Latto 𝕏 Profile Banner
Latto 𝕏 Profile
Latto 𝕏

@Rydx_017

Followers
30,856
Following
477
Media
5,236
Statuses
28,993

ELECTRONICS & TELECOM ENGENEER📡 | TECH GURU🪡| CREATOR & INNOVATOR✍️ | CINEPHILE🍿|PHOTOPHILE📷 | ⚖success comes to the people who find it😊

Tanzania
Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
𝗧𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮 na 𝗟𝗮𝘁𝘁𝗼, kwa matokeo Chanya!!! Nicherk 𝗗𝗠 kwa maelezo zaidi! Usisahau kunifollow na kuwasha Notification, Tucheke wote Kila siku 😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Tweet media one
13
21
170
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Hii ni Funzo kwa wanaotukana watu Mitandaoni na kwenye Medias.. Video kwa comments👇🏾👇🏾👇🏾
Tweet media one
163
96
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
TID anazidi kupaa na Interview yake 😂😂😂😂😂😂 Sasa leo katika pitapita zangu nimeona Netflix wameenda nayo!!! Screenshot kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
105
87
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Angalia kwenye comments 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Tweet media one
79
82
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Chanzo cha Ugomvi, uliopelekea Baba levo kupigwa na Harmonize Ni aibu!!!! Video kwenye comments👇🏾
Tweet media one
100
108
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Nimecheka sana Angalia kwenye comments video ya kwanza na ya pili 😂😂😂😂🙌🏽
Tweet media one
138
75
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
19 days
Oyaaa nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Yani mwana anakusave mpaka we mwenyewe unashindwa kuelewa kaku-save aje😂😂😂😂😂😂 Tx-Dullah atengwe 😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
344
185
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Wazungu wako kimkakati sanaa😂😂😂😂 Unapigwa picha 2020, kumbe inatumika kuchukulia Taji 2024. Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
71
83
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Chidi aache kuongea kwenye Media bhana 😂😂😂😂😂 Video kwa comments😅👇🏾
Tweet media one
62
85
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Oyaaaa huyu zaylissa alikua anatumia Dawa gani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Angalia comment!!! Hadi manara kamfata Dulla kumchimba mikwala
Tweet media one
214
90
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Yule mtoto alieombwa hela na Mwijaku, baada ya ku-treand, si wakamualika Mwijaku kwa ajili ya ftari na kumpa $10,000. Kweli shobo zinalipa!!!! Video kwa comments👇🏾👇🏾😂😂😂
Tweet media one
121
86
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
5 months
Mimba ya Paula 😂😂😂😂😂😂 Tanzania sihami soma comment please 😂😂😂😂🙌🏽
Tweet media one
184
78
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Zuchu kaiba Nyimbo ya watu 😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Sikiliza mwenyewe kwenye comments 😂😂😂😂👇🏾
Tweet media one
268
85
3K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Msafara mzima umepata ajali Masasi 🙌🏽🙆‍♂️ Picha za magari mengine kwa comments
Tweet media one
229
111
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Oyaaaa, Sio poa!! Mwakinyo alivyomrukia Harmo!!!🙌🏽😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
259
95
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Sio kiki Tena!!! Diamond kapost kwa insta story yake Angalia screenshot kwa comments👇🏾
Tweet media one
64
64
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Raisi mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ana imani ya kuwa na make wengi (Poligamous man) Kwa sasa ana wake wawili ambao ni 1. Marie Khone Faye (Mkristo) 2. Absa Faye (Muislamu). Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
68
75
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
P funky kimuhusia MARIOO wakati anaelekea kuwa baba kwa mara ya Kwanza! Nini afanya katika kumlelea Mtoto wake ajayo!! Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
86
64
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Katika Interview ya Aaliyah na SNS amelezea kuhusu bifu yake na zuchu Video kwa comments
Tweet media one
34
77
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Makonda kufika na kufika Ashaanza watishia Wadudu😂😂😂😂😂😂😂 "Niachieni hao, nita-deal nao" Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
72
58
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Treni ya SGR yaanza majaribio ya kutoka Dar kwenda Morogoro ikiwa na Abiria. Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
92
54
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Bongo Usifanikiwe wataanza sema yao 😂😂🙌🏽 Angalia video kwa comment
Tweet media one
51
43
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Watu wanalalamika Niffer anaangusha biashara za watu kwa Peni na Daftari na Account yake ya Insta😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
149
89
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Chino Ameumia sana kwa kitu alichofanyiwa na Marioo Video kwa comment👇🏾
Tweet media one
54
67
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
6 days
Paul Makonda Awajibu waliosimama na kusema kuwa anadhalilisha wafanyakazi wa Umma! Huku, tena Vanessa mdee, akashindwa kukalia kimya alichoongea MAKONDA!! Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
133
110
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Manara azidi kupiga Mikwara 🤣🤣🤣🤣 This means that Hizo video kweli zipo 🤣🤣🤣🤣👇🏾 Shuka chini msikilize kwenye comment
Tweet media one
71
117
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
TID kasema alikua anasikiliza wasanii wa siku hizi wakiimba "Nipigie simu wakati unakataka Gogo" akamziba mwanae masikio😂😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
90
99
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Jaivah asema kuwa Marioo kamnawa mikono Chino!! Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
69
45
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
5 days
Just Imagine unamsema mtu vibaya alafu akatokea hapo hapo nyuma yako😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Ila waandishi wamemuweza Sana Leonardo😂😂😂🙌🏽 Video kwenye Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
44
94
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Watu wanatoka Mbali!! Huwezi amini, Young lunya kabla ya kuanza kuimba alikuwa Mpishi wa Tunda Man Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
75
56
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Dudu baya kamsema TID kwa kukaa kwao mpaka vitukuu vyake vinalelewa kwa baba yake 😂😂😂😂😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
84
58
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Chidi anasafishiwa Nyota yake huko!!! Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
34
53
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Kumbe hiki ndo chanzo cha Ugomvi? Nilikua nahoji, why wanaman wamekasirishwa na Marioo! Angalia video kwa comments👇🏾
Tweet media one
70
55
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Ivi Gigo haya Matusi 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️ Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
56
56
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Nimesikiliza haya mahesabu ya huyu jamaa , nikawa najiuliza Ivi BSS wanakatwaga kodi Washindi? Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
168
75
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Hajji hapendi kuweka vitu anavyomiliki kwa Social media😂😂😂 Yeye anatu-expose wake zake tu 😂😂🙌🏽. Video kwa comments
Tweet media one
54
50
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Majirani 😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
172
62
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Hawa wazee bhana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ati wanaomba msamaha!! Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
55
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
6 days
Nimesikiliza Aliyefanyiwa huyu Baba na Serikali, Machozi yakanitoka 😢😢😢😭 Asee, Serikalini kuna watu wana Roho mbaya sana! Yani, kwa namna hii hata kama nikiwa nnahela zangu sitofanya miradi ya serikali.. Usipite bila kusikiliza hii Video kwenye comments👇🏾
Tweet media one
269
180
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Hata kama ningekua mimi! Kwa mke kama Diva, siwezi kaa nyumbani nikiumwa😂😂😂😂🙌🏽 Angalia video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
101
50
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Hii imenishtua, Sijajua hawa watu wanataka nini? Pastor anasema kabisa atakufa kwa ajali aliyoisababisha mtu wake wa karibu!! Video kwa comments
Tweet media one
185
90
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Angalia video ya kwanza na ya pili ikielezea definition ya single mazas😂😂😂😂😂🙆‍♂️ Video kwa comments
Tweet media one
207
63
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Mafia 😂😂😂🚮🚮🚮 Video kwa comments
Tweet media one
176
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Baada ya kuruhusiwa wasome Magazeti kwa Mbwembwe!! Walichokifanya angalia video kwa comments👇🏾
Tweet media one
51
53
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Watu wako na Roho ngumu kweli 😂😂😂😂😂 Yani wamewekea sauti maneno ya interview ya TID wakatengeneza na nyimbo kabisa😂 VIDEO KWA Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
134
78
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Omba omba Baba Levo Kafikisha Mashtaka yake Wasafi 😂😂😂😂😂😂 Video kwa comments
Tweet media one
42
41
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Oyaaaa!! Kuna watu wanawekeza!! Sio tu kwa ujenzi angalia vitu vilivyo ndani🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
80
66
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Abigail Chamskasema alikua hajui TID ni nani😂😂😂😂😂😂😂😂 Ameeona tu, Babu mwenye kipara akimzungumzia Mitandaoni😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa comments😂🙌🏽👇🏾
Tweet media one
243
76
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
18 days
Wiki iliyopita niliandika Habari ya shule ya advance huko UGANDA. Elite High School Entebbe. Ambayo ilizua Gumzo kwa wanafunzi wa shule hiyo kwenda kwenye Prom party na Magari ya kifahari pamoja na HELICOPTER. Angalia vizuri shule hiyo na tukio hilo chini Video kwa Comments👇🏾
Tweet media one
106
141
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Usher Kaomba Remix ya Dah! Ya Nandy Mwakani Tunaingia Grammy!!!!🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Angalia chats kwa comments👇🏾
Tweet media one
84
41
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Na kila biashara lazma alize watu😂😂😂😂😂😂😂😂 Video kwa comments
Tweet media one
16
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Diamond leo katika Interview ameulizwa kuwa kama TANZANIA. inahitaji mchango wa wasanii wakubwa kama kina DAVIDO kwenda kimataifa.. Akajibu yafuatayo.. Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
61
52
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
T.I.D kasema alikua anampa treand tu Abby chams Kwamba katoto kenyewe kabaya 😂😂😂😂😂 Video kwa comments
Tweet media one
119
53
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Mange kavujisha screenshots 😂😂😂😂😂 Angalia comments👇🏾👇🏾👇🏾
Tweet media one
54
35
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
5 days
Huku Tukiendelea kusubiri, MZIKI WA MAMA 😂😂 KOMASAVA, imewafikia Tottenham!! Diamond Tuendelee hivyo hivyo, Daima mbele, nyuma mwiko... Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
30
50
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Msikiliizeni Huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾😂
Tweet media one
74
49
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Jana watu waliibuka na kusema ile V8 ni ya chino!! Msikilize mwenyewe akiikataa Video kwa comments👇🏾😂😂😂
Tweet media one
18
37
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
5 months
😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
106
64
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Hawa wadudu washakuwa Chawa😂😂😂😂😂😂😂😂 Haya wameingia kwa siku ya wafanyakazi duniani😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
129
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Ramadhan imeisha watu eanaanza kurudi kwenye Uasherati wao🙆🙆 Haya huyu DJ ALLY B na familia leo its FRIDAY 😂😂😂😂😂😂😂 VIDEO KWA COMMENTS👇🏾👇🏾
Tweet media one
128
57
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Chamila Agoma kugawa zawadi za bahasha za hela, na kusema wafungue wagawe fedha taslim Ambapo baada ya kufungua bahasha hizo akakuta 1.2 M ambayo ni tofauti na zawadi waliyoisema ya kugawa 2M 😂😂😂😂 800k imeenda wapi?😂😂 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
166
102
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Alieitengeneza hii Video ana Dhambi🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mtangazaji kaanza Mbona wapole leo🤣🤣🤣🤣 Kilichojiri baada😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽 Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
117
91
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Mganga wa huyu mwamba sio Tapeli😂😂😂 Sikiliza alivyokutana na mkewe! Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
35
43
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Baada ya kuambiwa kuwa Hajui kupika, wakaita Media na Kuwaalika watu chakula 😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa comments 😂😂😂😂😂🙌🏽👇🏾
Tweet media one
88
41
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Asee huu Ushuhuda umenifanya nikacheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽 Oyaaa!, Japokuwa ni wa kweli ila kweli unawezaje kusimama mbele ya Kadmnasi kusema huu ushuhuda 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
163
119
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Dogo anasema alikodisha Gorofa na kulibadlisha kuwa kama hostel na kuwapangisha wenzake, na alikua ana hela ndogo kabisa!! Ivi aliwezaje kumshawishi.mwwnye nyumba 😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
48
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Shkamoo dada😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa comment!
Tweet media one
21
38
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Baada ya kuzinduliwa sanamu la Baba wa Taifa Ethiopia Joto la asubuhi wakaja na Sanamu la Majizo😂😂😂😂 Video kwa comments
Tweet media one
93
50
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Nimecheka saana 😂😂😂😂😂😂😂 Muuza madafu ashakuwa famous sana huyu Millard kampa content😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
94
64
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Wadudu wameitwa na Makonda😂😂😂😂😂😂😂😂 Angalia huyo dogo alijipaka chokaaa na kuvaa sketi na Koti😂😂😂 Dah!! Wadudu😂😂🙌🏽 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
74
57
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
12 days
Oyaaa weeeeeeeeh 😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Muda wa kuchangamsha RAPP ndio huu!! Hapa Young Lunya kakanyagwaaa😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Yani mpaka analia meeeehh😂😂🙌🏽 Sikiliza mwenyewe! Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
194
94
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Harmonize kamtania Diamond 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Video kwa coments 👇🏾👇🏾👇🏾
Tweet media one
35
36
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Diamond na Harmonize wakisalimiana, leo kwenye mwaliko wa ftrari na Mama Samia. Video kwa comments!!👇🏾
Tweet media one
58
60
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Tumepigwa!!!!!!! Kila muda unavyozidi kwenda Dakika zinapungua😂😂😂 Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
68
48
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Leo EFM wamemsema Peter Msechu na Tabia yake ya kutoa Nyimbo za Misiba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
58
39
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Mwijaku leo kamvaa mtoto wa GSM 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 VIDEO KWA COMMENTS👇🏾👇🏾
Tweet media one
85
58
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Mapenzi yanahitaji Uwekezaji Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
137
35
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Vibe la Ijumaa nyumbani kwa Dj Ally B na Familia yake😅😅😅😅 Mama Sima anakupigia.. "IT FRIDAY"...😅😅😅😅😅 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
80
70
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
13 days
Kwa Niffer, wateja wamejaa leo baada ya kusikia watapata Msosi wa Buree😂😂😂😂 Oyaaaa😂😂 Niffer anajua Advertising bhana!! Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
46
43
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Pastor asimulia alivyokutana na Mama Mkwe wake kabla ya kukutana na Mkewe ambapo mama mkwe ndio alimtambulisha binti yake!! What a great love story 😅😅 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
55
102
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Mi nilisema huyu sio Mchungaji ni Kungwi😅😅😅😅😅 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
57
55
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Imemchukua zaidi ya miaka 20 ya kuigiza kushinda Tuzo yake ya Kwanza ya Oscars. Jana Mwamba "Cillian Murphy" kashinda tuzo ya Best Actor, katika Single movie yake ya Oppenheimer ya Mwaka jana!! Angalia speech aliyoitoa kwenye comments👇🏾
Tweet media one
51
94
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Masanja na Mussa leo wamenichekesha sana😂😂😂😂😂😂 "Ukija bila gadi tunagawana wastani wa idadi"😂😂😂 Oyaaa Muuza madafu wa ikulu Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
66
69
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
17 days
Jol Master asimulia hali ilivyokua wakati anamwambia mama yake kuwa amefeli form six na kupata Division 0.😂😂😂😂😂😂😂 Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
32
47
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Mi nikafkr Marioo angefanya busara na kuwasiliana na Chino huu ugomvi uishe but kakaa kimya!! Video kwa comment👇🏾
Tweet media one
34
36
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Hii ni baada ya kuongelewa vibaya kila siku kwenye interviews Angalia picha kwenye comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
37
42
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Marioo ameshindwa kukaa kimya kwenye hili Video kwa comments
Tweet media one
27
34
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Kama ni kweli ! Kama ni kweli!! Wanawake 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Angalia video hapo chini 👇🏾
Tweet media one
32
23
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
3 months
Wauza madafu washakuwa Maarufu😅😅😅 Ila mwijaku hapa sijui kaingiaje!!! Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
51
43
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Wapopo wanalalamika huko😂😂😂 Katika pitapita zangu nimeona comment inasema... I can't believe we didn't win because of 1 girl pouring water in her Nyash" 😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Tweet media one
43
53
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Oyaaa, Wadudu from Chugastan wakisoma Bible 😂😂😂 Wanakupigia on Behalf of Chugastan people😂😂😂 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
43
59
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Makomando wakionyesha mauwezi yao leo siku ya muungano!! Oyaa TUKO VIZURI😅😅😅😅 Video na Pucha nyingine kwa Coments
Tweet media one
129
44
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
4 months
Watu ni Wanajua kuchunguza 😂😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa comments👇🏾
Tweet media one
62
26
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Mheshimiwa alikuwa analima zake, hakuona mkeka wa mama😂😂😂😂😂😂😂😂 Masanja bhana, Ati mkuu naomba nikubebe😂😂😂😂 Video kwa comments
Tweet media one
60
64
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
29 days
Diamond kwenye Suala la Promotion na ku-PUsh nyimbo zake anawekaga Umakini sana!! Jana alikua na Kanzu Challenge, Leo huyu hapa yuko jikoni na Ma Frying Pan ni KOMA SAVA! KOMA SAVA TU!! Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
56
71
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Yani mpaka mpita njia 😂😂😂😂😂😂 Ila huyu jamaa😂😂🙌🏽 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
86
46
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
11 days
Mwijaku na BABA levo wamekutana na Mheshimiwa NNAPE, wakaanza kumtania Wakaanza act kama ROBOTI Eunice 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Alooo nimecheka 😂😂😂😂😂😂🙌🏽 Video kwa Commments👇🏾
Tweet media one
52
52
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Kilichokuwa kinasubiriwa ni hiki tu!! Sara kuitwa Wasafi!! Haya Sara kasema alikutana na Diamond 2007 kwenye birthday party Wewe 2007 ulikuwa wapi? Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
72
80
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
5 months
Unazani ni kweli??? Kideo kwa comments
Tweet media one
114
36
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
2 months
Unadhani Kampuni Gani ikipewa Mwendokasi huduma zitaenda vizuri zaidi kuliko Awali? Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
128
41
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
1 month
Ulietengeneza hii clip Mungu anakuona 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅🤲 Video kwa comments👇🏾👇🏾
Tweet media one
57
53
2K