Wakati mwingine nikifikiria Baraka za Mwenyez Mungu...chozi tu linanitoka...ila nilichojifunza kwenye maisha ni kuwa Mwema, kujituma sana, Kuwa mbunifu, kusali, na kuhakikisha kuwa wewe sio chanzo cha matatizo ama ugomvi kati ya wewe na mwenzio... ila akianza usiogpe kumaliza..🙏🏻