Nimetunukiwa Tuzo 2 za kutambuliwa mchango wangu katika kazi za kihabari kwenye Wizara ya
@ortamisemitz
&
@WizarayaUJnaUC
na kuwa Mwandishi pekee niliyefanikiwa kupata Tuzo 2 kutoka Wizara 2 tofauti kwenye Kongamo la Habari 2022..Asante Mungu,Wazazi & Kocha wangu Mkuu
@millardayo
“Ukija bila gadi nagawa idadi kwa wastani”.. Muuza madafu maarufu anasema mzigo aliolipwa Ikulu kaongezea kanunua Boda, kwa sasa anapiga Udereva Boda na anauza pia madafu..KOMANDOO kamuona na anakiri ni kweli wamefanana..vipi mnaendelea kukaza kuwa ni yeyee au mlimfananisha? 😂
#ARUSHA
:Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa mauziano ya tani laki moja za Korosho ghafi,zenye thamani ya Tsh.bilioni 418 na kampuni ya Indopower Solution ya Kenya.
Waziri Kakunda amesema Tanzania inaendelea kuwakaribisha wanunuzi wengi wa Korosho kutoka nje.
#BecaLoveUpdates
#BreakingNews
: Uzinduzi Mnada wa kwanza wa korosho Leo Oct 22 mbele ya Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba haujawa mzuri Kwa wakulima. Bei ya Juu kilo ni Tsh.2717 na ya chini Tsh.1711.
Wakulima wamegoma kuuza korosho zao na mnada umevunjwa hadi wakati ujao.
#BecaloveUpdates
"Ni marufuku kuning'iniza picha zangu kwenye Ofisi zote za Umma,u-Rais si umaarufu ama kuwekwa ukutani, badala yake kila mmoja wenu aweke picha za watoto wake awe anazitazama kila anapofanya maamuzi ya nchi hii''~Volodymyr Oleksandrovych Zelensky,Rais mpya wa Ukraine.
@kwanza_tv
Fremu 24 za biashara na ofisi moja ya utawala vimeteketea kwa moto hapa Mwenge karibu na Stand mpya.. hadi sasa moto umedhibitiwa kwa 98%. …Tupo hapa tangu saa sita usiku tukikufahamisha kila kinachojiri kupitia AyoTV/millardayo.com
#BUNGENILEO
: "Tunataka Waziri Mpango unapokuja hapa jibu la kwanza utuambie .. Kwasababu mulisema mutanunua korosho, Utuambie munaanza lini kununua korosho!?.. na kwa bei ya Elf tatu kwenda Juu, hakuna kushuka chini hata sh.Mia Moja" ~ Mbunge
@HecheJohn
.
#BecaLoveUpdates
Mzee wangu
@chapo255
kaa nami vizuri nikupe content la uzi ulioshiba hivi, nikiwa kama Mheshimiwa Mtangazaji wa kwanza kutumiwa wimbo wa kwanza wa Jeshii wakati huo akiitwa Rojaz kabla hajawa
@harmonize_tz
😀, nahisi pia Mimi ni Mtangazaji wa kwanza kufanya nae Interview 😀😀.
@ayubu_madenge
Ni Syria… hakika ni tukio la kugusa hisia, kwa mujibu wa wanaoelewa lugha hii wanadai Mtoto alikuwa anasema ‘Mkinitoa hapa nitafanya chochote mnachotaka nipo tayari hata kuwa Mtumwa wenu’…. Mungu ni mwema wametolewa salama🙏
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Team Leader
@millardayo
....Mungu ampe maisha marefu na aendelee kumuinua na kumbariki zaidi.. Asante nyingi kwake kwa kuendelea kuniamini 🙏
#TeamJanuary
💪
@HKigwangalla
Asante sana Kaka 😂.. namba 1 na 2 zilinipa moyo wa kuoa nikasema kesho tu natangaza ndoa… namba 3 hadi 10 zimenivunja nguvu, ngoja niendelee kujipa muda maana hizi tabia zilizoanza na Epuka na Usirogwe wanazo wengi😂😂
''Katiba yetu imenipa mamlaka ya kuteua naibu kiongozi mkuu wa Chama na tumekaa na kamati kuu imeridhia pendekezo langu la kumteua Juma Duni Haji kuwa naibu kiongozi mkuu wa
@ACTwazalendo
, uteuzi wake unaanza Jumatano Machi 27, 2019''~
@zittokabwe
#BecaLoveUpdates
And when you pray tonight…pray for all the people who have contributed positivity in your life. There are people who have truly changed your life and no amount of words will ever describe what they have done for you. Give them the greatest gift..prayers! God will do the rest.
#MTWARA
:Wakulima wilayani Newala wamelalamikia uamuzi wa zaidi ya Tani 68 za Korosho zilizopimwa katika vyama vya Msingi Chemana na China kata ya Chitekete,kurejeshwa kwa wakulima baada ya kukataliwa kuingizwa kwenye maghala makuu ya TANECU,kwa madai ya korosho hizo kukosa ubora.
Leo amezaliwa Boss na Kaka yangu
@millardayo
, Mungu azidi kumbariki, kumuinua na kumpa afya tele ili aendelee kuwa Daraja la Vijana wengi kuzikimbilia ndoto zetu… Asante sana kwa kuendelea kuniamini 🙏
#HappyBirtddayBigBoss
Boss
@chapo255
kwakuwa amani imeanza kurejea, wakati tukiendelea kukesha tukiomba Ndugu zetu hawa warudi studio na P Square irudi Mjini, sio mbaya ukitu-bless na uzi (Kiini cha tofauti zao) na nini kimefanya waanze kuirejesha amani taratibu siku za hivi karibuni 😊..
Hii nyumba ipo Mkinga(Tanga) inaripotiwa kuleta utata wa kidiplomasia..Chumba kimoja kipo Kenya na kingine kipo Tanzania
(aliposimama NW Dkt.Ndumbaro).
Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya na askari wa Tanzania hawamfanyi kitu.
#BecaLoveUpdates
"Ni Bahati na Heshima iliyoje kushiriki katika kazi yako kaka
@ProfessorJayTz
, Wewe ni mwanamuziki uliyefanya makubwa nchini, pia wananchi wamekuamini na kukukabidhi jimbo la mikumi,Imekuwa siku yenye neema na Faraja kwetu.."MO" Amerudi Salama na
#YATAPITA
inatoka"~
@harmonize_tz
@chapo255
Uzi wako ungemalizia na hii kwamba huenda sasa kile ulichokiweka mwishoni hapa kwenye hii tweet ya juzi kikaonekana ...huenda Vijana wakaachiwa nafasi ...pamoja na vipindi vingine, naiona pia nafasi ya John kwenye Homa 🇹🇿
Katika kuhakikisha zao la Korosho linakuwa la kimkakati,
@zittokabwe
amesema ACT inapendekeza Serikali inunue Korosho zote za Wakulima kwa Bei ya mwaka jana halafu yenyewe ndiyo iuze.
ACT pia haitoshiriki uchaguzi wa marudio Desemba 02, ktk majimbo 4 na kata 47.
#BecaLoveUpdates
#behindthescenes
kutoka Mount Moriah anaposoma Mtoto anayedaiwa kulawitiwa na Mwalimu wake Jijini Dar…. DC wa Ubungo amefika hapa kuongea na Walimu kisha atatueleza hatua zilizochukuliwa na Serikali.. ..
#AyoTV
Ukionesha kuwa na maarifa kuwashinda wenzako utakuwa umewakosea. Watakuchukia.
Ukionesha kuwa na ujinga kuwashinda wenzako utakuwa umewakosea. Watakudharau.
Kwa namna yoyote inayokufanya uwe wewe, endelea kubaki nayo. Hautokamilika mbele ya macho ya binadamu.
@KennedyMmari
Vijana wa
@ACTwazalendo
, NCCR Mageuzi, CHAUMA na UPDP wametangaza kufanya maandamano ya Amani 9 April 2019, jijini Dodoma, kulitaka bunge litengue maamuzi yake ya kutofanya kazi na CAG prof Mussa Assad,kufuatia Bunge hilo kusema halitashirikiana naye.
#BecaLoveUpdates
#BreakingNews
: Uzinduzi Mnada wa kwanza wa korosho Leo Oct 22 mbele ya Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mkumba haujawa mzuri Kwa wakulima. Bei ya Juu kilo ni Tsh.2717 na ya chini Tsh.1711.
Wakulima wamegoma kuuza korosho zao na mnada umevunjwa hadi wakati ujao.
#BecaloveUpdates
Halima The Bus Driver.
📍St.Benedict Hospital Ndanda, Mtwara...
@Adventure_36
Dada yetu anakusalimia sana, anasema ingawa amekatika mkono akishawekewa mkono wa bandia anarudi mzigoni kwenye mishe za magari kazi anayoipenda, hata asipokuwa Dereva, atakuwa Kondakta au Agent.
Nimetunukiwa Tuzo 2 za kutambuliwa mchango wangu katika kazi za kihabari kwenye Wizara ya
@ortamisemitz
&
@WizarayaUJnaUC
na kuwa Mwandishi pekee niliyefanikiwa kupata Tuzo 2 kutoka Wizara 2 tofauti kwenye Kongamo la Habari 2022..Asante Mungu,Wazazi & Kocha wangu Mkuu
@millardayo
@regmengi
Daah Sasa mchanga wa bahari zote Duniani ulivyo mwingi aitheee ...Hakika Nimelemewa kwa mahaba haya ya mzee kwa Jack..Maana mie upendo wangu sijui kama nafikisha hata level ya Mchanga wa Bonde la ufa😂😂
Ukifika Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila hiki ni Kikosi Kazi kitakachohakikisha unawekewa puto tumboni ili upunguze uzito, kitambi na minyama uzembe 😀😀😀🇹🇿💪
"Leo wakulima wa Korosho wameanza kufanya Parizi,hawana fedha wanatafuta watu wanaingia makubaliano anampa laki1 wanakubaliana wenyewe atampa gunia la Korosho,mnakaa mnashauri Rais kwamba ile ni Kangomba..Mpaka leo wakulima wanadai fedha,Je Mkulima asilime korosho?"~Mbunge Katani
Imekuwa wakati mzuri sana kufika Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia na kuongea na Balozi wetu wa Tanzania hapa Zambia, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule… 🇹🇿💪
"Mother anaamini hakuna Maisha bila Skuli , Huku mtaani tunaamini bila kamali Hatuli ...Matozi wa mtaa wana Ndoto ya Kupush Rimo, Machizi wanaenda South Boda viva Frelimo..Maisha ya Mtaa siyo Ishu mlo mmoja kwa siku..Masela wanakula
#mpakani
mwa mchana na usiku." ~
@King_Zillah
Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA) Mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan ambaye amekuwa akiishi Mtaa wa Chikongola, Manispaa ya Mtwara- Mikindani anadaiwa kujinyonga hadi kufariki na mwili wake kukutwa ndani ya chumba chake.
Taarifa za kifo chake zilianza
@chapo255
"Tena mnajishow huyu Komandoo, steji mafundo...Wachafu wa Roho, ongeza Zero" ...
Code muhimu hapa ni KOMANDOO na WACHAFU😂😂 wakimjibu wote patachafukaa😆
Wapenzi Wengi Ambao Hawashiki Simu Za Waume/wake zao Huwa Wanakuaga Na Furaha Sana Kwenye Mahusiano/Ndoa Zao More Than Wale Kila Akirudi Mwanzake Busy Kupekua Simu Za Bebez zao..Unataka Ndoa Yako Iwe Na Amani,upendo & Furaha ..Shikaneni "Mikono" Ila Sio Simu Zenu.
#ElimikaWikiendi
Katika kuunga mkono juhudi za Waziri
@JMakamba
na wizara yake kwa ujumla katika kutokomeza mifuko ya plastiki,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bi.Rukia Muwango,ameagiza ifikapo 01 June 2019,ni marufuku kusambaza au kutumia mifuko hiyo wilayani humo na atakayekaidi atachukuliwa hatua.
#LINDI
:Serikali imewaunga mkono wakulima kukataa kuuza korosho zao kwa bei ndogo na imesitisha minada yote hadi Mwishoni mwa mwezi huu.
Wizara ya Kilimo imetakiwa kujitathimini na Kaimu mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Korosho amerejeshwa wizarani.
#BecaLoveUpdates
#MaamuziGvtKorosho
@Roma_Mkatoliki
Nihakikishie ulinzi tu Kaka yangu
@Roma_Mkatoliki
nifumbe macho nikainyanyue hii … maswali nitayakusanya kwa Wadau hapa X kabla ya Interview 😂😂… “Ukija bila guard nagawa wastani kwa idadi” 😂
@chapo255
“Maisha ni kuwindana sio peace kama Heaven/ Machizi wanatafutana na Ma-AK47 .. ishu kufanyiana sio kuwekeana vitisho/ ni suala la kawaida kusikia milio ya Pistol “. 💪🔥
#RIPKing
@Eric__Bernard
Kaka huyu anatosha kabisa, naomba namba zake tumfanyie mahojiano ili atuelezeee kidogo maono yake katika kuifanya UDSM kuendelea kuwa Chuo bora na pendwa
@zittokabwe
Hahaha Mkuu hii HarshTag
#Tutazikaanga
wakipita wakulima Wa Nanjirinji na Nangwanda sijaona hapa watazimia kwa BP ....Wale walionunua Kwa Magendo Chomachoma/Kangomba (Hadi Kilo Tsh.2800) Ndo watakufaa kabsaaa
"Mimi nina vyama karibu 39 mpaka jana nimepata takwimu ya vyama 21 ndani ya wilaya zangu vimeshalipwa,ilibidi lazima nijenione kama zina uhalisia,zipo changamoto nimezibaini,ktk wakulima waliolipwa,wenye kilo kuanzia 1500 kwenda juu hawajalipwa" Mbunge Nachingwea, Hassani Masala
Leo ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa BigBoss na Kaka yangu
@millardayo
, Mungu azidi kumbariki, kumuinua na kumpa afya tele ili aendelee kuwa Daraja la kutuinua na kuwainua Vijana wengi zaidi kuzifikia ndoto zao… Asante nyingi kwake kwa kuendelea kuniamini 🙏
#HappyBirtddayBigBoss
Leo tumeamka na majonzi ya kifo cha Ndugu yetu Noel (Zuch Zuchero) ambaye amefariki kwa ajali , binafsi kwa kipindi chote nilichofanya nae kazi Ayo TV/MillardAyo.com, pamoja na mambo mengine nitamkumbuka kwa ukarimu wake, ucheshi, uchapa kazi na uhodari wa upigaji picha
#RIP
🙏