Leo, nimepata wasaa wa kukutana na Mhe
@TunduALissu
, pamoja na mambo mengine, kumpa salamu za pole; kutoka kwa WanaCHADEMA na Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga.
Kumekuchaa! Kundi la EDGE la Umoja wa Falme za Kiarabu limesaini makubaliano ya ushirikiano na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakati wa maonyesho ya ulinzi ya IDEX Tarehe 21 Februari 2023 huko Abu Dhabi. Okay waTanganyika Mpoooo?!!!! …
Nimepokea simu na sms nyingi, zikitaka kufahamu ukimia wa Kijana wa Chama
@IAMartin_
. Wengi hawajaona akipost na bahati mbaya zaidi simu zinaita tu. Poleni sana. Nimepata hakikisho toka kwa Mama mzazi wa
@IAMartin_
kuwa ni mzima wa afya, yupo kwenye shughuli za kifamilia.✍🏼
Toka sakafu ya moyo wangu, ninawashukuru sana Wajumbe wa Mkutano Mkuu, kwa kunichagua na kupata kura 27 sawa na asilimia25% na hivyo nimekuwa ni mshindi wa tatu. CHADEMA ndiyo imeshinda✌🏾 Shukrani sana🙏🏾
BreakingNews: Patrobas Katambi anusurika kichapo, toka kwa rai na makada wa Ccm wakimdhibiti asitoe rushwa Kata ya Kambarage Mjini Shinyanga😊
#YajayoYanafurahisha
.
@TzPccb
Afande OC-CID Magambo akiwa na askari wenye siraha za moto, wamevamia Nyumbani na kwenye Ngome ya Mgombea wetu wa Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini, Majira ya Saa04:30, leo 08Oct2020.
#UhuruHakiNaMaendeleoYaWatu
Wakuu, mara baada ya kufanya Mkutano na Wanahabari leo, juu ya ujio wa Mgombea Urais Mhe
@TunduALissu
Mkoa wa Shinyanga. Eneo ambalo tumeitangazia Dunia, kuwa Mhe Lissu atahutubia, kumewekwa kibao cha marufuku ya kufanya Mkutano na watu wasiojulikana.
Nimeambiwa kuwa
#Ndugai
alikuwa ni miongoni wa 'Vigogo wa Serikali' waliokuwa wanakata- kata-kata Mhe Rais
@SuluhuSamia
asiapishwe kuwa Rais wa JMT, baada ya kifo cha Mwendazake. Eti alitaka yeye aapishwe kuwa Rais🤔😁😁🙏🏾
#Breaking
: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference-TEC). Wametoa waraka wa kupinga Mkataba wa Bandari, ambao umesainiwa na maaskofu zaidi ya 30, wenye page6 na kuupa jina la ‘SAUTI YA WENGI, NI SAUTI YA MUNGU’
#OkoaBandariZetu
soma nondo hapa👇🏽👇🏽
Mbunge wa CHADEMA na Mhazini wa
@BawachaTaifa
Mhe
@CatherineRuge
amepata ajali mbaya asubuhi hii akitokea Dar es Salaam kwenye kesi fake za Viongozi wa Chama. Taarifa za awali Mhe. Ruge anamaumivu makali kwenye Mguu pamoja na kifuani.
#GetWellSoonRuge
😂Dikteta wa twita ni mwepesi kuliko mnavyomdhania. Kalainika, endeleeni kupiga spana mpaka arudi kwenye mstari ama atoke. Ni hivi "KINYAGO TULICHOKICHONGA WENYEWE HAKIWEZI KUTUTISHA. Tutailinda Chadema kwa wivu mkubwa.✌🏽
Kuhamasisha maandamano sio kosa la jinai kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Sheria yetu inaelekeza tutoe taarifa tu ya tarehe, muda na njia ya maandamano hayo. Kukamatwa kwangu hakukuwa na sababu yoyote zaidi ya vitisho na usumbufu tu. Aluta continua!!! Maandamano yako pale pale!
MATAGA na
@tanpol
sikilizeni!!!, Mbowe alishakuwa ni "taasisi" na fikra zake za "Changes" zipo kwa mamilioni ya Watanzania, kamwe hamwezi kummaliza Mbowe, ambaye yupo kila Kitongoji, Kijiji, Mtaa, Kata, Taraafa, Wilaya na Mkoa. Mbowe yupo kwenye mioya na vichwa vya Watanzania!
Nimesikitishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi Shinyanga
@tanpol
kuegesha magari yakiwa na askari kwenye ofisi za Chama na baadae kwenye eneo la ukumbi tunappfanya maadhimisho ya
#SikuYaVijanaDuniani
. Ujinga huu unapaswa kupingwa kwa nguvu zote.
Hivi ATCL mnafahamu kuwa kutoka Geita Mjini kwenda 'Chato Airport' kuna umbali wa 74 Km kwa barabara na kutoa Geita Mjini kwenda 'Mwanza Airport' ni 84Km, Wataalamu wa Business Plan ATCL mnafahamu kuna Abiria atachagua kuruka toka
#Mwanza
kuliko
#Chato
kwenda Dar!!
Tupo angani na mwanetu,
Rais wa Mbeya. Hii ndiyo ile 'saa' aliyoisahau Sugu Mbeya. Shingo kavimba na kilo za kutosha toka Shinyanga.😀
Story za
@TheRealJongwe
ni namna ya kukataa umasikini. Tuishi✊
Anaandika
@AnnaTibaijuka
“DC Msando Unanikejeli ninapotosha, neno ‘anga’ lipo kwenye TERRITORY ambayo unadai ipo definitions tu. Nakuletea ushahidi neno territory na dhana yake lipo sehemu kadhaa ibara 12(1); 19; 30(2). Kwa mantiki hiyo aliyevamia mtumbwi wa vibwengo atajulikana”
#Mataga
Mjengo mpya wa CHADEMA kwa hapo juu; kuna uwanja wa kutua chopa. Sehemu maalumu ya kinamama kunyonyeshea watoto, kumbi za kisasa, swing pools etc. Mtajua hamjui, kitu kinasimama ndani ya mwaka mmoja. We'are Prouder, Stronger & Better
#JoinTheChain
#KatibaMpya
Bwana
@Nnauye_Nape
tunaomba UFAFANUZI kuhusu; uhalisia wa familia yako! baada ya wenye familia yao 'kukusahau' kwenye orodha ya watoto wa Brig. Gen Moses Nnauye (RIP) katika tangazo la familia la miaka 10 kumbukumbu ya mzee Nnauye. Walinukuu majina yao—Jina lako halipo Bumunda!
Updates: Wakili Msomi Dickson Matata (
@AdvMatata
) tayari yupo Central Police kwa ajili ya kuwapigania Wanaharakati wote waliokamatwa na
@tanpol
leo wakiandamana kupinga UUZWAJI wa Bandari za Tanganyika kwa
@DP_World
.
Napenda kutumia wasaa huu, kushukuru Kamati Kuu ya Chama changu CHADEMA, kwa kubaliana na baadhi hoja zangu (Ikiwemo kufungiwa kinyume cha utaratibu) katika rufaa dhidi ya Kamati ya utendaji wa Kanda.
Vilevile, naishukuru kamati ya usaili ya Kanda ya Serengeti kwa kuniteua…
Mwenyekiti CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi natarajia kufanya ziara ya kichama kata, majimbo/wilaya katika mkoa wote wa Shinyanga. Ziara hili itakwenda sambamba na oparesheni ya kupandisha bendera za CHADEMA mkoa mzima maandalizi ya kuelekea kuanzia mikutano ya hadhara.
Mwaka 2017, Mhe
@TunduALissu
aliliambia
@bunge_tz
; “kwa minajili ya kuweka kumbukumbu sawa —Tume za Prof Mruma na Prof Osoro (Kuhusu Makinikia) ni PROFESSORIAL RUBBISH…” Wabunge wa CCM wakamzomea. 2023 tunaona matokeo ya hoja za TAL na mpaka sasa hatujapewa Noah za Makinikia!🙄
Hangaya is like... "Mhe
@freemanmbowetz
naomba unisamehe nilidangaywa na IGP Sirro na Kingai, NISAMEHE, NISAMEHE
@tanpol
ni Waongo, Wewe si gaidi. Nisamehe Kaka.
Tumepata taarifa kuna baadhi ya Wagombe Ubunge wetu, katika Mkoa wangu wana mazungumzo na upande wa pili, hatutapuuza hizi taarifa, ila wafahamu wanaweka rehani nafsi zao. Warudishe fomu haraka bila kisingizio chochote na wafuate maelekezo ya Chama.
#NoHateNoFear
!
#Sasabasi
✌🏾
Mie sisikitiki kwa hao
#Wapumbavu
kuapishwa! Kinachonisikitisha ni namna Nchi yetu
#Tanzania
Mifumo yake inavyokuwa Corrupted & kuaharibiwa kwa kiwango hiki, yaani Mfumo wa Mahakama unamtoa
@hanje_nusrat
Usiku, Mfumo wa Bunge unashiriki haramu.
#Tanzania
inaelekea wapi!?
#ChangeTZ
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha kaka na rafiki Mr. Seif Hamad Mande, alikuwa ni Mhasibu katika Halmashauri ya Manispaa Shinyanga. Nimehudumu nae. Ametutoka jioni hii. Seif Hamad, alipendwa na Madiwani wengi, mpenda soka, Kijana mpole na mnyeyekevu
#RIPKaka
.
Breaking: Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Dunia, Papa Francis amesema
#KatibaMpya
haiepukiki Tanzania na amemtaka Rais
@SuluhuSamia
kuheshimu
#maridhiano
na kuhakikisha Uchaguzi unakuwa Huru na Haki Tanzania.
Hatimaye Spika Job, kaanza mchakato wa kulipa stahiki zote za Mhe
@TunduALissu
. Tunataka pia
@tanpol
mrudishe 'Gari la Tundu' na Kisha mjitokeza kueleza Umma, mmefikia wapi na 'Jalada lenu la uchunguzi'
#ChangeTanzania
.
Breaking: JWTZ kumtetea Mbowe, Wakili wa utetezi Mhe Kibatala amaiomba Mahakama kuwe na siri, kuwalinda baadhi ya mashahidi wa Mhe Mbowe ambao ni waajiri wa JWTZ. Mawakili wa Serikali wanapiga. Jaji anasimamisha Mahakama kwa dakika30.
Nipo Club, DJ kapiga wimbo uwe dedication kwa ajili ya Mzee Rugamalira, na baadae kapiga wimbo kwa ajili ya Mhe Mbowe. Mayowe kama yote!! Barikiwa sana DJ.
#HeIsNotATerrorist
...🎊
Kwa maneno mwengine, Mwanakwetu kakiri - alikuwa anaumwa ugonjwa wa ' Changamoto ya kupumu' na kwamba; ile message- aliyotusomea - Dingi ilikuwa ni message hewa; kwani leo ana siku ya tatu ndiyo ametoka kwenye oksijen machine.
#Mataga
mpo!? Soon
#TutaelewanaTu
.
CCM wameamua kumleta
@diamondplatnumz
kwenye Uwanja CCM Kirumba kupiga show bure, ili kuvuruga Mkutano wa CHADEMA unaofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha. Hii ndiyo hali halisi ya show ya Diamond Mwanza😀😀
Anaitwa MWENYEKITI,
Anaitwa FREEMAN MBOWE
Jimboni wanamuita KAKA,
Vijana wa Chama tunamuita MWAMBA, Na kwa kuteswa kwake hatimae TANZANIA inaenda kuandika
#KatibaMpya
.
MWAMBA TUVUSHE🙏🏼
Wananzengo! ASANTENI, kwani mpaka sasa ndiyo Mkoa pekee ambao tumevunja rekodi ya mapokezi na udhamini kwa
@TunduALissu
wadhamini zaidi ya 483 Mwabeja ! Lengo ikiwa ni wadhamini 200 kwako Mwl Kashahe
@IAMartin_
hapo Mwanza na
@HecheJohn
Mara😎
Sehemu kubwa ya Mawakala wa
#CHADEMA
, Tumeapishwa kwa
#NguvuYUmma
, huku MaCCM wamekosa kabisa Mawakala kwenye Majimbo mengi, imebidi
@TumeUchaguziTZ
kuongeza siku za kuapisha Mawakala, hii ni salamu tosha kuwa CCM Imekataliwa! Watanzania wanataka
#UhuruHakiNaMaendeleoYaWatu
Nimefurahiswa na kizazi kipya cha vijana, wasomi kwenye siasa za mageuzi -kujitokeza kwa wingi kwenye maandamano jana.
Walk it, talk it & like it...!
Nisaidie ku-tag hii squad yangu kwenye maandamono... ✊
Chama la wana lipo barabarani,
Chama pendwa lipo barabarani,
CHADEMA tumaini la Watanzania.
Matapeli wamtandaoni wanasema bodaboda Arusha wamegoma😀😀
#ProuderStrongerAndBetter
Ilikuwa hivi hawa "Interahamwe" waliletwa mapema asubuhi, eneo la Mkutano, Vijana waChama Hamasa, wakawatimua. Badae wakaja
@tanpol
wakashinikiza lazima wawepo kwenye Mkutano,Tuligoma.Wakawaleta tena.Baadhi ya Vijana tumewafahamu ni Greenguard wa sisiem. Chama kitoe tamko rasmi.
Shikamoo
#Tarime
#Niyeye2020
Kaka Mkubwa
@HecheJohn
hongera sana, hii ni message tosha kuwa wewe ni Mtu wa watu, wacha
#Magufuli
aendelee kudanganywa na Waitara😀 Maana
#Mataga
kila anapoenda wanamuambia "hakuna tabu utashinda" na wanatoa bendera zetu ili kumjaza upepo vizuri.
JPM alitubagua, alitupiga, katufunga, hakutaka tuongee kwenye mikutano ya hadhara, alituchukia kwa kiwago kisichomidhirika.
SSH kaacha ubaguzi, hatupigi, hatufungi katuachie tuongee kwenye mikutano ya hadhara na wala hatubagui.
Cha ajabu kuna wa Watu WAMENUNA, mlitakaje!?🤔
Hii ni kwa faida ya mawakili wa CCM, ambao wanasema Mkataba bado haujasainiwa. Nawakumbusha kuwa ulisainiwa Februari 27, 2022 mbele ya
@SuluhuSamia
na Kipara alikuwepo Dubai.
#OkoaBandariZetu