
Jamii Forums
@JamiiForums
Followers
2M
Following
6K
Media
40K
Statuses
71K
Inform | Engage | Empower | Digital Democracy
United States
Joined June 2009
DODOMA: Jeshi la Polisi limesema linamshikilia Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji wa #CHADEMA, Leonard Magere kwa tuhuma za jinai zinazomkabili, taarifa imetolewa baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa Magere hajulikani alipo tangu alipokamatwa na Polisi, Julai 12, 2025. Awali, CHADEMA
9
8
74
Katika hali ambapo #Miundombinu mtaani inaharibika kutokana changamoto mbalimbali, Wananchi huathirika kwa kukosa huduma muhimu ikiwemo usafiri, afya, maji, elimu n.k. Hali hii inahitaji Viongozi wa ngazi za chini kuwajibika kwa haraka ili kuwezesha Wananchi kuendelea na shughuli
2
8
47
Uongozi si nafasi ya kufaidika, ni wajibu wa kutumikia Wananchi kwa uaminifu. Kabla ya kuchagua Kiongozi, angalia anasimamia nini na ana uwezo gani, sio kumchagua kwa ushabiki au hisia. #JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia
0
1
14
DAR: Kanisa la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) lililokuwa katika eneo la Ubungo Kibo limeonekana katika hali ya kuvunjwa, leo Julai 13, 2025. Ikumbukwe baadhi ya Waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (Ufufuo na Uzima) walihamia Kanisa la #KKAM kwa ajili ya
6
14
151
Kwa kanuni hizi za uvaaji wa suti, mdau utatoboa kweli?. Kushiriki mjadala huu bofya : #Jamiiforums #JamiiAfrica #JFlifestyle #JFChitChat
0
0
9
Mwaka 2009, Timu ya #Yanga chini ya Kocha Kostadin Papic raia wa Serbia ilikuwa ikicheza soka la kuvutia, kikosi kikiundwa na wachezaji wengi mafundi. Mdau kama ulianza kufuatilia mpira kipindi cha wachezaji kama Fiston Mayele na Stephane Aziz, basi ni nafasi kwa Mashabiki
24
8
188
Safari ya Ukuaji haijawahi kuwa kamilifu. Huwa ni polepole, imejaa changamoto na wakati mwingine unarudi nyuma. Kila kosa linakufundisha na kila hatua ndogo huongeza hatua nyingine. Kila mara unapojitokeza, unajenga kasi ya mafanikio. #JamiiForums #JamiiAfrica
0
2
10
Jeshi la Polisi usiku huu wa Julai 12, 2025 limethibitisha kumkamata Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Brenda Rupia kwa ajili ya mahojiano kutokana na Tuhuma za kutoa Taarifa za Uongo na za Uchochezi na kwamba baada ya kumhoji hatua
13
39
243
Kiungo wa #YoungAfricans (Yanga), Peodoh Pacome Zouzoua ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Juni katika Ligi Kuu Bara 2024/2025, akiwashinda Clatous Chama wa #Yanga na Kibu Denis wa #Simba baada ya kuisaidia timu yake kushinda mechi tatu alizocheza Juni. Kwa upande wa Kocha
1
11
148
MOROGORO: Mdau wa #JamiiForums aliyelalamika juu ya ubovu wa Barabara ya Mazimbo–Manyuki, akieleza kuwa ilikuwa kero kubwa kwa wakazi na changamoto kwa madereva wa daladala na bajaji waliokuwa wakipata shida kuendesha shughuli zao za kila siku, hasa watumiaji wa vyombo vya moto.
10
4
115
Mdau wa Jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki anadai walijuana na mpenzi wake Mwaka 2023 kupitia #Facebook, lakini sasa anachanganyikiwa na ndoto za kimapenzi ambazo mpenzi wake amekuwa akiota mara kwa mara kuhusu mpenzi wake wa zamani. Je, unamshauri nini Mdau apeleke mahari
0
1
16
Mdau wa kutoka Jukwaa la Siasa anauliza unadhani mazungumzo baina ya Nape Nnauye (Mbunge) na Mwananchi huyu yalikuwa yanahusu nini? . Soma #Jamiiforums #JamiiAfrica #UchaguziMkuu #Siasa
21
1
45