Oyaaa nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Yani mwana anakusave mpaka we mwenyewe unashindwa kuelewa kaku-save aje😂😂😂😂😂😂
Tx-Dullah atengwe 😂😂😂😂🙌🏽
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Yule mtoto alieombwa hela na Mwijaku, baada ya ku-treand, si wakamualika Mwijaku kwa ajili ya ftari na kumpa $10,000.
Kweli shobo zinalipa!!!!
Video kwa comments👇🏾👇🏾😂😂😂
Raisi mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ana imani ya kuwa na make wengi (Poligamous man)
Kwa sasa ana wake wawili ambao ni
1. Marie Khone Faye (Mkristo)
2. Absa Faye (Muislamu).
Video kwa comments👇🏾
Paul Makonda Awajibu waliosimama na kusema kuwa anadhalilisha wafanyakazi wa Umma!
Huku, tena Vanessa mdee, akashindwa kukalia kimya alichoongea MAKONDA!!
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Nimesikiliza Aliyefanyiwa huyu Baba na Serikali,
Machozi yakanitoka 😢😢😢😭
Asee, Serikalini kuna watu wana Roho mbaya sana!
Yani, kwa namna hii hata kama nikiwa nnahela zangu sitofanya miradi ya serikali..
Usipite bila kusikiliza hii
Video kwenye comments👇🏾
Wiki iliyopita niliandika Habari ya shule ya advance huko UGANDA.
Elite High School Entebbe.
Ambayo ilizua Gumzo kwa wanafunzi wa shule hiyo kwenda kwenye Prom party na Magari ya kifahari pamoja na HELICOPTER.
Angalia vizuri shule hiyo na tukio hilo chini
Video kwa Comments👇🏾
Diamond leo katika Interview ameulizwa kuwa kama TANZANIA. inahitaji mchango wa wasanii wakubwa kama kina DAVIDO kwenda kimataifa..
Akajibu yafuatayo..
Video kwa comments👇🏾👇🏾
Huku Tukiendelea kusubiri, MZIKI WA MAMA 😂😂
KOMASAVA, imewafikia Tottenham!!
Diamond Tuendelee hivyo hivyo,
Daima mbele, nyuma mwiko...
Video kwa comments👇🏾👇🏾
Chamila Agoma kugawa zawadi za bahasha za hela, na kusema wafungue wagawe fedha taslim
Ambapo baada ya kufungua bahasha hizo akakuta 1.2 M ambayo ni tofauti na zawadi waliyoisema ya kugawa 2M 😂😂😂😂
800k imeenda wapi?😂😂
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Asee huu Ushuhuda umenifanya nikacheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
Oyaaa!, Japokuwa ni wa kweli ila kweli unawezaje kusimama mbele ya Kadmnasi kusema huu ushuhuda 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Dogo anasema alikodisha Gorofa na kulibadlisha kuwa kama hostel na kuwapangisha wenzake, na alikua ana hela ndogo kabisa!!
Ivi aliwezaje kumshawishi.mwwnye nyumba 😂😂
Video kwa comments👇🏾👇🏾
Oyaaa weeeeeeeeh 😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Muda wa kuchangamsha RAPP ndio huu!!
Hapa Young Lunya kakanyagwaaa😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Yani mpaka analia meeeehh😂😂🙌🏽
Sikiliza mwenyewe!
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Pastor asimulia alivyokutana na Mama Mkwe wake kabla ya kukutana na Mkewe ambapo mama mkwe ndio alimtambulisha binti yake!!
What a great love story 😅😅
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Imemchukua zaidi ya miaka 20 ya kuigiza kushinda Tuzo yake ya Kwanza ya Oscars.
Jana Mwamba "Cillian Murphy" kashinda tuzo ya Best Actor, katika Single movie yake ya Oppenheimer ya Mwaka jana!!
Angalia speech aliyoitoa kwenye comments👇🏾
Wapopo wanalalamika huko😂😂😂
Katika pitapita zangu nimeona comment inasema...
I can't believe we didn't win because of 1 girl pouring water in her Nyash"
😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Diamond kwenye Suala la Promotion na ku-PUsh nyimbo zake anawekaga Umakini sana!!
Jana alikua na Kanzu Challenge,
Leo huyu hapa yuko jikoni na Ma Frying Pan
ni
KOMA SAVA! KOMA SAVA TU!!
Video kwa Comments👇🏾👇🏾
Mwijaku na BABA levo wamekutana na Mheshimiwa NNAPE, wakaanza kumtania
Wakaanza act kama ROBOTI Eunice 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Alooo nimecheka 😂😂😂😂😂😂🙌🏽
Video kwa Commments👇🏾
Kilichokuwa kinasubiriwa ni hiki tu!!
Sara kuitwa Wasafi!!
Haya Sara kasema alikutana na Diamond 2007 kwenye birthday party
Wewe 2007 ulikuwa wapi?
Video kwa comments👇🏾👇🏾