Ndani ya masaa 24 ya siku haiumizi kutumia hata dakika tano tuu kufanya jambo jema kwa makusudi. Dakika tano zangu za leo naomba nizitumie kumfanyia dua ya kumuongeza nguvu, uzima, faraja na furaha mama mzazi wa
@MagufuliJP
... Amin inatosha, Allah barikh 🙏🏽