January Makamba Profile Banner
January Makamba Profile
January Makamba

@JMakamba

Followers
1,219,058
Following
1,888
Media
2,004
Statuses
22,660

Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Tanzania | Member of Parliament

Tanzania
Joined October 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JMakamba
January Makamba
5 years
Neno la Mwisho kwenye hili: Namshukuru Rais kwa kuniamini, Makamu wa Rais kwa kunielekeza, PM kwa kunisimamia, na Team ya VPO/NEMC na Mawaziri wote kwa ushirikiano. Nampongeza @HusseinBashe na Simbachawene kwa kuaminiwa. Nawatakia heri na kuwaahidi ushirikiano wangu wa dhati. 🙏🏾
672
479
6K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Ukimuona Muislam anawachukia Wakristo au Ukristo, basi huyo sio Muislam au haujui Uislam. Ukimuona Mkristo anawachukia Waislam au Uislam, basi huyo sio Mkristo au haujui Ukristo.
518
600
5K
@JMakamba
January Makamba
6 years
After retirement, Kofi Annan went for a vacation in a resort in Italy. One day he went to buy newspapers at nearby town. He was mobbed by crowds wanting autographs. They confused him with Morgan Freeman. He didn’t want to let them down. He signed the name Morgan Freeman and fled.
Tweet media one
121
2K
5K
@JMakamba
January Makamba
3 years
I thank all who’ve sent me congratulatory messages. This is a huge responsibility but I will give it my very best shot. I thank H.E @SuluhuSamia for her faith in me. I won’t let her down. Tanzania can be energy - thus economic and geopolitical - powerhouse. We’ll deliver on this.
492
399
4K
@JMakamba
January Makamba
3 years
President Kenyatta and people of Kenya gave our President @SuluhuSamia a welcome befitting the level of closeness our two countries should have. The visit has been a very successful reset of this important relationship. Her speech to the joint sitting of Houses was a home-run 😊
147
459
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Huyu kijana anaitwa Bagenda, anaishi nyumbani na wazee na anamsaidia Mzee kumpima sukari na kumpa dawa. Ni mshabiki mkubwa wa Yanga. Siku Yanga ikishinda anamnyanyasa sana Mzee, na siku Simba ikishinda anapata shida sana, ikiwemo kulazimishwa kuvaa shati ya rangi nyekundu.
Tweet media one
281
158
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Mimi: Mzee unasemaje Senzo kuondoka Simba kwenda Yanga? Mzee Makamba: sikumuona akicheza Mimi: alikuwa CEO Mzee: kwahiyo Yanga wamesajili Afisa? Mimi: Ndio Mzee: Atawasaidia kurudisha zile nne? Mimi: Labda Mzee: tajiri Yanga aliyejua mpira ni Gulamali, hawa wapya wanasiasa zaidi
Tweet media one
340
236
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Happy birthday Mzee @jmkikwete . I wish you long life, continued good health and peace in your heart and mind.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
152
229
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nimekuja kwa Mzee wangu kuangalia naye mpira wa Simba na Prisons. Analalamika kwamba kikosi kilichoanza leo ni dhaifu. Anasema kwamba siku ambayo timu yake inachukua ubingwa ilipaswa kucheza mpira wenye hadhi ya bingwa. Ameenda kuswali Dhuhr half-time huku akilalamika.
Tweet media one
293
129
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
About Anna: I spoke to her for 2 hours. Strong girl. She’ll be fine. She has good support system. She wants to be a lawyer. She likes to read. She mentioned her recent reads. I joked that they’re junk. We laughed. I promised her better ones. She appreciates that she’s not alone🙏🏾
229
298
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Asubuhi ya leo, kuna mtoto wa miaka sita anaanza maisha mapya ya elimu ya shule ya msingi. Karibu kila kitu kipya kwake - walimu, wanafunzi wenzake, mazingira na, kama ana bahati, nguo mpya na viatu vipya. Anaanza safari ndefu na ngumu katika dunia isiyotabirika. Tumtakie heri.
Tweet media one
227
270
4K
@JMakamba
January Makamba
4 years
#TBT 15 years ago.
Tweet media one
256
175
4K
@JMakamba
January Makamba
3 years
A widow for 22 years now, Mama Maria Nyerere has continued to hold the family together with grace. While, on this day, we remember our Father of the Nation for his selfless service and pray for him to rest in eternal peace, we also pray for Mama Maria’s good health and long life.
Tweet media one
126
229
3K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Mdogo wangu uliyepata nafasi ya uongozi, jitahidi kukataa: kufunguliwa mlango wa gari, kubebewa mfuko au sahani ya chakula kwenye buffet, kulazimisha kukaa meza kuu au kutambuliwa kwenye shughuli za watu. Wenyeji wanaweza ku-insist lakini resist. Waweza kushindwa lakini jitahidi.
308
818
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
A boy will copy his father’s image. A girl will see men through her father’s image. From her father, a girl look for validation. From observing her father, or male figures in her life, a girl draw a line of what not to accept from men. Fathers with daughers: Kobe is inspirational
Tweet media one
69
509
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
NAMNA YA KUANZA HOTUBA •Inua kichwa na tabasamu •Toa mzaha mfupi (hakikisha mzaha utachekesha) •Uliza swali la kufikirisha ambalo wote kwenye hadhara wanalo •Toa [relevant] fact au takwimu ya kufikirisha (mf. wanaioshi leo ni wengi kuliko wote waliokufa?) •Toa hadithi fupi
Tweet media one
258
585
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Mwanasiasa, si kila mfanyabiashara ni jamaa yako. Toka madarakani uone. Mfanyabiashara, si kila mwanasiasa ni jamaa yako. Filisika uone. Mwanasiasa, si kila mwanasiasa jamaa yako. Pendwa na watu uone. Mfanyabiashara, si kila mfanyabiashara jamaa yako. Ingia biashara afanyayo uone
215
503
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Je, wajua, kwamba umbali kati ya Urusi na Marekani ni kilomita 4 tu? #ElimikaWikiendi
420
256
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Pole tena Mama, familia, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote. Daima tutamkumbuka na kumuenzi Mzee Mkapa. #RIPMzeeMkapa
Tweet media one
70
124
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Leo nimekuja kumuona Mzee. Lakini wakati huo huo Simba inacheza, kwahiyo hakuna mazungumzo, hali iko hivi. Hata hivyo, tulipopata habari kwamba Yanga wameshafungwa moja basi maelekezo yametoka kwamba tuhamie kutazama mpira wa Yanga.
Tweet media one
Tweet media two
236
112
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nimepitia biography ya Nyerere. Yaliyomo ni urithi wa taifa na naamini ni muhimu uwafikie wengi. Wahusika wakitaka, tufanye audiobook ya Kiswahili. Kwasasa nina box sets 5 za hii biography nazigawa saa kumi alasiri kesho. Reply kwanini wewe au unayempendekeza anastahili kupata.
Tweet media one
1K
290
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Usiamini haraka na kwa urahisi kila unaloambiwa kuhusu tabia, maneno na matendo ya watu wengine. Usimhukumu mtu bila kuwa na uhakika wa “dhambi” zake. Bahati mbaya kwenye jamii yetu tuna watu wengi ambao hupenda kusingizia uongo na kupaka matope wenzao. Na watu hawa hawataisha.
263
533
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nimeshtushwa na kuhuzunishwa sana na msiba wa Sheikh Suleiman Kilemile, mwanazuoni mkubwa na mahiri kabisa. Wakati wa uhai wake nilishirikiana naye kwenye mambo kadhaa, ikiwemo kutumia dini kushawishi hifadhi ya mazingira. Allah ampe pepo. Natoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Tweet media one
173
147
3K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Appropriate and shrewd appointment by H.E President @SuluhuSamia . She’ll continue to pleasantly surprise us with her governing choices and decisions. The future is bright. Congratulations to Dr. Mpango for a deserved appointment. My remarks about him in Parliament 2 years ago 👇🏾
208
366
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Wakati nakuja Uwanja wa Ndege kupokea mwili wa Ruge, nilipotezana na wenzangu. Wakanipigia simu kusema “njoo upande wa cargo...tunapokelea upande wa mizigo”. Think about this: cargo. Ukweli huu, kwamba kila mmoja wetu kuna siku mwili wake utakuwa mzigo, unapaswa kutunyenyekeza.
Tweet media one
352
424
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
#TBT [unanunuliwa suruali ndefu ili “ukue nayo”]
Tweet media one
243
86
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Mwaka huu tumetimiza miaka 40 tangu vita kati yetu na Uganda vimalizike rasmi. Mzee wangu alipigana vita hiyo akiwa mstari wa mbele na jana tulipiga story ndefu. Hapa mama yangu anamalizia story kwa kuelezea yaliyomkuta yeye na mimi. Nikipata muda nitaweka link ya mazungumzo yote
257
187
3K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Nimepokea taarifa ya msiba wa Rais Magufuli kwa mshtuko, nikiwa katikati ya msiba mwingine kwenye familia. Kwa nchi yoyote, kuondokewa na kiongozi mkuu ni jambo zito. Natoa pole kwa Makamu wa Rais, kwa Mama Janeth Magufuli na familia, na kwa Watanzania wote. Mungu ampumzishe pema
211
161
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Siku ya Mazingira Duniani, June 2018. Uwanja wa Zakheim, Mbagala.
Tweet media one
606
142
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Mzee Thabo Mbeki is 78 today. Happy birthday my old man. Thank you for your continued support.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
72
121
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Baadhi ya wagombea wapya walinifata kwa ushauri. Nilichosema: kama umesukumwa na utumishi, wananchi watakukimbilia. Kama umesukumwa na mengine, wananchi utawakimbia. Kupata Ubunge sio uhodari, watu kuendelea kukuamini wakati unashughulikia shida zao ndio uhodari. Nawatakia heri.
Tweet media one
138
188
3K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Muda huu, saa 8:51, katika picha ya pamoja na Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema, Bwana Abubakar Mashambo, kwenye Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Bumbuli, tukisubiri kurejesha fomu za uteuzi. Taarifa ya Chadema kwamba alivamiwa na kuporwa fomu sio ya kweli.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
407
247
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Mourinho’s failure at Manchester United isn’t related to footballing but to leadership: failure to inspire, to unify, to motivate, to accommodate, to compromise, to manage egos, to adapt to changing circumstances, to judge talent. You lose the dressing room, you lose on the pitch
254
631
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Tangazo Tangazo Tunapokea posa.
@Makambas
Mwamvita Makamba
5 years
Jumaa Mubarak 🙏🏾
Tweet media one
89
31
1K
434
88
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Nimesoma maoni na maombi kwamba niandike kitabu kuhusu niliyoyaona na kujifunza kwenye utumishi/siasa. Nitaandika. Ila sio sasa. Bado najifunza. Bado sana.
233
119
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Ulimi hautelezi bali huiba yaliyomo moyoni.
187
480
3K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Leo. Julius Nyerere Hydro Power Project, Rufiji.
Tweet media one
170
145
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
How could we have scored when Barcelona’s goal was this size?
Tweet media one
202
214
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
View from my old seat at the backbench. 😊
Tweet media one
179
119
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Labda tutaanza na kitabu cha huyu Mzee. Ana hadithi nyingi sana.
161
167
3K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Raha ya milele umpe eeh Bwana; na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. 🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
188
3K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Heri ya Pasaka sote. Katika kipindi hiki, Mwenyezi Mungu awape faraja wagonjwa - hasa wale wasio na hakika ya tiba, waliopoteza wapendwa wao, walio magerezani, yatima na wale wasio na hakika na mlo na makazi. Atupe moyo wa kusamehe waliotukosea na subira kwenye mitihani 🙏🏾
149
204
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Happy Birthday Mzee @jmkikwete
Tweet media one
93
88
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Mzee Amani Karume anatimiza umri wa miaka 71 leo. Heri ya siku ya kuzaliwa mzee wangu.
Tweet media one
103
101
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
If someone doesn’t pick up your call, don’t keep calling, text. In fact, if its not an emergency, text first to seek a phone conversation.
138
710
3K
@JMakamba
January Makamba
5 years
1. Jua ni kubwa mara 330,000 zaidi ya dunia. 2. Kuna aina 40,000 za mchele 3. Kwa siku damu inapozunguka mwilini mwako, “inatembea” umbali wa takribani kilomita 19,000. 4. Moto hupanda haraka mlima kuliko unavyoshuka. 5. Watu milioni 21 wamezaliwa tarehe moja nawe #Distraction
159
337
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Mzee wangu Mahiga. Habari chungu sana kumeza. Mwenyezi Mungu amrehemu. Mwenyezi Mungu awape wanafamilia nguvu ya kuhimili msiba huu mzito.
110
148
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Kenneth David Buchizya Kaunda, born on the 28th of April 1924, turns 95 today. A friend of Tanzania and one of the few remaining liberation icons, we celebrate his life and wish him good health.
108
439
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Tweet media one
Tweet media two
55
133
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nimeukaribisha Mwaka Mpya kwa mazungumzo na hatimaye dua ya mzazi. Mungu awabariki nanyi nyote katika mwaka huu mpya, awape afya njema, awaruzuku haja zenu, awaondolee na awaepushe na mitihani na hasda, atusaidie kukumbuka utukufu wake na udhalili wetu mbele yake. 🙏🏾
172
121
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Former US President Jimmy Carter turns 95 today. I was fortunate to work for him and visit his home in Plains. He’s a symbol of simplicity, returning to the same modest house after White House. He and his wife don’t have maids. They cook and clean dishes/house by themselves. HBD!
Tweet media one
115
221
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Shughuli yangu ya kwanza nje ya ofisi.
Tweet media one
Tweet media two
366
348
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Mpira unatuunganisha, na siasa sio uadui. Pichani tukifurahi na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema Ndugu @PatricOleSosopi ; Meya wa Ubungo Ndugu Boniface Jacob @MayorUbungo ; na Mbunge wa Iringa Mjini Ndugu @MsigwaPeter
Tweet media one
214
178
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
People who are “real” never broadcast that they are real.
197
362
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
African immigrants in South Africa are attacked because they were first dehumanized. And dehumanization, through words or deeds, is sometimes subtle and seemingly harmless. But it combusts when sprinkled with irresponsible politics, machismo and bad economy. #SayNoToXenophobia
105
644
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Nawashukuru nyote mlionitumia ujumbe wa pongezi na kunitakia heri. Sio kazi nyepesi lakini nitajitahidi. Namshukuru Mhe Rais @SuluhuSamia kwa imani aliyoionyesha kwangu. Sitamuangusha. Katika wiki zijazo, tutaonyesha kwa vitendo umuhimu wa sekta hii kwa mustakabali wa nchi yetu.
317
200
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Wanaoonyesha mali zao mtandaoni wana dhamira tofauti. Kuna wanaotaka kuonyesha uwezo wa kuruzuku wa Mwenyezi Mungu. Kuna wanaotaka kuhamasisha wengine watafute au wajue njia za kutafuta. Na kuna wanaotaka kutukoga tu.
177
229
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Tuko Dodoma. Ajenda:- 1. Kufungua Mkutano 2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017 3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM 4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 5. Kufunga Mkutano.
Tweet media one
135
142
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Hongera Mhe. Rais @SuluhuSamia kwa kushika hatamu za uongozi wa nchi. Ni jukumu zito lakini sina shaka na uwezo wako wa kutuunganisha na kuongoza harakati za maendeleo ya nchi yetu na watu wake. Namuomba Mwenyezi Mungu akuongoze na, kama ulivyomuomba wakati wa kiapo, akusaidie.
Tweet media one
125
194
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
[HADITHI FUPI] Tizama vizuri viti walivyokalia waheshimiwa kwenye picha. Hivi sio viti mahsusi ambavyo Rais na viongozi wageni wake hukalia wanapomtembelea Ikulu. Kuna hadithi fupi ya hii picha 1/
Tweet media one
198
307
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Happy Birthday Mheshimiwa Rais.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
91
108
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Tunasukumwa tuwape muda wenye viwanda vya mifuko ya plastiki au wenye hii mifuko kwenye maghala ili waiingize kwenye mazingira (ambapo itakaa miaka hadi 1,000) ili wasipate hasara, na wakishamaliza hiyo kazi ndio tuizuie. Kwanini tujali faida binafsi kuliko mazingira ya wote?
Tweet media one
387
272
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
[SHORT STORY] 8 years ago yesterday, Colonel Gaddafi was killed. I met him two years before he was killed. The sad images of his gruesome end always remind me of an interesting and complicated soul sitting two meters away from me and talking for hours. Here is the story. 1/
Tweet media one
235
488
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
2020: Jenga mizizi kwenye jamii. Tembelea majirani; shiriki/jitolee kwenye kamati za harusi, misiba au za kanisani/msikitini au shuleni kwa wanao; jiunge na vikundi (mf. jogging au book club); anzisha/ongoza jambo la kuunganisha watu; juana/kutana na watu wapya. Utazikwa vizuri.
185
380
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Hongera sana rafiki yetu Ndugu Hussein Mwinyi.
Tweet media one
80
101
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Ewe Mwenyezi Mungu: nilinde mimi, familia na jamaa zangu. Nisamehe dhambi zangu. Nijalie nijizuie kuwa na kiburi na majivuno. Nijalie hekima ya kusema kweli na kutenda haki. Niongoze njia. Nifanye nyenzo ya kutimiza mapenzi yako.
339
273
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Michael Jackson, the GOAT, sang since he was five and performed for millions BUT still rehearsed and practiced tirelessly to attain perfection. Look here at his obsession to get one note right in the song “The Way You Make Me Feel”. To be great, ignore your talent and experience.
72
559
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Bado ni vigumu kukubali kwamba Mzee Mkapa hatunaye tena. Pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote. Ni msiba mzito kwa taifa letu. Mwenyezi Mungu amlaze Mzee wetu pema peponi.
113
229
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Ndugu Waziri: kampuni za pombe kali, TBL/TDL (Konyaji), Mega (K-Vant) na nyingine, zinaweza kuambiwa/kuombwa/kusukumwa kuzalisha pia sanitizers na kuzijaza sokoni. Vilevile kwa Mtibwa/Kilombero Sugar na TPC, kunakozalishwa ethanol. Sanitizers zapaswa kuwa rahisi kupata na kununua
@DocFaustine
Faustine Ndugulile
4 years
Ningependa kukutana na vijana hawa wabunifu. Mwenye contacts zao awajulishe ili waje kuniona.
54
166
830
200
235
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
For all the stuff I’ve done for you, you can’t write just one line on my birthday. You need to say more, a poem or something 😊
@Makambas
Mwamvita Makamba
4 years
Happiest birthday to my darling brother @JMakamba ! I love you DIE ❤️
Tweet media one
23
19
748
193
64
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Appointing a young person and a woman, in a male dominated space, is bold and progressive. From her profile in the statement below, she qualifies. Some who deny the advancement of young women in leadership camouflage the w-word with the e-word. I wish her and our club success 🦁
@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
4 years
Simba’s Board is delighted that she has accepted this new role. We are confident that her passion for football, her knowledge of Simba’s inner workings, and her relationships with key Simba stakeholders will help her help our club reach greater heights. We wish her well.
Tweet media one
13
56
632
113
238
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Shule si werevu, taarifa si maarifa, utajiri si ustaarabu, umri si hekima, shibe si lishe, kusikika si kueleweka.
109
596
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Distinguish between friends and cool people you know and like. If a person doesn’t know at least: where you live, the name of one member of your family, one source of your worry or joy, one dream of yours - and you are the one always initiating contact - that is NOT your friend.
77
734
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Leo ungetimiza miaka 50, umri wa makamo, daraja la kuelekea uzee. Nakukumbuka sana ndugu yangu. Nakumbuka ulivyoushika kwa nguvu mkono wangu wakati nakuaga hospitali, nikiamini tutaonana tena. Upumzike salama. Namuomba Mungu anipe umri na nyenzo za kukamilisha ahadi zangu kwako.
Tweet media one
82
114
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
The United States and South Korea each reported their first confirmed case of #COVID19 to the @WHO on the same day, Jan. 20th. Today, the US has 30,450 deaths and Korea has 230. Lesson: if you are to panic, panic early.
114
346
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Graduated but unemployable. With certificates but without skills. Educated but not trained. Knowledgeable but not competent. Adventurous but risk-averse. We must equip young people with the right kind of education and mentality, and avail all opportunities, for them to succeed.
203
934
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Unapoanza kuongea kwenye hadhara, mara nyingi chumba hutulia kusikia utasema nini. Hadhara unaikamata au kuipoteza ndani ya dakika tatu za mwanzo. Mbinu ni kuanza kwa kuondoa “tension”. Hadhara iki-engage kwa kufurahi au kutafakari neno lako ndani ya dakika moja basi umeikamata.
152
381
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Akushindaye kuongea, mshinde kunyamaza.
184
571
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nawashukuru wana-Bumbuli kwa heshima ya kuwawakilisha. Nawashukuru wajumbe kwa kura nyingi za mapendekezo - na NEC ya CCM chini ya Mwenyekiti wetu @MagufuliJP kwa kuniteua kupeperusha bendera ya CCM Bumbuli. Namshukuru Mungu kwa baraka zake, na familia na marafiki kwa upendo.
Tweet media one
113
96
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Give us back our Lupita and we will release the rain. #NiZamuYetu
Tweet media one
332
439
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
My 11-years old son holds the world’s record for the quickest shower, especially when there’s a football match on TV or when it’s PS4 time.
147
80
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Kama kuna wakati habari za michezo ulikuwa unazipata hapa tu pekee, nyoosha mkono wa kushoto. Kama hii haikukumbushi kwamba saa ya kula inakaribia nyoosha mkono wa kulia.
287
222
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Kwenye mishkaki kwa Nzige Morogoro. Kijiwe changu kitambo sana. Kwa siku, Nzige anauza takriban kilo 100 za nyama, mikungu mitatu ya ndizi, malimao 100, pilipili ndoo mbili. Anaajiri vijana 18. Muhimu kusapoti biashara hizi ndogo kwa sera na mipango na pia kwa kuwa wateja.
Tweet media one
140
135
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Nimetoka kutembelea kiwanda kilichokuwa kinatengeneza mifuko ya plastiki hapa Tanga. Badala ya kufunga baada ya katazo, sasa hivi kinakusanya mifuko ya zamani na kuitumia kama malighafi ya kutengeneza mabusati (majamvi). Hadi saa 11 jioni hii bado wanafanya kazi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
175
260
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Asilimia 64 ya Watanzania waliopo sasa walikuwa hawajazaliwa wakati Mzee Mwinyi akiwa Rais. Happy Birthday Mzee Mwinyi.
Tweet media one
91
93
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
United Arab Emirates Ambassador to Tanzania, H.E. Khalifa AbdulRahman Al Marzouqi, today paid a call to our offices in Dar es Salaam. We discussed a number of bilateral relations matters in energy sector.
Tweet media one
86
111
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Ufafanuzi: Polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa @moodewji , niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi. Niliwaeleza. Wakasema kinafanana na alichowaeleza. Wakanishukuru. Wamefanya hivi pia kwa wanafamilia. Sikukamatwa.
181
216
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nimepokea taarifa za kufariki kwa Mzee Job Lusinde kwa huzuni kubwa. Kila nilipomhitaji, na nilipohitaji kuelimika kuhusu historia ya nchi yetu, Mzee Lusinde alinipa muda wake wa kutosha, na alinikaribisha hata kwake. Alikuwa muungwana sana. Mungu amlaze pema. Poleni wanafamilia.
Tweet media one
95
118
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Baada ya Muungano, jina la nchi lilikuwa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar. Jina likaonekana refu. Watu wakaombwa kupendekeza jina jipya. Majina 1,534 yakapendekezwa. Akashinda Mohammed Iqbal. Akapata zawadi ya £10. Sasa anaishi UK. Nyerere akatangaza jina TANZANIA 29/10/1964.
Tweet media one
120
351
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Ruge. Ruge. Ruge. Nakosa maneno ya kutosheleza kuelezea maumivu na huzuni niliyonayo. Kwa sasa, dua na fikra zangu ni kwa Mama, Dkt. Mutahaba, ndugu na marafiki ambao walihangaika sana kuhakikisha anapona. Nikipata nguvu nitasema zaidi. Tangulia jamaa yangu, tunakuja. #RIPRuge
172
192
2K
@JMakamba
January Makamba
5 years
Never put someone on speakerphone without their knowledge.
90
278
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Happy birthday to my sister Mwamvita @Makambas
Tweet media one
Tweet media two
88
59
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Nilikuwa na Chuma aka Mzee Yusuf Makamba muda mchache uliopita. Nimecheka sana leo.
Tweet media one
168
78
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Heri ya Noeli kwenu nyote pamoja na familia zenu. Tumshukuru Mungu kwa hisani ya uhai, afya, rizki na neema nyingine alizotujalia. Atufikishe Noeli ijayo huku tukitenda yampendezayo. Tuwaombee wenzetu ambao katika siku ya leo wapo katika mitihani mbalimbali (maradhi, misiba nk)🙏🏾
107
154
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Uamuzi mgumu kwa Zanzibar kwasababu inategemea sana utalii. Nadhani wamepiga hesabu kwamba: (a) watalii hawaji anyway, na (b) kwenye “rebound”, janga hili likipita, watakaopata wageni haraka ni waliochukua hatua kama hizi kwasababu wageni watakuwa na hakika zaidi na usalama wao.
@gaditvUpdate
GADI TV
4 years
#BreakingNews : Serikali ya Zanzibar imezuia safari zote za watalii wanaoingia nchini humo kuanzia leo Ijumaa 20/3/2020, na yeyote atakaye kwenda huko atalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku kumi na nne (14) kwa gharama zake.
Tweet media one
21
25
202
168
227
2K
@JMakamba
January Makamba
6 years
Nimemuona na kuongea kwa kirefu na Mohammed Dewji. Ni mzima wa afya isipokuwa ana alama za kufungwa kamba mikononi na miguuni. Mnamo saa nane usiku, watekaji waliamua kumtupa kwenye maeneo ya viwanja vya Gymkana. Naamini Polisi watatoa taarifa za ziada kuhusu kilichojiri.
227
327
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Je, wajua, itamchukua Mtanzania miaka 8 kutumia kiwango cha umeme anachotumia Mmarekani kwa mwezi mmoja. Pia, kiwango cha umeme anaotumia mwananchi wa Mali kwa mwaka mzima, Muingereza anatumia kuchemsha birika la chai mara mbili kwa siku. #ElimikaWikiendi
187
213
2K
@JMakamba
January Makamba
3 years
Leo nzima nimekuwa na mkutano na bodi mpya na menejimenti ya TANESCO, na Mameneja wa Wilaya, Mikoa na Kanda. Nia ya mkutano ilikuwa ni kuelezea dira/mwelekeo mpya Serikali inaoutarajia kwa TANESCO, kupata “buy-in” ya wafanyakazi kuhusu mabadiliko na kuitambulisha Bodi na MD mpya.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
234
194
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Nawatakia heri ya #EidAlAdha wote mnaonifuata humu. Kwa wale waliochinja, naomba Mwenyezi Mungu akubali kafara tulizotoa - zikaimarishe imani yetu na kututiisha kwa Mwenyezi Mungu, kama alivyofanya Nabii Ibrahim, na zitukumbushe kuwakumbuka siku zote masikini tuliowakumbuka leo.
Tweet media one
67
83
2K
@JMakamba
January Makamba
4 years
Kwetu kuzuri. My view everyday. #Bumbuli
Tweet media one
120
71
2K