Azam TV Profile Banner
Azam TV Profile
Azam TV

@azamtvtz

Followers
1,329,702
Following
209
Media
78,378
Statuses
94,316

Watch your favorite shows on | 📞 +255784108000

Dar Es Salaam, Tanzania
Joined July 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@azamtvtz
Azam TV
2 months
Sauti ya Radi ‘Mwamba wa Umalila’ Baraka Mpenja ndiye amepewa mamlaka ya kuisherehesha Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly, akisaidiwa na Ayubu Hinjo. Mechi hii utaipata LIVE kupitia #AzamSports2HD kuanzia saa 3:00 usiku.
Tweet media one
79
112
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Namungo FC imemtangaza aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Cedric Kaze kuwa Kocha Mkuu wa kikosi cha 'Wauaji wa Kusini'. Kaze ameitumikia Yanga kwa misimu miwili toka alipojiunga nayo mwezi Oktoba 2020 na amefanikiwa kuisaidia timu hiyo kuchukua ubingwa wa NBC Premier League,…
Tweet media one
35
67
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Wachezaji wa Azam FC, Feisal Salum na Yannick Bangala katika picha ya pamoja na aliyekuwa kocha wa viungo wa Yanga, Helmy Gueldich ambaye kwa sasa yupo kwenye kikosi cha Orlando Pirtaes ya Afrika Kusini. Hapa ni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole, jijini Addis Ababa…
Tweet media one
22
47
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 month
TAARIFA KWA UMMA #AzamTv #AzamMedia
Tweet media one
331
150
2K
@azamtvtz
Azam TV
8 months
Tweet media one
14
26
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
KUMEKUCHA!!!! Baada ya kuonekana kwa orodha za wasanii bora kwa mwaka 2022 kwa mujibu wa Mameneja wa #WCBWasafi , leo hii #Alikiba maarufu kama #KingKiba amekuja juu na kuwauliza "Nyinyi ni nani" kuwapanga wasanii kwenye orodha?
Tweet media one
99
34
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Miamba minne ya soka Tanzania Bara itakutana jijini Tanga, wote wakiwa na lengo moja tu! Kubeba #NgaoYaHisani2023 Fuatilia mechi hizi #LIVE #AzamSports1HD kuanzia Agosti 9, 2023 na Fainali itakuwa #Agosti 13, 2023 #SisiNiSoka #SokaLetuDamDam #YangaSC #SimbaSC #AzamFC
Tweet media one
20
73
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
NGAO YA JAMII: "Ni Furaha kwangu kucheza derby kesho na haitakuwa na presha kwani nimeshakutana na derby nyingi hapo kabla... Hii siyo vita ni mpira wa miguu, ukishinda au kufungwa maisha yanaendelea" Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali kesho…
Tweet media one
92
55
2K
@azamtvtz
Azam TV
4 months
#Afcon2023 : Nyota wa Yanga SC, Pacome Zouzoua ambaye ni raia wa Ivory Coast ameonesha kuiunga mkono Timu ya Taifa Stars (Taifa Stars) ambayo ipo nchini kwao kwenye michuano ya #Afcon2023 . Nyota huyo akiwa na ‘uzi’ wa Taifa Stars, ameonekana katika picha ya pamoja na Yao Kouassi…
Tweet media one
16
37
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
PONGEZI KWA WANANCHI: Tunaipongeza Yanga SC kwa kufikisha watazamaji milioni saba (7) kwenye chaneli yao ya YouTube ya #YangaTV ndani ya kipindi cha mwezi Agosti pekee. #Wananchi #YangaSC #YangaTV #TimuYaWananchi
Tweet media one
32
88
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Baada ya Azam FC kumtambulisha kiungo wa soka Yannick Bangala kutokea Yanga SC, miamba hiyo ya Chamazi imechapicha tena picha za MVP huyo wa NBC Premier League msimu wa 2021/22, akiwa na jezi wa timu yake hiyo mpya. Kwa namna gani unausubiri msimu mpya wa Ligi Kuu ambao utaanza…
Tweet media one
14
31
2K
@azamtvtz
Azam TV
3 months
#CAFCL : Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (MwanaFA) amekabidhi kitita cha shilingi milioni 20 kwa Yanga SC baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 4-0 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouizdad. Fedha hizo ni utekelezaji wa…
Tweet media one
11
54
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Kazi ni moja tu! Kuitafuta fainali na kuondoka na #NgaoYaJamii2023 Agosti 10, 2023 ni kivumbi kwa #SimbaSC kukutana na #SingidaFountainGateFC wakitafuta nafasi ya kucheza fainali ya Ngao ya Jamii. Mbungi itakuwa Mbashara #AzamSports1HD kuanzia saa 1.00 usiku! #NgaoYaJamii
Tweet media one
9
56
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Goli la Mchezaji wa Simba SC, Clatous Chama alilofunga dhidi ya Horoya kwa kupitia mpira wa kutenga limeteuliwa kuwa bora kati ya magoli yote yaliyofungwa kwenye mechi za mzunguko wa tano hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Unalolote kwa Clatous Chama? #CAFCL #GoliBora
Tweet media one
Tweet media two
42
66
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
#BreakingNews Yanga Bingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/23. Huu ni ubingwa wake wa 29 tangu kuanzishwa kwake na ni baada ya ushindi wa leo 4-2 dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha pointi 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. FT: Yanga 4-2 Dodoma Jiji. Neno moja kwa…
Tweet media one
62
185
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Kazi ni moja tu! Kuitafuta fainali na kuondoka na #NgaoYaJamii2023 uhondo unaanza Agosti 9, 2023 kwa #YangaSC kukutana na #AzamFC wakitafuta nafasi ya kucheza fainali ya Ngao ya Jamii. Mbungi itakuwa Mbashara #AzamSports1HD kuanzia saa 1.00 usiku! #NgaoYaJamii #YangaVsAzam
Tweet media one
11
50
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
KUTOKA CHAMAZI: Weka maneno kwenye picha hii ya viungo wapya wa Azam FC, Yannick Bangala na Feisal Salum ‘Fei Toto’ #AzamFC #Chamazi #FeiToto #Bangala
Tweet media one
8
26
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
#BreakingNews : Simba SC imetangaza kumrejesha aliyewahi kuwa Kiungo Mshambuliaji kwenye klabu hiyo, Luis Miquissone ambaye alitimkia Al Ahly ya Misri kwa misimu miwili iliyopita. Unauzungumziaje usajili huu? #SimbaSCKusajili #UsajiliSimbaSC @SimbascTanzania
Tweet media one
38
81
2K
@azamtvtz
Azam TV
4 months
Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimemtunuku mtangazaji wa kandanda wa #AzamMedia , Baraka Mpenja ‘Sauti ya Radi’ ikiwa ni ithibati ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kipekee anaoutoa katika maendeleo na ustawi wa lugha na utamaduni wa Kiswahili duniani. Mpenja…
Tweet media one
Tweet media two
47
52
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
58’ | #MechiYaKirafiki : Kibu Denis na John Bocco wameitanguliza Simba SC Turan PFK 0-2 Simba SC #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #TuranPFKVsSimbaSC #TuranPFK #SimbaSC #Preseason
Tweet media one
21
55
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
KIDUKU vs WELLEM: Raundi ya tatu iliambatana na uchungu kwa Twaha...Alikwenda chini lakini akainuka chap... Dozi inaendelea... Ni Vitasa Dozi Kubwa kutoka Mwanza LIVE #AzamSports1HD #VitasaMwanza #DoziKubwa #VitasaDoziKubwa #DoziNzito #Vitasa #VitasaNight #MoStrong
Tweet media one
Tweet media two
43
27
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
NGAO YA JAMII: Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi baada ya mazoezi ya leo anasema hawezi kuweka wazi mbinu atakazoingianazo kesho dhidi ya Azam FC lakini kikosi chake kiko tayari kusaka ushindi. Mechi ni kesho saa 1:00 Usiku LIVE #AzamSports1HD #MitoNiMaishaYetu #10DaimaDamdam
Tweet media one
24
42
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Klabu ya soka ya Singida Fountain Gate, imetangaza viingilio kwenye Tamasha lao la Singida BIG DAY ambalo litafanyika Agosti 02, 2023 katika dimba la Liti mjini Singida. Kwa mujibu wa taarifa ya timu hiyo, mzunguko gharama yake ni Shilingi 3,000 na VIP ni Shilingi 5,000.Uhondo…
Tweet media one
8
35
2K
@azamtvtz
Azam TV
11 months
AZAM FC NA JAMBO LAO: Endelea kufuatilia matangazo ya LIVE wakati Feisal Salum ‘Fei Toto’ akisaini mkataba na Azam FC Tuko LIVE #AzamSports1HD #AzamTV #AzamSports1HD
Tweet media one
137
54
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Clatous Chama anauliza "Hapa ni wapi?' Chama amefika jana Uturuki kujiunga na kikosi cha Simba SC ambacho kipo huko kikiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa 2023/2024 na leo ameanza mazoezi na wenzake. #SimbaPreseason #Uturuki #AzamSportsUpdates @realclatouschama
Tweet media one
10
42
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Hapa ni wapi? 👀
Tweet media one
296
41
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Tweet media one
22
44
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
SIMBA DAY: Wanasimbaaaaaaaaaaaa....!!!!!! Mnasemajeeeeeee.....!? Huku Tanga tumeamka na 'vibe' la #SimbaDay2023 wakati tukiisubiri kwa hamu #NgaoYaJamii2023 #UnyamaMwingi #SimbaDay #SimbaDay2023 #SimbaSC
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
73
2K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Tweet media one
99
56
2K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Tweet media one
16
15
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
USIKU WA VITASA: Na sasa ni Karim Mandonga dhidi ya Moses Golola kutoka Uganda. Je, nani atakaa?? Ni vitasa kati ya Juma Misumali na Paul Kamata . Ni Vitasa Dozi Kubwa kutoka Mwanza LIVE #AzamSports1HD #VitasaMwanza #DoziKubwa #VitasaDoziKubwa #DoziNzito #Vitasa
Tweet media one
Tweet media two
32
23
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
MNADA WA KIBEGI: Jezi ha Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi imenunuliwa kwa shilingi milioni tano (5,000,000) na imekwenda kwa kampuni moja ya upakuaji mizigo bandarini Tuma meseji kwa namba 0693689768 (meseji ya kawaida) au kwa namba 0658107333 (whatsapp ) Tazama…
Tweet media one
22
55
2K
@azamtvtz
Azam TV
2 years
MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO: Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Wananchi @yangasc1935 wamepangwa kucheza na Club Africain kutoka Tunisia kwenye michezo ya mtoano kutafuta timu zitakazoingia hatua ya makundi ya michuano hiyo.
Tweet media one
53
64
2K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
80’ | MechiYaKirafiki Batman Petrolspor A.S 1-3 Simba SC Magoli ya Simba yamefungwa na Onana, Mohamed Hussein na Ntibazonkiza. #MechiYaKirafiki #Preseason #BatmanPetrolsporVsSimba SC #BatmanPetrolsporAS #Simba SC
Tweet media one
14
31
2K
@azamtvtz
Azam TV
6 months
DERBY YA KARIAKOO: Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo watakuwa kwenye vipaza sauti Jumapili ya #DerbyYaKariakoo . Hawa ndio waliopewa jukumu la kuihutubia Tanzania, Afrika Mashariki na dunia kwa ujumla kwenye mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC. Neno moja la kuwatakia kheri wawili…
Tweet media one
159
83
2K
@azamtvtz
Azam TV
2 months
#BreakingNews Simba imepangwa kukutana na Al Ahly ya Misri wakati Yanga ikiangukia mikononi mwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika michezo yao ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, na wote wawili wataanzia nyumbani. Mechi za mkondo wa kwanza zitapigwa kati ya…
Tweet media one
58
46
2K
@azamtvtz
Azam TV
7 months
“Ninafuraha kuwa Dar es Salaam, Tanzania kwa ajili ya uzinduzi wa michuano mipya ya African Football League” sehemu ya maneno ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino aliyoyaandika kwenye ukurasa wake wa Instagram baada ya kukanyaga Tanzania.…
Tweet media one
14
37
2K
@azamtvtz
Azam TV
6 months
KUTOKA ALGERIA: Pichani ni Kocha wa Yanga SC, Miguel Gamondi, beki wa timu hiyo Yao Kouassi pamoja na Meneja wa Habari na Mawasiliano, Ally Kamwe wakiwa katika mkutano wa wanahabari uliofanyika leo hapa uwanjani Stade de 5 juillet, Algeria. Ni kuelekea mchezo wa kesho wa hatua…
Tweet media one
8
43
2K
@azamtvtz
Azam TV
3 years
TAARIFA Tunasikitika kuwaarifu kwamba, hatutaweza kuwaletea matangazo ya moja kwa moja ya mchezo wa CAF Champions League kati ya Rivers United na Yanga SC
Tweet media one
139
125
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
KUTOKA AVIC TOWN: Weka maneno kwenye mazungumzo haya kati ya Jonas Mkude na Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ ukihusianisha na shughuli ya kesho ya kilele cha #WikiYaMwananchi . Yanga itaikaribisha Kaizer Chiefs katika dimba la Benjamin Mkapa. Tutakuwa LIVE #AzamSports1HD kuanzia saa…
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
37
74
1K
@azamtvtz
Azam TV
11 months
#BreakingNews Wamechukua tena bhana..!!! Yanga SC yatwaa kombe la Azam Sports Federation kwa msimu wa pili mfululozo. FT: Azam 0-1 Yanga. Nena na Wananchi sasa....!!! #AzamSports1HD #ASFC #ASFCCup #ASFCFinal #MitoNiMaishaYetu #10DaimaDamdam #Tanga2023 #WajeWajirambe
Tweet media one
58
108
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
SIMBA NA JAMBO LAKE: Endelea kutazama LIVE shughuli ya Kibegi Part III inayofanywa na Simba SC kutokea hoteli ya Serena. Tuko LIVE #AzamSports1HD #SimbaSC #KibegiPartIII #KibegiChaSimba
Tweet media one
4
33
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Watanzania Ibrahim na Fadi Ramadhani maarufu kama Ramadhani Brothers, ambao ni washindi wa 'Golden Buzzer' kwenye mashindano ya vipaji ya Australia's Got Talent 2022 (AGT), wamefanikiwa kutinga katika fainali (Grand Finale) za michuano hiyo mikubwa ulimwenguni.
Tweet media one
15
63
1K
@azamtvtz
Azam TV
8 months
LEO, saa 6:00 mchana, nchi zitakazoandaa fainali za AFCON 2025 na 2027 kutangazwa.. Shughuli hii itakuwa mbashara kupitia AzamSports1HD. Tanzania ni moja ya nchi iliyoomba kuandaa fainali za 2027. #AFCON #AzamTV
Tweet media one
13
30
1K
@azamtvtz
Azam TV
4 years
TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa - Bukoba, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini
Tweet media one
150
91
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
SINGIDA KULIAMSHA AGOSTI MBILI: Wakulima wa alizeti Singida Fountain Gate ‘wataliamsha’ Agosti 02, 2023, kwenye Tamasha la Singida BIG DAY litakalofanyika katika dimba la Liti mjini Singida. Kupitia tamasha hilo Singida FG itatambulisha kikosi chake chote kitakachotumika msimu…
Tweet media one
5
26
1K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Tweet media one
Tweet media two
14
46
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
WIKI YA MWANANCHI: Utambulisho wa @skudu11 ulikuwa wa namna yake, hebu zitazame burudani kutoka kwa namba sita wa Yanga SC. Tuko #LIVE #AzamSports1HD #YangaVsKaizerChiefs #YangaSC #Yanga #KaizerChiefs #Wananchi #WikiYaMwananchi #HiiImeenda @yangasc @alikamwe
29
133
1K
@azamtvtz
Azam TV
2 years
MOSES PHIRI: Kwenye NBC Premier League, Moses Phiri tayari ana magoli manne, kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) nako ameshatupia magoli manne. Ishara gani huionesha anapofunga goli? #SimbaSC #MosesPhiri
Tweet media one
63
44
1K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
HUSSEIN ABEL KIPA MPYA SIMBA SC Tazama utambulisho wa Kipa mpya wa Simba SC, Hussein Abel ambaye amejiunga na miamba hao wa Kariakoo akitokea KMC FC ya Dar es Salaam. Tuko #LIVE #AzamSports1HD #SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba
11
61
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
MTOKO WA AFRIKA: Mzigo umeshafika hapa Makao Makuu ya #AzamMedia tayari kuzinduliwa LIVE kupitia #UTV Shughuli yote ni ndani ya #AlasiriLounge muda huu #MtokoWaAfrika #AzamFC #JeziMpyaAzamFC
Tweet media one
Tweet media two
78
42
1K
@azamtvtz
Azam TV
7 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
69
27
1K
@azamtvtz
Azam TV
4 years
“…Wenzenu hawapati mnachokipata, wanapanda daladala hadi Mbeya, hawakai camp nzuri, hawalipwi kwa wakati, hawapati bonus mzipatazo lakini wanawazidi fighting spirit na commitment kwa mbali sana!!.... Kifupi baadhi yenu mmeboa mno” - @HajiManara baada ya sare dhidi ya Yanga
Tweet media one
160
74
1K
@azamtvtz
Azam TV
6 months
DERBY YA KARIAKO: Mtangazaji Patrick Nyembera ataliongoza jopo la wachambuzi siku ya #DerbyYaKariakoo Jumapili ya Novemba 5, 2023. Mchezaji wa zamani wa Simba na Yanga Amri Kiemba na mtaalamu wa takwimu Ramadhan Mbwaduke watalibeba jukumu la uchambuzi. Mechi saa 11:00 jioni LIVE…
Tweet media one
15
52
1K
@azamtvtz
Azam TV
11 months
TUZO ZA TFF: Mwamuzi Bora Soka la Wanawake, ni Ester Adalbert wa Singida. Tuko LIVE #AzamSports1HD #TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2023 #Awards
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
26
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Kipa mpya wa Simba SC ambaye ametambulishwa leo Mbrazil, Jefferson Luis tayari ameanza kujifua akiwa na ‘uzi’ wa vijana hao wa Msimbazi ambao wamekita kambi jijini Ankara Uturuki. Kwa mujibu wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC @ahmedally_ ni kwamba ‘nyanda’ huyo…
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
38
1K
@azamtvtz
Azam TV
5 years
Mnyika ‘atiririka’mbele ya Rais @MagufuliJP . “Naamini Watanzania amekuombea usiwe na kiburi, Wananchi wana malalamiko juu ya Bomoabomoa nakuomba kwa kutanguliza utu...tafakari kuwalipia fidia Wananchi waliopisha ujenzi huu" - John Mnyika.
182
261
1K
@azamtvtz
Azam TV
4 years
JPM KATIKATI YA FOLENI BILA VING'ORA Tazama jinsi Rais John Magufuli alivyoondoka na gari lake binafsi baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupitia mitaa ya Jiji la Dodoma bila ving’ora wala kusafishiwa njia. #AzamTVUpdates #AzamNews
242
111
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 month
Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto ni miongoni mwa waliojitokeza kwenye mazishi ya aliyekuwa nyota wa zamani wa Simba SC na Red Star, Abbas Said Muhunzi ‘Abbas Kuka’ aliyefariki jana Jumamosi wakati akiswali swala ya Magharibi katika Msikiti wa Kionga, Magomeni Mapipa…
Tweet media one
20
31
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
60’ | MechiYaKirafiki Batman Petrolspor A.S 1-1 Simba SC Goli la Simba limefungwa na Onana #MechiYaKirafiki #Preseason #BatmanPetrolsporVsSimba SC #BatmanPetrolsporAS #Simba SC
Tweet media one
3
12
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 month
SOLIDARITY FOREVER: Ni Pacome Zouzoua akiwa kwenye 'pipa' safarini kwenda Afrika Kusini kuivaa Mamelodi Sundowns kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wenzentu Ramadhan Ngoda na Shishira Mzava wapo kwenye msafari huo kuhabarisha kila kitu.…
Tweet media one
Tweet media two
11
22
1K
@azamtvtz
Azam TV
3 years
'NDINGA' JIPYA LA AZAM FC: Klabu ya Azam imetambulisha basi lake jipya aina ya Mercedes Benz Irizar i6S Plus. Neno moja 'chombo' hiki #AzamFC #Azam
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
173
79
1K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
Je, hii ni 'pitch' ya dimba gani? Hebu tuchemshe bongo kidogo halafu jibu sahihi litatoka badae kidogo katika post zinazofuata. #MitoNiMaishaYetu #10DaimaDamdam #NgaoYaJamii2023 #CommunityShield #CommunityShield2023 #Tanga #Tanga2023 #CommunityShieldTanga #Dodi
Tweet media one
Tweet media two
216
35
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
MTOKO WA AFRIKA: ‘Uzi’ mpyaaaa….. Jezi ipi imekuvutia zaidi? #AzamFC #NewKit #AzamFCJezi #UziMpya
Tweet media one
81
41
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
WIKI YA MWANANCHI: Hiki ndicho Mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele amekiandika kupitia ukurasa wake wa instagram. Kilele cha Wiki ya Mwananchi ni kesho Jumamosi kuanzia saa 5:00 asubuhi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa #LIVE kupitia #AzamSports1HD . #WikiyaMwananchi
Tweet media one
27
63
1K
@azamtvtz
Azam TV
4 months
#Afcon2023 : Kiungo wa Yanga SC, raia wa Uganda, Khalid Aucho ameitakia kheri Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayoshiriki michuano ya #Afcon2023 nchini Ivory Coast. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Aucho ameandika “Tuko hapa kuwatakia kila la kheri katika michuano ya…
Tweet media one
7
37
1K
@azamtvtz
Azam TV
6 months
Nyota wa Simba SC, Clatous Chota Chama ameomba kuungana katika nyakati hizi ambazo kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale tangu kumalizika kwa #DerbyYaKariakoo Novemba 5. 2023. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chama ameandika “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana…
Tweet media one
40
28
1K
@azamtvtz
Azam TV
9 months
PRESS CONFERENCE: Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 2023/24 inatangazwa muda huu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) Almasi Kasongo. Tuko LIVE #AzamSports3HD #TheWaitIsOver #NBCPLFixture #NBCPL
Tweet media one
7
29
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Goli la kwanza alilofunga Mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele kwenye mchezo dhidi ya Rivers United limechaguliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) kuwa ndilo bora la wiki kati ya magoli yote yaliyofungwa mechi za raundi ya kwanza robo fainali ya Kombe la…
Tweet media one
47
47
1K
@azamtvtz
Azam TV
8 months
Leo ni mfanano wa kuzaliwa kwa Staa, mfanyabiashara na kiongozi kutoka @Wcbwasafi_ anayetimiza umri wa miaka 34. Ni mwamba kweli kwenye muziki wa Afrika, @diamondplatnumz mwenye majina mengi, lakini siku hizi wanamuita SIMBA LA MASIMBA DANGOTE! Kwa kutambua hilo, tafadhali…
Tweet media one
60
34
1K
@azamtvtz
Azam TV
2 years
Tweet media one
32
42
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Ni majonzi na simanzi kwa mzee Mathew Sedoyeka, baba mzazi wa marehemu Happiness! #RiPMadamHappy 💔😭
Tweet media one
13
16
1K
@azamtvtz
Azam TV
2 years
#BreakingNews Kampuni ya GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini wa #NBCPremierLeague ikieleza kuwa sababu ni TFF na Bodi ya Ligi kutotimiza makubaliano ya kimkataba
Tweet media one
127
78
1K
@azamtvtz
Azam TV
2 years
Yanga SC yamtangaza mchambuzi wa soka kutoka Azam TV, Ally Kamwe kuwa Afisa Habari wake kuanzia leo Septemba 27, 2022.
Tweet media one
24
39
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili aliyekuwa beki wa Sports Club Villa Gift Fred raia wa Uganda. #YangaSC #Yanga
Tweet media one
8
27
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
DROO YA CAFU: Endelea kutazama droo ya CAF kwenye mashindao ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika. Tuko #AzamSports1HD #AzamTVSports #CAF #CAFCC #YangSC #SimbaSC #AzamFC #SingidaFountainGate
Tweet media one
7
24
1K
@azamtvtz
Azam TV
10 months
SINGIDA BIG DAY: Tayari kumekucha mjini Singida pale dimba la CCM Liti ambako leo linafanyika Tamasha la Singida BIG DAY. Tuko LIVE #AzamSports1HD #SingidaBIGDAY #SingidaFG #SingidaFountainGate #TamashaLaSingidaFG
Tweet media one
2
25
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
“Tutaweka chumba maalum cha Video za Marejeo (VAR) kitakachotumika wakati wote wa mashindano” sehemu ya maneno ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Pindi Chanda akizungumzia ukarabati wa dimba la Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam. #BenjaminMkapa #WizaraYaSanaa
Tweet media one
46
38
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Muonekano Mpya Wa Nembo Yetu Ya Bakhresa Group 🇹🇿 @officialbakhresagroup
Tweet media one
144
54
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Bila kudanganya, eemh fumba macho kisha shusha “comment” yako hapa ukiandika 1-9 😅 #AzamTV10DaimaDamdam #AzamTV10Damdam
Tweet media one
668
22
1K
@azamtvtz
Azam TV
1 year
Wanetu wa 'geto', eemh fungukeni unadhani kujipikia au kula kwa mgahawani, kipi ni gharama zaidi? #FungukaAzamTV
Tweet media one
304
50
1K