Nauza Dagaa, Fulu na Samaki walio Bora na Watamu kutoka Ziwa Victoria 📍Napatikana Mwanza| Kahama | Dar | 🚛 Nafanya Delivery | ☎️ 0759855572 WhatsApp👇🏻👇🏻
Wateja wa Dar mzigo umefika ni mwingi lakini mchache
Samaki zote zimelipiwa hata wewe hujachelewa toa oda ya samaki leo mwisho ni jumatano asubuhi mzigo utakuwa Dar Alhamisi
WhatsApp 0759855572
Dagaa zipo karibuni
📍Sinza mori
Kwingine natuma
OFA‼️ OFA‼️ OFA‼️
Kuna OFA ya kutolipia usafiri kutoka Mwanza ukinunua mboga kwa wateja wangu wa Dar es Salaam
OFA hii ni ya "Siku 2 Tu"
Ilianza jana Jumamosi 06 April
Mwisho ni leo Jumapili 07 April 2024 saa 12 jioni
Muda ndo huu, unakula nini leo?
Karibu Sinza Mori, atakaenunua leo ndo atakuwa mteja wa mwisho, ataacha namba yake mzigo ujao atafata dagaa nyingine bure
OFA‼️ OFA‼️ OFA‼️
Kuna OFA ya kulipia usafiri sawa na bure usafiri kutoka Mwanza ukinunua mboga kwa wateja wangu wa Dar es Salaam, ukilipia oda yako utaambatanisha na 1000 ya usafiri
OFA hii ni ya "Siku 4 Tu"
Inaanza leo 27 February
Mwisho itakuwa Jumamosi 1 March 2024 saa 10
WHAT I SELL
Dried seafood - 9000
Fried seafood - 25,000
Fried fulu😀 - 25,000
Grilled fish - 13,000 per fish
Fried fish - 16,000 per Kg
Raw fish (sato & sangara) - 140,000 (10 ltrs) & 280,000 (20 ltrs)
FAIDA ZA KULA DAGAA
1. Dagaa ni kinga ya moyo
2. Dagaa zinasaidia afya nzuri ya akili 3.Husaidia kutengeneza seli nyekundu za damu (Vitamin B12)
4. Husaidia afya ya mifupa (calcium)
5. Husaidia kudhibiti uzito
OFA‼️ OFA‼️ OFA‼️
Kuna OFA ya kutolipia usafiri kutoka Mwanza ukinunua mboga kwa wateja wangu wa Dar es Salaam
OFA hii ni ya "Siku 5 Tu"
Inaanza leo 16 January
Mwisho ni itakuwa Jumamosi 20 Jan 2024 saa 5 asubuhi
BEI zake ni 👇🏻
DAGAA WA KUKAANGA
Debe 100,000
Nusu debe
OFA‼️ OFA‼️ OFA‼️
Kuna OFA ya kutolipia usafiri kutoka Mwanza ukinunua mboga kwa wateja wangu wa Dar es Salaam
OFA hii ni ya "Siku 5 Tu"
Ilianza 16 January
Mwisho ni leo Jumamosi 20 Jan 2024 saa 5 asubuhi
BEI zake ni 👇🏻
DAGAA WA KUKAANGA
Debe 100,000
Nusu debe 55,000
Sado
Muda ndo huu, unakula nini leo?
Karibu Sinza Mori, atakaenunua leo ndo atakuwa mteja wa mwisho, ataacha namba yake mzigo ujao atafata dagaa nyingine bure
@MarekaMalili
First born hupata kila aina ya raha na treatment
Wengine wanakuwa washazoea hata pressure na woga hupungua nadhani. Japo sijajua kama nafanya kwasababu ya first time parent au vipi😁
Hello nakusanya oda za samaki mwisho ni jumamosi saa 4 asubuhi kwa Dar Es Salaam
Vibambala 13,000/-
Sato/ Sangara 1Kg kukaangwa 16,000/-
SATO/SANGARA
Ndoo ndogo 160,000/-
Ndoo kubwa 220,000/-
Kilo moja 16,000/-
📲 0759855572
📦 Kwingine natuma
Mwaka 2023 nimefanikiwa kufanya kazi na
@amprincess9
ambae ni CEO wa Tricy Dagaa OG
@TricyDagaa
Na bila kusahau ndio Best Female Entrepreneur Mwaka 2023 kwenye Tuzo za Wahovyo Awards
Nilifanikiwa kamtengenezea Content Strategy ya biashara yake kwenye account yake ya Instagram