MwanaFA Profile Banner
Falsafa Baba! Profile
Falsafa Baba!

@MwanaFA

Followers
775K
Following
5K
Media
3K
Statuses
97K

MC with an MSc | Family Man | Rapper | A Business-MAN | Member of Parliament - Muheza Constituency | Deputy Minister - Culture, Arts & Sports |

Tanzania, East Africa
Joined October 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MwanaFA
Falsafa Baba!
11 months
Anko Mawenge Baba πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
16
9
159
@MwanaFA
Falsafa Baba!
11 months
Taifa Stars πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
66
115
1K
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Ndio Habari ya mjini! Hongereni sana TBC kwa ubunifu huu!πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
116
106
3K
@jamaliara
Ghettoprofessor
2 years
"Bado sinywi pombe kama ulivyoniacha shuga../ Huwa naswali ila sifungi mawazo yamenipa ulcers../ Wananicheka ujinga 'coz nakuongelea wewe tu../ Nikiongelea mapenzi mfano wangu wakwanza ni wewe boo../ Sema mheshimiwa @MwanaFA anakuwa deep sana kwenye mapenzi. Hii ni hazinaπŸ™Œ
1
7
29
@MwanaFA
Falsafa Baba!
3 years
Aaah sana..King πŸ™ŒπŸ½
@AidanCharlie
BeingAidanCharlie
3 years
Msanii wangu kiboko kwenye haya mambo
8
10
144
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Usiruhusu makosa/kushindwa kwako kukutafsiri bali tumia kushindwa/makosa yako kujifunza!!
55
38
439
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
A day to remember…!
8
12
129
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
Twende kwenye paa la Afrika. Lets go to the roof of Africa!…
0
15
94
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
3 years
HONGERENI JamiiForums kwa kuanzisha ”JamiiCheck”… leo mtu akilishwa matango pori mtandaoni akaaruka nayo, kaamua mwenyewe, kwani mmewapa watumia mtandao fursa ya kucheck usahihi wa habari/taarifa!πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ’ͺ🏽πŸ’ͺπŸ½πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
80
36
524
@MwanaFA
Falsafa Baba!
3 years
Ubarikiwe sana πŸ™πŸΎ
@LugomboMaKaNTa
Lugombo
3 years
Uandishi na style ya @MwanaFA uko juu Miaka Yote kwenye tasnia ya muziki Bongo! Sijawahi boreka kumsikiliza! Wakati mwingine nilitamani asishirikishe mtu ataharibu wimbo πŸ˜‚πŸ˜‚ Heshima πŸ™ŒπŸΏπŸ’―
7
3
72
@MwanaFA
Falsafa Baba!
3 years
Amiiin..asante sana
@gamakasunga
Kasunga.
3 years
Kaka mkubwa @MwanaFA , Wewe ni Kama kitabu Cha rejea... Muziki mzuri +Hekima na Busara za maisha.. Ishi Sana..FAπŸ™πŸΏ
3
3
84
@NeymahJoh
Neymah-joh
3 years
Wakikuuliza unaendeleaje waambie vizuri zaidi ya jana vizuri zaidi ya wao. Mungu ana maguvu sana, miluzi mingi na kubwa la mbwa sipotei. Mipango ya miaka chungu nzima na dira hunitoin yanaitika yakijisikia maisha usiyavalie kikoi na siyo lazima yakubali kwani unayadai? β™ͺβ™ͺβ™ͺ
4
6
38
@OmmyDimpoz
Ommy Dimpoz
3 years
I wish all the best to my brother @ericbailly24 on His new Chapter Maisha ni Connection @MwanaFA Alinitambulisha kwa Eric then Eric akanitambulisha kwa Timu nzima hata mimi ukitaka kupiga picha na Mayele Connection nnayo 😁 njoo ofisini kwangu GSM
68
167
3K