Idris Profile Banner
Idris Profile
Idris

@IdrisSultan

Followers
1,504,618
Following
638
Media
7,906
Statuses
85,107

“Sijui kitu” 🎬📺🍿🌱

Tanzania
Joined June 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@IdrisSultan
Idris
4 years
I know how many times I have made you go through tough times, I have made many sad, many mad and many cry all because they loved me too much. I can not promise to be different but I can promise to be bigger and better. I LOVE YOU and thank you for the great strength you give me.
1K
2K
17K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Ishi na watu vizuri, utakufa na watakuzika wanavyotaka wao, ishi na watu vizuri nakuambia.
449
759
9K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Zamani nilikuwa naiheshimu prison break sana. Mara ya mwisho nimeiona 6yrs ago, waongoooooo tuuuu wajinga wale wamenikeraaaa njia zao zote hazifanyi kazi🤦🏽‍♂️
1K
496
9K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Muhimu upendo utuongoze❗️
Tweet media one
208
522
7K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Ehhh jamani Eid Mubarak..!!!
Tweet media one
526
202
7K
@IdrisSultan
Idris
5 years
Kwa siku moja tukabadilishana kazi ili a-enjoy birthday yake kwa amani 😂🙌🏽
Tweet media one
Tweet media two
583
483
6K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Andaeni hashtag !!! 😂
Tweet media one
1K
456
6K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Walisema usipofunzwa na mama yako utafunzwa na ulimwengu, mimi nina bahati ya kufunzwa na mama yangu mzazi na pia mama yangu wa ulimwengu @JideJaydee ... I love you mama, happy birthday 😍🎈
Tweet media one
103
183
6K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Familia ya Idris ingependa kutangaza kuwa Idris hatokuwa na chochote cha kusema kuhusu bajeti, kasema tu kuwa ni nzuri na muonyeshe ushirikiano. Au?😂🤣
366
136
6K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Tunaishi kwa TRABu sana, hamTRATi tupumue 👀
Tweet media one
289
244
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
👀
Tweet media one
678
325
5K
@IdrisSultan
Idris
3 months
🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
Tweet media one
349
268
5K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Dear fellow Tanzanians, Kenyans have done it again 😭😭😭
Tweet media one
440
735
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Kwa mwaka huu ndo nakula Eid ya kwanza uraiani. Hai-feel the same. Acha niende polisi nikawajulie hali wenzangu maana naelewa wanavyo-feel.
133
202
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Kwa jinsi ninavyoenda polisi daily tena asubuhi, naanzisha biashara ya kuuza vitafunio central, at least nitakuwa naenda kikazi pia.
589
306
5K
@IdrisSultan
Idris
9 months
Hii picha imenifurahisha kisha nikasikitika sana. Nimependa sana Simba wanavyotangaza utalii Tanzania, nimeumia sana jinsi barafu imepungua zaidi ya nilivyotarajia kwa the highest free standing mountain in the world 😔
Tweet media one
172
248
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Skofidi ake Mxiewww 👀
Tweet media one
458
139
5K
@IdrisSultan
Idris
9 months
Taja wimbo 🎶
Tweet media one
334
113
5K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Nitaongea ukweli wangu na waandishi wa habari soon.
Tweet media one
161
97
5K
@IdrisSultan
Idris
10 months
🚑🚑🚑
Tweet media one
299
166
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Naomba nisinukuliwe vibaya, mifumo mingi ya kiholela holela kwenye dini na kauli za uongo na kumhusisha Mungu ili kupata maslahi ya kifedha Africa huwa yanafanyika sana kwa wakristo. At the same time kuna makanisa yana uweledi wa hali ya juu sana👏🏽. Kuna umuhimu wa kujitathmini..
752
373
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
New peace rule : Shut up to survive.
229
342
5K
@IdrisSultan
Idris
1 year
2015 - Wins BBA 2016 - Bankrupt, debts 2018 - Forbes 30 most promising entrepreneurs 2020 - Court cases, endorsements canceled, looses 1.5B in contracts then covid 2021 - 1st Tanzanian main character role Netflix 2022 - Most endorsed celebrity You only fail when you quit.
242
651
5K
@IdrisSultan
Idris
1 year
🚼
Tweet media one
209
91
5K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Mama Idris leo amefanikiwa kufikisha nusu karne kwenye hii dunia (50 years). Naombeni RT hata 100 tu zinatosha, nimuambie kuna watu 100 huko wamesheherekea mafanikio yako na wamekufanyia dua. 😊🙏🏽 Asanteni.
167
988
5K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Huwezi amini Jux anapiga hela kwa ile mimba.
344
143
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Royal ❗️
Tweet media one
176
153
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Historia fupi ya jinsi ninavyomuogopa Mungu - Nimetaka kufanya mavitu akamchapa dada mmoja na kwaresma - Kwaresma ikaisha akanichapa mimi ramadan - Nikasema “Sikia, ramadan inaisha usiwaze”. Mungu akasema acha nikuonyeshe, akanichapa lokapu Nimetoka nawaza nifanye nisifanye🙆🏽‍♂️
Tweet media one
465
154
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Married to work | Netflix | 10th February 2023… 🇹🇿•🇰🇪•🇳🇬 ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥
Tweet media one
151
287
4K
@IdrisSultan
Idris
9 months
Unamjua Simbaaaaaa ??? 🦁🦁🦁
Tweet media one
70
123
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Hiyo hailipi chief, yani ni kishkwambi kipya kabisa.
Tweet media one
161
109
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Nikichukua fomu kigamboni wala hata msiandae kura, andaeni masongi ya mazishi na rambirambi za kutosha 😂
304
182
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Sitaki kuwa mnafki, kaka Steve juzi kaniongelea mbovu sana kwenye interview, mambo ambayo hata kama ni kweli au la aliweza niambia personally. Nikahojiwa na mimi nikasema siwezi ongea ni mkubwa wangu tena hasa sasa anavyoutafuta ugali wa chama. Allah be with you wakati huu mgumu.
239
148
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
🤷🏽‍♂️
Tweet media one
93
66
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
I will tell my kids, this is a free speech, peaceful, loving and democratic country 😊
Tweet media one
281
266
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Congratulations Wille & Fau @bill_nass & @officialnandy 🎊🥳🎉👶🏽
Tweet media one
285
104
4K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Niliwahi kusema humu, kunyamaza nako kunaweza kuwa ishara kubwa sana ya busara. Naamini club yangu pendwa ya Simba ilikuwa na uwezo wa kunyamaza tu siku ya leo kama hakukuwa na la kusema. Sheria sio mapenzi kwamba ufuate ukiwa na mood. Kama mwanasimba I stand with Yanga, OVER!
185
349
4K
@IdrisSultan
Idris
9 months
Ficheni hii asiione Nasibu 🤣👀💀
Tweet media one
222
125
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Dear Presidents, My words to you are the words from President Nana Akufo-Addo "We know how to bring the economy back to life but we don't know how to bring people back to life" Let's work to stabilise lives of our people & not focus on the economy. The asset here is the people
201
624
4K
@IdrisSultan
Idris
4 months
Kama sio “Boxer” usijaribu 😂💀
Tweet media one
391
182
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
😓
Tweet media one
143
113
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Nimefanikiwa kupata picha yenyewe original kabla director haja edit. Wanasema imewasumbua sana kukamilisha hii kazi kwa sababu wasizozijua 👀 ehhhh
Tweet media one
378
112
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
🚩🚩🚩
Tweet media one
216
69
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Huwa nawaangalia baadhi ya watu humu wanavyokosoa serikali au wanavyosifia na kukosoa wanaoikosoa. Katika kujenga hoja wengi wanatumia matusi na hiyo ndio shida. Kama una hoja na unaichanganya na matusi basi elewa kuwa “TUSI LAKO TU” ndio litakaloonekana. Ustaarab sh ngapi kwani?
338
206
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Nimekuzwa na mama pekee, Imam Sultan na mama waliachana nikiwa na miaka 9. Kati ya vitu nimepambana sana ni kuhakikisha nakuwa na mahusiano nao wote wawili bila kuathirika na tofauti zao. Ni Mungu tu ameniwezesha maana sumu nilikuwa nalishwa haswa. Walindeni hawa watoto tafadhali
156
337
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Mwanasiasa mashuhuri wa jimbo la BUGANA vijijini ajizolea kura 1, mpaka sasa bado wanajadili kama ni ya mkewe au ya mjumbe wa chama asiyejua kusoma. Taarifa zaidi akizinduka ICU. Tunausiwa tuwe watulivu na kujaribu kumtuliza Tabu Mtigita asimnyang’anye hii uniform aliyomuazima.
Tweet media one
290
129
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
🍑😎😀
Tweet media one
243
76
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Summary ya uchaguzi 2020 ...!!!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
394
151
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
🎾🎾🎾
Tweet media one
180
86
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Umaarufu kidogo tu unataka kupigania wanaijeria. Leo watanzania wanagawa spana tu naona.
Tweet media one
246
220
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Ukitaka kukata tamaa sababu ya mifumo naomba ukumbuke scientists walifungwa na wengine kuuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia inazunguka jua. 300 yrs later wakakubali kuwa scientists were right. Usiache kuamini ukweli wako kisa wengine wameupinga.
156
310
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Tunashukuru Elizabeth Anne na familia yake wameanza kuvaa barakoa.
Tweet media one
315
204
4K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Cosmas
Tweet media one
209
131
4K
@IdrisSultan
Idris
5 years
I’m blessed, iPhone 11
Tweet media one
149
640
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Watu: Kwema ? Wizara ya afya: Tupo freshi tupo freshi
Tweet media one
283
250
4K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Ninachompendea mama ni kuwa hapangiwi na mtu na wala hafuati mkumbo. Utashangaa shaaaaa Idris Sultan naibu waziri.
253
94
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Sasahivi naandika kwa kiingereza ili kama nitakuwa nimekosea basi by the time post yangu inatafsiriwa nitakuwa nishaoata mda wa kuwaaga nyinyi mafans wangu na familia na kuandika urithi😂🤣. English by to go forward (kiingereza kwa kwenda mbele)
248
139
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Nilialikwa na mzee wangu @jmkikwete kuukaribisha mwaka. Muda wa mafataki nilikuwa nimesimama mimi, yeye na bodyguards nikaona yale mafataki nikakumbuka kwenye movie vikilipuka, steringi anasema “Attaaaaaaackkkkkkk” na mimi nikasema. Nikafinywa 😂. Happy birthday Baba
Tweet media one
84
80
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Kaka Nape umetisha sana kwa niaba ya wananchi. Wameniagiza niulize pia kuwa lini wataacha kutumia VPN kuona video zile za mafuzo 👀
Tweet media one
272
136
4K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Manyukliaaaaa msolaaaaaaa ! Mzee M-BILL MpiliNASS
Tweet media one
268
79
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Unfortunately baada ya Vanessa kusema anaacha mziki kwasababu ya depression, wengi badala ya kuona the bigger message wameona kuwa competition imepungua au “ahhh yamemshinda”. You’re next !
103
131
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Watanzania tuna haki nchini kwetu kuliko nchi nyingine yoyote. Samahani, namaanisha “Watanzania tunatakiwa kuwa na haki nchini mwetu kuliko nchi za wenzetu”. Huwa nasema, mimi ni mtanzania kwanza kisha msanii. Naomba polisi mruhusu sheria itumike kulisimamia hili. Mabavu vitani.
153
439
4K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Ila kusema ukweli ligi kuu ya Tanzania bara hakuna anayesukuma mzigo kama graphic designer wa Yanga 😂🤝🏽
150
174
4K
@IdrisSultan
Idris
10 months
Ila tuseme ukweli, hawa wa Kikuu wametoka freshi kuliko hata OG wenyewe
Tweet media one
Tweet media two
170
103
4K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Alafu TRUMP analalamika ameibiwa, kijigepu cha kitoto kabisa, anajua kuibiwa huyu? 🤣🤣🤣
Tweet media one
468
147
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Likes 5000 kwa Samatta. Na nchi iheshimike 💪🏽
44
78
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Nikisema “GOOD MORNINGGGGGG” Kuna watu wa network marketing humu wanasisimka 🤣🤣🤣
260
86
4K
@IdrisSultan
Idris
5 years
Nikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani. Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala. Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!
293
218
3K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Huwa naomba sana vikao na Fatema nikijifanya nina idea ila ukweli ni kwamba naenda kuomba katoni za Mo Xtra na maboksi ya spaghetti.
Tweet media one
133
75
4K
@IdrisSultan
Idris
3 years
Mwenyezi Mungu iangalie Zanzibar, weka nguvu yako katika kuongeza busara zaidi na busara hizi ziweze kuwapa watu msukumo wa makusudi katika kuona umoja na upendo wao zaidi ya tofauti zao. Hakuna kikubwa na cha muhimu zaidi ya kuwa na pumzi ya kuiona siku nyingine kama Mtanzania.
139
250
4K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Vile baba yetu wa taifa anavyocheki wagombea wa ubunge awamu hii. Pembeni yake akiwa na foward maridadi bwana Morrison.
Tweet media one
203
116
3K
@IdrisSultan
Idris
1 year
OG
Tweet media one
81
44
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Kuwa na akili sana ni kujipotezea muda tuu leo. Dunia inakuhitaji kuwa na akili sana kisha sahau kama unazo ndio ufanikiwe. Degree na PHD ni kama kachumbari tu, bila pilau yanakuwa ni manyanya nyanya yamekorogewa na vitunguu tuu. Dunia inasema.
168
327
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Labda tu UCHEBE aje na picha zake amepasuka ubongo aseme amepigwa na Shishi. Hii kesi imejifungua, imekamilisha ushahidi, imejifunga.
189
109
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
MPWA 😬
Tweet media one
162
71
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Juzi nimekaa nikafikiria, unakuta mtu anakimbizana na siasa miaka zaidi ya 10 na kawa mwanachama kindakindaki, hope yake awe kiongozi alafu anakuja msanii na followers wake ambaye amekuwa active kwenye chama wakati wa uchaguzi tu, kama mjumbe UTAKUBALI AKUPITE KWELI ???
160
164
3K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Twitter blue
Tweet media one
173
65
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Mida kama hii unajuta kuvaa suruali ya kitambaa.
Tweet media one
260
65
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Nimefanikiwa kupata picha ambayo haijawa cropped 😍. Happy new year to me 😭😭😭😂😂😂
Tweet media one
287
100
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
☕️
Tweet media one
208
86
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Mwanamke unamchapa na mauno tuuuu, mkono unaunyanyua tu pale unapomgeuza kuendeleza mauno different angle bro. Mbona haya tunasema kila siku.
324
136
3K
@IdrisSultan
Idris
5 years
Mr President @MagufuliJP kwa muda wako wewe naomba nikufanyie interview. Nahisi kuna human connection kati yako na watu wako (watanzania) imekaa ki-professional sana mpaka ni atmosphere za uoga tu. Naamini unaiona hii, wananchi tunaomba tukujue on a human level. Nimejaribu 😅
273
237
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
My friend naomba tu nikuambie, Passo yako ya hustle zako za kuuza hata mayai ya kanga ni tamu na ya amani kuliko Benz la kuhongwa.
131
165
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Tukiambiwa sasahivi hakuna kutoka majumbani kama Italy, “Ulipo una shilingi ngapi na una nini kwenye friji ?”
525
134
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Corona : Tunamtaka Idris Vyama : Tunamtaka Idris Hollywood : Tunamtaka Idris Wadangaji : Tunamtaka Idris Polisi : Tupo nae, mna shilingi ngapi ?
Tweet media one
302
148
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Wengi husema “Naingia kwenye system ili niibadili” 10% ndio wanafanikiwa kuwa na msimamo. Naelewa ugumu wa kuuvunja mkono unaokulisha ila elewa huo mkono unaweza kukulisha sumu pia. Mkuu wa polisi wewe una ustadi mkubwa sana, watoe wasio na busara ofisini kwako. La Tito ni doa.
211
562
3K
@IdrisSultan
Idris
2 years
There are 6 words in this picture. See if you can find them genius 😉👊🏽
Tweet media one
826
167
3K
@IdrisSultan
Idris
3 years
LUKU at me now !
Tweet media one
108
66
3K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Hukuniambia kama unakuja 😰
Tweet media one
142
57
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Ehhhhh hayaaa 😰😂
Tweet media one
205
95
3K
@IdrisSultan
Idris
9 months
Ila kipige rangi wasije kushtukia.
Tweet media one
105
66
3K
@IdrisSultan
Idris
1 year
Mtaje apite huku…
Tweet media one
321
76
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Ndani ya masaa 24 ya siku haiumizi kutumia hata dakika tano tuu kufanya jambo jema kwa makusudi. Dakika tano zangu za leo naomba nizitumie kumfanyia dua ya kumuongeza nguvu, uzima, faraja na furaha mama mzazi wa @MagufuliJP ... Amin inatosha, Allah barikh 🙏🏽
199
144
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
Naomba uende kituo chochote cha kupigia kura karibu yako na uwaambie Idris amesema nije kuna USHINDI wangu hapa. “Nalipa fadhila”
Tweet media one
Tweet media two
306
116
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
(Social media bio) Ukiwa chuo : Future CEO Baada ya chuo : Only God can judge me 5yrs later : CEO of my life
154
213
3K
@IdrisSultan
Idris
6 months
Lakini Sele hii ni mara ya 7 ndani ya wiki mbili umekuja kuchukua Azuma. Ni hizi mvua ?
Tweet media one
120
116
3K
@IdrisSultan
Idris
5 years
It’s time leaders game together and show what leadership really means. We need the action and not the speeches on this matter. Before you know it it’s Tanzania, then Cameroon, Egypt, Benin, Rwanda, once the chain starts it’s downhill from there. Shame on us 🤦🏽‍♂️ #SayNoToXenophobia
224
409
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
El patron magnate (MOGUL) !!!
Tweet media one
97
57
3K
@IdrisSultan
Idris
2 years
Kuna gari ya petrol inatumia mafuta kidogo zaidi ya IST ?
438
97
3K
@IdrisSultan
Idris
4 years
My CEO 😍🤎 ... @bvrbvra Ficheni hii @HKigwangalla asiione 👀😂
Tweet media one
122
85
3K