Michael Ballack:
🗣 "Vigil Van Dijk ni bahati sana amecheza katika wakati ambao hakuna Drogba, Lampard, Alan Shearer, Henry, Rooney, Van Persie, Tevez, Adebayor na Diego Costa kwenye Ligi Kuu. Haishangazi kuona wanafikiria yeye ndiye mlinzi bora katika Ligi"
Big YES au Big NO??