Shaffih  Dauda Profile Banner
Shaffih  Dauda Profile
Shaffih Dauda

@shaffihdauda1

Followers
895,922
Following
922
Media
9,889
Statuses
22,592

Head of Programs at @CloudsMediaLive | Sports Analyst at CLOUDSFM Radio and CLOUDS TV | Tweets are my own

Dar Es Salaam,Tanzania
Joined August 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
SIMBA & BAYERN MUNICH
Tweet media one
178
384
9K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
🚨Roberto Oliveira ndie Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, ameagana rasmi na Vipers! Muda wowote atatangazwa kuwa Kocha wa Simba.
Tweet media one
261
165
6K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
The long wait is over😀
Tweet media one
122
97
5K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Asante sana Malisa, elimu haina mwisho nami nimejifunza kitu kipya.
Tweet media one
418
191
5K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Feitoo amejiunga na Azam FC akiwa ni mchezaji huru baada ya kutekeleza kifungu kwenye mkataba wake kilichokuwa kinamruhusu kuwa huru iwapo angerejesha Signing on fee pamoja na mshahara wa miezi mitatu,hapo jana Feitoto ali-deposit mzigo wote kwenye account ya @yangasc1935
310
198
5K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
The best team won💪
Tweet media one
178
132
5K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
3 years
This kid is just too good🙅 Feisal the Maestro
Tweet media one
175
173
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Inatisha na kuogopesha sana😀
Tweet media one
92
91
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Simba imeazima Kocha kutoka Coastal Union, hii ndio maana yake kuwa anaenda kupiga Ndondo mara moja kisha atarejea😀
Tweet media one
179
80
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Its George Mpole, the golden boot winner with 17 goals
Tweet media one
100
96
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
MOHAMED OUATTARA IS RED 🔴
Tweet media one
39
88
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kituo kinachofuata???😀
Tweet media one
281
84
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kikosi cha wastaarabu zaidi😀 Kocha gani anawafaa
Tweet media one
1K
125
4K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Penalty specialist? No doubt
Tweet media one
39
42
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Dakika 88, on his Debut✅ Good game Kid, endelea kupambana hapo Ubelgiji💪 Novatus Dismas Miroshi
Tweet media one
51
71
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Mashabiki wengi hawakuamini Yanga anatoboa, big game, tough mentality na big players! Imeipa Yanga ushindi, never prejudge the script of football.
Tweet media one
177
113
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
▶️Mpira wetu bado una shida kubwa, bado tunaamini timu kubwa kupata sare au kufungwa basi kuna mkono wa Mtu ▶️Simba alifungwa Bukoba hakuitisha press wala Wazee kukaa kikao, Simba alipitia magumu Morogoro na Mbeya lakini aliamini ni football ▶️Ajabu anaeongoza ndie analalamika
780
307
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Feisal anafunga mfululizo, moja kati ya wazawa wachache wenye namba za uhakika Kariakoo.
Tweet media one
53
97
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Ni mchezaji mzuri ila Afrika kikubwa zaidi ni kipaji wakati Ulaya football ni package kubwa sana, ukitamzama Dejan bila mpira utaona utofauti wake na wetu Atapitia wakati mgumu kwakuwa hawaelewi namna ya kucheza nae, ila haimaanishi kuwa ni mbovu
Tweet media one
181
98
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
8 Goals + 4 assists = Euro Million 100?? Worth it?
Tweet media one
424
50
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Ni mimi peke yangu au sote tunakubaliana kuwa Simba wamesajili wachezaji wengi wanaofanana aina ya uchezaji na wana machaguo mengi eneo la kiungo kuliko maeneo mengine? Bado nahisi kikosi hakijabalance vizuri
Tweet media one
421
94
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Gabriel Jesus ni staika wa mpira, scoring is an art ⚽️🔴
Tweet media one
54
51
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 months
Sijawahi kuwa na shaka na uwezo wa Chasambi,kilichonifurahisha siyo tu kufunga leo kwenye mechi yake ya kwanza ya @CAFCLCC bali ni kitendo cha benchi la ufundi kumpa nafasi ya kucheza, Chasambi ni top talent! Anahitaji kuaminiwa na kupewa dakika aweze kujengewa uzoefu taratibu.
Tweet media one
78
101
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
One of the best Midfielders
Tweet media one
58
57
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
10 months
CEO Andre Mtine ameondoka @YoungAfricansSC
Tweet media one
274
122
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
AUGUSTINE OKRAH IS RED 🦁🔴
Tweet media one
57
61
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Comment kama Baba wa mtoto🙂
Tweet media one
113
54
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Nelson Okwa in real life, it happens sometimes.
Tweet media one
30
42
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Assists tisa na mabao matatu mpaka hivi sasa, jumla amehusika kwenye mabao 12 mpaka hivi! Kiungo bora kwenye ligi mpaka hivi sasa ni yeye.
Tweet media one
76
60
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Breaking!One of the top current central defenders in Africa Mohamed Ouattara will join @SimbaSCTanzania , Ouattara who is an Ivorian,is a former Wydad defender now is playing for Al Hilal of Sudan.
Tweet media one
58
88
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
BAO BORA LA MWAKA AFRIKA, PAPE OUSMANE SAKHO (SIMBA & SENEGAL)
Tweet media one
53
92
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
DONE DEAL| Novatus Dismas 🇹🇿, rasmi kijana amejiunga na Klabu ya Zulte Waregem ya ligi kuu soka nchini Ubelgiji akitokea Maccabi ya Israel All the best My Boy
Tweet media one
90
118
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kwingineko🙂
Tweet media one
133
108
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
🚨| HAJI MANARA AFUNGIWA MIAKA MIWILI KUJIHUSISHA NA SOKA NDANI NA NJE YA NCHI Manara pia amepigwa faini ya Million 20
322
98
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Kennedy Musonda is Green and Yellow🔰
Tweet media one
35
68
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
All the best Boys @privaldinho (Digital Manager) @AliKamwe (Media Officer) YANGA SC.
Tweet media one
Tweet media two
32
91
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Gael Bigirimana ni Mwananchi!!!! kiungo wa zamani wa Newcastle UTD raia wa Burundi amesajiunga na @yangasc1935
Tweet media one
185
85
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Mh. JAKAYA KIKWETE: 🗣"Hili suala la kuibiana wachezaji lipo tokea enzi na enzi. Halijaanzia kwa Morrison. Kama mmeibiwa na nyie tafuteni wa kuwabia sio mnalalamika tu. Mnapotezeana muda kushtakiana mpaka fifa"
Tweet media one
116
93
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kijana amebaguliwa kisa style yake ya kushangilia, Rais wa Shirikisho la Mawakala nchini Hispania Pedro Bravo amesema “ Kama anataka kucheza hivyo aende kucheza na Nyani kwao Brazil na sio Hispania” Hii imeibua hisia tofauti sana na watu wengi wapo upande wa Vini Jr
Tweet media one
111
79
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Mikel Arteta yupo serious sana dirisha hili😀 Ni kama Pep Guardiola anamsogezea silaha ‘Mwanae’
Tweet media one
42
44
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Ndio ni wagumu ila wameshakutana na Yanga?😀
74
99
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
10 months
Mzigo umefika
Tweet media one
92
105
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Hii picha nilipiga nikiwa na Tembo Warriors kwenye harakati za kufuzu World Cup, one of the best photos kwangu🙏🏾 HAPPY BIRTHDAY TO ME.
Tweet media one
46
48
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Azam is being taught in a very hard way😀
Tweet media one
43
22
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 months
Tweet media one
114
71
3K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kutoka kwa Midfielder kwenda kwa Striker wa mpira. KARIM B-ALLON DOR 2022
Tweet media one
15
42
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Tuna kikao cha dharura hapa. Kinamhusu huyu mtu. Enhee kuna mwenye neno?
Tweet media one
240
67
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
That time of the year🇶🇦 QATAR 2022 Lets enjoy the world cup in the Middle East.
Tweet media one
100
52
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
LA LIGA dominating the world???
Tweet media one
54
42
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
SERENGETI GIRLS INTO THE QUARTERS👊🙌🇹🇿
Tweet media one
20
44
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Eti wadau picha ya Juu na Ya chini kuna utofauti kweli? • Mbona kama Picha zote kali halafu zinang’ara? Wapiga picha wanafanya kazi nzuri sana. • Picha ipi kali?
Tweet media one
546
78
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Tweet media one
296
76
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Full video ya maoni ya mashabiki kuhusu ishu ya jana ya Mo na Kigwangalla zipo Youtube Dauda Tv
221
196
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Sababu alizotoa Hassan juu ya kupoteza pambano lake, zinaridhisha???___
376
55
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
3 years
Edo kumwembe 💬 "Kushangilia wapinzani wa mahasimu uwanjani sijaona tatizo kubwa...lakini kwenda kuwapokea wapinzani wa wapinzani Airport nadhani ni ushamba fulani na pia nadhani tatizo la ajira ni kubwa nchini....
Tweet media one
280
86
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
HIMID MAO @HimidMao MCHEZAJI BORA WA MSIMU WA KLABU YAKE, Ghazl El-Mahalla.
Tweet media one
38
60
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
“Sijajua nini tatizo ila wachezaji wangu walikuwa dhaifu sana, sijui ni chakula walichokula au ni nini ila walikuwa wamechoka sana na wana kizunguzungu” - Calisto Pasuwa, Kocha wa Nyasa Big Bullets.
327
74
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Chelsea's Next 7 fixtures 💀 Chelsea vs Man United 💀 Chelsea vs Tottenham 💀 Chelsea vs Bayern 💀 Chelsea vs Liverpool 💀 Chelsea vs Everton 💀 Bayern vs Chelsea 💀 Chelsea vs Man City May God be with you guys 😀
206
110
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Gabriel Jesus na Bukayo Saka watakapohitaji rotation au incase wakapata majeraha, Arsenal any back ya hawa?
Tweet media one
154
26
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Anaitwa Bernard Kamungo, alizaliwa kwenye kambi ya Wakimbizi Kigoma 🇹🇿, kwasasa yupo nchini Marekani na amesajiliwa kwenye klabu ya Dallas inayoshiriki ligi kuu nchini Marekani.
Tweet media one
41
39
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
"Mwambieni yule dogo wa Simba aliyetembea na mke wangu sio kama ameshinda, me ni samaki nina shombo," Stamina
141
78
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
This is what I stand for ijapo Kuna muda watu wanakuja juu bila sababu ila wajue tu kuna tofauti kati ya JOURNALSM na PUBLIC RELATION Journalsm is all about seeing the problem and speaking out loud, sio kuficha ficha Congratulations TFF na TPLB kwa kuwasikiliza SIMBA DIGALA
Tweet media one
217
138
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
BREAKING: Lionel Messi ameweka wazi rasmi ombi lake la kuhama Barca na ameiambia klabu hiyo anataka kuvunja mkataba wake wikendi hii. Hataki kuichezea tena Barcelona! 😳
Tweet media one
135
58
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Senzo aliingia Simba akaanzisha project yake, ikaboom vizuri sana ila hakupata wasaa wa kuimalizia akaja CEO Barbra Project imeisha na kilichosalia ni project ya Barbra, mpaka sasa siioni project yake, lakini project ya Senzo tunaiona Wasaa wa maji kujitenga na mafuta
285
93
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Hivi ni Klabu gani hapo ilifanya kosa kubwa zaidi?
Tweet media one
552
41
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Kapanda mpira Kawapanda Yanga Sasa anapainda kamati..
Tweet media one
162
38
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
DIGITAL DEPARTMENT YA @yangasc1935 SIMPLY DESERVE RECOGNITION Timu yao ina ubunifu mkubwa, content zenye ubora mkubwa na zinavutia sana
Tweet media one
150
98
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
#SimbaDay2020 Wakati Haji Manara akimtambulisha Benard Morrison kwenye tamasha la Simba Sc, Morrison ametamka SIMBA SC ndio UNIVERSITY OF FOOTBALL IN TANZANIA. Akimaanisha kuwa SIMBA SC NDIO CHUO KIKUU CHA MPIRA TANZANIA. • Unakubaliana nae?
Tweet media one
242
59
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
CEO wa Simba, Barbara Gonzalez ametangaza mambo matatu: 🗣 “Kuna idara za kazi nahitaji kuboresha. Ya kwanza kwenye mapato. Mimi naona Simba ni ‘brand’ kubwa, lakini kutafsiri kwenye soko ni tofauti. Hivyo kazi yangu ya kwanza ni kutafuta ‘revenue streams’ (vyanzo vya mapato).
Tweet media one
85
90
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 months
NI mafanikio makubwa sana kama nchi kuingiza timu mbili kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya @CAFCLCC tena nchi pekee msimu huu kuingiza timu 2,binafsi najivunia haya maendeleo tunayoyapata kwasasa kwenye upande wa michezo especially mchezo wa soka.
Tweet media one
116
98
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
3 years
Endelea kupambania maisha bila kujali ukubwa wa Washindani wako Kama Arsenal yupo ligi moja na Manchester City, United, Liverpool na Chelsea kwanini wewe ukate tamaa😃
159
115
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Natamani kuandika andiko la pongezi kwa ubingwa wa 28 kwa Wananchi lakini nasubiri picha ya Mwenyekiti wa klabu, Dr Mshindo Msolla Mwenye picha ya Mwenyekiti akiwa na kombe hata kama imepigwa kwa simu naomba tafadhali Hata mwenye picha ya Kocha Nabi akiwa na kombe naomba
280
73
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
6 months
Tweet media one
6
17
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Kwa namna Yannick Bangala alivyochezewa ile faulo na Refa alikuwepo pale, ilihitajika elimu gani kutoa kadi nyekundu kwa Mtenje Albano?? Tukio la pili kwa Wananchi ndani ya mechi tatu hizi, ambayo yote yanaishia bila hukumu stahiki kutoka kwa Marefa
Tweet media one
213
118
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
DAUDA BEST 11 - GAME WEEK 1
Tweet media one
193
40
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
BM3 IS GREEN AND YELLOW Alama ngapi kati ya 10?
Tweet media one
228
48
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Watoto wapo sebuleni kwao wameomba na remote kabisa😀
Tweet media one
35
19
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Unazungumziaje kiwango cha mwamuzi Heri Sasi?🤔
Tweet media one
525
53
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Tuzungumzie hili kwa sasa👇
Tweet media one
503
67
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Ukweli mchungu ni kuwa bado hatuna timu yenye uwezo wa kubeba ubingwa wa Afrika, kwenye nyanja zote, huo ndio ukweli Unaweza kufanya vizuri sana kwenye makundi lakini ubingwa hauna fluke hata siku moja, Champion material needs TIME and MONEY
Tweet media one
272
83
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
EXCLUSIVE : Mbwana Samatta to Aston Villa Deal Done. Kesho asubuhi saa 1 anapanda ndege kutoka Dusseldorf kwenda Birmingham kwa ajili ya medical check up. Transfer fee ni takribani £9M
167
118
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
YANGA wamefungua dirisha la pili la usajili wa WANACHAMA na MASHABIKI baada ya kumaliza awamu ya kwanza kwa mafanikio makubwa. SIMBA mchakato wenu umeishia wapi? Tangu aondoke Hashim Mbaga nahisi ameondoka na mipango yote, haya leteni Press release nipo pale nimekaa. DIGALA.
230
89
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
5 years
Anaitwa Ditram Nchimbi. Una lolote juu yake? Sudan 1-2 Stars
Tweet media one
147
48
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mmoja kutokea Aston Villa @samagoal77 Amefaulu vipimo vya afya,sasa yupo tayari kuwakabili Galatasaray kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uturuki hapo siku ya Jumapili.
Tweet media one
129
51
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Wakati Maboss zao wanapambana kufanya sajili nzuri na za kibabe pale Jangwani Wale Vijana wa Digital pale Yanga wamejikatia kipande chao, wanakimiliki watakavyo, wanafanya vitu vikubwa kwa ukubwa sana Creativity, creativity creativity🙌 just brilliant!
148
104
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
As it stands right? @SimbaSCTanzania 😃
Tweet media one
56
84
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Sadio Mane analipwa $200k = Tsh. 460m kwa wiki. ✍️ Amejenga shule na uwanja 🏟 huko Senegal. ✍️ Anachangia chakula na nguo kwa wasio na vipato kila mwezi. ✍️ Alipewa iPhone baada ya kushinda Ligi ya Mabingwa lakini aliitoa na kurudi kutumia simu yake ya zamani iliyopasuka kioo
Tweet media one
160
122
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
Messi is football, Football is Messi
Tweet media one
47
51
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
TUISILA KISINDA RUKSA KUTUMIKA JANGWANI🚨
Tweet media one
52
64
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Vilabu Bora Afrika Mashariki 2020/21 1.🇹🇿 Simba SC [23] 2.🇰🇪 Gor mahia [27] 3.🇺🇬 KCCA [33] 4.🇷🇼 Rayon Sports [43] 5.🇹🇿 Young Africans [65] [CAF]
Tweet media one
111
125
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
3 years
Maisha halisi yameanza rasmi usiku huu.....
Tweet media one
131
60
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
If football is an Art Bernard Morrison is the Artist 🔥
70
115
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
RIP to the iconic Pele. 🕊️ Go with love❤️
Tweet media one
19
33
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
2 years
Nabi bado ni kocha wa @yangasc1935 na ataendelea kukinoa kikosi, hii ndio taarifa rasmi kwasasa.
66
61
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Michael Ballack: 🗣 "Vigil Van Dijk ni bahati sana amecheza katika wakati ambao hakuna Drogba, Lampard, Alan Shearer, Henry, Rooney, Van Persie, Tevez, Adebayor na Diego Costa kwenye Ligi Kuu. Haishangazi kuona wanafikiria yeye ndiye mlinzi bora katika Ligi" Big YES au Big NO??
Tweet media one
Tweet media two
537
61
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
3 years
From Spain to Tanzania 🙌 CV imeshiba sana, tunasubiri matokeo uwanjani So far expectations are higher
Tweet media one
116
41
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
4 years
Ronaldinho amecheza mechi yake ya kwanza akiwa gerezani. Timu yake ikafanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 11-2. Gaucho akaweka kambani goli 5 na kutoa assists 6. Washindi wa mechi hiyo wamepewa zawadi ya kilo 16 za nyama ya kitimoto.😅
Tweet media one
Tweet media two
119
73
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
5 years
Sijawahi kuona Barcelona wanacheza hovyo namna hii kwenye maisha yangu
Tweet media one
494
45
2K
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
5 months
Work, travel, save, repeat!
Tweet media one
15
39
2K