SHIDA wanageuza ubunge kuwa kazi.. Wanaweza kusaidia wananchi kama ni kweli hata bila kuwa wanasiasa. Wengi wao wanaingia kwenye siasa kujikimu kimaisha..
Hawezi kupata huo ubunge. Yaani unamshinda vipi Prof Kitila? Ni sawa na Sugu anaota ndoto za mchana kuwa atamshinda Dokta Tulia kule Mbeya Mjini. Yaani HOW?
MCHAKATO WA KUWEKA ‘WI-FI’ SEHEMU ZA UMMA BADO UNAENDELEA- MHE. NAPE
@wasafitv
@wasafifm
#Goodmoring
kutoka ofisi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, hapa Dodoma Tanzania.