#GWIJI🔴 Profile Banner
#GWIJI🔴 Profile
#GWIJI🔴

@athanas_pius

Followers
230,894
Following
10,263
Media
4,745
Statuses
199,961

JOKER || @ManUtd 🇬🇧 | @SimbaSc 🇹🇿 |No flex zone| Telecom Engineer 📡|• | We live everyday & We die once @gwijiStepstz . CEO @AfroJuiceBar . ONLY VIBES😀!

Dar es salaam
Joined December 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Rule no 1 for Men. 💪
Tweet media one
89
281
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Wauza Matunda wa Singida 🔥
Tweet media one
291
156
4K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Am in love with this photo, This pic deserves 100 RTs. Lets Go.
Tweet media one
20
423
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Kwenu Twitter Ujasusi Huyu Jamaa ni Captain, Aliwezaje Kupindua Nchi Huku Kuna Watu Kibao Wanamzidi Vyeo, Mameja, Kanali, Generali? Na Sasa Hivi Akiwa Kama Raisi Wanaomzidi Vyeo vya Kijeshi inakuaje? 🤔
Tweet media one
259
135
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Imagine, Just imagine 😀
Tweet media one
254
73
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Top 10 ya Wachezaji wa Kike Warembo Zaidi Ligi Kuu ya Tanzania (SWPL) 1. Joelle Nasri Bukuru, Simba Queens Sc🇹🇿, BR 🇧🇮
Tweet media one
Tweet media two
170
96
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Rest in Peace John Pombe, Wakati Unafariki Sikua na Bando 😭😭
Tweet media one
109
126
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Refa wa Jana mechi ya Simba Queens 🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
103
78
3K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Magufuli Aliwahi Kusema Kuongoza Nchi ni Kazi Sana!, Check Mwamba 😥
Tweet media one
231
86
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Haya Mangoma Kwenye Mnara yana kazi gani? Twitter ujuaji 😀
Tweet media one
279
89
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
8 months
Hautasikia Hiki Kijeba Kikisifiwa ila Appreciation Tweet Kwake ❤️‍🔥
Tweet media one
33
106
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Naombeni RT 5000, wacha tujaribu bahati wazee wa kazi. Usiscroll bila RT 💪🏽💪🏽
Tweet media one
132
4K
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
25 days
Nani Mwingine Kama Mimi Haelewi Hii Challenge ya Kuangalia Keyboard Sijui Btn blah blah 😀
Tweet media one
254
64
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Nimechoka Kupretend Naombeni Mniambie Virefu vya Haya Maneno. Smh Lol OMG Tbh klmy
Tweet media one
110
73
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Za Ndani Kabisa Unaambiwa DSTV Nao Wameomba Haki za Matangazo Kwa Azam ili Waoneshe Simba Day ✊🔥
Tweet media one
21
62
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Malkia ni Mzima wa Afya, Anaendelea na Majukumu yake kama kawaida
Tweet media one
220
81
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Kumbe Mama Mchungaji Kuna Connection Kabisa?
129
50
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
THREAD: Wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara Waliodumu kwenye Klabu moja Maisha yao Yote Mpaka Sasa. 1. Jonas Mkude, (Simba Sc, 2011)
Tweet media one
87
49
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Hakuna mchezaji wa kike bongo mzuri zaidi ya huyu 😊
Tweet media one
116
23
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Kwanini Tuandikie Mate Wakati Wino Upo? 😀😀 Like for Simba. Retweet Kwa Yanga.
Tweet media one
Tweet media two
50
89
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Watu wa Haki za Binadamu Hawachelewi kusema Huyo Kadhalilishwa 😀 Jezi kali Sana 🔥🔥
Tweet media one
95
62
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Kwahiyo Kesho Kibwana Shomar Atakua Analikaba Hilo Striker Mwili Jumba, I will be there no matter What 😀😀
Tweet media one
56
59
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Happy Woman's Day, Hata kama sikujui ikufikie kokote uliko 😂♥️
Tweet media one
103
41
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Hali ni Mbaya Sana Huko Algeria 😀😀
Tweet media one
72
52
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Leo Ndo Nimeelewa Maana ya Kula Nyama Nyamaza, Watoto wa siku hizi Wakila Nyama wanatangaza. Kumbe Hamanishi Nyama ya Buchani 😊🤔
Tweet media one
35
45
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Kama Wewe ni Shabiki wa Simba na Sijakufollow, Simple tu Nifollow Afu Andika Handle Yako Chini Napita Nazo zote 🔥🔥
Tweet media one
293
149
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Huyu Geof mlikua Mnamuona ni Kichaa Sio 😀😀
Tweet media one
67
56
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Nani Katoa dili la Kumsifia Mosses Phiri Wazee ? 😀😀
Tweet media one
60
58
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Dogo Kalia Sana Leo baada ya Wydad Kupata On Tagert 3. Hataki Kula Leo 😀😊
Tweet media one
22
48
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Comment ziwe fupi fupi 🤣🤣
Tweet media one
137
38
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
6 months
Sasa Hivi Ukicheza Tu Nje Nchi Unaitwa Taifa Stars 😀😀
Tweet media one
41
39
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Qatar Kumenoga 🔥🔥
243
169
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Wamefukuzwa Halima Mdee na Wenzake 18 Ila Waoumia ni Suphian na UVCCM, Kweli Uchawi Upo 😄🤣
58
77
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Kumbe Nimezaliwa Leo na Watu Mko kimya Hamsemi. Anyway Shukrani ziwaendee wazazi wangu, Mungu ni Mwema Sana. 1+ 🎂
Tweet media one
248
100
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Mzungu Mechi 2 Goli 1 Assist 0 Aziz Ki Mechi 2 Goli 0 Assist 0 Mzungu ni bora Kuliko, Ukibisha Pigana na Ukoo wenu 🤣🤣
131
97
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Gentlemen GPA ni 1.8 Mpaka 2.8, Yan Mwanaume Unapata GPA ya 4.8 Ulikua Unalala na Lecturer Au? 😀😀
115
74
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Ukiachana na Geita To Katoro road, Ni Barabara Gani Unaweza Kutest Mapafu na Main ya Gari Yako 🔥💪
Tweet media one
256
60
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Nimechoka kuendelea Kupretend, Nambieni ukweli hizi pipi na mafuta vinakazi gani? Naona vinapostiwa sana.
Tweet media one
113
99
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Sheria raha sana, leteni Yesu wa Ukweli kama Sio Mwamba 😀😀
Tweet media one
102
84
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Wachambuzi: Simba ilicheza hovyo sana. CAF: kikosi cha wiki wachezaji wa 3 kutoka Simba 👇
Tweet media one
90
70
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Afu Kuna Mwanaume mahali kaamua kua shoga kmmmke 😂🤔
Tweet media one
222
37
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Unaambiwa Huyo Neema Ni TISS toka Akiwa Mtoto 🔥
Tweet media one
83
27
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
7 months
Aliyemuiba Ngoma Airport Peponi Moja Kwa Moja 🔥
Tweet media one
20
64
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Clouds Media Wakiwaangalia EFM na Wasafi Media Wanahangaika na Issue ya Watangazaji 😀
Tweet media one
74
47
2K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Hivi Kwanini Guest House Hazinaga Chumba No.13? Kuna Siri Gani? 🤷🏽‍♂️
188
46
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Hii Kampeni Ya Kutokumpigia Kura Diamond Ni Ya Kishamba Sana, Mimi Siwez Kubeba Chuki Za Mtu Asee
247
90
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Sema Na Ukweli Degree Ya DIT Ni Ngumu Sana, Haielezeki, Waheshimuni Sana Waliohitimu DIT.😆
149
98
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
4 years
Ila Wanachuo Wanabalaaa! We unahisi haka Kametumia Hata 100 huko Njiani kuja Dar?
Tweet media one
312
18
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Sakho Tumekujua Tunaomba Uvue Kinyago Wewe Ni Miquisson 😂😂
73
69
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Safi Sana, Sasa wanyama kama Simba wanakazi gani? Mama Anaupiga mwingi
Tweet media one
249
48
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
11 months
Kama Mkude ataenda Yanga, Nitauchukia Mpira. You Will Never be Simba Legend. 😢
Tweet media one
124
27
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Kusiwe na Mpaka Ili Wawe Wanakuja Kuandamana Mpaka Bongo 😀
Tweet media one
212
71
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Wanafunzi Wa UDSM na Vikamba Vyao Vya Students ID Wanavaa Mpaka Kwenye Daladala Wanajionaga Kama Wanasoma Havard Vile 🤣🚮🚮
141
42
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Makocha Bora Kwa Sasa Kutoka Afrika ni 👇 1. Pitso Mosimane 2. Florent Ibenge 3. Juma Mgunda
42
40
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
S/O kwake, Hapewi Sana Nafasi na Huwa Halalamiki, na Akipewa nafasi Hua Anaitendea Haki ✊
Tweet media one
29
57
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Mpwa Anauliza Handle ni nini? Ni Mshumaa Nini 😀😀
Tweet media one
271
75
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Hivi Kwani Mwendazake Alikua Anawezaje Kujenga Mabarabara Bila Ya Kutukata Tozo za Hovyo?
150
37
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Nimejua Kirefu cha 'LMAO' Nimeumia Sana, Kama niliwahi Kulitumia kokote naomba Mnisamehe Sana 😀😢
Tweet media one
90
26
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Huyu dogo anaonekana ana kitu, Atafika Mbali Sana. 🔥
Tweet media one
34
26
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Yan Una Degree Ila Hata Kwenye ATM, Hua Unachagua Lugha Ya Kiswahili 😄😄
145
46
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Wiki Moja Bila Nyeto, Haya Ni Mafanikio Makubwa Sana 😀
146
57
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
"Soma swali kwa umakini kabla ya kujibu, naona wengine mnajitungia maswali yenu" Ongezea Caption yako.
Tweet media one
179
86
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Casemiro Alijua Kabisa nikienda hapa ntaondoka na shingo ya mtu 😀
Tweet media one
41
17
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Mchezaji mwenye bahati bila talent kuliko wote Tanzania akikabwa na Beki mahiri wa Liverpool 🔥
Tweet media one
27
30
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 months
Wameshinda Hawa Ramadhan Brothers, Anapongezwa Mama... Ila Hiki Kizazi 🤣🤣
Tweet media one
62
48
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Madrid Akipata Hata Goli Moja Naachana Na Habari za Mpira 🤣🤣
246
37
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Only Legends wanaelewa Kwanini Jamaa Kaweka Mkono mfukoni 😀😀
Tweet media one
161
25
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Yanga Naombeni Picha Kama Hii
Tweet media one
117
49
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Kuhusu Jezi VunjaBei Aendelee Kupewa Maua Yake, Hawa Wengine Wababaishaji 😀😀
Tweet media one
88
63
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Hivi Hakuna Uwezekano Simba Day Zijazo Zikapigwa Mikoa Mingine Tofauti na Dar, ili na Mashabiki wa Mikoani Wafaidi Pia? 😊
Tweet media one
65
42
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Hivi Mwenge Wa Uhuru Hua Unatumia Mafuta Gani?
260
40
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Yani Kibwana Shomari Anaenda Kucheza Fainali Wakati Chama Yuko Zanzibar 🤔😢
Tweet media one
63
47
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Bila shaka kwa sasa hii ndo tweet yenye likes nyingi kuwahi kutokea kwa Mtanzania twitter 😊
Tweet media one
38
34
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Kwahiyo huu mzigo wote wa Jezi anaenda kuuchoma? 😀
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
128
34
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Kuna Mapinduzi Tena, Mbona Ghafla?? 😀
Tweet media one
146
70
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Mkutano wa Hadhara wa Kwanza wa Achraf Hakimi na Wanaume Huko Nchini Libya Umefana Kweli 🔥😀
Tweet media one
18
29
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Ni Rahisi Mo Kuondoka Simba Ila Sio Chama Kwenda Yanga 😀😀
Tweet media one
30
25
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Ukienda Kununua CONDOM Unamwambiaje Muuzaje Bila Kutaja Neno Condom? 🤣🤷🏽‍♂️
317
38
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Hii Means Now Tz Tunaweza Kuuza Mchezaji Straight to Ulaya, Ahsanteni Sana Mo, Azam, GSM na Wadau Wengine ✊
Tweet media one
26
35
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
11 months
CAF Mbona Wanaubaguzi Sana, Sisi Yanga Mbona Hatujapostiwa? 😀😀
Tweet media one
105
55
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Jezi Za Man Utd Zimezinduliwa Leo Ila Karikoo Zipo Toka Mwezi Wa 5 😀😀
61
30
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
9 months
Yani Simba Bila Mtu Mweupe Hatusikii Raha Kabisa 😀😀
Tweet media one
64
49
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Huyu mwanamke kamaliza kazi yake salama kabisa 😀
Tweet media one
53
24
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Aliyetoa Idea Tuzindue Jezi Siku Moja Kabla ya Kongamano Lao Ana Akili Sana, What an idea to make them forget their Day 😀😀
Tweet media one
55
55
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Wanaume Wengi Wanalea Mafirst Born Ambao Sio Watoto Wao! Chunguza first Mara Nyingi Hafanani na Watoto Wengine 😊
94
54
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
4 years
Dodoma Ukiondoa Pestana Club, Inabaki Kama Geita Tu. Hamna Kiwanja Kingine 😂😂😂
160
22
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Mtoto Wa 97 Anataka Ndoa Wakati Kuna Wasimbe Wa 88 Wametulia Tu, Wanakula Zao Kitimoto 😂😂
95
36
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Mwanaume unakuaje Shoga asee, Maua kama haya unamuachia nani? 😊
Tweet media one
157
42
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Inaonekana Rich Mavoko Alimpa Mkono Mondi, Maana Kapoteana Kabisa 😂😂
71
34
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Mimi Ni Yanga Ila Kusema na Ukweli Mosses Phiri ni Zaidi ya Mayele, Mayele Ana Mengi Sana Kujifunza kwa Phiri 😊
60
41
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
29 days
Kuna Mshikaji Wangu Mmoja Aliwahi Kupata Kazi Kwa Mhindi Kariakoo, Akanunua Mashati Kumi + ya Kufanana... Kila Siku Mhindi Anaona Jamaa Ana Shati Lile Lile Akajua Huyu Jamaa Safi Haibi.. Akamkabidhi Store, The Rest is History 🤣🤣
84
91
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 months
Mchambuzi Farhani Akiandaa Makala ya Kumsifia Morogoro Boy Chassambi 🤣
Tweet media one
37
59
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Shabiki Yoyote Wa Simba Chini Ya 10k Shusha Handle Yako Nikuinue, Unastahili Engagement Hapa Twitter. Shusha Handle Ntakuona 🔥💪
498
104
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Sasa RT ni Kitu Cha Kunyimana Kweli ? Naombeni RT 100 Chap 🔥💪
Tweet media one
14
322
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Nahamia Westham 😍
Tweet media one
74
40
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
10 months
Kama Hizi ndo Kit za Kusafiria Bhas Jezi za Msimu huu zitakua za moto Sana, Kongole Sandaland The Only One 🔥✊
Tweet media one
35
34
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
1 year
Bila Kutaja Kazi Yako Post Kifaa kichapatikana Kazini Kwako, Afu Tukuambie Kazi Yako. Mimi: Fundi Tv 😊
Tweet media one
439
34
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
3 years
Mwanaume Unapata Wapi Ujasiri Kwenda Kulala Kwenye Geto la Manzi Yako Mpaka Asubuhi? 🤷🏽‍♂️
142
20
1K
@athanas_pius
#GWIJI🔴
2 years
Kwa Ile Chupa Alotumia Huyo Dada Itarudishwa Kiwandani, Na Soda Itawekwa Afu Kuna Kiumbe Atakuja Kunywa 😂😂
116
25
1K