@ms_azizaahmed
@mpambazi
Cetrizine ni dawa ya allergy kama kuwashwa, pua kuwasha, pua kutoa makamasi kama maji( running nose), na chafya , so kwenye case ya flu itakupa ahueni tu za hizo vitu listed, ila mwili ndio unafight na virus waliosababisha upate flu, cha msingi ni kunywa maji mengi ili kuhydrate