswali yote (takriban 1,000) > Tunatarajia kufikia kesho atakuwa ameyapitia maswali hayo na yote yatajibiwa > Shukrani kwa wote walioshiriki
Tweet media one
52
286
3K
@JamiiForums
Jamii Forums
10 months
MBEYA: Mawakili Emmanuel K. Changula, Alphonce Lusako, Raphael J. Ngonde na Frank J. Nyalusi wameishtaki Serikali juu ya Makubaliano yake na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa Bandari, kwa maelezo kuwa hayazingatii maslahi ya Nchi Waziri wa Ujenzi na Katibu Mkuu…
Tweet media one
181
326
3K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
TANZIA: MMILIKI WA PRECISION AIR AFARIKI DUNIA Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini #Tanzania la #PrecisionAir , Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya #AgaKhan , Jijini Dar es Salaam Soma #JamiiForums
Tweet media one
85
125
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
9 months
BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI LATOA TAMKO LA KUTOUNGA MKONO MKATABA WA BANDARI Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( #TEC ), Padri Charles Kitima, amesema wamebaini ni muhimu kusimama upande wa Wananchi ambao wengi hawajaridhishwa na vifungu mbalimbali Soma…
Tweet media one
222
398
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
BAD NEWS: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijijini Dodoma Zaidi, fuatilia >
Tweet media one
190
241
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
MAREKANI: KAMATI YA BUNGE YAITAKA TANZANIA KUTOKANDAMIZA UPINZANI M/Kiti wa Kamati ya Mambo ya nje, Kareen Bass amesema kuapishwa kwa Rais Samia kulileta tumaini la Uelekeo mpya wa #Demokrasia lakini matukio ya hivi karibuni yamefuta matumaini hayo Soma
Tweet media one
95
409
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
KENYA: RUTO ATOA WITO AFRIKA KUTOTUMIA DOLA KATIKA MIKATABA YA KIBIASHARA Rais wa #Kenya , #WilliamRuto ametoa ushauri huo kwa viongozi wa Afrika akisema ni muda wa kuanza kuchukua hatua ya kuachana na malipo ya fedha kwa kutumia Dola ya Marekani badala yake kuwepo na mfumo wa…
Tweet media one
178
131
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
TAHADHARI, #COVID19 WIMBI LA 3 IPO Dk. Derick Nyasebwa @DerickNyasebwa (Founder & CEO wa Hospitali za Uhuru na Tanzanite) anakusihi kuchukua hatua zote kujilinda dhidi ya maambukizi ILANI: Zingatia ushauri wa wataalamu wa Afya, kirusi cha sasa ni tofauti na vya awali #UVIKO3
74
202
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
DRC: Waziri wa Elimu ya Msingi ya Sekondari na Ufundi (EPST), Tony Mwaba Kazadi amedaiwa kumpa ujauzito Naibu Waziri wake, Aminata Namasia akidai ni ajali kazini Tony na Aminata wametajwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu ambapo kufanya kazi pamoja kulichangia hisia…
Tweet media one
235
122
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
Jamii Forums inakukaribisha kushiriki kwenye Mjadala kuhusu Maambukizi ya #COVID19 pamoja na Utoaji wa Chanjo nchini Tanzania Mjadala huu utafanyika Agosti 6, 2021 kupitia Twitter Spaces ( @JamiiForums ) kuanzia Saa 12 jioni na utahusisha Wataalamu mbalimbali wa Afya #UVIKO3
Tweet media one
77
155
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
DHANA YA MIHIMILI MITATU NDIO BASI TENA? Marekebisho yanayopendekezwa kwa kifungu namba 4 cha Sheria ya Mapitio ya Sheria na Sheria ya Usimamizi wa Bunge (kifungu namba 115) yanawapa Rais na Mwanasheria Mkuu wa Serikali nguvu juu ya masuala ya Kibunge #Muswada2020 #JFLeo
89
201
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
TUNDU LISSU AACHIWA BILA MASHARTI > Tundu Lissu ambaye alikamatwa na Polisi saa 12 jioni Umoja House, ameachiwa bila masharti baada ya mahojiano na Polisi > Ameachiwa yeye na aliokuwa ameambatana nao #JamiiForums #TZ2020
98
135
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Prof. Assad akiondoka baada ya kukabidhi ofisi kwa CAG mpya, Charles Kichere leo jijini Dar > Prof. Assad amemaliza kipindi chake kimoja akihudumu kama CAG na ameondoka huku ukiibuka mjadala mkali juu ya kuondoka kwake #JFLeo
259
221
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
JAPAN: FAMILIA ITAKAYOHAMA TOKYO KULIPWA TSH. MILIONI 21.3 KWA KILA MTOTO Uamuzi huo umechukuliwa ili kushawishi raia kuondoka Jijini humo kwa kuwa kuna hofu ya ongezeko la Watu linaloweza kuwa na madhara makubwa pale Tetemeko la Ardhi linapotokea Soma
Tweet media one
52
65
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
CAG: Katika ukaguzi wetu wa 2019/2020 tumebaini ATCL imetengeneza hasara ya TZS Bilioni 60 Kwa miaka 5 iliyopita Shirika limekuwa likitengeneza hasara #CAGReport
109
190
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Tweet media one
758
103
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
DAR: Joseph Mzava (19) Mkazi wa Kinondoni ambaye ni Mwanafunzi wa Mwaka wa kwanza Chuo cha CBE, anashikiliwa akituhumiwa kujinasabisha yeye ni Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete na kufanikiwa kufanya utapeli kwa njia ya Simu Soma #CyberCrimes #DigitalRights
Tweet media one
68
44
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Membe: Ndani ya @ccm_tanzania kuna kundi kubwa limechoka, wakati nimekaa kimya katika kipindi hiki nilikuwa nawasiliana nao na tumefanya kazi kubwa > Nilikuwa na wabunge wa CCM, 46 Wamefyekwa na 23 bado wamo CCM, siwapi majina #JFLeo
56
128
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
LISSU: TUTASHINDA UCHAGUZI HUU, OLE WAO WALIOENGUA WAGOMBEA WETU > Amesema, Serikali ya CHADEMA haitakaa na mtu ambaye hajachaguliwa na Wananchi > Amesema, Uchaguzi utarudiwa kwa Majimbo na Kata zote ambazo wagombea wao wameenguliwa Soma #Uchaguzi2020
Tweet media one
101
201
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
NEC: JINA LA LISSU NI LA MWISHO KWENYE KARATASI KWASABABU ALIKUWA WA MWISHO KURUDISHA FOMU > Ofisa Elimu kwa Umma wa NEC amesema, kigezo kilichotumika ni urejeshwaji fomu > Amesema, hii sio sababu ya Mpiga Kura kutompigia Mgombea anayemtaka Soma #TZ2020
Tweet media one
246
101
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
6 years
MADE IN TANZANIA: Pikipiki ya miguu 3 almaarufu Bajaj yenye uwezo wa kubeba abiria saba > Imeundwa na Mzee Mbaga wa Kinondoni jijini Dar es Salaam #JFLeo #MadeInTanzania
Tweet media one
129
325
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
UGANDA: VYOMBO VYA HABARI VYAKATAA KURUSHA HOTUBA YA RAIS MUSEVENI > Hotuba hiyo inatakiwa kutushwa kila Jumapili kwa saa 3 > Muungano wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari umesema, wakati wa kampeni wagombea wote wanapaswa kupewa nafasi sawa Soma #JFLeo
Tweet media one
162
171
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
NAPE NNAUYE: Nikiwa MwanaCCM wa kweli naamini mikutano ya siasa ingeimarisha CCM kuliko hali ilivyokuwa. Huwezi kujipima wakati mwenzako amefungwa mikono > Amesema Mikutano ina afya kwa Nchi, Demokrasia na Maendeleo Soma #Democracy
Tweet media one
164
143
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
KENYATTA: NCHI JIRANI ZITAMBUE USHINDANI SI UADUI > Rais Uhuru Kenyatta amesema, Nchi jirani zinahitaji Siasa ambazo ushindani haugeuki kuwa Uadui na Vita > Amesema, zinahitaji Siasa inayolenga kujumuisha vijana na sio kuchochea uasi Soma #JFLeo
Tweet media one
150
206
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
FEI TOTO: WALINIAMBIA NAUZA MECHI, WANAMTUKANA MAMA YANGU NA KUMUITA ANDAZI Kiungo #FeisalSalum amesema “Nilipitia magumu nikiwa #Yanga lakini sikuwahi kusema, ilipofika muda wa kusaini Mkataba huu wa sasa shida ikaongezeka, kupewa Fedha ya usajili ikawa tabu, mshahara nilikuwa…
Tweet media one
131
53
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
9 months
#RWANDA : Rais Paul Kagame, amemteua Binti yake, Ange Kagame Ndengeyingoma kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji Baraza la Mikakati na Sera (SPC) Mwaka 2020, alimteua Mtoto wake wa Kiume, Ivan Kagame katika Bodi ya Maendeleo. Pia, Januari 2023, Mtoto wake, Ian Kagame alichaguliwa…
Tweet media one
156
76
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
SWALI: Lissu umezungumza kuwa Serikali iliyopo madarakani inadhibiti usishinde katika Uchaguzi wa mwaka huu, huku miongoni mwa hoja zilizopo ni kuwa wanadhibiti kwasababu unatumika na mabeberu. > Je, wewe unatumika na mabeberu? Na kama sivyo tutaamini vipi? #Uchaguzi2020
209
80
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
7 months
ALIYEDAIWA KUGOMEA UTEUZI WA RAIS KUWA MKUU WA WILAYA ARUDISHWA KWENYE UALIMU Ni Maganga M. Japhet, ametakiwa kurejea katika nafasi ya Mwalimu Mwandamizi Daraja A, Manispaa ya #Temeke kuanzia Oktoba 1, 2023 baada ya maombi yake ya kuongezewa muda wa kuazimwa ili kutumikia Chama…
Tweet media one
165
101
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
TANZIA: KATIBU MWENEZI WA CHADEMA, KATA YA MHINTIRI AUAWA KWA MAPANGA > Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi, Nicholas Andrea Gui anadaiwa kukutwa ameuawa kwa kukatwa mapanga majira ya saa moja jioni jana Soma - #JFLeo
Tweet media one
104
181
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Raia Samia amesema “Kutokana na kupotea kwa Haki za Watu hasa wasio na uwezo wa Mamlaka wala Fedha wamekuwa wakipoteza sana Haki zao, wamekumbwa na mambo ambayo hawakupaswa yawakumbe. Tupitie Mifumo yetu upya tuangalie tulipokosea na pa kuboresha.” Soma
Tweet media one
60
77
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
DAR: RC Makonda amesema hali jijini sasa inaelekea kuwa shwari, idadi ya wagonjwa wa #COVID19 inazidi kupungua na kuwatoa hofu wakazi wa Dar > Adai amebaini watu wenye nia ovu mtandaoni walinunua majeneza na kwenda makaburini kuchimba na kujifanya wanazika ili kuleta taharuki
637
76
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
#MICHEZO : Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Ally Said amesema "Vikao halali vilivyojadili suala la #FeiToto ni vile vya Kamati ya TFF ambavyo vimetoa maamuzi kuwa Fei anatakiwa kuendelea kubaki Yanga, mimi na Makamu wangu tulizungumza naye binafsi lakini haikuwa mazungumzo…
Tweet media one
115
53
2K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Tundu Lissu: Mimi ni wakili, majaji wengi hawajui kiingereza, ukienda nchi za wenzetu huko mtanzania akiongea unatamani kuingia uvunguni mwa meza > Kiingereza chetu ni kibaya. Sio kwa sababu hatuna akili ila ni kwasababu tumekosa Sera ya Lugha #Uchaguzi2020
Tweet media one
112
136
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
Rais Samia: Nimeshangazwa watu wanapiga ngoma mtandaoni, inachezwa bungeni, tena mnademka vizuri sana! > Mnalinganisha watu, mnalinganisha Magufuli na Samia, watu hawa ni kitu kimoja. Nimefuatilia mijadala yenu bungeni, haina afya
Tweet media one
164
131
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
FATMA KARUME: KUUKALIA KIMYA UOVU INAMAANISHA UNAUUNGA MKONO Amesema “Niwaambie Watanzania wenzangu kuyakalia kimya maovu ni jambo baya sana, tumia chochote ulichonacho hata kama ni uso wako au sauti yako onesha haujafurahishwa.” Soma #DemokrasiaJF
Tweet media one
39
75
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
LEMA AACHIWA NA KUPEWA HIFADHI NCHINI KENYA > Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ameachiwa na kupewa hifadhi, #Kenya > Novemba 8 alikamatwa kwa kosa la kuingia Kenya bila vibali. Alidai hakuwa na Usalama #Tanzania Soma - #JFLeo
Tweet media one
44
79
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
5 months
Bunge la Ulaya limepiga Kura leo Desemba 14, 2023 kuhusu mchakato wa kuwaondoa Wafugaji wa Kimasai katika eneo la Ngorongoro. Kura 493 zimekubali Wamaasai waachwe maeneo yao, Kura 29 zimependekeza waondolewe na Kura 17 hazikuwa na maamuzi Serikali ya Tanzania imekuwa ikiendelea…
Tweet media one
243
200
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
SENETI YA MAREKANI: NI VIGUMU KWA UCHAGUZI MKUU 2020 TANZANIA KUWA WA HAKI > Ni baada ya viongozi wa CHADEMA kuhukumiwa faini ya Tsh. Milioni 350 au jela miezi 5 > Seneti imedai hukumu hiyo inafuta uwezekano wa Uchaguzi Mkuu 2020 kuwa huru Soma #JFLeo
Tweet media one
113
214
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
MPYA: MWANDISHI BOLLEN NGETTI ADAIWA KUTEKWA TENA NA WATU WASIOJULIKANA > Ikiwa ni siku 4 tangu Afisa Programu na Elimu kwa Umma wa LHRC, Tito Magoti ‘atekwe’ na wasiojulikana, kuna taarifa kuwa mwandishi Bollen Ngeti naye ametekwa na wasiojulikana leo maeneo ya Msasani, Dar
108
183
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
5 months
CHONGOLO AMWANDIKIA MWENYEKITI CCM TAIFA BARUA YA KUJIUZULU JamiiForums imejihakikishia kuwa Barua kwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa ya Kujiuzulu nafasi ya Katibu Mkuu CCM iliyosambaa Mtandaoni ni ya kweli na iliandikwa na Daniel Chongolo Katika Barua hiyo Chongolo…
Tweet media one
89
110
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
BREAKING: ZITTO KABWE AKAMATWA NA POLISI Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo , Ndg. @zittokabwe amekamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kufika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar kuwaona Viongozi wa Upinzani waliokamatwa juzi #TZ2020 #TanzaniaElections2020
Tweet media one
57
109
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Tundu Lissu (Makambako): Ukienda Mpanda kuna Uwanja wa Ndege, ulijengwa kwasababu Mizengo Pinda alikuwa Waziri Mkuu > Sasa sio Waziri Mkuu anaishi Zuzu Dodoma, Uwanja wa Ndege wa Mpanda watu wanalishia Mbuzi na Ng'ombe #Uchaguzi2020
48
125
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
#FLOYDMAYWEATHER ANUNUA CHENI KWA TSH. BILIONI 2.3 Amefanya hayo Siku chache kabla ya pambano lake lisilo la Ubingwa dhidi ya Aaron Chalmers mnamo Februari 25, 2023 Ina uzito wa kilogram 2.6, imeundwa na dhahabu na vipande 8,500 vya Almasi Soma #JFLeo
Tweet media one
36
33
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
MWAMPOSA (ANAYETAFUTWA NA POLISI) AENDESHA IBADA JIJINI DAR > Wakati Polisi wakidai kumtafuta bila mafanikio, Mwamposa yupo anaendesha ibada kanisani kwake Kawe jijini Dar huku kukiwa na ulinzi mkali > Azuia kupigwa picha bila kibali; ibada ya leo itaisha saa 6 kamili mchana
Tweet media one
172
98
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
MTANDAO WA WhatsApp WATOWEKA KWA WATEJA WA TANZANIA > Taarifa zilizoletwa na watumiaji kadhaa wa mtandao wa WhatsApp ambao wanatumia Mtandao wa Vodacom nchini Tanzania zinaonyesha mawasiliano yamekatika kabisa muda mfupi uliopita > Bado hakuna taarifa za chanzo cha tatizo hilo
Tweet media one
212
179
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
KANISA KATOLIKI LAISHITAKI CCM MAHAKAMANI Kanisa Katoliki Jimbo la #Kigoma limefungua shitaka Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma likidai eneo lao la Ardhi yenye ukubwa wa Ekari 39.6 linataka kuchukuliwa na kujengwa Shule bila ridhaa yao Soma #Governance
Tweet media one
50
49
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
UFARANSA: Mamilioni ya raia wameandamana wakiishinikiza Ufaransa kujitoa NATO na Rais Emmanuel Macron kujiuzulu Wameitaka Serikali kuacha kutoa silaha kwa #Ukraine kutokana na Uhaba wa Mafuta uliosababishwa na Vikwazo dhidi ya #Russia Soma #Democracy
Tweet media one
88
108
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
10 months
URUSI: NDEGE YA RAIS YADAIWA KUONDOKA MOSCOW, WAGNER WAKIDAIWA KUKARIBIA MJI Inadaiwa Wapiganaji wa Wagner wameendelea na mapambano na sasa wamefika katika Mkoa wa #Lipetsk , takriban Kilometa 450 kutoka Moscow Katika hatua nyingine, imeelezwa kuwa Ndege ya Rais imeonekana…
Tweet media one
88
60
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Changamsha Akili 😂😂😂😂 #JamiiForums
Tweet media one
1K
103
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
PUTIN: ATAKAYEINGILIA MZOZO WA UKRAINE ATAPATA PIGO LA KIHISTORIA Baada ya milipuko kuripotiwa Mji wa #Kyiv , Rais wa Urusi asema, "Yeyote atakayeingilia kutoka Mataifa ya Magharibi, atakutana na matokeo ambayo hajakutana nayo" Soma - #RussiaUkraineCrisis
Tweet media one
136
110
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
BREAKING: Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema wabunge David Silinde na Wilfred Lwakatare wamefutwa uanachama kwa makosa ya kukiuka maagizo ya chama ya kutohudhuria vikao vya Bunge na kutoa maneno ya kashfa dhidi ya viongozi wa chama #JFLeo #JFSiasa
60
92
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
MAREKANI YAIONYA TALIBAN KUZUIA WANAWAKE KUSOMA CHUO KIKUU Marekani imeeleza kutakuwa na gharama ikiwa hakutakuwa na Mabadiliko kuhusu Maamuzi hayo yanayofanywa na Serikali ya #Taliban Nchini #Afghanistan Soma #WomenRights #SocialJustice
Tweet media one
68
40
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Rais Magufuli: Mnakumbuka miaka yote tulikuwa tunahangaika na mgao wa umeme, mara #Mtera imekauka. Kumbe kulikuwa kuna watu pale wanafungulia maji yanatoka ili wauze majenereta. Niliwafukuza wote > Mwaka wa tano huu hamjasikia mgao wa umeme #JFMagufuli #Kilosa #JFLeo
Tweet media one
73
86
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
Chuo Kikuu cha #Iringa kimewafukuza Wanafunzi zaidi ya 50 wa Shahada ya Teknolojia ya Habari (IT) baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada ambapo ilionekana wamelipa na kugoma kulipa ada hiyo hata walipogundulika wamedanganya Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Ndilirio Urio amesema…
Tweet media one
181
89
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
BREAKING: LE MUTUZ AAGA DUNIA Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, William Malecela, maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msanii Steve Nyerere Taarifa zaidi zitakujia hivi punde
Tweet media one
94
91
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
DAR: BEI YA HUDUMA YA CHOO STENDI YA MBEZI LUIS YASHUKA Baada ya Wadau wa kulalamika mara kadhaa kuhusu bei kubwa ya huduma ya vyoo katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Luis, hatimaye bei imeshuka. Awali kupata huduma kwa mtu mmoja ilikuwa Tsh. 500 lakini…
Tweet media one
55
38
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
KENYA: Video inayoonesha jinsi Mke wa DJ Brownskin alivyojitoa uhai kwa kunywa Sumu na kufariki mbele ya Watoto wake huku akirekodiwa na anayedaiwa kuwa Mume wake, imezua hisia kali na kusababisha Wananchi watake Polisi wamkamate DJ huyo Kupitia Video, anasikika Mwanaume…
Tweet media one
130
84
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
BREAKING: Maalim Seif Sharif Hamad amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha @ACTwazalendo > Anakuwa Mwenyekiti wa pili wa chama hicho tangu kuanzishwa kwake mwaka 2014 #JFLeo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
42
78
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
MAREKANI: BUNGE LA SENETI LASIFU MAKONDA KUZUIWA - Limesema kuzuiwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuingia nchini humo ni hatua nzuri ya mwanzo katika kuwawajibisha wale wote walio Tanzania wanaohusika na kuizorotesha Demokrasia Soma #JFLeo
Tweet media one
142
173
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
KISUTU, DAR: KESI ZA TUNDU LISSU KUSIKILIZWA BAADA YA UCHAGUZI > Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Augustina Mmbando amekubali ombi lililowasilishwa na Wakili wa utetezi na kuahirisha kesi hizo hadi Novemba 6 ambapo zitasikilizwa mfululizo Soma #JFLeo
Tweet media one
84
101
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
DAR: KILO 584.55 ZA DAWA ZA KULEVYA ZATEKETEZWA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na #DawaZaKulevya Tanzania (DCEA) imeteketeza kiasi hicho kinachojumuisha Kilo 569.25 za Heroin, #Cocaine Kilo 15.3 na Tani 2 za Bangi na Mirungi Soma #JFMatukio
Tweet media one
153
40
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
Tweet media one
617
75
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
CORONAVIRUS-TANZANIA: PIERRE LIQUID ATHIBITIKA KUWA NA #COVID19 - Peter Mollel maarufu Pierre Liquid sasa yupo Hospitali ya Amana akiendelea na matibabu - Amesema anahisi amepata #CoronaVirus baa maana ndio maeneo yake ya kujidai Soma #JFCOVID19_Updates
Tweet media one
130
130
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
9 months
KATAVI: Wananchi wa Mitaa ya Milupwa na Mtemibeda Wilaya ya Mpanda wamemlazimisha Mbunge wao, Sebastian Kapufi (CCM), kunywa Maji Machafu ili kumuonesha hali halisi wanayopitia kwa kukosa Huduma ya Maji Safi na Salama Wananchi walisikika wakilalamika mbele ya Mbunge na Kaimu…
Tweet media one
129
139
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Kwa mujibu wa Utafiti wa Mapato na Kaya, Mikoa ya #Kagera , #Kigoma , #Singida , #Tabora na #Dodoma ina kiwango kikubwa zaidi cha Umasikini Baadhi ya sababu zilizotajwa kusababisha hali hiyo ni Matatizo ya Kihistoria pamoja na Miundombinu duni Soma …
Tweet media one
58
82
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
9 months
Macho yako yanaona vizuri? tuambie unamwona Kiongozi gani katika Picha hii. #JamiiForums #ChemshaBongo #BrainTeaser
Tweet media one
930
108
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
TANZIA: MAMA MZAZI WA ERICK KABENDERA AFARIKI DUNIA > Mama mzazi wa Mwandishi anayekabiliwa na mashtaka yasiyo na dhamana, #ErickKabendera (Verdiana Mjwahuzi) amefariki alfajiri ya leo > Marehemu alimwombea msamaha mwanae kwani ndiye alikuwa msaada wa matibabu kwake #JFLeo
Tweet media one
122
137
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
LISSU: MIMI SIO WA KWANZA KUWA NA WAKILI MWINGEREZA > Tundu Lissu amesema hata Mwl. Nyerere aliwahi kumtumia Wakili kutoka Uingereza > Amesema hayo alipoulizwa kuhusu kujihusisha na Mataifa ya nje kwani hata Wakili wake ni raia wa Kigeni Soma #TZ2020
Tweet media one
43
131
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
5 years
Kauli ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere juu ya Uhuru wa watu na Maendeleo
73
293
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
10 months
KENYA: Siku moja tangu Serikali iondoe walinzi wa #RailaOdinga na Viongozi wengine wa Upinzani zaidi ya 50, Julai 18, 2023 imemuondolea ulinzi Mama mzazi wa Rais Mstaafu #UhuruKenyatta wakati Serikali ikiwa kwenye shinikizo la Maandamano ya Julai 19, 2023 Awali, Mama Ngina…
Tweet media one
76
47
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 months
MAREKANI: Mwili wa Mtanzania Abraham Mgowano aliyekuwa akiishi na kufanya kazi katika Kampuni ya Google kama Mhandisi wa Programu Endeshi (Software Engineer) umepatikana ukielea katika Mto Miami jijini Florida baada ya kuanguka toka kwenye Boti (Yacht) Abraham aliripotiwa kupata…
Tweet media one
109
79
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
MBUNGE KISHIMBA: VYUO VITAFUTE AJIRA KABLA YA KUSAJILI WANAFUNZI - Mbunge wa Kahama Mjini asema Wazazi wamechoshwa na mfumo wa Elimu unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio - Ashauri Degree isomwe kwa miezi 8 ili Mtu aendelee na maisha mengine Soma -
Tweet media one
179
95
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Benard Membe(Lindi): Nani hapa ana Milioni 1 (Hakunaa), Nani hapa ana laki 5 mkononi mwake (Hakunaa), Nani hapa ana laki 2 mkononi mwake (Hakunaa), Nani hapa ana laki 1 mkononi mwake (Hakunaa) - Serikali inakuambia kuwa wewe ni tajiri wakati hela hauna #Uchaguzi2020 #JFSiasa
49
81
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
IDRIS SULTAN ASHTAKIWA KWA KUMILIKI LAINI YA SIMU ISIYO YAKE - Amefikishwa ktk Mahakama ya Kisutu na mwenzake Innocent Maiga na anatuhumiwa kumiliki laini ya simu ya Maiga - Maiga anatuhumiwa kushindwa kuripoti mabadiliko ya umiliki wa laini hiyo Soma
Tweet media one
183
88
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
10 months
Tweet media one
203
47
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
7 months
ZANZIBAR: UBINAFSISHAJI WA BANDARI YA MALINDI WADAIWA KUPANDISHA USHURU KWA 100% Mfanyabiashara, Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwama kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh.…
Tweet media one
255
126
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
BREAKING: MSANII IDRIS SULTAN AKAMATWA NA POLISI > Anashikiliwa Kituo cha Oysterbay na ni baada ya kuwasili hapo kufuatia wito wa Polisi > Mwanasheria wake amesema anahojiwa kwa “Makosa ya Mtandao” > Imedaiwa atahamishiwa Makao Makuu ya Polisi Soma
Tweet media one
141
127
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
LISSU: JARIBIO LOLOTE LA KUVURUGA UCHAGUZI LITASABABISHA WATU WAPELEKWE 'THE HAGUE' > Asema kuna uchunguzi unaendelea na ipo orodha ya watu wanaoangaliwa > Yeyote atakayetumia mbinu za kiharamia kuvuruga Uchaguzi anajiingiza ktk orodha hiyo Soma #TZ2020
Tweet media one
62
127
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
UTURUKI NA SYRIA ZAPIGWA NA TETEMEKO LA UKUBWA WA 7.9 NA KUUA ZAIDI YA WATU 200 Linatajwa kuwa kati ya Matetemeko makubwa kuwahi kutokea Nchini #Uturuki katika kipindi cha zaidi ya Miaka 100 huku likiharibu Majengo na Miundombinu Soma #EarthQuake
Tweet media one
19
41
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
TUNDU LISSU: NITAONGOZA NCHI KWA KUFUATA KATIBA MPYA ITAKAYOPATIKANA > Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, Nchi inahitaji #KatibaMpya ili kurudisha Mamlaka kwa Wananchi kujichagulia Viongozi kwenye maeneo yao na kuwawajibisha wanapokosea Soma #TZ2020
Tweet media one
38
160
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
UPDATE: Waandaaji wa tuzo za GRAMMYs, #RecordingAcademy wamethibitisha kuwa rapa mkongwe #JAYZ atatumbuiza Jumapili Feb. 5, 2023 > Mastaa wengine wanaotajwa kuwepo ni #LilWayne , #RickRoss , #JohnLegend , na Fridayy Soma #JFEntertainment #GRAMMYs2023
Tweet media one
5
19
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Tweet media one
288
19
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Tundu Lissu (Makambako): Kama Uwanja wa Chato ni halali kwanini Mwalimu Nyerere hakujenga Butiama? Na alikuwa Rais miaka 24. Kwanini Mwinyi hakujenga alikozaliwa? > Kwanini Mkapa hakujega Lupaso? Kwanini Kikwete hakujenga Msoga? #Uchaguzi2020
81
110
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
#BURUDANI : #WillSmith na #MartinLawrence wamethibitisha ujio wa tolea la 4 la filamu za Bad Boys na tayari utayarishaji umeanza kupitia #SonyPictures > Wewe ni shabiki wa filamu za Bad Boys? Unadhani #BadBoys4 itazipiku zilizopita? Soma #JFEntertainment
Tweet media one
10
18
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
FARU FAUSTA AFARIKI DUNIA > Ni faru anayeaminika kuwa mzee zaidi duniani na amefariki akiwa na miaka 57 > Fausta ameishi maisha yake yote katika Hifadhi ya Ngorongoro mpaka umauti ulipomkuta jana Ijumaa, Disemba 27, 2019 #FaruFausta #JFLeo #animal
Tweet media one
192
110
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
WANYAMA WENGINE WAHAMISHIWA BURIGI-CHATO - Simba 20 wakiwemo Simba wakubwa 17 wamewasili kwenye Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato - Simba hao wametolewa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na miongoni mwao kuna Simba Dume linaoitwa Burigi na Jike linaloitwa Chato #JFLeo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
189
80
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
SHURA YA MAIMAMU: POLISI WAWAACHIE VIONGOZI WA CHADEMA BILA MASHARTI Shura ya Maimamu imesema kitendo cha Polisi kuwakamata Viongozi na Wanachama wa CHADEMA ni kukiuka #Katiba inayotambua Haki ya kukusanyika na kutoa maoni Soma - #JFLeo #HumanRights
Tweet media one
63
188
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
11 months
Macho yako yanaona vizuri? Andika ulichokisoma kwenye Picha hii #JamiiForums #BrainTeaser
Tweet media one
1K
77
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
10 days
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji mahiri Nchini, Gardner G. Habash maarufu 'Captain' amefariki Dunia, leo Aprili 20, 2024 Hadi umauti unamkuta #Gardner alikuwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( #JKCI ) Jijini Dar es Salaam kutokana na changamoto ya Shinikizo la Damu…
Tweet media one
64
64
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
DAR: AHUKUMIWA KUNYONGWA KWA KOSA LA KUMUUA MKE BAADA YA KUMFUMANIA Dibron Saidi amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Herieth Justine kwa kumchoma kisu mara 3 Herieth ameacha Watoto watatu Soma #JFMatukio
Tweet media one
84
49
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
BREAKING: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amesomewa Mashtaka ya Ugaidi na amekosa dhamana na kupelekwa rumande Gereza la Ukonga, Segerea Jijini Dar - Hii ni kwa mujibu wa Taarifa rasmi ya Chama hicho Soma >
Tweet media one
139
151
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
Rais Samia: Naomba sana tufuate maadili na sheria ili kurahisha kazi ya taasisi zetu. Haipendezi kila siku tunafukuzana na kusimamishana kazi - Unapokwenda kukwapua Bilioni 3 sijui una lengo gani Mwenzetu. Kwenye usimamizi wa mali na Rushwa nitasimama imara #RipotiCAG #JFLeo
24
131
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
TIGO: KWETU UTII KWA MAMLAKA NI KIPAUMBELE KULIKO FARAGHA ZA WATEJA Umuhimu wa #Tanzania kuwa na Sheria ya Ulinzi wa Data ni kuhakikishia ulinzi, usiri na usalama wa Data binafsi na kuheshimu faragha za Wateja Soma - #DataProtection
Tweet media one
271
229
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
BAADHI YA NCHI ZA AFRIKA ZAIKUBALI DAWA YA ASILI YA MADAGASCAR > Togo, Senegal, Guines-Bissau na Equatorial Guinea wamekubali kununua dawa ya mitishamba iliyozinduliwa na Rais wa Madagascar aliyodai kuweza kutibu #COVID19 Soma #JFCOVID19_Updates
Tweet media one
90
137
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
2 years
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka > Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021 Soma #JFLeo
Tweet media one
211
113
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
Lissu: Kwanini tunaomba michango? Tunaomba michango kwasababu hatuna pesa. CCM wanajichotea pesa, mnataka tuseme wanachotaje? > Someni Kitabu cha Mkapa. Sasa sisi CHADEMA hatuna hiyo 'priviledge' lazima tuchangishe #Uchaguzi2020
48
119
1K
@JamiiForums
Jamii Forums
3 years
Tweet media one
118
91
1K